
05/10/2022
LOVE STORY : BARAKA &
LOVENESS. (AGANO LA MILELEπ).
NA MAGIGE ALEX MAGIGE.
TEL NO : 0754336635.
SEHEMU YA TANO.
ILIPOISHIA.ππ
Usiku huu wa saa tano,
tunamuona Mzee Charles ambaye
ni baba mzazi wa Loveness,
akiingia kwenye chumba chake cha
siri. Chumba chenye siri kubwa
sana, siri ambayo hakuna mtu
anayeifahamu zaidi yake pamoja
na washilika wake toka kuzimu.
Baada ya kuingia chumbani mle
na kuufunga mlango kwa ufunguo,
akawasha swichi hali iliyokifanya
chumba kujaa mwanga.
Akakisogelea kitanda.
Kitanda ambacho juu yake
kulikuwa na mwanamke mrembo
akiwa amelala. Mwanamke huyu
alionekana k**a mtu aliyekufa,
maana sehemu kubwa ya matundu
ya mwili wake yalizibwa kwa
pamba. Ila uso wake ulikuwa na
mng'ao wa uhai japo hakuwa hai.
Mzee Charles akalibeba jeneza
lililokuwa pembeni yake na
kulishusha chini, kisha akavua
nguo zote na kubaki k**a
alivyozaliwa. Baada ya kuvua
nguo zote, akamsogelea
mwanamke yule pale kitandani.
Alipomfikia akamvua gauni
alilovaa. Dah hakika duniani kuna
mambo. Mwili wa mwanamke yule
ulikuwa umeoza tokea miguuni
hadi shingoni, funza walikuwa
wanaupekenyua mwili ule huku
ukitoa harufu kali sana uozo,
harufu iliyoishia chumbani mle mle.
Charles akachukua kichupa fulani
kilichokuwa na mafuta ya maji na
kujipaka kwenye uume wake huku
akionekana kukerwa na halufu
iliyokuwa inatoka mwilini mwa
mwanamke yule.
Baada ya kujipaka mafuta yale,
hazikupita hata dakika mbili uume
wake ukasimama imara. Akapanda
kitandani na kumuweka yule
mwanamke kifo cha mende na
kuanza kumuingilia sehemu zake
za siri ambazo nazo zilikuwa
zinatoa harufu kali ya uvundo.
Aliingilia ile maiti ya mwanamke
yule kwa zaidi ya masaa manne,
aliingilia hadi kinyume na
maumbile.
Alipo maliza akabaki ameilalia
juu yake hadi asubuhi.
Haya ndiyo maisha ya tajiri huyu
mkubwa africa mashariki na kati.
Songa nayo ππ
TULUDI UPANDE WA LOVENESS.
Wakati Charles akiendelea kula
uroda na maiti ile, Loveness yeye
alikuwa juu ya kitanda chake
akiwa anachati na kijana Baraka.
"Kalibu tulale mfalme wangu".
"Asante malkia wangu, umelala
mlalo gani mpenzi wangu?".
"Nimelala chali mpenzi wangu".
"Waooh baby, umevaa nguo gani".
"Nimevaa kigauni chepesi halafu
kifupiii".
"Jamani mpe...nziii, je ndani ya
kigauni umevaa nini?".
"Mmh jamani baby naona aibu
kusemaa".
"Mpenzi wangu we niambie tyu,
usiniogope my lovee wangu".
"Nime...nime...nimevaa..nimevaa....jamani mpenzi unataka kweli nikwambiee".
"Ndiyo mke wangu nata..nata..natakaaa".
"Nimevaa chupi nyeupe mme
wanguu".
"Asiii...jamani mke wangu,
nikwambie kitu? ".
"Niambie mme wangu kipenzi".
"Mke wangu ninaipenda rangi
nyeupe, yaani mmh. Zaidi nikiona
pindo lake juu ya kiuno chako
nitaenjoy".
"Jamani mme wangu kwelii?".
"Ndiyo mke wangu, vipi nije
nikuvue?".
Hadi kufikia hapo siyo Baraka
wala Loveness aliyekuwa na
usalama ikuluni mwake. Maneno
yale yaliwasisimua sana hasa
Loveness aliyejikuta ikulu yake
ikifurika mto wenye maji ya
utelezi. Akashindwa kuvumilia
akaamua kupiga kabisa simu.
Simu ikapokelewa kwa busu
matata, busu lililozidi
kumchanganya zaidi Loveness.
"Asiii..mpenziiii..mmmmwaaa".
"Aiii..jamani mme wangu
asanteee".
Loveness akaongea kwa sauti
laini, sauti yenye uwezo wa
kumtoa nyoka pangoni au
kumfanya adui kuwa rafiki.
"Mpenzi wangu natamani usiku
huu tungelikuwa wote".
"Mimi pia mme wangu, yaani hapa
nilipo nimelowanaa".
"Jamani mke wangu natamani
k**a ningelikuwa hapo kalibu ili
nikufute kwa ulimi, hebu weka
simu juu ya tunda nilibusu mke
wangu".
Aise Baraka akadhamilia kumteka
Loveness, huku na yeye akijikuta
taratibu akiingiwa na chembe za hisia
za mapenzi juu ya Lovenes.
"Jamani mme wangu, ujue
unanipandishia nyegezi.
Ashii...mmh baby wangu upweke
unaniua, njoo mme wangu
uniondolee upweke".
