01/12/2021
Naomba unipostie kwa peji yako nipate maoni nipo na mahusiano yapata miez 8 na mme wamtu nanipo nae kwasababu alizoniolodheshea kutokana na mkewe ananipenda nampenda lakini nimekuja kwenu naombeni mawazo toa tumeanza mahusiano alinikuta Mimi ninabiashara zangu japo ndogondogo lakini zinaniweka mjini vitu nayeye anamishe zake lakini shida nihii yeye yuko bize mno kuonana kwetu nijion naikitokea tumeonana Mapema basi siku hiyo amemic shoo zakibabe ukimwomba elfu 20 anakupa elfu 10 ukiomba ela yakusukia atakwambia nyoa au nikutafutie naakiona umesuka kukusifia akuishi ukisimamishwa na mwanaume anaona wivu ukimwambia mamba niongezee mtaji anasema ntakutafutia Yani ajawahi to a Ella zaidi ya Elfu 10 naunakuta kwa wki Amekupa mala Moja au mala2 Nakazi anayofanya anaingiza hela yakutosha namambo yake yanaenda juzi nilimwomba ela yapedi kusudi akadai jion Naleta baht Maya akachelewa kulud akuleta nacku 2 akuleta nikampigia sm akupokea wiki ikakata akanipigia skupokea nikamsmc kuwa utakapomaliza ubize utanitafuta akujibu baada yacku 2 tukakutana seem Mona ivi tunaendaga kula akaanza kuniomba sm yang eti Nataka nione anaekupa kibulichakutopokea sm yang nikamnyima naapo Kuna SMS iliingia ya mwanaume mwingine akitema swaga skumpa cm akadai ninadharau lakini akaishia kuniomba msamaha sasa Jana nimekutana nae nimyonge mno kavaa nguo ovyo tu nakuusu wanawake sio mtu wamadem ata nywele ajachana niliumia kumwona ivo ila nikamchunia je nimludie au japo nampenda ila tunapishana kwenye matunzo
Nilimwambia nakaa kwetu Namimi nimepanga ila akisema anakuja kunisalimia natokea nyumbani manana nilipopanga simbali nakwamdogo