26/04/2026
https://www.facebook.com/share/1DeBa8kQN2/
*UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)*
📞+255745998149, CALL, SMS, WHATSAPP
+255672242669, CALL & WHATSAPP
DR HABIBU A BAKARI
CHUMBAGENI TANGA -TANZANIA
Hernia ni uvimbe (eneo lililotuna) kutokana na viungo vya ndani ya mwili kusukuma kuta za misuli inayozunguka au kushikilia viungo hivyo.
✍🏻Hernia hutokea wakati kuna udhaifu au kuna tundu kwenye kuta za misuli inayoshikilia na kuviweka viungo vya tumbo kwenye sehemu yake (peritoneum).
✍🏻Udhaifu huo unaweza kuviruhusu viungo vya ndani kusukuma na kupenyeza na kujenga eneo lililotuna.
*SABABU ZA HERNIA*
✍🏻Ukiondoa hernia inayotokana na upasuaji wa awali, mara nyingi hakuna sababu inayoeleweka ya kusababisha hernia.
✍🏻Watu walio kwenye hatari zaidi ya kupata hernia ni wenye umri mkubwa, na wanaume wapo kwenye hatari zaidi kuliko wanawake.
✍🏻Hernia inaweza kujitokeza mtoto anapozaliwa au kwa watoto waliozaliwa na dosari kwenye kuta za matumbo yao.
✍🏻Vitu hivi ni pamoja na:
👉🏻Kujik**au kwa nguvu wakati wa haja kubwa kutokana na choo kuwa kigumu
👉🏻Kikoozi cha mara kwa mara
👉🏻Kuwa na tatizo la cystic fibrosis
👉🏻Kuvimba kwa tezi dume
👉🏻Unene wa kupindukia
👉🏻Kukojoa kwa shida
👉🏻Kunyanyua vitu vizito
👉🏻Maji tumboni
👉🏻Lishe duni
👉🏻uvutaji wa tumbaku
👉🏻Korodani zisizoshuka
👉🏻Uchovu wa mwili
*DALILI ZA HERNIA*
✍🏻Mara nyingi, hernia ni uvimbe unaoonekana usio na mauvimu na usiohitaji tiba ya haraka. Lakini wakati mwingine, inaweza kukukosesha raha na kuwa na maumivu, dalili zikiongezeka wakati umesimama au wakati unanyanyua vitu vizito.
✍🏻Dalili za Hernia ni:
👉🏻Maumivu
👉🏻Kus**ia kichefuchefu
👉🏻Kutapika
✍🏻Uvimbe wa hernia yenye dalili hizi mara nyingi ni mgumu na huleta maumivu na hauwezi kusukumwa urudi ndani ya tumbo nk
*TIBA YETU KWA WAGONJWA WA HERNIA*
✍🏻Hatufanyi upasuaji kwa mtu mwenye ngiri/Hernia ila hutumia dawa ambazo ni zina uwezo wa kuondoa tatizo kwa matumizi ya dawa kwa mda wa siku ( 7 )
Matumizi ya dawa
Asubuh na usiku tu, kutwa mara 2
Unachanganya ndani ya chai, Uji, maji ya moto.
Utaanza kupata matokeo mazur na ya kukushangaza baada ya siku 2
Dawa ni za miti shamba 💯 itokayo hapa Tanga Tanzania, Pia Haina kemikali za viwandani hata chembe 00% hivyo ni rafiki kwa Afya ya mtumiaji.
GHARAMA YA DAWA DOZI KAMILI
TZSH.85,000/-
Mfumo wa dawa ni unga unga na mizizi.
Dawa Ina nguvu na uwezo mkubwa sana wa kutibu na kuondoa kabisa tatizo la ugonjwa wa NGIRI ( HERNIA )
✍🏻 Tembelea Kurasa wetu kufahamu huduma zetu zaidi za tiba za dawa za miti shamba 💯.