Tezi Dume Bila upasuaji

Tezi Dume Bila upasuaji TATUA changamoto ya tezi dume hapa

26/07/2022

TEZI DUME NI NINI CHANZO DALILI NA TIBA BILA UPASUAJi

Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la

kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo
na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume
nalo huongezeka ukubwa ambao
unaweza kuwa wa kawaida au
saratani.

Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi

dume.

• Maambukizi ya Bakteria
(Prostatitis).

• Kukua kwa tezi dume ambalo
sio saratani (Benign Prostatic
Hypertrophy-BPH).

• Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME

Kutoa majimaji anayochanganyika na
mbegu za kiume (s***ms) kutengeneza
manii (semen).

VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI
YA TEZI DUME

Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume
hakijulikani, saratani hii ina uhusiano
mkubwa na;

• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia
miaka 60 na kuendelea wanapata
zaidi saratani ya tezi dume.

• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha
mafuta, hasa ya wanyama.

• Historia ya tatizo hili kwenye familia
(Genetic).

• Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME

Katika hatua za awali, dalili
hazitofautiani sana na zile za kuvimba
kwa tezi dume lisilokuwa saratani
(BPH).

Dalili hizo ni pamoja na;

• Kusikia kupata haja ndogo mara
kwa mara hasa nyakati za usiku

• Haja ndogo kuchelewa kutoka
unapoanza kukojoa.

• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo
baada ya kumaliza kukojoa.

• Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
• Kutoa mkojo au manii
yaliyochanganyika na damu

• Maumivu makali sehemu
mbalimbali za mwili k**a saratani
imesambaa.

• Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.

TIBA YA SARATANI YA TEZI DUME

Matibabu ya saratani ya tezi dume
yanategemea hatua ya ugonjwa na
umri wa mgonjwa.

Aina za tiba hizo ni pamoja na;
• Upasuaji ( Surgey)
• Mionzi (Radiotherapy)
• Vichochezi (Homonal therapy)
• Kemikali (Chemotherapy)-
• Ubaridi (Cryotherapy

Kila moja ya matibabu tajwa apo juu ina madhara yake'

Ila tupo na bidhaa lishe zenye uwezo wa kuondoa hiyo changamoto BILA upasuaji

Wasiliana nasi 0672441815

Unaweza kubonyeza Whatsap link itakuleta whatsap
https://wa.me/c/255672441815

Katika kila watu watano wanaotumia kumwaga nje k**a njia ya uzazi wa mpango, mmoja kati yao hupata ujauzito. Njia hii ni...
10/07/2022

Katika kila watu watano wanaotumia kumwaga nje k**a njia ya uzazi wa mpango, mmoja kati yao hupata ujauzito. Njia hii ni ngumu kuifuata kila siku kwa kuwa udhibiti wa mwanamme huwa ni mdogo, pia baadhi ya shahawa hutoka hata kabla mwanamme hajafika kileleni.

Usiiamini sana. Yale maswali ya imeingiaje wakati nilimwaga nje yaishe sasa!😂😂😂

FAIDA ZA TENDO LA NDOA ASUBUHIBila shaka utafurahi ukijua kwamba tendo la ndoa la asubuhi (kiamshio) sio tu kwamba ni ja...
09/07/2022

FAIDA ZA TENDO LA NDOA ASUBUHI

Bila shaka utafurahi ukijua kwamba tendo la ndoa la asubuhi (kiamshio) sio tu kwamba ni jambo zuri, bali pia litakusaidia kimwili, kiakili na kiroho. Sababu za umuhimu wa kufanya tendo hilo asubuhi mara kwa mara:

Tendo la ndoa la asubuhi ni bora kuliko wakati mwingine kwa sababu kadhaa.

Mosi, nishati, na utulivu wa kiasili huwafanya kuwa na stamina kubwa ya kufanya vizuri na kuwafikisha kileleni kwa raha ya aina yake. Wanandoa wanaofanya tendo usiku kwa kawaida huwa wamechoka kutokana na shughuli za kutwa nzima, na hivyo kufanya viungo vyao kuwa na mwitikio mdogo wa kimahabba.

Pili, dakika chache baada ya kuamka, akili yako inakuwa bado haijaamka, na hivyo inakuwa haijakutana na mambo mengi. Matokeo yake, jambo hilo linaweza kukufanya kuwa k**a bepari wa mahaba kitandani.

Bila shaka utakuwa umeshuhudia wanaume wengi wakisimamisha wakati wa asubuhi. Mumeo huamka akiwa amesimamisha mkurunge/uume wake kwa sababu ya mzunguko wa asili wa homoni ya kiume ya testosterone. Ubongo wa mwanaume huusambazia mwili kiwango kikubwa cha testosterone kila asubuhi, hivyo kuufanya mkurunge wake usimame na kuonesha uhai.