"Unajisikiaje mke wangu?".
"Nahisi tunda linawasha kwa
ndani, pia kinanii kimesimama
hadi kinarusha vimaji maji".
"Kinini hicho kinachotoa maji mke
wangu".
"Mmmh mme wangu, mimi
mwenyewe sijui kinaitwaje!?".
"Kwani kipo sehemu gani malkia
wangu".
"Jamani mme wangu, naona aibu
mmh!".
"Basi mke wangu, tulale
maana nahisi usingizi".
"Jamani mme, mbona mapema au
nimekukwaza?".
"Hujanikwaza mpenzi wangu, ila
mda wa kulala ndiyo umefika".
"Sawa mme wangu, nikutakie
usingizi mwema na ndoto nzuriiii
k**a wewe mwenyewe".
"Nawe pia mke wangu, ulale unono
na uniote kuwa nakupa utamu".
Wakakata simu na kulala kila
mmoja taswira ya sura ya
mwenzake ikijichora ubongoni
mwake.
Siku zikadonga hatimaye miezi
minne ikatimia tangu wawili hawa
wafahamiane.
*******************
Ilikuwa siku ya Ijumapili majira ya
saa kumi kamili za jioni, siku hii
Loveness na walinzi wake walitoka
kwa siri na kwenda kukutana na
Baraka. Safari hii hawakusafiri
kwenda nyumbani kwao Baraka, ila
Baraka ndiye alisafiri kutoka
Tarime vijijini kuwafuata Tarime
mjini.
Waliitumia nafasi hii kwa vile siku
hiyo baba yake Loveness
hakuwepo. Walitoka na kwenda kwenye hotel moja yenye hadhi ya nyota mbili.
"Baby leo nina mda mchache sana
wa kuwa na wewe, hivyo sitakuwa
mkaaji sana".
Loveness akamwambia Baraka
huku akiangalia pembeni kwa aibu
za k**e. Kipindi hicho wakiwa
wamekaa juu ya viti huku
wakitizamana, huku meza
iliyokuwa na vinywaji vyao
ikiwatenganisha. Walinzi wa
Loveness wao walikaa meza
nyingine.
Baraka akamuomba ampatie
viganja vya mikono. Loveness
akanyoosha viganja vya mikono
yake kumuelekea Baraka.
Baraka naye akanyoosha mikono
yake na kuvishika viganja laini vya
mrembo Loveness.
Ulaini ambao haungeweza hata
kuvunja biskuti. Baada ya kumshika viganja akamwambia amuangalie machoni.
Loveness akafanya k**a
alivyoelekezwa huku akiwa mwingi
wa aibu.
"Lovee waubani wangu, nahisi
k**a ndoto kukaa na msichana
mzuri k**a wewe, msichana
ambaye uzuri wako umepitiliza na
hakuna wa kukulinganisha
naye, tazama sura yako ilivyo
nzuri na tamu kuitazama. Lovee
mpenzi, wewe kwangu ni zaidi ya
maji jangwani, joto kwenye
chumba chenye barafu.
Umekuwa mtu mhimu kwangu,
umenifanya nijue kupenda,
umenifanya nihisi raha ya kupenda
na kupendwa. Lovee wangu hivi hii
ni ndoto au ni kweli?".
"Baraka mpenzi wangu, laiti k**a
nikikutwisha upendo ulioko ndani
ya moyo wangu, nahisi hata hatua
moja huwezi kusonga, maana ni
mzito sana. Baraka amini wewe
ndiye mwanamme wa kwanza
kuziteka hisia zangu, kabla yako
sikupenda.
Mimi bado ni mchanga kwenye hii
tasnia ya mapenzi, naomba
uchukue jukumu la kunifunza na
kunilinda.
Pia fahamu kuwa hii siyo ndoto,
na k**a ni ndoto basi ni ndoto
iliyotimia yaani ndoto ya kweli.
Amini kuwa Lovee wako yupo
mbele ya macho yako mpenzi
wangu".
Baada ya maongezi yale,
wakaendelea kunyweshena
vinywaji huku wakichombezana na
maneno matamu ya mahaba. Watu
ndani ya ukumbi ule wa hotel
hawakuacha kuwakodolea macho,
wengi wao walionekana
kuushangaa urembo wa Loveness.
"Mbona hapo pametuna mme?!".
"Wapi mke wangu".
"Hapoo kwenye suruali".
"Panamtaka mwenzake huyo
uliyenaye".
"Mmmh jamani baby, huyu
niliyenaye anaogopa*.
"Anaogopa nini mke?".
"Anamuogopa huyo wako
atamuumiza ety".
"Hatamuumiza, watafanyana
taratiibu".
"Mmm mme!, leo nda umeenda
sana ngoja niwahi nyumbani ila
nitapanga tena siku ya kuja ili
tufanyane, ila uje unifanye
taratiiibu sawa mme wangu?".
"Sawa mahabuba wangu".
Wawili hawa k**a ungeyasikiliza
maongezi yao hakika
ungewashangaa, ila ndiyo mapenzi
hayo.
Baada ya kumaliza vinywaji
wakasimama na kuliendea gari la
Loveness.
Wakati wanajiandaa kuingia ndani
ya gari, mara muhudumu wa hotel
ile akawafikia na kumuita Baraka
pembeni.
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA.