11/01/2026
FAHAMU FAIDA ZA MWANI ( SEAMOSS )
KATIKA KUPAMBANA NA KUZUIA MAGONJWA MWILINI .HUU MMEA UNA SIRI KUBWA YA KUPAMBANA NA CHANZO CHA MAGONJWA NA KINGA , TIBA KATIKA MWILI WA MWANADAMU.
MMEA WA MWANI ( SEAMOSS ) MKAVU 1 KGM TZSH 20,000/-
UNGA UNGA TZSH. 25,,000/-
K**A UNA MAGONJWA YAFUATAYO AU K**A BADO HUJAUMWA UNAWEZA KUTUMIA K**A KINGA NA UTAISHI BILA HAYA MAGONJWA YAFUATAYO;-
1.CANCER
2.PRESSURE
3.ASTHMA
4.KISUKARI
5.TEZI DUME
6.MAGONJWA YA MOYO
7.MAGONJWA YA AKILI
8.lEUKEMIA-kansa ya seli nyeupe ya damu na uboho wa mifupa
9.MATATIZO YA KUVURUGIKA KWA HORMONES KWA WANAUME NA WANAWAKE
10.MAGONJWA YA TUMBO
12.MATATIZO YA MACHO
13.KIHARUSI/ KUPOOZA/STROKE
FAIDA ZAIDI ZA MWANI/SEAMOSS
1.Husaidia mmeng'enyo wa chakula
2.Chanzo cha madini mhimu katika mwili
3.Husaidia afya ya viungo na kuondoa uvimbe
4.Husaidia kupunguza uzito
5.Husaidia kutuliza AKILI
6.Husaidia kuimarisha afya ya ngozi na nywele
7.Husaidia kuzuia kansa
8.Huimarisha Kinga ya mwili
9.Husaidia kuzuia magonjwa ya moyo na pressure
10.Huzuia kufa ganzi mwilini
11.Huondoa sumu mwilini
12.Hupunguza msongo wa mawazo katika ubongo
13.Huongeza nguvu mwilini
14.Husaidia afya ya ubongo
15.Husaidia afya ya macho
16.Husaidia kupambana na kuzeeka (Anti-aging)
17.Huzuia magonjwa ya mfumo wa upumuaji k**a asthma
18.Hutibu vidonda na makovu
FAIDA ZA MWANI/SEAMOSS KATIKA NGOZI
Kutokana na mwani kuwa na kiwango kikubwa cha madini na vitamins yapatayo 92 kwa pamoja, mwani umekuwa msaada mkubwa katika afya ya ngozi na kusaidia yafuatayo.
1.Kuchelewesha kuzeeka kwa ngozi kwa kuondoa makunyanzi na kuipa ngozi vitamini na madini mhimu.
2.Kuondoa chunusi na kuondoa aina zote za uvimbe katika ngozi. Mwani una kiwango kizuri cha Sulfur ambayo inazuia uzalishaji wa sebum na kuondoa chunusi.
3.Kufanya ngozi kuwa nyororo, ya kung'aa na laini yenye afya.
4.Kuondoa uvimbe wa aina mbali mbali na mafuta mafuta katika ngozi.
5.Hutibu vidonda na michubuko katika ngozi.
6.Husaidia kuondoa makovu katika ngozi.
7.Hutibu upele, miwasho, harara, mapunye, majibu na kila aina za uvimbe katika ngozi.
8.Huondoa fangasi za miguuni, magaga na magamba magumu katika ngozi na miguu.
9.Huondoa makunyanzi katika ngozi na upele baada ya kunyoa.
10.Hutibu pumu ya ngozi na ya kawaida HATA sugu
*Kwa ubora wa seamos/mwani katika kutibu ngozi ikapewa jina la "Vegan-Collagen"*
FAIDA ZA SEAMOSS KWA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME
1.Inaongeza kiwango cha testosterone kwa kiasi kikubwa sana ambayo husaidia katika ukuaji mzuri wa misuli,inaongeza nguvu mwilini na kuongeza hamu ya tendo kwa kiasi kikubwa sana.Hii ni moja kati ya faida kubwa sana ya mwani kwa mwanaume
2.Inaongeza kiwango cha nguvu na kupambana na uchovu mwilini.Mwani una kiwango kikubwa sana cha madini ya Chuma mbayo husaidia kuongeza uimara/stamina kwa kusaidia kusafirisha oxygen vizuri katika seli za mwili na dhakari ya mwanaume na kufanya kuweza kuhimili tendo kwa kiwango kikubwa sana.
3.Huongeza utendaji mzuri wa kuhimili tendo kwa kiwango kikubwa.Mwani husaidia mzunguko wa damu mzuri katika uume kwa kuwa na kiwango kizuri cha madini ya Zinc,Vitamin D,Vitamin E na L-Arginine
4.Inasaidia kuzuia kuvimba kwa tezi dume.Mwani una madini mhimu ambayo yanasaidia kuzuia tezi dume kuvimba na kusababisha madhara ambayo yanaweza kuchangia kushusha uwezo wa kuhimili tendo.Ukitumia mwani mara kwa mara unakuepusha kabisa kupata hatari ya tezi dume.
5.Husaidia kupunguza mawazo na kuimarisha afya ya ubongo.Mwani una kiwango kikubwa cha madini ya Magnesium ambayo husaidia kutuliza mfumo wa neva na kusaidia utulivu wa ubongo ambayo husababishwa na mwani kuwa na kiwango kikubwa cha madini ya omega-3 na antioxidants.
FAIDA ZA SEAMOSS/MWANI KWA MWANAMKE
1.Husaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi
2.Huimarisha afya ya uzazi
3.Husaidia kuimarisha afya ya uzazi katika ujauzito na afya ya mtoto tumboni
4.Husaidia kuchelewesha ukomo wa hedhi (menopause)
5.Husaidia afya ya uzazi kwa kuongeza hamu ya tendo kwa kiasi kikubwa
6.Husaidia kuondoa uvimbe mwilini na uvimbe katika kizazi
7.Husaidia kuondoa harufu mbaya na uchafu katika uke
8.Husaidia kuweka kiwango sahihi cha ute ute katika uke
9.Husaidia kuimarisha misuli ya uke na kuzuia kulegea kwa misuli ya uke
10.Husaidia kuimarisha afya ya nywele na ngozi
Ukitumia vizuri mwani/seamoss k**a moja ya vyakula katika ratiba zako za mlo hamna ugonjwa wowote utaishi mwilini mwako.Mwani una madini mhimu 92 na mwili wa binadamu unahitaji madini mhimu 102,mwani una kiwango kikubwa cha madini kwa pamoja kuliko mmea wowote DUNIANI na ulianza kutumika kwa tiba toka Karne ya 18.
SIRI YA CHANZO CHA MAGONJWA NA KAZI YA MWANI/SEAMOSS KATIKA KUZUIA MAGONJWA
Katika tafiti za wakongwe wa tiba za asili wamebaini kuwa k**asi/mucus na asidi/acid mwilini ndio sababu kubwa ya mazingira ambayo husababisha vimelea vya magonjwa k**a virusi,bacteria nk kuishi na kusababisha magonjwa mbali mbali katika mwili.Moja kati ya kazi kubwa na mhimu ya mwani ni kuondoa hali ya uk**asi/mucus mwilini na kuondoa hali yoyote ya chanzo cha uvimbe ambavyo ndio sababu kubwa ya magonjwa.Mwanj una kiwango kikubwa cha madini ya Iodine ambayo husaidia kuondoa hali yoyote ya uk**asi ambayo hupelekea magonjwa mengi.Kiuhalisia ukiweza kuweka mwili wako uwe na kiwango sahihi cha alkali na kuondoa mazingira ya uk**asi na acid basi hamna ugonjwa wowote utaishi mwilini mwako,katika mimiea na vyakula mwani umekua na kiwango cha juu na sahihi cha alkali ambayo huuweka mwili katika hali ya alkaline na kuzuia vimelea na uvimbe wowote unaweza kujitokeza na kusababisha magonjwa. nk.
NIPIGIE SIMU;-
+255745998149, CALL & WHATSAAP
+255740631662, CALL ONLY
DR.HABIBU A BAKARI
TUPO ;
TANGA---TOWN
TANZANIA
Mikoani na nje ya Tanzania tunatuma kwa usafiri husika. Mabasi na DHL
Tembelea Kurasa wetu kufahamu huduma zetu zaidi za tiba Asili na dawa za miti shamba 💯.