Hiyo ina maana kuwa uwezo wake pia unakuwa mkubwa na anaweza kufanya vizuri zaidi huku msisimko wa tendo ukiwa mkubwa sana na kuifanya asubuhi yake kuanza vizuri.

Tendo la ndoa la asubuhi hukupa siku yenye tija kazini, kwa maana shughuli ile ya kitandani huuamsha moja kwa moja ubongo kwa kuchochea utendaji kazi wa mwili wako. Mzunguko na utendaji kazi wa mwili wako huufanya ubongo wako upokee kiwango kikubwa cha oxygen na virutubisho vinavyotakiwa na vya kuupa nguvu ya kufanya kazi barabara. Matokeo yake, utakuwa makini zaidi, utakuwa na nishati zaidi, na utakuwa na ubunifu zaidi.

Tendo la ndoa la asubuhi huongeza chachu na msisimko kwenye uhusiano wa ndoa yako kwa njia nyingi. Kwanza, kujua kwamba unaweza kufanya tendo la ndoa mwanzo wa siku bila kipingamizi huonesha kwamba kuna mahabba motomoto bado yanarindima kati yenu.

MWISHO,..Kuianza siku yako kwa kitu kitamu cha kimahabba humfanya kila mmoja wenu amuwaze mwenzake kwa siku nzima. Justine

Madini ya chuma huhitajika kwenye kutengeneza damu mwilini.Unaweza kuyapata kupitia mlo au kwa kutumia virutubisho na da...
07/07/2022

Madini ya chuma huhitajika kwenye kutengeneza damu mwilini.

Unaweza kuyapata kupitia mlo au kwa kutumia virutubisho na dawa zenye madini haya.

Ili mwili uweze kufyonza vizuri madini ya chuma kutoka kwenye vyakula, vitamini C na citric acid huhitajika ili kurahisisha zoezi hilo. Vyote hivi hupatikana kwa wingi kwenye limao.

Ni wazi ule msemo wa kuwa limao hupunguza damu siyo sahihi, upuuze. Tunda hili huusaidia mwili kutengeneza damu.

Folate na vitamini B12 ambavyo pia hupatikana kwenye tunda hili hufanya kazi kwa pamoja katika kutengeneza chembechembe nyekundu za damu pamoja na kuboresha utendaji kazi wa madini ya chuma.



K**a mwanaume unawahi kufika kileleni huenda unatatizo Kati ya haya 👇👇👇👇
06/07/2022

K**a mwanaume unawahi kufika kileleni huenda unatatizo Kati ya haya 👇👇👇👇

Ushauri wa Kufuata ili Kuboresha Mbegu zako 1 Punguza uzito na kitambi: uzito mkubwa na kitambi yaweza kusababisha kupun...
04/07/2022

Ushauri wa Kufuata ili Kuboresha Mbegu zako
1 Punguza uzito na kitambi: uzito mkubwa na kitambi yaweza kusababisha kupungua kwa uzalishaji wa mbegu. Rekebisha mtindo wa maisha ili upunguze uzito kuwa normal
2 Tumia virutubisho vya Vitamin na Zinc. Ongea na daktari akujulishe una upungufu wa madini na vitamini gani. Daktari anaweza kupendekeza ule zaidi vyakula aina gani kukusaidia.
3 Punguza matumizi ya pombe na sigara
4 Vaa boksa za cotton zinakinga pumbu dhidi ya joto kali ambalo huua mbegu.
TUMIA VIRUTUBISHO PIGA NAMBA 0672441815 KWA TIBA NA USHAURI!!

ZIJUE FAIDA ZA TEZI DUME AMBAZO HUKUZIJUA HAPO KABLA.TEZI DUME (Prostate gland)Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa ...
04/07/2022

ZIJUE FAIDA ZA TEZI DUME AMBAZO HUKUZIJUA HAPO KABLA.

TEZI DUME (Prostate gland)

Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (re**um) na na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra).

KAZI ZA TEZI DUME AMBAZO ULIKUWA HUZIJUI;

1. Tezi dume hutoa majimaji ambayo huchanganyika na mbegu za kiume na kutengeneza shahawa. Asilimia 60 ya shahawa huwa ndio hayo majimaji yaliyotengenezwa na tezi dume na asilimia 40 ndio mbegu za kiume zilizotengenezwa kwenye kiwanda cha mbegu(korodani).

2.Majimaji yanayotoka kwenye tezi dume huanza kutangulia mbele kusafisha njia ya mkojo ili kuondoa asidi kwenye njia hiyo na kubakia hali ya alkaline ili mbegu za kiume zisife.hivyo inaondoa asidi na pia inazilinda zisife kuanzia kwenye njia ya mkojo ya mwanaume mpaka ukeni kwa mwanamke maana napo kuna asidi sana.

3.kazi nyingine ya tezi dume ni kuchuja sumu ili zisichanganyike na mbegu za kiume hivyo hata mbegu inakuwa haina ugonjwa na salama

4.Tezi dume ndio yenye kufunga njia ya mkojo na kuruhusu mbegu za kiume zitoke wakati umefika kileleni na kuziba njia ya mbegu za kiume na kufungua njia ya mkojo unapokuwa umemaliza tendo

5.Wanaume tukimaliza tendo huwa shahawa zinaruka sana hiyo ni kazi ya tezi dume. K**a shahawa zako zinamwagika tu lakini haziruki zenyewe k**a mkojo nikiwa na maana kwa speed ujue tezi dume lako haliko sawa.pia ngumu mbegu zako kufikia yai la mwanamke na kumpa ujauzito.

6.Tezi dume inailinda njia ya mkojo isishambuliwe na vijidudu vya U.T.I

7. Tezi dume ni sehemu ya kilele cha raha kwenye tendo la ndoa kwa mwanaume.

8.Tezi dume kupitia majimaji yake ndio inayosafirisha mbegu za kiume kutoka kwa mwanaume mpaka kwa mwanamke na kukutana na yai la mwanamke.

9.Majimaji yanayotoka kwenye tezi dume dio chakula cha mbegu za kiume. Kwahiyo mbegu za kiume zinapata chakula kutoka kwenye tezi
Nimewasaidia watu wengi sana kutibu tezi dume bila upasuaji kwa USHAURI,NA TIBA PIGA 0672441815
K**a unamfahamu ndugu yako yoyote mwenye tatio hili usisite kunipigia

#

KULA MAYAI BADALA YA CHAPATI ASUBUHI UPUNGUE ZAIDIBadala ya kula chapati wakati wa breakfast andaa mayai kwani yatakusai...
15/06/2022

KULA MAYAI BADALA YA CHAPATI ASUBUHI UPUNGUE ZAIDI

Badala ya kula chapati wakati wa breakfast andaa mayai kwani yatakusaidia sana kupungua. Mayai yana protini kwa wingi ambayo humsaidia mlaji kuhisi kushiba kwa muda mrefu, kutumia mayai asubuhi ni vizuri zaidi kwasababu itakusaidia kula kiwango kidogo cha chakula kwa siku nzima. Unaweza kuongeza matunda mazuri k**a papai na tango kwenye breakfast yako pia.

Je chakula gani kingine si kizuri ikiwa mtu anataka kupungua? Tuambie kwenye comments.

MTAG na KuSHARE na marafiki ili nao wasome ujumbe huu. @0672441815

Pamoja na kuongoza utendaji kazi wa zaidi ya vimeng’enya 200, madini ya zinc huhusika pia kwenye utambuzi wa ladha za vy...
07/06/2022

Pamoja na kuongoza utendaji kazi wa zaidi ya vimeng’enya 200, madini ya zinc huhusika pia kwenye utambuzi wa ladha za vyakula pamoja na harufu. K**a hauhisi ladha au harufu yoyote, pengine una upungufu wa zinc. Tumia maharage, samaki,nyama,vyakula jamii ya karanga au maziwa.

Zaidi, soma hapa https://afyainfo.co.tz/madini-ya-zinc-faida-vyanzo/

Kutokana na kuongezeka kwa matukio mengi yenye viashiria vya uwepo wa matatizo ya afya ya akili nchini, Wizara ya Afya i...
06/06/2022

Kutokana na kuongezeka kwa matukio mengi yenye viashiria vya uwepo wa matatizo ya afya ya akili nchini, Wizara ya Afya itaandaa kongamano la kwanza la kitaifa la afya ya akili.

Haya yameelezwa na Waziri wa afya, Mh. Ummy Mwalimu kupitia kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii.

Sehemu ya taarifa hiyo inasema “Nikiwa waziri mwenye dhamana ya kusimamia afya za watanzania, nakiri ipo haja ya kulipa kipaumbele jambo hili”Hii inamaanisha kuwa wizara ya afya nchini Tanzania sasa imetambua rasmi uwepo wa changamoto hii kubwa ambayo kwa miaka ya zamani haikupewa kipaumbele.

Ili kuongeza ufahamu wa jambo hili, wizara itaandaa kongamano la kwanza la kitaita la afya ya akili.

Taarifa hiyo inahitimisha kwa kuomba ushauri na maoni ya wadau mbalimbali ili kufanikisha lengo mama la kongamano hilo.

Hadi sasa, bado tarehe rasmi haijatajwa.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Ulimwenguni, sonona ndiyo tatizo linaloongoza kwa kuathiri watu wengi zaidi, kiasi cha milioni 264.

