Tiba na nyota zetu

Tiba na nyota zetu Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba na nyota zetu, Doctor, Tiba ndio suluhisho lako karibu kwa huduma zaidi na msaada utafanikiwa popote ulipo,. WhatsApp, Tanga.

Hii kitu niliwahi kusema kuwa kuna mafuta yapo ktk uaandaaji na yameshakamilika yalinichukua siku 40 kuyakamilisha!!!!  ...
25/01/2023

Hii kitu niliwahi kusema kuwa kuna mafuta yapo ktk uaandaaji na yameshakamilika yalinichukua siku 40 kuyakamilisha!!!! mafuta haya yenye siri ya kiroho ya mapenzi baina ya nafsi mbili nikiwa na maana nafsi ya k**e na ya kiume🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Lengo la mafuta haya ni kuwapa msaada mkubwa sana wale wote ambao wapo kwenye mahusiano lakini mwanamme hatoi huduma kabisa, anakuacha mtoto wa watu unakosa hata pesa ya sabuni ya kuogea unaishia kuogea sabuni ya kipande ya JAMAA!!😄 na unakuta mume uwezo anao wa kukuhudumia vizuri tu ila pesha zinaishia kwa michepuko maana sio mchepuko mmoja!!......
Unaishia kuona wenzako wanapewa magari,nyumba,wanahudumiwa huduma k**a zote ukimuangalia wewe na yeye we mrembo sana ila matunzo sifuri!!! ukichangia na mvuto huna na nyota imefifia basi mashaka juu ya mashaka!!! Unaishia kusema (watu na bahati zao) kumbe wenzako wanapambana hakai bure bure tu asubiri bahati k**a unavyokaa wewe!!!! anyway mafuta ndio ayo ya kumteka, kumdhibiti, kumfanya akupe ukitakacho kilicho ndani ya uwezo wake, wahi upate yako!!

MATUMIZI
Unapakaa mafuta yako kwenye kifua na nyuma ya masikio yako huku ukiwa unataja jina la mtoto wa mama mkwe mara 3 na kisha unapakaa nyuma ya kiganja cha mkono wako wa kushoto kisha unasema unachohitaji kwake alafu unapuliza kwenye kiganja chako icho! na apo shughuli imeisha ila ni vizuri kupakaa siku 7 mfululizo asbuhi na jioni kwa kupata good results

Usisubiri kuhadithiwa wahi upate yako

0766121211 namba iyo apo na ndugu zangu wa kenya na nchi zengine namba iyo njoo whatsapp +255766121211

1. Kuota nyoka ndani ya ndoto za Usiku Humaanisha Una uadui uliojificha ndani ya MAISHA yako.2. Kuota Unazama ndani ya m...
19/01/2023

1. Kuota nyoka ndani ya ndoto za Usiku Humaanisha Una uadui uliojificha ndani ya MAISHA yako.

2. Kuota Unazama ndani ya maji/bahari, ndoto hii humaanisha unachuma dhambi nyingi sana.

3. Kuota Unadondoka kutoka Hewani/mbinguni, ndoto hii humaanisha kuna kifo cha mtu wako wa karibu kipo Karibuni.

4. Kuota Umezikwa ndani ya jeneza, ndoto hii humaanisha Moyo wako umeshakua sugu (Moyo wako umeshakua mgumu) Juu ya Jambo Fulani.

Kwa Huduma ya tiba/VISOMO pamoja na tafsiri maalum ya ndoto zako au Ushauri wasiliana nami MAALIM JABIR kwa simu namba +255766121211 call or WhatsApp kokote ulipo.

ASALAMU_ALLEYKUM_NDUGUZANGU_naam leo nakuja na faida ya ayo maganda ya ndizi usiyatupe kwani ni dawa mujalabu sana na iz...
14/01/2023

ASALAMU_ALLEYKUM_NDUGUZANGU_naam leo nakuja na faida ya ayo maganda ya ndizi usiyatupe kwani ni dawa mujalabu sana na izi ndo faida zake 1+INATIBU VIDONDA VYA TUMBO 2+TUMBOKUJAA GAS 3+UVIMBE KWENYE KIZAZI 4+KIZAZI KUZIBA 5+K**A UNAPATA EDHI KWA SHIDA 6+TATIZO LA OMONI BALANCE 7+INAONGEZA UWEZO WA KUFANYA MAPENZI KWA WANAUME😘

8+MWILI K**A UNAISI MAUMIVU NI MUJALABU SANA II KITU 9+INATIBU NA MATATIZO YA MACHO 10+K**A KWENYE FIGO UNA MAWE AU FIGO CHAFU II KITU TUMIA UTAKUJA KUNISHUKULU 11+INATOA UCHAFU KWENYE INI NA KUKUACHA UKIWA VIZURI🤲🏽

namna ya kutumia kwa matatizo ya apo juu yote CHUKUWA MAGANDA YAKO YA NDIZI YAOSHE VIZURI KISHA YAWWKE KWENYE SUFULIA YAKO KISHA WEKA MAJI SAFI NA SALAMA WEKA MAJI YA KUTOSHA KISHAIACHE ICHEMKE ADI UONE IMEBADILIKA LANGI PIA ITATOA POVU KISHA IPUA UTAKUWA UNAKUNYWA KIKOMBE KIMOJA KILA BAADA YA DAKIKA 30 FANYA ZOEZI ILI MFULULIZO NDANI YA SIKU 14 KISHA NILETEE USHUUDA APA APA KWENYE POST YANGU UTUMIAPO DAWA II UTAKUWA UNAKOJOA MKOJO MWEUPE ATA USIOGOPE UNASAFISHA MWILI..+255766121211.whatsapp

chelewa chelewa utakuta mwana si wako!!! leo mapema tu mambo ya yameanza maana mwenyewe amenambia hataki ata kumchelewes...
05/12/2022

chelewa chelewa utakuta mwana si wako!!! leo mapema tu mambo ya yameanza maana mwenyewe amenambia hataki ata kumchelewesha ye anachotaka ni ndoa 💍 tu hataki kupotezeana nae muda ⏱️ na mimi nimeipokea kazi yake na namfanyia ili nafsi yake ifurahi tena mapema k**a alivyotaka.... najua dada angu unaona post hii kwaiyo we subiri matokeo tu utualike harusi🤣 mi huwa sibahatishi kabisa👊🏼

0766121211

Tarasimu yenye mvuto mkali wabiashara utandika kisha utaisomea Suratu Al-FATIHI Aya yakwanza iyo utaisomea iyo tarasimu ...
15/11/2022

Tarasimu yenye mvuto mkali wabiashara utandika kisha utaisomea Suratu Al-FATIHI Aya yakwanza iyo utaisomea iyo tarasimu mara mia moja, kisha tembea nayo k**a biashara yakutembeza k**a duka weka dukani, k**a genge tungika gengeni ama dukani tumia jawi yani uvumba ama ubani dhukhura, naudi, uwandike kwazafarani iliyo changanywa na maji yawardi zafarani nyekundu tumia,+255766121211.whatsapp

JINSI YA KUMVUTA MPENZI NDANI YA  SAA 24 KWA KUTUMIA N**I:COMMENT SIJIBU TAFADHALI UKIWA NA SWALI NAMMBA YANGU HIYOO CHI...
12/11/2022

JINSI YA KUMVUTA MPENZI NDANI YA SAA 24 KWA KUTUMIA N**I:

COMMENT SIJIBU TAFADHALI UKIWA NA SWALI NAMMBA YANGU HIYOO CHINI

Angalizo: Usifanye kwa mume/mke wa mtu dawa hii akatelekeza familia yake tafadhali, Dawa hii ni kwaajili ya kumvuta mwanaume/mwanamke unayehitaji awe na mahusiano na wewe yaani akupende na akuhitaji k**a hamjawa katika mahusiano basi baada ya kufanya hii dawa atavutika na wewe na kukutafuta, na k**a tayari mna mahusiano ila hayaeleweki au hayana nguvu basi baada ya dawa hii mtakuwa karibu mno na atakuwa karibu na wewe mpaka utamuonea kero!..hivyo k**a unataka mwanaume/mwanamke awe karibu na wewe zaidi kimapenzi mfanyie hii dawa! na sharti kubwa la dawa hii kwa wanawake ukitaka kuifanya basi usiwe kwenye siku za hedhi.

