Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania

Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania TIBA za dawa za miti shamba � Tanga Tanzania. +255745998149,call & whatsaap Dr Habibu A Bakari.

https://www.facebook.com/share/1DeBa8kQN2/
26/04/2026

https://www.facebook.com/share/1DeBa8kQN2/

*UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)*

📞+255745998149, CALL, SMS, WHATSAPP

+255672242669, CALL & WHATSAPP

DR HABIBU A BAKARI

CHUMBAGENI TANGA -TANZANIA

Hernia ni uvimbe (eneo lililotuna) kutokana na viungo vya ndani ya mwili kusukuma kuta za misuli inayozunguka au kushikilia viungo hivyo.

✍🏻Hernia hutokea wakati kuna udhaifu au kuna tundu kwenye kuta za misuli inayoshikilia na kuviweka viungo vya tumbo kwenye sehemu yake (peritoneum).

✍🏻Udhaifu huo unaweza kuviruhusu viungo vya ndani kusukuma na kupenyeza na kujenga eneo lililotuna.

*SABABU ZA HERNIA*

✍🏻Ukiondoa hernia inayotokana na upasuaji wa awali, mara nyingi hakuna sababu inayoeleweka ya kusababisha hernia.

✍🏻Watu walio kwenye hatari zaidi ya kupata hernia ni wenye umri mkubwa, na wanaume wapo kwenye hatari zaidi kuliko wanawake.

✍🏻Hernia inaweza kujitokeza mtoto anapozaliwa au kwa watoto waliozaliwa na dosari kwenye kuta za matumbo yao.

✍🏻Vitu hivi ni pamoja na:
👉🏻Kujik**au kwa nguvu wakati wa haja kubwa kutokana na choo kuwa kigumu
👉🏻Kikoozi cha mara kwa mara
👉🏻Kuwa na tatizo la cystic fibrosis
👉🏻Kuvimba kwa tezi dume
👉🏻Unene wa kupindukia
👉🏻Kukojoa kwa shida
👉🏻Kunyanyua vitu vizito
👉🏻Maji tumboni
👉🏻Lishe duni
👉🏻uvutaji wa tumbaku
👉🏻Korodani zisizoshuka
👉🏻Uchovu wa mwili

*DALILI ZA HERNIA*

✍🏻Mara nyingi, hernia ni uvimbe unaoonekana usio na mauvimu na usiohitaji tiba ya haraka. Lakini wakati mwingine, inaweza kukukosesha raha na kuwa na maumivu, dalili zikiongezeka wakati umesimama au wakati unanyanyua vitu vizito.

✍🏻Dalili za Hernia ni:
👉🏻Maumivu
👉🏻Kus**ia kichefuchefu
👉🏻Kutapika

✍🏻Uvimbe wa hernia yenye dalili hizi mara nyingi ni mgumu na huleta maumivu na hauwezi kusukumwa urudi ndani ya tumbo nk

*TIBA YETU KWA WAGONJWA WA HERNIA*

✍🏻Hatufanyi upasuaji kwa mtu mwenye ngiri/Hernia ila hutumia dawa ambazo ni zina uwezo wa kuondoa tatizo kwa matumizi ya dawa kwa mda wa siku ( 7 )

Matumizi ya dawa

Asubuh na usiku tu, kutwa mara 2

Unachanganya ndani ya chai, Uji, maji ya moto.

Utaanza kupata matokeo mazur na ya kukushangaza baada ya siku 2

Dawa ni za miti shamba 💯 itokayo hapa Tanga Tanzania, Pia Haina kemikali za viwandani hata chembe 00% hivyo ni rafiki kwa Afya ya mtumiaji.

GHARAMA YA DAWA DOZI KAMILI

TZSH.85,000/-

Mfumo wa dawa ni unga unga na mizizi.

Dawa Ina nguvu na uwezo mkubwa sana wa kutibu na kuondoa kabisa tatizo la ugonjwa wa NGIRI ( HERNIA )

✍🏻 Tembelea Kurasa wetu kufahamu huduma zetu zaidi za tiba za dawa za miti shamba 💯.

TIBA YA MITI SHAMBA 💯 TUNATIBU UGONJWA WA KISUKARI;Hushusha mpaka   5.5  --- 6.5 ya sukari mwilini  na kurejesha afya ya...
17/04/2026

TIBA YA MITI SHAMBA 💯 TUNATIBU UGONJWA WA KISUKARI;

Hushusha mpaka 5.5 --- 6.5 ya sukari mwilini na kurejesha afya ya mwili
Huimarisha kongosho na kuifanya kubwa na uwezo was kutema insuline na kuondoka kiwango kikubwa cha sukari katika damu

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI

~ Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kus**ia kiu kila wakati.
~ Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
~ Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujis**ia mchovu kila wakati.
~ Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
~ Kus**ia njaa kila wakati na kula sana.
~ Wanawake kuwashwa ukeni.
~ Kutoona vizuri.
~ Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake na wanaume
~ Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.
~ Miguu kuoza na hata kupata
~ Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.
~ Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.
~ Majipu mwilini nk

Dawa inaitwa MWILO ;-

Ipo mfumo wa ungaunga na mizizi
DOZI kamili ni SIKU ( 14 )

Utaanza kupata matokeo baada ya SIKU 7

Gharama ya dozi kamili ni

Tsh.120,000/-

Pia tunatuma dawa mikoani kwa njia ya mabasi.

Zanzibar tunatuma dawa kwa njia ya ya Boti / meli

Ughaibuni pamoja na NCHI ninginezo za mbali zaidi tunatuma dawa kwa njia ya DHL.

MAWASILIANO;-

+255745998149, CALL / WHATSAAP

+255740631662 call only.

DR. HABIBUU A BAKARI

MAHALA TULIPO;-

CHUMBAGENI--- TANGA TANZANIA

TEMBELEA HUU KURASA WETU KUFAHAMU HUDUMA ZETU ZAIDI ZA TIBA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA 💯.

SHARE & LIKE.

17/04/2026
DAWA YA KUKOROMA USIKU              @@ BUREEE @@ KUROROMA usiku.Dalili za kukoroma wakati umelala.pua kuziba na mafua.CH...
15/04/2026

DAWA YA KUKOROMA USIKU

@@ BUREEE @@

KUROROMA usiku.Dalili za kukoroma wakati umelala.

pua kuziba na mafua.
CHANZO ni baridi,kuvuta sigara,unene na kupumua.k**a ni mnene unatakiwa kula chakula cha uwiano mzuri.fruti,maji ya kutosha na kujitahidi kufanya mazowezi na kula vyakula visivyokuletea matatizo ya unene.

Tiba ya kukoroma na mishipa iliyosongamana na viungo kuuma.unachukua s**i ya apple iwe sawasawa kipimo cha kikombe,unachukua tembe 8 za kitunguu thaumu unasaga unachanganya kisha unachukua kikombe cha maji ya vugu vugu unachota kijiko kimmoja kikubwa cha chakula cha mchanganyiko wa s**i na vitunguu thoum. unakoroga unakunywa kutwa X2 siku 5,6, hadi 7 Apple cider vinegar ndio s**i ya apple yaptikna supermarket

# Pia tunayo dawa ya miti shamba 💯 iliyoandaliwa tayari.

Dozi kamili sh.45,000-

Piga simu:-

+255745998149, call & Whatsap

+255740631662, call only.

Dr Habibu A Bakari

TUPO;-

CHUMBAGENI TANGA TANZANIA.

TEMBELEA KURASA WETU KUFAHAMU HUDUMA ZETU ZAIDI ZA TIBA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA 💯.

TUNATIBU NA KUPONYA KWA TIBA MBADALA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA.K**A IFUATAVYO;--Kisukari kuwa 5.5 Mwisho 6.5-Vidonda vya tu...
13/04/2026

TUNATIBU NA KUPONYA KWA TIBA MBADALA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA.

K**A IFUATAVYO;-

-Kisukari kuwa 5.5 Mwisho 6.5

-Vidonda vya tumbo kawaida na sugu.

-BP za kupanda na kushuka na matatizo ya moyo (heart attack,

-Tezi dume (prostate grand/epididymis) na matezi mengine

-Ngiri (Hernia) sugu na kawaida

-Kutokwa mgongo (re**al prolapse)

-Kusafisha kizazi na kuondoa sumu ya uzazi wa mpango

-PID sugu, Fangasi sugu, UTI sugu

-Vimbe kwenye kizazi k**a Fibroids,

ovarian cysts,,

Endometriosis (vimbe za nje ya kizazi),

matezi na vimbe za kujaa maji mwilini (Oedema)

-Chango la aina yeyote

-Kuzibua mirija (oviduct)

-Hormone imbalance

kuanza barehe kwa aliyechelewa; -Kukata bleed iliyokithiri

-Kukaza kizazi kilichoregea (cervix prolapse)
kisiporomoshe mimba

-kupata mapacha yaani zinazopevusha mayai zaidi ya moja Kwa wakati mmoja

-Kuvuja damu puani

-Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume

wanawake; k**a kukosa hisia,

mbegu dhaifu. Anatibiwa kabisa na kurejea uasili na sio kubusti

-Kuumwa maungio k**a mgongo, kiuno na magoti

-Kufa ganzi, neva au neurones (Parkinson's disease)

-Kutibu meno bila kung'oa

-Homa za tumbo sugu (taifodi, malaria na amiba na minyoo sugu)

--Matatizo ya ngozi na vitiligo

-Asthma ( Pumu ) na kupumua kwa shida

-uzazi wa mpango kwa dawa za miti shamba
- vinyama ukeni ( vikanga )
-
-Kuondoa sumu ya uzazi wa mpango na sumu za madawa mbalimbali mwilini

-Bawasiri (

Hernia)

-Kichomi
(pneumonia)

-Magonjwa ya zinaa

-Uoni hafifu

-Kifafa

-Kuacha kukojoa kitandani

-Matatizo ya ini, figo, bandama, kongosho na mapafu

-Mas**io kuuma au kutoa usaha

-Dedege Kwa watoto na wakubwa

-Kuongeza maziwa kwa wanyonyeshao

-Kuondoa uzee usio wa wakati wake yaani uzee wa mapema

-Kuacha ulevi wa pombe, sigara na kunywa soda kwa sana

-Tumbo kujaa gesi na kukosa hamu ya kula

-Kifua sugu

-Autoimmune disease au myasthenic gravis

-Kikohozi sugu mithiri ya CORONA

-Sunzua (sundosundo)

-Tonsils

-Kukosa usingizi (insomnia)

-Stress

-Aleji

-Anemia (upungufu wa damu)

-Kusinyaa kwa mishapa ya damu

-Maumivu ya tumbo kwa watoto (colic)
- Kurefusha na kunenepesha uume
-Kuacha kula udongo (Adiction to soil)
Na mengineyo

hatuwezi kuandika yote hapa, mengine ya Siri.

Tunatuma dawa mikoa yote pamoja na miji ya NAIROBI, Kampala, Kigali, Mombasa, Bujumbura, na nchi za karibu kwa njia ya mabasi.

Zanzibar tunatuma kwa njia ya boti / meli

Ughaibuni na nchi za Arabuni tunatuma dawa kwa DHL

GHARAMA ZA KUTUMA DAWA NI ZA WATEJA.
TUNATUMA DAWA KWA UAMINIFU MKUBWA, ZINGATIA HILO.

PIGA SIMU;-

+255745998149, call ,& whatsaap

+255740631662, call, sms only.

DR Habibu A Bakari

Tupo:-

Chumbageni Area
Tanga Mjini
Tanzania

Tiba ya asili ya wanawake kutokwa vinyama ukeni hii hapa+255745998149 call & whatsaap +255740631662, call onlyDr, Habibu...
11/04/2026

Tiba ya asili ya wanawake kutokwa vinyama ukeni hii hapa

+255745998149 call & whatsaap

+255740631662, call only

Dr, Habibu A Bakari

Tanga Town

Tanzania

FAHAMU MADHARA NAATHARI ZA KUNYONYA UKE AU UUMEHutokea pale mwanamkeanapoweka uume wamwenza wake mdomonimwake na kuanza ...
20/03/2026

FAHAMU MADHARA NA
ATHARI ZA KUNYONYA UKE AU UUME

Hutokea pale mwanamke
anapoweka uume wa
mwenza wake mdomoni
mwake na kuanza kunyonya
k**a p**i au mwanaume
kuingiza ulimi ukeni pamoja
na kunyonya via vya
mwanamke pindi wapenzi
hawa wawapo faragha.
Kumekua na ongezeko la
kitendo hiki kwa vijana na
imekua k**a ni sehemu ya
mahaba kwa wapenzi hata
inafikia hatua mwanaume
ANAONA MKE/MPENZI WAKE
HAJUI MAHABA K**A
HAJAMNYONYA UUME AU
MWANAMKE KUONA HIVYO
ASIPONYONYWA YEYE.VILE
VILE KUNA WANAWAKE
WANAONA KUFANYA
MAPENZI BILA KUNYONYA NI
USHAMBA.
Vyumbani mambo mengi
sana hutokea katika suala
zima la mapenzi, nitaenda
kusema kwa ufupi madhara
ya kunyonya.
KISONONO CHA KOO.
K**a unafanya hiki kitendo
halafu ukute mwanamke/
mwanaume ana magonjwa ya
zinaa k**a kisonono inakua
rahisi kwa mnyonyaji
kuambukizwa. Kumbukeni
k**a mwanamke ana
kisonono sio rahisi
kumgundua k**a ilivyo kwa
mwanaume. TUWENI MAKINI.
SARATANI YA KOO.
Hii hasa huwapata wanawake
ambao hupenda kunyonya
uume wanaume wengi na
hivyo kuwaweka katika hatari
ya kuambukiwa vimelea
wanaosababisha saratani
hiyo mfano HPV.
KUBADILISHANA VIJIDUDU
(BACTERIA).
K**a wote tunavofahamu ya
kwamba kwenye miili yetu
kuna vijidudu (bacteria)
Rafiki (normal flora); sasa
hao bacteria wakiingia
sehemu ambayo sio yake
huleta madhara kwani
wameingia eneo ambalo
hawajazoea, wataingia
sehemu mpya kwa
kuwanyonya kutoka kwa
mwanamke au mwanaume.
Hii inaweza isilete madhara
mapema lakini uendeleaji wa
kunyonya nyonya wanaume
au wanawake wengi mara
kwa mara hupelekea kupata
madhara mengi na mengine
ni magumu kutibu.
Kupata Maambukizi ya HIV.
Kupata madonda mdomoni.
Kujiweka katika hatari ya
kupata saratani za mdomo,
ulimi na .........! Inaendelea
tembelea kurasa wetu huu.
# Pia tunatibu kwa tiba
mbadala za dawa za miti
shamba matatizo mbalimbali
ya kiafya sugu na ya
kawaida...... Inaendelea tembelea kurasa wetu.

Tipigie simu-

+25745998149 ,call & whatsaap

*255740631662 call only

Dr Habibu A Bakari.

&

Abdallah Juma Mbwambo.

TUPO--- TANGA TANZANIA

TEMBELEA KURASA WETU KUFAHAMU HUDUMA ZETU ZAIDI ZA TIBA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA 💯 HAPA TANGA TANZANIA

DALILI 𝐍A SABABU ZA UGONJWA WA BAWASILI  ---  HEMORRHOIDSBawasili au hemorrhoids ni ugonjwa ambao unatokea pale ambapo m...
19/03/2026

DALILI 𝐍A SABABU ZA UGONJWA WA BAWASILI --- HEMORRHOIDS

Bawasili au hemorrhoids ni ugonjwa ambao unatokea pale ambapo mishipa ya damu( veins) inapotanuka na kujaa damu na kufanya mtu kuota vinyama kwenye sehemu ya haja kubwa.

Bawasili ipo ya aina mbili: kuna bawasili ya ndani na bawasili ya nje. Bawasili ya ndani vinyama huota kwa sehemu ya ndani ya haja kubwa na kwa bawasili ya nje vinyama huwa vinaota kwenye sehemu ya nje ya njia ya haja kubwa.

SABABU ZA BAWASILI :
1. Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu
2. Kunyanyua vitu vizito
3. Kukaa kwa muda mrefu
4. Kuharisha sana
5. Uzito mkubwa kupita kiasi
6. Umri mkubwa
7. Ujauzito
8, Kufanya mapenzi kinyume na maumbile wanaume na wanawake nk

DALILI ZA BAWASILI:

1. Kutoka damu sehemu ya haja kubwa
2. Kupata maumivu sehemu ya haja kubwa
3. Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
4. Kupata muwasho sehemu ya haja kubwa. nk

Tunayo dawa inaitwa FARAJA Ina uwezo mkubwa sana wa kutibu na kuondoa tatizo la BAWASIRI Ndani ya siku 7, Utaanza kupata matokeo mazuri na ya kukushangaza baada ya siku 3.

Dawa ni ya miti shamba 100% iitokayo hapa Tanga Tanzania, Haina kemikali za viwandani hata chembe hivyo ni rafiki kwa Afya ya mtumiaji,

Gharama ya dawa dozi kamili ni

Tzsh.120,000/-

Dawa ni kupaka na kunywa.

Wateja wa mikoani na nchi za jirani tunatuma dawa kwa njia ya mabasi

Wateja wa Zanzibar tunatuma kwa njia ya boti, meli ya kampuni ya Zan Ferry. nk

Wateja waliopo mbali zaidi ya Tanzania tunatuma dawa kwa DHL

Gharama za usafirishaji ni za wateja husika.

Nipigie simu.

*255745998149 call and whatsaap

*255740631662. Call only

Dr, Habibu A Bakari

Chumbageni Area

Tanga mjini

Tanzania.

Address

Chumbageni Area
Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania:

Share