Tatizo hili huathiri utendaji wa kawaida wa mwili na akili, na huleta mawazo hasi yenye mwelekeo wa kuua au kujiua.

1. Nguvu za kiume hupungua kadri umri unavyo ongezeka;Homoni ya testosterone hupungua umri unavyozidi kwenda na hili swa...
04/06/2022

1. Nguvu za kiume hupungua kadri umri unavyo ongezeka;
Homoni ya testosterone hupungua umri unavyozidi kwenda na hili swala sio ugonjwa ni kawaida.

2. Huwezi kupona tatizo la nguvu za kiume bila kutibu au kujua chanzo chake:
Niliwahi kusema nguvu za kiume hupungua kwa sababu maalumu.. huweza kupungua kwa sababu ya punyeto, msongo wa mawazo, kuchoka sana na kazi, maumivu makali ya mwili, magonjwa yanayoathiri mishipa ya fahamu mfano kisukari na magonjwa yote ambayo yanakufanya usiwe katika hali ya kawaida humaliza nguvu za kiume.

3. Hakuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume
moja kwa moja duniani:
Dawa zote zinazotangazwa huongeza nguvu za kiume ni za muda tu na zingine sio za kweli kabisa ni za kitapeli tu.

4. Ukiona kijana chini ya miaka 30 hana nguvu za kiume ujue sababu kuu ni punyeto;
Zaidi ya asilimia tisini na tano ya vijana wa chini ya miaka 30 ambao wanadai nguvu za kiume zinawasumbua sana ni kwa sababu ya kupiga punyeto kwa muda mrefu na mpaka sasa hivi bado wanapiga..

5. Njia pekee ya kuwa na nguvu za kiume muda mrefu wa maisha yako ni kufanya mazoezi ya kawaida na mazoezi ya kuongeza nguvu za kiume:

6. Vyakula ni muhimu sana kwa nguvu za kiume kuliko watu wanavyodhani:
Kuna vyakula nilishawahi kuvitaja kwenye makala zilizopita ikiwemo ndizi mbivu, karanga, blue berries, kitunguu swaumu n.k

7. Virutubisho vyetu vinaongeza nguvu za kiume;
Kuna dawa moja inaitwa xpower coffee na X power capsules imetengenezwa kwa mchanganyiko wa matunda, magome ya miti na mizizi, kiukweli dawa hii ni kiboko kwani imejaa vyakula ambavyo hata afrika hakuna na watu wote wanayoitumia k**a chakula wanaisifu sana.

8. Uume kulala baada ya kufika kileleni haimaanishi huna nguvu za kiume;
Hakuna mwanaume dunia hii anaweza kuunganisha raundi ya kwanza na ya pili kwani ile ni hali ya kawaida ya mwili wa binadamu [normal physiology] lazima uume ulale kidogo ndipo uamke tena.

9. Watu wa zamani hawakusumbuliwa sana na tatizo hili;
Maisha ya watu wa zamani kazi zao ilikua ni k**a mazoezi kwao kwani zilikua ngumu na za kutoa jasho

10. Kuangalia picha na video za ngono kuna haribu sana nguvu za kiume kisaikolojia;
Miaka ya nyuma mtu alikua anaiona chupi ya mwanamke siku ya ndoa tu.

TIBA YA KUREJESHA HESHIMA YA NDOA kiboko ya tatizo la nguvu za kiume ..... .Ni dawa ya kudumu  yenye mchanganyiko wa daw...
20/05/2022

TIBA YA KUREJESHA HESHIMA YA NDOA kiboko ya tatizo la nguvu za kiume ..... .
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume kwa asilimia100 % k**a ifuatavyo.

1️⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
2️⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk

3️⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
4️⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
5️⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( s***m mobility)
6️⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
7️⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
8️⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
9️⃣ Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
Epuka aibu hii na rejesha furaha "
Dawa ndio kiboko yao
Karibuni sana ofisini kwetu
Wasiliana nasi kwa namba 0672441815

Whatsap https://chat.whatsapp.com/DjrQsJ76SY9JfWmPIUOCIg

Aina mbalimbali za kundi kubwa la vitamini B huboresha afya ya ubongo.Huongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu na kufikiri. ...
19/05/2022

Aina mbalimbali za kundi kubwa la vitamini B huboresha afya ya ubongo.

Huongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu na kufikiri. Pia, hutoa kinga dhidi ya aina mbalimbali ya magonjwa ya akili.

Kwa mwanamke mjamzito, huboresha afya ya mtoto kwa kumfanya azaliwe akiwa na mfumo bora wa fahamu, pia humuepusha na changamoto kadhaa za kuzaliwa na mapungufu kwenye viungo vya mwili ikiwemo kuzaliwa akiwa na mgongo wazi.

Zaidi soma hapa 👉 https://afyainfo.co.tz/faida-za-yogurt/

Kuna madhara makubwa ya kiafya yanaweza kutokea ikiwa mtu atapokea kundi la damu lisilo endana naye.Mwamsho wa kinga mwi...
18/05/2022

Kuna madhara makubwa ya kiafya yanaweza kutokea ikiwa mtu atapokea kundi la damu lisilo endana naye.

Mwamsho wa kinga mwili hutokea ambao hupelekea damu iliyopokelewa ichukuliwe k**a adui anayepaswa kuuliwa.

Hivyo, chembechembe za damu huanza kupasuka, shinikizo la damu hushuka, figo hufeli kufanya kazi na damu mwilini huanza kuganda.

Unajua nani anaweza kukupatia damu? Kwa nini? Soma zaidi hapa👉 https://afyainfo.co.tz/makundi-ya-damu-kutoa-kupokea/

Tafiti kadhaa zimebaini uwepo wa masalia ya viuatilifu vya DDT, methamidophos, methomyl, dimethoate, profenofos, pirimip...
17/05/2022

Tafiti kadhaa zimebaini uwepo wa masalia ya viuatilifu vya DDT, methamidophos, methomyl, dimethoate, profenofos, pirimiphos-methyl difenoconazole, cyprodinil na boscalid kwenye nyanya.

Hata hivyo, viuatilifu hivi vinapatikana kwenye kiwango kidogo kinacho tambulika kutokuwa na athari kwa afya.

Inashauriwa kupika vizuri nyanya walau kwa dakika 15 ili kuondoa kabisa athari za masalia haya.

Ujali wa nyanya mbichi unaweza pia kusababisha sumu ya chakula kutokana na uwepo wa bakteria jamii ya salmonella ambayo dalili zake ni kuhara, homa na maumivu makali ua tumbo.

Ni muhimu kuwa makini unapokuwa unatumia nyanya mbichi mara kwa mara.

https://afyainfo.co.tz/faida-za-nyanya-madhara/

KWA UPANDE WA WANAUME: JE, KITAMBI KINAWEZA KUATHIRI NGUVU ZA KIUME?Tunapojadiri unene, ni kawaida kabisa kuzingatia ugo...
17/05/2022

KWA UPANDE WA WANAUME: JE, KITAMBI KINAWEZA KUATHIRI NGUVU ZA KIUME?

Tunapojadiri unene, ni kawaida kabisa kuzingatia ugonjwa unaojulikana mara nyingi huletwa na uzito wa ziada. Kwa kawaida tunasikia juu ya wagonjwa walioathiriwa na uzito mbaya kutokana na ugonjwa wa kisukari, ugonjwa wa moyo, kukosa usingizi au mafuta mengi kwenye damu.

NUKUU: Athari nyingine za uzito ambazo hujadiriwa mara chache sana huwa ni kushindwa kufanya mapenzi, na hili lipo pande zote mbili kwa wanaume na wanawake pia, hali ambayo inaweza kutokana na mkazo wa kihisia na usumbufu wa homoni.

Je, Mambo Ya Hatari Yanakuwaje?

Wanaume wengi wanaosumbuka na tatizo la unene au kitambi pia wanakuwa na tatizo la kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Asilimia 43% ya wanaume kati ya umri wa miaka 40 hadi 70 wana matatizo ya kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Kuna mambo mengi ya hatari kwa wanaoshindwa kushiriki tendo la ndoa ikiwa pamoja na;

• Umri

• Ugonjwa wa moyo

• Shinikizo la juu la damu

• Homoni za testosterone kushuka

• Uvutaji sigara na kisukari pamoja na lishe duni

Na tafiti nyingi zinazokinzana, haijulikani ikiwa uzito mkubwa wa mwili au unene wa kupindukia husababisha kupungukiwa nguvu za kiume au unaweza kusababisha vihatarishi vikubwa, hata hivyo, ni wazi kwamba unene unachangia kiwango kikubwa sana mwanaume kupungukiwa nguvu za kiume. Na mabadiriko makubwa ya afya yanapofanyika pamoja na mitindo ya maisha, basi hali ya upungufu wa nguvu za kiume, inaweza kutoweka.

NUKUU: Kwa kuongezeka kwa umri pekee, kuna kupungua nguvu za kiume. Ikiwa k**a kuna magonjwa mengine, basi fahamu kwamba ni hatari kubwa. Upungufu wa nguvu za kiume ndio chanzo kikubwa cha kuwa na wasiwasi na hofu kwa wanaume wote. Utendaji usioeleweka husababisha utendaji mbaya na mafadhaiko hata kwa wanaume wanaojiamini zaidi! Uzito unaweza kuleta magonjwa haya na pia kuukuza wasiwasi huu wa kisaikolojia.