JINSI YA KUFANYA:

Chukua n**i mbili. Kisha andika jina lake na la mama yake mara mbili kwenye hizo kona za n**i kwa kutumia zafarani nyekundu kisha fuata hatua hizi..

1. Vunja n**i zote vipande viwili.
2. Chukua maji ya bahari changanya na ndele na kila kipande kimoja cha n**i tia maji hayo.
3. Weka kila kipande katika kona moja ya chumba chako, kaskazini na kusini. mashariki na maghrabi.
4. Katika kila kipande kimoja washa pembeni yake mshumaa mweupe, iwe kuanzia saa sita kamili usiku
5. Kaa katikati ya chumba hicho elekea upande wa magharibi huku ukiwa juu ya kitambaa cheupe kisha sema kwa kuamrisha yote unayohitaji kutoka kwa huyo muhusika ukitaja jina lake na la mama yake
6. Iache mishumaa iwake mpaka izimike yenyewe. Na mabaki yote yafunge na kitambaa cheusi na uyatupe njia panda wakati jua linazama. ITACHUKUA MASAA 24 TU [SIKU 1] KUWA K**A ULIVYOTAKA.

Inshallah kwa tiba mujarabu za kissunah na kisomo cha kisheria(Ruqyah) usisite kuwasiliana nami Maalim Jabir mnajimu na tabibu wa tiba mbadala na maradhi sugu kwa simu yangu ya mkononi 👇🏿

+255766121211 Whatspp/Call

Kukutana na mtu kimwili si kwa kujifurahisha tu ni kifungo cha Nafsi ( Spiritual bond/Soul tie.)

Angalia Kwa Umakimini ni nani unakutana naye kimwili??, Kila unayekutana naye kimwili kuna sehemu yake inabaki kwako, Ndiyo maana unaweza ukakuta watu wengine wabaya sana,wakatili,wengine ni k**a mashetani kabisa , Hii ni kwasababu kuna roho wachafu wengi ndani yao

Moja Kati ya Sababu ya Kuendelea Kuota Ndoto za mtu uliyeachana nao zamani ni Kwasababu kuna sehemu ya Maisha / yako ilibaki kwako au ilibaki kwao wakati unakutana nao Kimwili .
Niia rahisi ya kuk**ata nyota/hatma ya Mtu ni kukutana naye Kimwili .Upande wa giza wanafahamu siri hii sana

Link rahisi ya Kiroho ya kusambaza mapepo kwa mtu ni kukutana na mtu huyu kimwili, imagine wewe una maroho ya kwako na Unayekutanaye ana maroho yake imagine k**a wewe ni mwanaume na una wanawake watano na wote mnakutana kimwili hii inamaana ndani ya nafsi yako kuna wanawake watano na kila mmoja alikuwa na maroho yake .

Ni wanaume / wanawake wangapi unao ndani yako?Kila mmoja unayekutana naye kimwili au uliyekutana naye Kimwili aliaacha sehemu yake ndani yako na Aliacha roho zake ndani yako
Wengi wetu tunafikiri kukutana kimwili ni kwa kujifurahisha tu, lakini hatuelewi kukutana kimwili ni agano Kubwa la Kiroho.

Kukutana kimwili na mtu huwa nafsi za wahusika zinafungwa pamoja na hii inaruhusu kiroho washare vitu vyao.. ndiyo maana ni rahisi kukuta mtu alikuwa tajiri lakini baada ya kukutana na mtu fulani kimwili akaanza kuporomoka .

Kukutana kimwili ni lango linalotumiwa na adui kuharibu destiny za watu wengi

Kuwa Makini ni nini unaruhusu kiingie kwako ?Kila mtu uliye kutana naye Kimwili anaacha sehemu ya nafsi yake na Roho zake ndani yako

Kukutana kimwili ni spiritual bond kwa sababu ya conection inayotokea wakati wa tendo lenyewe.. Ulishajiuliza ni wangapi umekutana nao ? Je Ndani yako inaonekanakanaje sasa?Kukutana kimwili na Mtu ina madhara zaidi Kiroho zaidi ya Kujifurahisha Kimwili unakofikiri

+255766121211.whatsapp

ASALAM ALLEYKUM. LEO NITAZUNGUMZIA KWA UCHACHE KUZIUSU PETE ZA MVUTO. 🔴pete ii  ya mvuto uvaliwa na mtu kulingana na nyo...
15/10/2022

ASALAM ALLEYKUM. LEO NITAZUNGUMZIA KWA UCHACHE KUZIUSU PETE ZA MVUTO. 🔴pete ii ya mvuto uvaliwa na mtu kulingana na nyota yake kila nyota ina langi yake ya mvuto wa kipato na mapenzi. 🔴Pete ii utaivaa kilasiku. 🔴Pete ii usafishwa kwa maziwa ya ng'ombe. 🔴Pete ii inabuhuri zake kulingana na nyota yako. 🔴Pete ii uvaliwa mkono wa kulia. 🔴pete ufushwa kwa wiki mala

1. 🔴Pete ii utawala sayari ya nyota YAKO na jini wake pamoja na Malaika anaemiliki nyota ii na siku yake. 🔴Pete ii ukupamvuto kazini. 🔴Ukupa mvuto kwenye mausiano. 🔴Ukupa mvuto kwenye biashara. 🔴Pete ii aipendi uchafu wa zinaa. 🔴Itapendeza unapoitaji pete usafishe mwili wako kabla ya kuitumia kuivaa. 🔴

Uwe umeolewa au kuoa KWA ndoa unapoitaji kukutana kimwili na mke wako pete ii itaitajika uivue. 🔴Pete ii haina kafara isipokuwa utaifusha na kuilaza kwenye maziwa tena ukiyapata maziwa ya ngamia💥 +25576612211

PIA LEO NIMEWALETEA MAFUTA YA MWITA OIL. MAFUTA AYA KIUKWELI YAMEJALIWA MIUJIZA SANA KWENYE NGUVU YA KUMVUTA MPENZI AU M...
21/08/2022

PIA LEO NIMEWALETEA MAFUTA YA MWITA OIL. MAFUTA AYA KIUKWELI YAMEJALIWA MIUJIZA SANA KWENYE NGUVU YA KUMVUTA MPENZI AU MKE PIA EMBU TUONE UFANISI WA KAZI YAKE. Mafuta ya MWITA ndo mafuta bola yenye uwezo wa kupambana na nguvu za kishetwani. 1ULETA NURU MWILINI. 2ULETA MVUTO MWILINI. 3MAFUTA AYA UPANDISHA NYOTA. 4USAFISHA MWILI K**A UNA JINI MCHAFU. 5UONDOA NUKSI. 6UKUFANYA UPANDISHWE CHEO KAZINI. 7UKUFANYA UWE NA MVUTO WA MAPENZI. 8UKULETEA MVUTO WA BIASHARA, MVUTO WA KAZI. 9UWANGAMIZA MASHETWANI WACHAFU, WACHAWI. 10 MAFUTA YA MWITA UTIBU KIFAFA, KIARUSI, DEGEDEGE, KIZUNGUZUNGU, KWIKWI,KICHOMI. 11UONDOA WASI WASI MWILINI, PIA UTOA WASI WASI UNAOSABABISHWA NA JINAMIZI. 12UONDOSHA VIUMBE WAOVU MAKAZINI, MAJUMBANI, MWILINI. MFUTA AYA YANAPATIKANA KWA KIASI CHA TSH15000. KARIBUNI+0655969528🙏

KULIPWA DENI LAKOikiwa kuna mtu unamdai ataki kukulipa basi chukua ubani mashataka na uvumba kisha andaa moto wa mkaa ki...
21/08/2022

KULIPWA DENI LAKO

ikiwa kuna mtu unamdai ataki kukulipa basi chukua ubani mashataka na uvumba
kisha andaa moto wa mkaa kisha choma ubani hizo uku ukisema. maneno aya👇

“QAAF HAA YAA AIN SWAD”

👆 ayo ndio unatakiwa kusema mara 10 unatilia nia yako hiyo chini apa,kwahyo utaludia hivyo hivyo kila ukifika mara 10 unatilia nia hiyo mpaka unamaliza mara 313 soma usiku kuanzia saa 2 ndio vizuri zaidi

ayo maneno yanatokana na erufi hizi apa chini👇
كهيعص
ك ه ي ع ص

kwahyo ukifika kila mara 10 basi sema hivi apa chini 👇

“EWE MWENYEZI MUNGU KWA UTUKUFU WAKO NA BARAKA ZAKO NAKUSHTAKIA UYU FULANI KWA AMLI YAKO BASI AKOSE RAHA YA MOYO MPAKA ANILIPE PESA ZANGU”

vyema kuludia japo siku 3 mfululizo inshaallah atakupa pesa yako

unanuiza uku ukichoma hizo ubani zako inshaallah
+255766121211 WHATSAPP

aya tena kazi kwenu munaosumbuliwa na waume au wake zenu pamoja na wachumba zenu 😂😂😅 mie nishaitengeneza ipo tayari kufa...
26/07/2022

aya tena kazi kwenu munaosumbuliwa na waume au wake zenu pamoja na wachumba zenu 😂😂😅 mie nishaitengeneza ipo tayari kufanya kazi ya kumshika mtoto wa watu mpaka apagawe kimahaba

inaitwa RIMBWATA

shekhe_🇰🇪kenya
+255766121211 🇹🇿tanzania

USIKOSE HII USIKOSE HII USIKOSE HIIBahada ya kujua NYOTA zenu kikamilifu na kuachana na kupotoshwa leo nitawasaidia wale...
16/07/2022

USIKOSE HII USIKOSE HII USIKOSE HII

Bahada ya kujua NYOTA zenu kikamilifu na kuachana na kupotoshwa leo nitawasaidia wale wasio jua KUWA wanaendana na wapenzi, mchumba au mwanandoa wake

Je ww na mwenza wako mnaendana kinyota? Haujui leo utajua weka jina lako na mwenza wako uweze kujua

HASARA ZA KUTOENDANA KINYOTA
Hata uwe na NYOTA nzuri vp ukioa au kuolewa na mtu usiendana naye itafifia, ndoa kutodumu, migogoro isiyoisha, kudharauliwa, kusalitiwa,hautakuwa na MIVUTO,kuchafuana NYOTA,kupata mikosi na nuksi

BADO UNASUBILI NN SASA?
kumbuka K**a umeoa au kuolewa na mtu usiendana naye njia pekee ni kuunganisha NYOTA zenu zikaendana na moja upunguzwa nguvu na utabadilisha mw

enendo wa wako na MWENZI wako

Najibu comments jina lako na MWENZI wako Ukichelewa hautojibiwa

UNA shida muhimu NIPIGIE simu

WhatsAp +255766121211 . Maalim Jabir

Address

Tiba Ndio Suluhisho Lako Karibu Kwa Huduma Zaidi Na Msaada Utafanikiwa Popote Ulipo,. WhatsApp
Tanga

Telephone

+255766121211

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba na nyota zetu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category