Fady

Fady Ushauri wakitaalamu kuhusu mifugo hakika Quran n kitab chenye ukweli wa yakini

19/02/2025

.me 1787 Followers, 3795 Following, 2987 Likes - Watch awesome short videos created by FADY S KHAN

17/05/2024

NAFUNGUA MLANGO WA MAFUNZO MBALI MBALI KUHUSU MASWALA YA UFUGAJI. LENGO NI KUSAIDIANA NA KUJIKWAMUA KIUCHUMI NA KUKUZA SOKO LETU LA MIFUGO. KWA WALE WA KUKU,MBUZI,NG'OMBE,MBWA NA WANYAMA WENGINE KASORO NGURUWE. KARIBUNI SANA KATIKA PAGE YETU

22/06/2022

Visit the ill and see the value of health.

Visit the Prisoners and see the value of freedom.

Visit the Graves and see the reality of life.

We are here for a fixed period of time. Use it wisely seeking the pleasure of Allah.
____________________________________

Tembelea Wagonjwa uone Thamani ya Afya.

Tembelea Wafungwa uone thamani ya uhuru.

Tembelea Makaburi uone uhalisia wa maisha.

Tuko hapa kwa muda Maalum. Itumieni kwa Busara kutafuta Radhi za Mwenyezi Mungu.

JUMBE BORA KATIKA JUMBE NILIZOWAHI POKEA TOKA NAJITAMBUA KWA FAHAMU ZANGU
22/06/2022

JUMBE BORA KATIKA JUMBE NILIZOWAHI POKEA TOKA NAJITAMBUA KWA FAHAMU ZANGU

Namshukuru Allah (SUBHAANAHU WA TA'ALA) kwa hali zote alizonijaalia.

Huwa Nakumbuka sana hali yangu niliyokuwanayo miaka 15 iliyopita kabla  ya kupata ajali.

Allah alinipa Afya Nzuri Sana, Nilikuwa ninanguvu ya kufanya vitu mbalimbali, k**a vile  Pumzi ya kuogelea na kufanya mazoezi makali na uwezo wa kutembea masafa marefu.

Lakini Huwezi kuamini, Yote hayo sasahivi naona k**a Hadithi au ndoto, Nahisi k**a sio mimi ambae nilikuwa naweza kufanya vitu vyote hivyo.

Nilijiona k**a nipo katika dunia nyengine nilivyoparalyze mwili mzima, siwezi hata kunyanyua kidole changu mwenyewe.😢😢😢

Lakini Alhamdulillah Namshukuru sana Allah (SUBHAANAHU WA TA'ALA) kwa Mtihani Huu alionipa, Na Kiukweli Naweza kuuita Huu MTIHANI ni zawadi kutoka KWAKE. 🤲🤲🤲

ALLAHUAKBAR. ☝💪

Kupitia Mtihani huu Najifunza vitu vingi na Allah hunifutia Madhambi kila siku kwaajili tu ya kuamini kuwa yeye ndie aliyenipa na yeye ndie atakaeniondolea

Na Namwabudu yeye Mmoja tu pekee  Apasae Kuabudiwa kwa Haki na Simshirikishi na kitu chochote. ☝

ALHAMDULILLAH.

Kumbuka kuwa MwanaAdamu Halikufiki jambo lolote mpaka Mwenyezi Mungu atake Likufike na Halikuepuki jambo mpaka Mwenyezi Mungu atake Likuepuke.

Maradhi haya yamenifanya nimjue vizuri Mwenyezi Mungu na Utukufu wake.

ALHAMDULILLAH. 🤲

Nimegundua Mwenyezi Mungu Ananipenda na ndio maana amenipa ZAWADI hii ya maradhi haya niliyonayo ili mpaka siku ya kukutananae niwe sina DHAMBI hata moja. Ananisafisha.

SUBHANALLLAHU. (AMETAKASIKA MWENYEZI MUNGU)

Unaweza ukachukia kitu kumbe kina kheri kubwa na wewe na unaweza kupenda kitu kumbe kina shari na wewe. Mwenyezi Mungu anajua zaidi na sisi hatujui.

Naamini Mwenyezi Mungu ameniepusha na mitihani mikubwa zaidi kuliko huu wa Maradhi niliyonayo.

ALHAMDULILLAH. 🤲🤲🤲

Hii dunia tunapita tu usihadaike kwa afya nzuri, kwa mali na watoto, kwani kitu kilichokuwa bora zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni uchamungu tu.

SHUKURU KWA HALI ZOTE.

18/06/2022
Nataman ningekua pamoja na ww
04/04/2022

Nataman ningekua pamoja na ww

Address

178
Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fady posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Fady:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category