Je, Jinsi Gani Kazi Ya Usimamishaji Wa Uume Hufanya Kazi?

Hebu tuangalie kwanza jinsi gani kazi ya udindishaji inavyofanya kazi. Hali ya uume kusimama hutokea pale mishipa ya damu inayoelekea kwenye uume inapopanuka, na kusababisha ijae damu. Mchakato huu hutegemea na njia ya mishipa ya damu ikitoa seli za nitriki oksidi. Nitriki oksidi husababisha misuli laini kulegea na uume kukak**aa na kusimama.

NUKUU: Kitu chochote kinachoharibu mishipa ya damu kinaweza kuingiliana na mchakato unaosababisha nguvu za kiume kupungua. Kwahiyo, vitu vinavyo sababisha ugonjwa wa moyo na kiharusi kinaweza kusababisha nguvu za kiume kupungua.

Unene Pamoja Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

Kitambi au unene unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa kuharibu mishipa ya damu, kupunguza homoni ya testosterone na kupelekea hali ya kuvimba kwa mwili kwa ujumla. Unene au kitambi vinaweza kusababisha kuharibika kwa mishipa ya damu kutokana na ugonjwa wa moyo, kisukari cha kupanda, mafuta kwenye mishipa ya damu pamoja na kuvimba kwa mwili.

Inapendekezwa kuwa hali ya kuongezeka kwa kuvimba kunaweza kusababisha mabadiriko makubwa mwilini yanayoweza kusababisha maharibufu kwenye tishu za mwili wako. Madhara makubwa ya ugonjwa wa moyo, kisukari, nk, hutolewa mafunzo yake na hivyo hupokelewa na watu wanaopenda kujifunza zaidi. Wanaume wanaokuwa wameathiriwa na unene wanaweza kuwa na kiwango kikubwa cha lehemu au mafuta kwenye damu, na shinikizo la juu la damu pamoja na kisukari, na yote haya huchangia mwanaume kupungukiwa nguvu za kiume.

NUKUU: K**a umeathiriwa na unene, basi hatari ya kuwa na ugonjwa wa kisukari iko zaidi ya mara mbili au mara tatu kuliko mtu yule ambaye hajawahi kuathiriwa na tatizo la unene. Zaidi ya asilimia 50% ya wanaume wenye ugonjwa wa kisukari ndio huteseka sana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Imefanyiwa utafiti vyema na kukubarika kwamba, unene mara nyingi hupelekea mtu kupata ugonjwa wa kisukari pamoja na magonjwa ya moyo ambayo yanaweza kusababisha upunguvu wa nguvu za kiume. Hatujui sana kwanini, lakini unene unaonekana kuharibu sehemu ya ndani ya mishipa ya damu(endothelium) na pale hii sehemu inapoharibika, basi uume hauwezi kupata mtiririko wa damu nyingi ya kutosha na kusaidia uweze kudindisha. Kimsingi, kitendo cha kudindisha huwa ni tukio la moyo na mishipa yake, na k**a mtiririko wa damu hauwezi kuongezeka kwasababu ya mishipa ya damu haiwezi kupanuka kwa kawaida, basi kutakuwa na mapungufu katika udindishaji wa uume.

NUKUU: Chakula chenye mafuta k**a vile nyama rosti, blue band, nk, kutokufanya mazoezi ambavyo vyote hivi huchangia mwili kuwa mnene pamoja na magonjwa ya moyo vinaweza kusababisha mishipa ya damu kusinyaa na kuwa migumu(atherosclerosis), hali ambayo inaweza kupunguza mwendo kazi wa damu.

Sababu nyingine ya hatari katika upungufu wa nguvu za kiume, ni kupungua kwa kiwango cha homoni ya testosterone, ambayo pia hutokana na unene au kitambi. Viwango vinavyofaa vya homoni hii ni muhimu sana ili kufanikisha uume uweze kudindisha na kuutengeneza mfumo wa uzazi kuwa mzuri. Pale mgonjwa anapokuwa na kiwango kikubwa cha mafuta kwenye kitambi, basi kuna madhara makubwa katika viwango vya homoni ya testosterone.

NUKUU: Kwa wanaume, mafuta kwenye tumbo hubadirisha homoni ya testosterone na kuwa homoni ya estrogen na kusababisha kutokuwa na uwiano sawa wa homoni yaani(hormonal imbalance). Viwango vya homoni ya testosterone haviwezi kukuathiri haraka sana wala kupungua uzito haraka mno, hivyo basi, kunaweza kukawa na uhitaji wa kuandikiwa matibabu kwa ajili ya kuongeza homoni ya testosterone.

Habari Njema Ni Hii!

Utafiti unatuonyesha kwamba, upunguvu wa nguvu za kiume unaweza kuboreshwa kwa kufanya mabadiriko maalumu ya mitindo ya ulaji huku ukitumia tiba! K**a umeathiriwa na unene au kitambi, basi utakuwa umejiruhusu mwenyewe kuingia kwenye hatari kubwa ya ugonjwa wa kisukari, shinikizo la juu la damu, ugonjwa wa moyo, na hivyo basi, kwa upande wa wanaume, ndipo hutokea hali ya kupungukiwa na nguvu za kiume na kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Ogopa unene! Jifunze kula vyakula vyenye afya, fanya mazoezi, na usipende kuvuta sigara. Ukifuata ushauri huu, hakika tatizo la kupungua kwa nguvu za kiume litatoweka!

NUKUU: Wanaume wanaopunguza uzito au unene, wao huboresha mfumo wa wa uzazi na huwa na nguvu nyingi za kushiriki tendo la ndoa. Kuwa hai zaidi na kutekeleza utaratibu wa kufanya mazoezi kila siku kutapunguza hatari ya kupungukiwa na nguvu za kiume. Utafiti unaonyesha kwamba, kile kitendo cha kupunguza uzito kwa asilimia 10% tu ndani ya vipindi vya miezi miwili huboresha kabisa mfumo wako wa uzazi na kukufanya uwe na nguvu katika kushiriki tendo la ndoa.

Hakuna Mtu Anayeweza Kusema Kwamba Inaweza Kuwa Ni Rahisi. Ni Mara Nyingi Watu Huwa Na Tumaini Kwamba Itawezekana!

Hivyo, nafahamu kwamba kupunguza uzito huwa sio jambo rahisi tu kulifanya. Wengi wenu wamesumbuka na tatizo la uzito katika maisha yao yote. Unaweza kuwa umeshajaribu kila mlo ili kupunguza uzito lakini bado unateseka na kitambi. Unapaswa uanzie pale ulipo na hatimaye utafute msaada.

Kitu kimoja chenye uhakika ni kwamba, unapohitaji kuwa na ubora wa afya katika mfuko wako uzazi, ni lazima uwe na maisha yenye raha, afya na amani. K**a unateseka na tatizo la kupungukiwa na nguvu za kiume, basi jitahidi kutafuta tiba bora za asili ili kuondoa changamoto hiyo. K**a unateseka na uzito au kitambi na kupungukiwa na nguvu za kiume, basi fanya maamuzi leo kutibu ugonjwa wa wa unene na mpango wa uamuzi. Rudisha mawazo yako nyuma! Anza kula vizuri na anza kuwa unatembea zaidi kila siku. Ninakupa changamoto ya kuanza safari ya maisha yako mapya.!

Tiba Zake

tuna dawa nzuri kabisa zenye uwezo mkubwa wa kuondoa tatizo la unene na madhara ya unene k**a vile kupungukiwa nguvu za kiume, nk.
Dawa hizo ni Suma fit kit.

Hii ni kwa sababu vimelea vya ugonjwa wa Malaria hujishikiza kwenye chembechembe nyekundu za damu.Hata hivyo, mbu jike a...
04/05/2022

Hii ni kwa sababu vimelea vya ugonjwa wa Malaria hujishikiza kwenye chembechembe nyekundu za damu.

Hata hivyo, mbu jike aina ya Anopheles ndiye anabaki kuwa chanzo kikuu cha kusambaa kwa ugonjwa huu.

*Mojawapo kati ya matunda ambayo hayapaswi kukosekana nyumbani kwako ni parachichi.*  _Tunda hili limesheheni virutubish...
25/04/2022

*Mojawapo kati ya matunda ambayo hayapaswi kukosekana nyumbani kwako ni parachichi.*

_Tunda hili limesheheni virutubisho vingi vinavyofaa kwa kila rika na umri_ .

_Hubeba kiasi cha kutosha cha vitamini E, C, K, B6, niacin, asidi za foliki pamoja na madini ya magnesium, manganese, potassium, nyuzi lishe pamoja na mafuta mazuri._

Aidha, huwa pia na viondoa sumu vya kutosha pamoja na asidi ya mafuta ya omega 3.

1. Ujauzito Na Kunyonyesha
Mwanamke mjamzito huhitajika kupata virutubisho vya kutosha ili kujilinda mwenyewe, pamoja na kumlinda mtoto aliye tumboni.

Mfano, ni muhimu kupata virutubisho vya asidi ya foliki ili kumkinga mtoto asizaliwe na tatizo la mgongo wazi pamoja na kumfanya awe na mfumo bora wa fahamu.

Tunda hili hufaa kwa kuwa huondoa magonjwa ya asubuhi kwa wajawazito, kuondoa changamoto ya choo kigumu, kuongeza uzalishwaji wa maziwa pamoja na kutoa uhakika wa virutubisho vya kutosha kwa mama na mtoto.

Tunda hili linafaa sana kwa mwanamke mjamzito pamoja na yule anaye nyonyesha.

2. Macho
Tunda hili huboresha afya ya macho.

Hupunguza kasi ya kuzeeka kwa tishu za macho, huongeza uoni pamoja na kupunguza athari za mionzi mikali ya mwanga wa jua inayoweza kuathiri afya ya macho.

Mambo haya ni muhimu sana hasa kwa wazee, watu wenye changamoto za macho pamoja na wale wenye magonjwa makubwa hasa kisukari.

Uwepo wa viondoa sumu vya beta carotene, lutein na zeaxanthin ndiyo siri kubwa ya uwezo huu.

3. Saratani
Tafiti nyingi za kisayansi zinaeleza kuwa baadhi ya kemikali zinazopatikana kwenye parachichi huathiri mfumo wa taarifa za seli za saratani.

Huzifanya zitengeneze taarifa hasi ambazo hupelekea zijiue zenyewe.

Aidha, hudhibiti ukuaji wake pamoja na kuleta ahueni kwa mgonjwa.

Kwa kuwa watu wanaotumia tiba za mionzi hupatwa na changamoto ya kutapika pamoja na kupata maudhi mengi, tunda hili husaidia pia kupambana na maudhi hayo.

4. Mfumo Wa Chakula
Huwa na kiasi kikubwa cha nyuzi lishe.

Ni tunda zuri kwa kuboresha mfumo wa chakula, kupunguza uwezekano wa kuugua saratani ya utumbo mkubwa pamoja na kutibu changamoto ya choo kigumu.

5. Sonona
Folate huhusishwa na kutibu changamoto za sonona.

Huusaidia mwili kwenye kutengeneza norepinephrine, serotonin na dopamine ambazo hupunguza dalili za sonona pamoja na kuzuia isitokee kwa watu ambao bado hawajapata.

Pamoja na sonona, folate husaidia pia kupambana na changamoto mbalimbali za magonjwa ya akili, wasiwasi na stress.

6. Sumu
Parachichi huwa na utajiri mkubwa wa viondoa sumu.

Kuna vitamini C na E pamoja na carotenoid lutein.

Vyote hivi huharibu sumu zinazoweza kuwa hatari kwa afya ya binadamu. Huzilinda pia seli za mwili ambazo ndiyo kitovu cha uhai wa binadamu.

7. Uzazi
Vitamini E hufahamika zaidi k**a vitamini inayopambana na ugumba na utasa.

Husaidia pia kwenye kuzuia ujauzito usiharibike pamoja na kuongeza uzalishwaji wa ute rafiki kwa mwanamke ambao huwezesha mbegu za kiume ziweze kuogelea vizuri.

Kwa namna ya kipekee kabisa, huboresha afya ya uzazi wa mwanamme kwa kuongeza ubora wa mbegu za kiume.

Watu wanaopitia changamoto ya kupata watoto wanaweza kutumia tunda hili mara kwa mara.

8. Moyo
Parachichi huboresha afya ya moyo.

Tafiti nyingi zimethibitisha hili.

Hii hutokana na uwepo wa mafuta mazuri yanayofaa kwa afya ya binadamu.

9. Uzito Mkubwa
Kuna nambo mengi sana yanayochangia kutokea kwa ongezeko kubwa la uzito wa mwili.

Kwenye orodha ya mambo hayo hauwezi kusahau kutaja mchango wa lishe ambayo huchangia kiasi kikubwa cha nishati kuliko ile inayo hutajika na mwili.

Tafiti nyingi zinalitaja parachichi k**a tunda zuri linalofaa kwenye kusaidia mwili utunze uzito sahihi.

Aidha, imethibitika kuwa huwa na kemikali na virutubisho vyenye uwezo wa kuchoma mafuta mabaya yaliyo jikusanya tumboni pamoja na kuzuia kutokea kwa kiribatumbo.

10. Magonjwa Sugu
Parachichi ni nyumba ya virutubisho vingi.

Ni silaha muhimu kwenye kupambana na magonjwa yasiyo ambukiza k**a kisukari, shinikizo la juu la damu pamoja na magonjwa ya mfumo wa moyo na damu.

Mwisho
Wengi huwaza, mafuta yanayopatikana kwenye parachichi ni mazuri kwa afya?

Je, hayaongezo uzito wa mwili na kusababisha magonjwa?

Mafuta haya ni mazuri.

Tumia tunda hili kila unapopata nafasi. Litakufaa kwa afya yako

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tezi Dume Bila upasuaji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tezi Dume Bila upasuaji:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram