Uzaziplatform

  • Home
  • Uzaziplatform

Uzaziplatform Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Uzaziplatform, Medical and health, .

Kama una tatizo la kushindwa kushiriki tendo vizuri,umehathirika na kujichua kwa mda mrefu hadi unakosa hamu ya tendo na unahisi kupungukiwa na nguvu za kiume
Karibu tukusaidie
Tupigie/whatsapp:0752988248

24/03/2022

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kukosa Hamu ya Tendo kabisa / kukosa Msisimko/Mihemko

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito sana.

4)MBEGU KUTOKA KIDOGO AU HAZITOKI KABISA/

5)Uume kuwa Lege lege wakati unashiriki Tendo

6)UUME KUSINYAA NA KUWA MDOGO

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

Tuma SMS neno KIUME kwenda watsap 0752988248 usaidiwe jinsi ya Kupata ARGI+ na MALT MACA mapema kabla ya Tatizo kuwa kubwa pia ushauri na vyakula sahihi vitakavyokusaidia.

14/03/2022

Ugonjwa Wa Fangasi Za Ukeni/ Sehemu Za Siri
(Vaginal Thrush)

ndugu Zangu Naomba Nielezee Kuhusu Mwanamke Na Uke,kwa Maana Ya

Uke Ni Kiungo Cha Uzazi Wa Mwanamke, Ambamo Ndani Yake Kuna Lactobacillus Bacteria Na Fangasi Wazuri Abao Wako Katika Kiwango Kinacho Lingana/a Balanced Mix. Bacteria Hawa Na Fangasi Hizi Husaidia Sana Kuulinda Uke Na Maradhi Mbalimbali Endapo Uwiano Wake Hauta Bughuziwa. Lactobacillus Bakteria Hutoa Acid Ambazo Huzuia Fangasi Kukuwa Au Kuwa Wengi Zaidi.

ugonjwa Wa Fangasi Za Ukeni Ni Ugonjwa Anaoupata Mwanamke Endapo Fangasi Watakuwa Wengi Zaidi Ya Bacteria Wazuri Waliopo Ukeni Au K**a Ph Ya Ukeni Imezidi Kiwango Cha Kawaida Kinachopaswa(Ph 3.5-4.5 Ndio Kiwango Kizuri Kiafya).

fangasi Za Ukeni Mara Nyingi Husababishwa Na Fangasi Waitwao Candida Albicans, Lakini Wakati Mwingine Ni Aina Nyingine Za Fangasi Na Hizi Ni Vigumu Sana Kutibika

vitu Vinavyoweza Kusababisha Ugonjwa Wa Fangasi Za Ukeni

kunasababu Nyingi Sana Baadhi Ya Hizo Ni;

1.matatizo Ya Homoni(Homoni Za Kubadilika/kuwanyingi Sana Au Kushuka Sana) Hii Inaweza Kusahabishwa Na; Ukomo Wa Hedhi,ujauzito, (Mp)kuwa Katika Siku Za Mwezi, Matumizi Ya Dawa Za Kuongeza Kiwango Cha Hormon Za K**e

2. Matumizi Ya Antibiotics Hizi Huuwa Bacteria Wazuri Na Kubadiri Ph Ya Uke

3.kufanya Mapenzi Na Mtu Aliye Na Ugonjwa Wa Fangasi Za Sehemu Za Siri Bila Kinga

4.kushuka Kwa Kinga Ya Mwili Hii Inaweza Kusababishwa Na Magonjwa Mbalimbali K**a Ukimwi, Kisukari, Upungufu Wa Madini,vitamini Na Virutubishi Mbalimbali Vya Mwili.

5.ulaji Mbaya Hasa Kupendelea Vyakula Vyenye Sukari Kwa Wingi (Sukari Ni Chakula Kwa Fangas Hivyo Huongezeka).

6.kukosa Usingizi Na Msongo Wa Mawazo .

dalili Zinazoonesha Kuwa Unaugonjwa Wa Fangas Za Ukeni

kuna Dalili Nyingi Sana K**a Zifuatavyo;

~muwasho Sehemu Za Siri

~vipele Vidogo Vidogo Ukeni

~kutokwa Uchafu Mweupe Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya

~vidonda Au Michubuko Ukeni

~kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni

~kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa

~kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke

~kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke

kinga Ya Fangasi Za K**e

1.epuka Kusafisha Uke Kwa Kutumia Vitu Vyenye Kemikali K**a Sabuni

2.epuka Kutumia Marashi Yenye Chemikali Ukeni Na Kuingiza Vitu Mbàlimbali Ukeni K**a Vidole, Asali, Mgagani N.k

3.epuka Kutawadha Kutokea Nyuma Kwenda Mbele Baada Ya Kujisaidia Haja Kubwa Au Ndogo

4.mtibu Mpenzi Wako Alie Na Ugonjwa Wa Fangasi

5.safisha Uke Na Kujifuta Kwa Kitambaa Safi Ilikuuacha Mkavu

6.hakikisha Kinga Ya Mwili Wako Iko Juu

7.vaa Chupi Zitengenezavyo Kwa Vitu Harisi K**a Pamba Na Hariri

8.epuka Ulaji Mbaya Wa Chakula Hasa Punguza Vyakula Vyenye Kukupayia Sukari Kwa Wingi Mwilini

9.tumia Pads Zisizo Na Kemikali Na Zenye Vitu Vya Kukulinda Na Maambukizi,kukufanya Uwe Mkavu Na Huru.

kwa Maelezo Zaidi,
maoni Na Ushauri
matibabu Ya Fangasi Sugu Na Za Kawaida Kwa Kutumia Dawa Za Asili Zilizo Katika Mfumo Wa Kisasa Usisite Kupiga/sms/whatsap 0752988248

14/03/2022

𝑭𝑼𝑵𝑮𝑼𝑺 𝑲𝑾𝑨 𝑾𝑨𝑵𝑨𝑼𝑴𝑬 ( 𝑲𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝑼𝒖𝒎𝒆/𝑵𝒈𝒐𝒛𝒊 𝒚𝒂 𝑲𝒐𝒓𝒐𝒅𝒂𝒏𝒊 )

SEHEMU YA 1 🔨

📚 Ugonjwa huu wa fungus sehemu za siri umekua ukihusishwa sana na Wanawake na wengi hudhani kwamba wanaume hawapati fungus sehemu za siri. Hili si kweli , fungus huwezi kumuathiri mtu yeyote yule. K**a fungus ya uume ( Pe**le yeast infection ) isipotibika mapema huweza pelekea madhara mengi tu ikiwemo maumivu makali, kutokua huru n.k
📚 Pia isipotibika mapema huweza pelekea madhara makubwa tu hasa katika mfumo wa damu.

📤 JE, DALILI NI ZIPI ZA UGONJWA HUU ?

☂ Dalili za mwanzo za fungus ya uume ni k**a vile muwasho, mba, na ngozi ya eneo husika kuuma kwa mbali. Uchafu mweupe hivi ulioganda waweza onekana katika sehemu zenye mikunjo kwenye uume wako au katika govi k**a hujatahiriwa.

☂ Utasikia maumivu k**a ya kuungua vile na muwasho pia

📚 Wakati mwingine , wekundu , muwasho na maumivu katika uume huweza kukueleza kuhusu magonjwa mengine ya zinaa . Kwahiyo unapoona dalili k**a hizo katika uume wako usichelewe kuonana na daktari kupata msaada wa haraka.

📤 NINI HUSABABISHA FUNGUS YA UUME NA NGOZI YA KORODANI ?

Fungus ya uume na ngozi ya korodani husababishwa na fungus aina ya candida. Kwa kawaida kuna kiwango kidogo cha Candida katika miili yetu . Kwahiyo unapopatwa na fungus hawa maana yake ni kwamba Candida wamekua kwa kiwango kikubwa . Hali ya unyevunyevu ni rafiki sana kwa ukuaji wa candida.

Lakini sababu moja maarufu sana na kubwa kwa mwanaume kupata fungus ya uume ni pale anapokua amefanya ngono na mwanamke mwenye fungus ya uke ( Vaginal Yeast infection). Lakini waweza pia kupata fungus ya uume hata k**a hujafanya mgono na mwanamke . Pia usafi hafifu hupelekea fungus kukua na kuzaliana kwa wingi, mfano : k**a unavaa boxer na hubadilishi kwa muda mrefu , unavaa boxer mbichi , unaoga weekend tu , unavaa nguo za ndani nyingi n.k

INAENDELEA...

SEHEMU YA 2
📤 USHAURI :
Ikiwa hutaki kupata tatizo hili la fungus ya uume na hata maeneo ya ngozi ya korodani , basi epuka mambo haya :
☂ Usifanye ngono na Mwanamke mwenye fungus bila kutumia condom
☂ Fanya usafi wa sehemu zako za siri , ziwe safi na kavu
☂ Punguza idadi ya wapenzi
☂ Fanya usafi wa choo na bafu , uchafu wa maeneo hayo hupelekea urahisi sana wa wewe kupata fungus , na huenda ikawa inakurudia kila mara
NI HAYO TU

MWISHO NA ASANTENI 🤝🙏
Wasiliana nasi:0752988248

14/03/2022

*SABABU ZA NGIRI(Hernia)*

👉🏿Ukiondoa hernia inayotokana na upasuaji wa awali, mara nyingi hakuna sababu inayoeleweka ya kusababisha hernia. Watu walio kwenye hatari zaidi ya kupata hernia ni wenye umri mkubwa, na wanaume wapo kwenye hatari zaidi kuliko wanawake.

👉🏿Hernia inaweza kujitokeza mtoto anapozaliwa au kwa watoto waliozaliwa na dosari kwenye kuta za matumbo yao.

👉🏿Shughuli au madawa yanayosababisha mgandamizo kwenye kuta za tumbo vinaweza kusababisha hernia. Vitu hivi ni pamoja na:
👉🏿 Kujik**au kwa nguvu wakati wa haja kubwa kutokana na choo kuwa kigumu.
Kikozi cha mara kwa mara Kuwa na tatizo la cystic fibrosis. Kuvimba kwa tezi dume. Unene wa kupindukia. Kukojoa kwa shida. Kunyanyua vitu vizito. Maji tumboni. Lishe duni. uvutaji wa tumbaku. Korodani zisizoshuka. Uchovu wa mwili.
Je una tatizo?
Wasiliana nasi:0752988248

14/03/2022

```TATIZO LA MIMBA KUTUNGA NJE YA MFUKO WA UZAZI (Ectopic Pregnancy)```

Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi wa mwanamke au ectopic pregnancy ni tatizo ambalo limetokea kuathiri wanawake mbalimbali. Kwa kawaida, isipokuwa mara chache sana, mimba zitungazo nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua kuwa mtoto kamili. Aidha, mimba hizi ni hatari kwa afya ya mama mjamzito kwa vile humfanya kupoteza damu nyingi na hatimaye kusababisha kifo.

```AINA ZA ECTOPIC PREGNANCY```

Kuna aina kuu nne za mimba zinazotunga nje ya mfuko wa uzazi, nazo ni

Mimba zinazotunga kwenye mirija ya fallopian,
Mimba zinazotunga nje ya uterus na nje mirija ya fallopian,
Mimba zinazotunga ndani na nje ya uterus kwa wakati mmoja,
Mimba zinazojirudia kutunga nje ya mfuko wa Uzazi.

```NINI KINASABABISHA MIMBA KUTUNGA NNJE YA MFUKO WA UZAZI```

Katika mimba nyingi zinazotunga nje ya uterus, chanzo chake huwa hakijulikani. Hata hivyo kuna vihatarishi ambavyo humfanya mwanamke kuwa katika hatari ya kupata tatizo hili. Vihatarishi hivi ni pamoja na
Matatizo katika mirija ya fallopian
Magonjwa yanayoweza kusababisha hali hii ni pamoja na
Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke (PID)
Matumizi ya vitanzi vya kuzuia mimba (Intra-uterine contraceptive devices)
Kuoteana kwa tishu za uterus kwenye viungo vingine vya uzazi au endometriosis.
Uvutaji sigara
Upasuaji wa tumbo uliofanyika zamani
Matumizi holela ya baadhi ya dawa

```DALILI ZA ECTOPIC PREGNANCY```

Dalili ya awali ya kuonesha kuwa mimba imetunga nje ya kizazi ni kuwepo kwa maumivu makali na damu kutoka ukeni. Maumivu yanaweza kuwa kwenye nyonga, tumbo au wakati mwingine kwenye mabega au shingo (iwapo kiwango cha damu inayotoka kwenye mirija iliyopasuka ni kingi sana mpaka kugusa kiwambo cha hewa). Maumivu haya huweza kuwa makali na yanayokata k**a kisu, na yanaweza kuwa upande mmoja zaidi wa nyonga ingawa si lazima yawe upande ulio na mimba.

Call/whatsapp:0788465373

```Dalili nyingine ni pamoja na```

Kizunguzungu na kuzimia kwa sababu ya kupoteza damu kwa wingi
Shinikizo la damu kuwa chini, na
Maumivu ya chini ya mgongo
SULUHISHO LIPO
Wasiliana nasi:0752988248

14/03/2022

*CHANZO CHA NGIRI(hernia)*

👉🏿Hernia ni tatizo linalowasumbua watu wengi katika nchi nyingi duniani. Hernia mara nyingi hutokea kwenye maeneo ya tumbo, lakini huweza pia kutokea kwenye sehemu ya juu ya mapaja, kwenye kitovu, na kwenye maeneo ya kinena. Hernia haihatarishi maisha mara moja, lakini haiwezi kuondoka yenyewe na inaweza kuhitaji kufanyika kwa upasuaji.

Hernia mara nyingi hupewa majina kutokana na sehemu ya mwili inapojitokeza, ingawa mara nyingine majina huweza kutolewa kutokana na sababu nyingine za kuitambulisha. Kila hernia hutibiwa tofauti na nyingine kutokana na sehemu iliyopo na sababu nyingine za kitaalamu. Kuwa na elimu ya kutosha ya kila aina ya hernia itakusaidia kujua namna ya kutoa maamuzi sahihi ya tiba yake.

03/03/2022
03/03/2022

Address


Telephone

+255752988248

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uzaziplatform posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share