Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania

Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania TIBA za dawa za miti shamba οΏ½ Tanga Tanzania. +255745998149,call & whatsaap Dr Habibu A Bakari.

02/08/2025
π—§π—œπ—•π—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π——π—¨π— π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—‘π——π—”π—‘π—œ 𝗑𝗔 π—‘π—π—˜) πŸ‘‡π—•π—”π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦/π—£π—œπ—Ÿπ—˜)πŸ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa m...
18/07/2025

π—§π—œπ—•π—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π——π—¨π— π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—‘π——π—”π—‘π—œ 𝗑𝗔 π—‘π—π—˜) πŸ‘‡

𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦/π—£π—œπ—Ÿπ—˜)
πŸ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

𝗖𝗛𝗔𝗑𝗭𝗒 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
βœ“ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
βœ“ Tatizo sugu la kuharisha
βœ“ Ujauzito
βœ“ Uzito wa mwili kupita kiasi
βœ“ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
βœ“ Kupata Choo Kigumu
βœ“ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
βœ“ Kunywa pombe
βœ“ Kula sana nyama nyekundu
βœ“ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
βœ“ Ngiri (Chango/Hernia)
βœ“ Kula sana pilipili
βœ“ Kunyanyua vitu vizito

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa nk.

Tunayo dawa ya miti shamba πŸ’―
Inaitwa " FARAJA " Ina uwezo mkubwa wa kitibu na kuondoa kabisa tatizo la BAWASIRI ndani ya siku 7

GHARAMA YA DAWA YA FARAJA

DOZI KAMILI NI TZSH. 120, 000/-

TUNATUMA DAWA KWA WATEJA WA MIKOANI KWA NJIA YA MABASI.

WATEJA WALIOPO ZANZIBAR TUNATUMA DAWA KWA NJIA YA BOTI/MELI

WATEJA WALIOPO UGHAIBUNI NA ARABUNI NA KWENGINEKO WATATUMIWA DAWA KWA NJIA YA DHL.

NIPIGIE SIMU!-

+255745998149, CALL &. WHATSAP

DR. HABIBU A BAKARI

MAHALI TULIPO;-

CHUMBAGENI TANGA TANZANIA.

TEMBELEA KURASA WETU KUFAHAMU HUDUMA ZETU ZAIDI ZA TIBA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA πŸ’―.

FAHAMU BAADHI MADHARA NA ATHARIZA KUJICHUA ( PUNYETO ). # KINGA, TIBA, JINSI YA KUWACHA.PUNYETO, ni tabia ambayo mwanamk...
14/07/2025

FAHAMU BAADHI MADHARA NA ATHARI
ZA KUJICHUA ( PUNYETO ).

# KINGA, TIBA, JINSI YA KUWACHA.

PUNYETO,
ni tabia ambayo mwanamke au
mwanaume anajichua sehemu za siri ili
kufika kileleni, mara nyingi kitendo hiki
hufanyika na muhusika akiwa peke yake
chumbani au bafuni.
Wahanga wengi wa tabia hii ni wanaume
kwani huanza katika umri mdogo sana
kwasababu ya uoga wa kufuata wasichana
na kuangalia video za ngono ambazo
huwasukuma kufanya vitendo hivi..
Lakini punyeto huambatana na madhara
makubwa ya kijamii na kiafya.
BAADHI YA MADHARA NA ATHARI ZA
KUJICHUA ( PUNYETO )

# ; Punyeto humfanya mtu awe
mlegevu bila kua na nguvu kabisa mda
wote kwani nguvu nyingi sana hutumika
kwenye tendo hilo la kujichua.
# ; Ni moja ya chanzo kikuu cha
kupoteza nguvu za kiume kwasababu ya
kuharibu mishipa iliyomo ktk mfumo wa
uume wakati mhusika
anapojichua kwa kutumia nguvu.
# ; Punyeto hupunguza idadi ya mbegu
za kiume ( low s***m count ) hivyo ni
mbaya zaidi na hatari kwa wapenzi
wanaokusudia kupata familia.
# ; Husababisha mtu kusahau sana na
kushindwa kufanya vitu kwa makini.
# ; Husababisha mtu awe mchovu mda
mwingi zaidi
na kusinzia hovyo kila anapomaliza
kujichua.
# ; Husababisha mwanaume kutoa
mbegu haraka kipindi cha tendo la ndo na
kushindwa kumfikisha mwanamke
kileleni ( pre mature ej*******on )
# ; Husababisha msongo wa
mawazo kwani kila ukimaliza tendo hilo
unajuta sana na kuapa kwamba hutarudia
kujichua kabisa.
# ; Hukuletea utumwa wa kifikra kwani
ukishaanza huwezi kuacha kirahisi
# ; Kujichua ( Punyeto ) husababisha
mwanaume au
mwanamke kukosa hamu kabisa na
mwenza wake hivyo kuleta usumbufu na
kutoelewana
kwenye ndoa au kwa wapenzi.
# ; Kujichua ( Punyeto ) ni chanzo kikubwa
sana cha ngono
za jinsia moja shuleni , magerezani, vyuoni
nk. ambazo
huambukiza magonjwa ya zinaa pamoja na
ukimwi nk.

FAHAMU BAADHI YA NJIA ZA KUFANYA
KUACHA KUJICHUA ( PUNYETO );-

Punyeto k**a nilivyokueleza hapo juu ni
tatizo la tabia na linaweza kudhibitika
k**a matatizo mengine yeyote;-

CHUKUA HATUA;-

# ; Wacha kabisa kuangalia video
zinazohusiana na ngono,
video hizi ndio chanzo kikubwa sana cha
kujichua.
kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi
kwenye ubongo na kila picha unayoiona
utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha
kuziangalia tu ndio ahueni yako.
Weka mipango ya kuzuia kupiga punyeto
wakati wa kuoga: bafuni ndio sehemu
ambayo inatumika sana na watu wengi
kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na
mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga
haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi
ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa
kupiga punyeto.

# ; Epuka kukaa nyumbani peke yako;
mara
nyingi kukaa peke yako kunakufanya
ushawishike kufanya tendo hilo, hebu
ondoka na ujichanganye na watu wengine
au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea
mambo mengine.
β€’ Fikiria kuhusu madhara yake: kila
aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara
mabayo ameshayapata hasa madogo
madogo k**a uchovu mkubwa, kuumwa
kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo
wa kuendelea kutopiga punyeto.
# ; wacha kusema eti hii punyeto ni ya
mwisho: siku zote wapiga punyeto wana
akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga
halafu sirudii tena. Hicho kitu hakipo,
kwani
kesho yake utasema ivoivo, k**a unaacha
acha mara moja na chukua au fanya
maamuzi maguzi magumu alaah kwani
umefunga ndoa na viganja vya mikono
yako??!!
# ; Tafuta mpenzi k**a huna kabisa:
ukiwa
na mpenzi madhara ya punyeto k**a
kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya
uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika
siku moja pale uume utakaposhindwa
kusimama kabisa mkiwa chumbani
na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la
ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia
unaweza kumshirkisha mwenzi wako
tatizo lako ili akusaidie kuacha.
# ; Anza mazoezi na jishughulishe na
mambo mengine:hii itakufanya ue bize na
mambo mengine na utumie mda wako
mwingi huko, pia mazoezi ya jioni
yatakufanya uchoke na kushindwa kufikiria
kupiga punyeto wakati wa kwenda
kujipumzisha kitandani..........!!
Hii mada itaendelea sehemu ya pili Kwenye kurasa wetu.......!!!!!

# KUHUSU TIBA #

Tunatibu kwa kutumia tiba mbadala ( tiba
za miti shamba )
Dawa inaitwa " MKOMBOZI-2" ina nguvu
na uwezo mkubwa sana wa kutibu na
kuondoa madhara na athari zote
zilizotokana na kujichua ( punyeto )
Dawa hii ni mchanganyiko wa mizizi ya
miti dawa ( 7 ) ipo katika mfumo wa unga
unga na mizizi.
Dawa hizi hazijachanganywa wala
kuongezewa chochote.

Pia hazina kemikali za viwandani hata
chembe hivyo Ni rafiki kwa Afya ya mtumiaji.

# BAADHI YA KAZI #

INAYOFANYWA NA
DAWA YA MKOMBOZI-2 ;-

DOZI KAMILI NI TZSH.90,000/-

* Hitibu na kurekebisha hitilafu zote ndani
ya mishipa ya uume hivyo hupelekea
uume usimame bara bara wakati wa
tendo la ndoa.

* Huurudisha nje uume uliosinyaa au
kurudi ndani na kuwa mfupi sababu ya
punyeto.

* Huondoa hali ya kuwahi kufika kileleni
haraka zaidi.

* Huongeza wingi wa mbegu za kiume

* Hukufanya uwe na uwezo wa kurudia
tendo la ndoa zaidi ya mara moja bila
kuchoka

* Hukupa hamu ya tendo la ndoa ( Ashki au nyege )

uwapo na mwenzi wako

* Huzuia mbegu kutoka bila matarajio,
uwapo chooni wakati ukijisaidia haja
kubwa au ndogo.

* Hutibu korodani iliyovimba au kuzama
ndani.

* Hurudisha nje uume uliosinyaa au kurudi ndani na kuwa mfupi mithili wa mtoto mdogo.

Dawa ya mkombozi- NO;-2 dozi kamili ni siku
( 7 ).

Utaanza kupata matokeo na mabadiliko
mazuri baada ya siku ( 2 ) tokea uanze
Kutumia dawa.

Wateja waliopo nje ya jiji la Tanga, pamoja na miji ya NAIROBI, MOMBASA, KAMPALA, BUJUMBURA, KAMPALA, KIGALI, NA NCHI ZA SOUTH AFRICA, NAMIBIA, BOSWANA, LESOTHO, MALAWI, ZAMBIA, ZIMBABWE NK.
watatumiwa dawa kwa njia ya mabasi kwa
gharama zao wenyewe.

Wateja waliopo Zanzibar, watatumiwa
dawa kwa njia ya boti / meli, ya kampuni
ya Azam marine, kwa gharama zao.

Wateja waliopo UGHAIBUNI na nchi za ARAB, Watatumiwa dawa kwa njia ya DHL, MMS, POSTAL.

TIBA NA USHAURI;-

NIPIGIE SIMU;-

+255745998149, CALL / WHATSAAP.

DR HABIBU A BAKARI

&

DR ABDALLAH J MBWAMBO.

MAHALI TULIPO;-

CHUMBAGENI AREA

TANGA MJINI TANZANIA.

Tembelea kurasa wetu kila siku kufahamu huduma zetu zaidi za tiba mbadala za dawa za miti shamba πŸ’― kwa magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki- Afya.
Tafadhali sambaza na kwa wengine ili wafaidike na elimu hii.
Share / Like.

Karibuni sana.

@@ BUREEE @@Sababu zinazoweza kupelekea mwanamke kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa ni nyingi lakini kwa ujumla karibu...
14/07/2025

@@ BUREEE @@

Sababu zinazoweza kupelekea mwanamke kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa ni nyingi lakini kwa ujumla karibu zote tunaweza kuzigawanya katika makundi manne:

1. Mahusiano Baina Ya Mwanamke Na Mwanamme Kwa wanawake walio wengi ukaribu wa kihisia ndicho kitu cha kwanza katika kujenga mapenzi kati yake na mwanamme. Hivyo, mahusiano mabovu yaweza kuwa ndicho chanzo cha kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke. Mwanamke atakosa hamu ya kufanya mapenzi endapo hakutokuwa na mawasiliano baina yake na mumewe, kutakuwa na migogoro kati yake na mumewe isiyokwisha, kutakuwa na ukosefu wa mawasiliano kuhusu mahitaji yake ya kufanya mapenzi na jinsi ambavyo yeye angependa kufanyiwa kimapenzi na k**a atahisi kuna ukosefu wa uaminifu katika ndoa au mahusiano yao.

2. Matatizo Katika Maisha Yako Matatizo mbalimbali katika maisha ya mwanamke humsababishia kukosa hamu ya kufanya mapenzi. Baadhi ya matatizo ambayo huweza kusababisha mwanamke kukosa hamu ya kufanya mapenzi ni pamoja na magonjwa, mabadiliko katika mwili wake na hata matumizi ya baadhi ya madawa:

Matatizo Katika Kufanya Tendo La ndoa. K**a mwanamke anapata maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa au k**a mwanamke anakosa kufika kileleni, hali hii inaweza kusababisha akakosa kabisa hamu ya kufanya mapenzi.

Matatizo ya afya. Magonjwa mengi husababisha mwanamke akose hamu ya kufanya tendo la ndoa. Baadhi ya magonjwa ni maumivu ya viungo vya mifupa (arthritis), kansa, ugonjwa wa kisukari, high blood pressure, matatizo katika mishipa ya damu ya arteri na matatizo ya akili.

Matumizi ya madawa. Baadhi ya madawa yakitumiwa, huondoa kabisa hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanamke. Mfano wa dawa hizo ni madawa ya kukabiliana na msongo wa mawazo.

Mtindo wa maisha. Matumizi ya pombe kuzidi kiwango, uvutaji wa sigara na madawa ya kulevya huathiri hamu ya kufanya mapenzi.

Upasuaji. Upasuaji uliofanyika katika maeneo ya maziwa au katika maeneno ya viungo vya uzazi humbadilishia mwanamke mwonekano wake, huathiri ufanyaji kazi wa viungo hivyo na mwisho kuathiri hamu yake ya kufanya mapenzi.

Uchovu. Uchovu unaotokana na kulea watoto wadogo au vikongwe huweza kuathiri hamu ya mwanamke ya kufanya mapenzi.

3. Mabadiliko Katika Mfumo Wa Homoni. Kukoma Hedhi.Mabadilko ya viwango vya homoni katika mwili wa mwanamke yanaweza kusababisha kukosa hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanamke. Kupungua kwa Estrogen katika mwili wa mwanamke katika kipindi cha kuelekea kukoma hedhi kunaweza kusababisha ukosefu wa hamu ya kufanya mapenzi. Upungufu wa homoni hiyo husababisha uyabisi wa wa viungo vya sehemu nyeti na kusababisha maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Mwanamke pia huweza kuwa na upungufu wa homoni ya testosterone, homoni ambayo husaidia kuongeza hamu ya kufanya mapenzi kwa wanaume na wanawake, hivyo mwanamke huyo akapungukiwa na hamu ya kufanya mapenzi.

Pamoja na kuwa wanawake wengi huendelea kupata hamu ya kufanya mapenzi baada ya kukoma hedhi, baadhi kupungukiwa na hamu hiyo baada ya mabadiliko haya ya viwango vya homoni katika miili yao.

Ujauzito na kunyonyesha. Mabadiliko katika mfumo wa homoni wakati wa ujauzito, baada ya kujifungua na wakati wa kunyonyesha huweza kusababisha mwanamke kukos hamu ya kufanya tendo la ndoa.

4. Matatizo Ya Kisaikolojia Matatizo ya kisaikolojia yana mchango katika kumfanya mwanamke akose hamu ya kufanya tendo la ndoa. Baadhi ya mtatatizo hayo ni:

Waswasi na kuwa na msongo wa mawazo
Kuwa na mawazo mengi kuhusu matatizo ya kifedha au kikazi
Kuhisi kutothaminiwa katika jamii
Kuwa na historia ya kunyanyaswa kimwili au kijinsia k**a kupigwa au kubakwa
Kuwa na historia mbaya ya kimapenzi



kukosa hamu ya mapenzi


Njia Za Kuondoa Tatizo La Kukosa Hamu Ya kufanya Tendo La Ndoa



Hakuna dawa ya moja kwa moja toka hospitalini kwa sasa hivi kwa ajili ya kuondoa tatizo hili, hata hivyo wanawake wengi wanaweza kurudi kwenye hali zao za kawaida kwa kushirikiana na waume zao waelewa. Jaribu kufanya mambo tuliyoyadokeza katika mada yetu ya β€œMwanamme Kukosa hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa” ukisaidiana na mumeo. Unahitaji kuchunguza taratibu na kwa kina chanzo cha tatizo lako, na taratibu lifanyie kazi kwa msaada wa mume wako.

Katika nchi zilizoendelea, kila siku wamekuwa wakija na dawa na vifaa vipya vya kuondoa tatizo hili na vingi bado ni vya bei kubwa na/au vinapatikana kwa shida. Vipo ambavyo vimeonyesha mafanikio makubwa, mifano ya vitu hivyo ni Suction Vi*****rs, Desire Creams na Er****on Drugs.

Unaweza kupata mafanikio makubwa (wasomaji wangu wengi wamefanikiwa na kunishukuru) kwa kutumia chakula kinachosaidia kuongeza hamu au kwa kutengeneza na kutumia vi**ra asilia. Hivi nimevielezea hapa chini. K**a hivi bado havijakusaidia, nashauri utumie virutubisho vya mwili ambavyo husamabazwa na makampuni mbalimbali. Vipo vinavyofanya kazi kwa haraka na kutibu kabisa tatizo hili. Endapo umepata tatizo kutambua virutubisho vizuri vya kutumia, wasiliana nasi kwa kutumia njia yo yote iliyo rahisi kwako kati ya hizi nilizoziorodhesha chini ya ukurasa huu.
Chakula Cha Kuongeza Hamu Ya Mapenzi



Utafiti umeonyesha pasi shaka kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya chakula tunachokula na afya ya viungo vya uzazi. Baadhi ya chakula na virutubisho vimehusishwa na hamu ya kufanya mapenzi (nyege). Vitubisho ndani ya chakula ambavyo vinasaidia hali hiyo ni antioxidants, vitamin C, vitamin E, potassium na zinc. Kirutubisho cha zinc kinaongeza mbegu kwa mwanamme (s***m count) hivyo humsaidia kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa. Chakula cho chote chenye virutubisho hivi vikiliwa humfanya mlaji asikie hamu ya kufanya mapenzi au kwa maneno ya mtaani, chakula hiki kinasaidia kuongeza nyege. Baadhi ya chakula cha kuongeza nyege ni:

Tikitimaji-Hili linachukuliwa kuwa ndilo tunda bora katika kuboresha afya ya mapenzi. Tunda hili lina asilimia 92 ya maji na asilimia 8 zinazobakia zina phytonutrient citrulline ambayo hugeuzwa kuwa arginine. Arginine ni amino acid ambayo hufanya mishipa ya damu kuwa kwenye hali ya ubora wake na kusadia damu kupita vizuri zaidi. Tikitimaji kwa hiyo husaidia damu ifike kwa kiwango kizuri zaidi kwenye sehemu ambazo hutakiwa kutanuka wakati mtu akipata hisia za kufanya tendo la ndoa ambazo ni viungo vya ndani ya kisimi cha mwanamke na ndani ya uume wa mwanamme ..........! Inaendelea tembelea Kurasa wetu huu

+255745998149, call, sms, Whatsap

Dr Habibu A Bakari

TUPO;-

CHUMBAGENI AREA

TANGA TANZANIA

TEMBELEA KURASA WETU HUU KUFAHAMU HUDUMA ZETU ZAIDI ZA TIBA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA πŸ’― TOKA TANZANIA PIA HAZINA KEMIKALI ZA VIWANDANI HATA CHEMBE NA HAZIJONGEZWA WALA KUCHANGANYWA NA CHOCHOTE NDANI YAKE.

π—§π—œπ—•π—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π——π—¨π— π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—‘π——π—”π—‘π—œ 𝗑𝗔 π—‘π—π—˜) πŸ‘‡π—•π—”π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦/π—£π—œπ—Ÿπ—˜)πŸ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa m...
09/07/2025

π—§π—œπ—•π—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π——π—¨π— π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—‘π——π—”π—‘π—œ 𝗑𝗔 π—‘π—π—˜) πŸ‘‡

𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦/π—£π—œπ—Ÿπ—˜)
πŸ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

𝗖𝗛𝗔𝗑𝗭𝗒 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
βœ“ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
βœ“ Tatizo sugu la kuharisha
βœ“ Ujauzito
βœ“ Uzito wa mwili kupita kiasi
βœ“ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
βœ“ Kupata Choo Kigumu
βœ“ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
βœ“ Kunywa pombe
βœ“ Kula sana nyama nyekundu
βœ“ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
βœ“ Ngiri (Chango/Hernia)
βœ“ Kula sana pilipili
βœ“ Kunyanyua vitu vizito

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa nk.

Tunayo dawa ya miti shamba πŸ’―
Inaitwa " FARAJA " Ina uwezo mkubwa wa kitibu na kuondoa kabisa tatizo la BAWASIRI ndani ya siku 7

GHARAMA YA DAWA YA FARAJA

DOZI KAMILI NI TZSH. 120, 000/-

TUNATUMA DAWA KWA WATEJA WA MIKOANI KWA NJIA YA MABASI.

WATEJA WALIOPO ZANZIBAR TUNATUMA DAWA KWA NJIA YA BOTI/MELI

WATEJA WALIOPO UGHAIBUNI NA ARABUNI NA KWENGINEKO WATATUMIWA DAWA KWA NJIA YA DHL.

NIPIGIE SIMU!-

+255745998149, CALL &. WHATSAP

DR. HABIBU A BAKARI

MAHALI TULIPO;-

CHUMBAGENI TANGA TANZANIA.

TEMBELEA KURASA WETU KUFAHAMU HUDUMA ZETU ZAIDI ZA TIBA ZA DAWA ZA MITI SHAMBA πŸ’―.

FAHAMU SIKU ZA KUPATA UJAUZITOKUTOKANA NAMZUNGUKO WAKO;-1. K**a mwanamke ana mzunguko wasiku 22 inabidi afanye k**a ifua...
09/07/2025

FAHAMU SIKU ZA KUPATA UJAUZITO
KUTOKANA NA
MZUNGUKO WAKO;-
1. K**a mwanamke ana mzunguko wa
siku 22 inabidi afanye k**a ifuatavo:
Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake
mwenyewe ya siku zake zote za
menstration cycle k**a hapa chini:
1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th,
10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th,
17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd.
Kisha ahesabu kuanzia ile 22nd day kurudi
nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona
kuwa siku ya kumi na tano inaangukia
kwenye 8th day ya kalenda yake. Hivo
8th day ndiyo siku ya mimba kwa
mwanamke yeyote ambaye ana
menstration cycle ya siku 22.
Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku
anayoanza ku-bleed!
2. K**a mwanamke ana mzunguko wa
siku 28 inabidi afanye k**a ifuatavo:
Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake
mwenyewe ya siku zake zote za
mzunguko k**a hapa chini:
1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th,
10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th,
17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd,
24th, 25th, 26th, 27th, 28th.
Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi
nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona
kuwa siku ya kumi na tano inaangukia
kwenye 14th day. Inamaana kwamba
14th day ndiyo siku ya mimba kwa
mwanamke yeyote ambaye ana
menstration cycle ya siku 28.
Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku
anayoanza ku-bleed!
3. K**a mwanamke ana mzunguko wa
siku 35 inabidi afanye k**a ifuatavo:
Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake
mwenyewe ya siku zake zote za
mzunguko k**a hapa chini:
1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th,
10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th,
17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd,
24th, 25th, 26th, 27th, 28th, 29th, 30th,
31st, 32nd, 33rd, 34th, 35th.
Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi
nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona
kuwa siku ya kumi na tano inaangukia
kwenye 21st day. Inamaana kwamba 21st
day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke
yeyote ambaye ana menstration cycle ya
siku 35. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo
siku anayoanza ku-bleed!
4. K**a mwanamke ana mzunguko wa
siku 15,BASI KUNA UWEZEKANO WA
KUTOPATA MIMBA KABISA K**A
INAVYOONEKANA HAPA CHINI:
Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake
mwenyewe ya siku zake zote za
menstration cycle k**a kawaida:
1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th,
10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th.
Kisha ahesabu kuanzia ile 15th day kurudi
nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona
kuwa siku ya kumi na tano inaangukia
kwenye 1st day. Inamaana kwamba, the
1st day of her bleedind ndiyo siku ya
mimba kwa mwanamke yeyote ambaye
ana menstration cycle ya siku 15.
Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku
anayoanza ku-bleed, na ndiyo hiyo hiyo
siku ambayo mwanamke wa kundi hili
anaweza kupata mimba!
Hii inamaana kwamba, siku ambayo
linaharibika lile yai la upande mmoja ndiyo
siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa
pili linapevuka tayari kwa kurutubishwa.
Mwanamke wa aina hii anaweza kupata
mimba tu k**a atakutana na mwanaume
siku ile anayoanza kubleed, kwani siku
ambayo yai moja linaanza kuharibika ndio
siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa
pili linakuwa tayari kurutubishwa![LAKINI
TUKUMBUKE KUFANYA MAPENZI NA
MWANAMKE ANAYEBLEED NI HARAMU]
Na wanawake wa kundi hili la nne
ukiwauliza vizuri watakiri kwamba
hawajawahi kuona au ku-feel ule ute
mweupe ambao wenzao huwa wanaupata
siku ile yai linapokuwa tayari kwa
kurutubishwa, kwani ute wa wanawake
wa kundi hili la nne huwa
unachanganyikana na damu kwa vile
unatoka siku ile ile wanapoanza ku-bleed.
Pia wanawake wa kundi hili huwa
wanatokwa na kiasi kidogo sana cha
damu; na bleed hukatika ndani ya siku
moja au mbili tu!
Jambo la kushangaza ni kwamba,
wanawake wengi hawana knowledge ya
kutosha juu ya hili suala la siku ya mimba;
hasa wale ambao wana menstration cycle
inayobadilikabadilika! Wao husitukia tu
wameanza ku-bleed. Ndo maana
hawawezi hata ku-plan kutopata mimba!
Hawana ujanja kabisa ndio sababu wengi
wanatumia sindano na njia zingine nyingi
za artificial ambazo mwisho wa siku
huwaletea matatizo ya uzazi, kwani nyingi
hufunga njia ya uzazi! Nimeona wengi
wenye matatizo ya uzazi unaosababishwa
na hizi artificial family planning. Wengine
hulazimika kwenda hospital kuzibuliwa ili
wapate mimba jambo ambalo ni hatari
kwa afya zao!.....! itaendelea t

Tembelea huu Kurasa wetu

+255745998149, call and whatsaap

Dr. Habibu Bakari

Tembelea kurasa wetu kila mara
kufahamu huduma zetu zaidi za tiba mbadala za dawa za miti shamba πŸ’―

Share & Like

Tunatibumagonjwa yafuatayo kwa dawa za miti shamba πŸ’―, toka Hapa Tanga TanzaniaDawa zetu hazijachanganywa Wala kuongezewa...
09/07/2025

Tunatibumagonjwa yafuatayo kwa dawa za miti shamba πŸ’―, toka Hapa Tanga Tanzania
Dawa zetu hazijachanganywa Wala kuongezewa chochote Pia hazina kemikali za viwandani hata chembe 0%
βœ…Matatizo ya hedhi kwa wanawake & mtoto kuchelewa kutambaa au kutembea
βœ…Kutoshika mimba na Vinyama vidogo vidogo ukeni ( VIKANGA )
βœ… Kuboresha maumbile ya uume kurefusha na kunenepesha
βœ…Chango la uzazi
βœ…Vimbe aina zote
βœ…PID & UTI
βœ…Kuzibua mirija ya uzazi
βœ…Vidonda vya tumbo
βœ…Tezi dume
βœ… Ukosefu ama upungufu Nguvu za kiume
βœ…Bawasiri ( kutokwa KInyama sehemu ya haja kubwa )
βœ…Njia ya uzazi wa mpango kwa dawa za miti shamba
βœ…Matatizo ya mifupa
βœ…Ngiri, kisukari
βœ…Matatizo ya kibofu cha mkojo
βœ…Aleji ( mzio )
βœ…KUTOKWA vinyama ndani ya pua
βœ…Harufu mbaya mdomoni
βœ…Kutokwa vinyama ukeni ( vikanga )
βœ…Pumu & Kifua cha mda mrefu lakini sio TB
βœ…Miguu Kuwaka Moto
βœ… Wanaokojoa kitandani watoto na wakubwa.

Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa kisukari na pressure ambao wameoungukiwa kwa kiasi kikubwa cha Nguvu za kiume
βœ…Madhara na atharii za kujichua ( punyeto )
βœ… Ugonjwa wa kisukari
βœ…Hamu ya tendo la ndoa na mengineyo mengi.
# Wateja wa mikoani tunatuma dawa kwa njia ya mabasi pamoja na DHL AU POSTA nchi za KENYA,UGANDA, SOUTH AFRICA, ZAMBIA, MALAWI, BOTSWANA, NAMIBIA, NK
# Wateja wa Zanzibar watatumiwa kwenye boti / meli.

Wasiliana nasi;-

+255745998149, call / sms / whatsaap

DR. HABIBU BAKARI

TUPO;-

CHU,MBAGENI TANGA MJINI TANZANIA.

Tembelea kurasa wetu Kufahamu huduma zetu zaidi za tiba mbadala za dawa za miti shamba πŸ’―

Kwa matatizo mbalimbali yahusuyo Afya yako.

Share & Like.

Address

Chumbageni Area
Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jogoo Tiba za miti shamba Tanga Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram