RANIM SALIM.

RANIM SALIM. Kuelimishana, kukumbushana kuhusu mahusiano

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
05/10/2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ikishindikana nyoka hata mjusi
04/02/2023

Ikishindikana nyoka hata mjusi

😨
04/02/2023

😨

07/10/2022
Habari yako mamy Naomba unipostie kwa wamama na wababa wanisaidie hii kitu Ina kazi gani kwa mwanaume na mwanamke naona ...
25/09/2022

Habari yako mamy Naomba unipostie kwa wamama na wababa wanisaidie hii kitu Ina kazi gani kwa mwanaume na mwanamke naona baadhi yao wanakula🀷

Watajua hawajui
20/08/2022

Watajua hawajui

Habari ndio hiyo wadau
10/05/2022

Habari ndio hiyo wadau

01/12/2021

Naomba unipostie kwa peji yako nipate maoni nipo na mahusiano yapata miez 8 na mme wamtu nanipo nae kwasababu alizoniolodheshea kutokana na mkewe ananipenda nampenda lakini nimekuja kwenu naombeni mawazo toa tumeanza mahusiano alinikuta Mimi ninabiashara zangu japo ndogondogo lakini zinaniweka mjini vitu nayeye anamishe zake lakini shida nihii yeye yuko bize mno kuonana kwetu nijion naikitokea tumeonana Mapema basi siku hiyo amemic shoo zakibabe ukimwomba elfu 20 anakupa elfu 10 ukiomba ela yakusukia atakwambia nyoa au nikutafutie naakiona umesuka kukusifia akuishi ukisimamishwa na mwanaume anaona wivu ukimwambia mamba niongezee mtaji anasema ntakutafutia Yani ajawahi to a Ella zaidi ya Elfu 10 naunakuta kwa wki Amekupa mala Moja au mala2 Nakazi anayofanya anaingiza hela yakutosha namambo yake yanaenda juzi nilimwomba ela yapedi kusudi akadai jion Naleta baht Maya akachelewa kulud akuleta nacku 2 akuleta nikampigia sm akupokea wiki ikakata akanipigia skupokea nikamsmc kuwa utakapomaliza ubize utanitafuta akujibu baada yacku 2 tukakutana seem Mona ivi tunaendaga kula akaanza kuniomba sm yang eti Nataka nione anaekupa kibulichakutopokea sm yang nikamnyima naapo Kuna SMS iliingia ya mwanaume mwingine akitema swaga skumpa cm akadai ninadharau lakini akaishia kuniomba msamaha sasa Jana nimekutana nae nimyonge mno kavaa nguo ovyo tu nakuusu wanawake sio mtu wamadem ata nywele ajachana niliumia kumwona ivo ila nikamchunia je nimludie au japo nampenda ila tunapishana kwenye matunzo

Nilimwambia nakaa kwetu Namimi nimepanga ila akisema anakuja kunisalimia natokea nyumbani manana nilipopanga simbali nakwamdogo

Address

Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RANIM SALIM. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to RANIM SALIM.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram