Afya ya mwanaume

Afya ya mwanaume �Huduma ya afya ya uzazi na ushauri
�Lishe&Mazoezi
�Tibu chanzo cha tatizo
�Athari za punyeto

+255625773883 Whatsapp

Umejifunza nini hapo.??
11/04/2022

Umejifunza nini hapo.??

How would you like your Aloe Vera?
11/04/2022

How would you like your Aloe Vera?

Je, wajua.!! Tuendelee kujifunza zaidi ya hapa🥑
11/04/2022

Je, wajua.!! Tuendelee kujifunza zaidi ya hapa🥑

DALILI ZA MTU ALIYEATHIRIWA NA PUNYETO*"Dalili kuu za mtu aliyeathiriwa na punyeto ni K**a ifutavyo"i. Uume kusinyaa na ...
11/04/2022

DALILI ZA MTU ALIYEATHIRIWA NA PUNYETO*

"Dalili kuu za mtu aliyeathiriwa na punyeto ni K**a ifutavyo"

i. Uume kusinyaa na kuwa k**a wa mtoto mdogo.

ii.Uume kurudi ndani

iii.Uume kusimama ukiwa legelege

iv.Kufika kileleni haraka wakati wa tendo la ndoa
Ndoa unakuja kuoa binti wa watu baada ya muda mfupi tu anashangaa tendo la ndoa huwezi anahisi una mchepuko njee au humpendi tena migogoro inaanza.... Kumbe kuna jambo lilishaharibika na hukuwahi kujua nini ili kurejesha hali imara murua.

MSAADA WA UHAKIKA UPO.
Hata hivyo inawezekana kabsa kuondoa hizo... Athari hizo zinazosababishwa na kujichua na muda mrefu.ingaweje ni lazima kuongea na mhusika na kujua amefanya hivyo kwa mdaa gani na mara ngapi kwa wiki n.k kwa mdaa wa miaka mingapi, na kufahamu mazingira aliyopo na mambo yaliyofanya akaanza kujichua, yote hayo tunasema in case to case basis.ila kuna njia za kukusaidi na kurejesha nguvu zako za kiume na kuimarisha tena misuli ya uume.

K**a unataka kusaidiwa na kuondoka na athari hizo karibu tuzungumze kwa ajili ya msaada zaidi.

JINSI PUNYETO (MA********ON) INAVYOATHIRI SUALA LA NGUVU ZA KIUME.*+255625773883K**a wewe upo kwenye mitandao mbalimbali...
11/04/2022

JINSI PUNYETO (MA********ON) INAVYOATHIRI SUALA LA NGUVU ZA KIUME.*
+255625773883

K**a wewe upo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii utakua umeshaona jinsi magroup ya mambo za picha za uchi na video za ngono yalivyo mengi kuanzia instagram facebook na whatsApp.washiriki wengi ni wanaume hasa ni vijana , na tafiti mbali mbali zinaonyesha kuwa wanaathiriwa na picha hizo huchochea kujichua (kupiga punyeto) ili kumaliza hamu zinazohamshwa na hisia kali za ngono baada ya kutizama picha hizo na video hizo.
Wengi wao hawafahamu namna gani swala hilo masterbation(kupiga punyeto) linavyoweza kuathiri afya ya uzazi hasa nguvu za kiume.
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo linalowakabili mamilioni ya wanaume duniani. Of course zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na maradhi ya kisukari,presha,shinikizo la damu, moyo,figo,matatizo kwenye mishipa ya ubongo & mishipa ya utii wa mgongo ,matatizo kwenye mishipa itumikayo kusafirisha damu mwilini ,maradhi ya ngiri, pamoja na upigaji punyeto kwa mdaa mrefu.
Na leo nataka tuangalie namna suala la upigaji punyeto linavyoathiri nguvu za kiume .

*JINSI PUNYETO INAVYO SABABISHA TATIZO LA UKOSEFU & UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.*

Mwanaume anapopatwa na wazo la kufanya tendo la ndoa ubongo hutoa ishara kwenye mishipa ya utii wa mgongo ambayo nayo husafirisha taarifa hadi kwenye mishipa & misuli ya uume.
Mishipa ya uume inapokea taarifa hiyo,hutanuka na mishipa ya uume inapotanuka, hufanya mambo mawili muhimu sana.

i.Husababisha mishipa ya ateri kupanuka na hivyo huruhusu damu kuingia kwa kasi sana ndani ya mishipa mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume usimame na kuwa imara bara bara.

ii.Huibinya na kuiziba mishipa ya vena na hivyo kuzuia kunyonya ama kufyonza damu iliongia ndani ya mishipa ya uume.

( KAZI KUBWA YA MISHIPA YA VENA ILIYOKARIBU NA MISHIPA YA UUME NI KUHAKIKISHA HAKUNA DAMU NDANI YA MISHIPA YA UUME, HIVYO BASI DAMU INAPOINGIA NDANI MISHIPA YA UUME , MISHIPA YA VENA HU "SENSE" JAMBO HILO KWA HARAKA NA HIVYO KUIFYONZA DAMU KUTOKA KWENYE MISHIPA YA UUME YA KUITOA NJE YA MISHIPA YA UUME , NA DAMU INAPOKOSEKANA NDANI YA MISHIPA YA UUME

We often become addicted to substances that make us feel good right away but depressed, fatigued and unhealthy hours lat...
11/04/2022

We often become addicted to substances that make us feel good right away but depressed, fatigued and unhealthy hours later.

👉When eating or drink ask yourself, are you feeding disease or fighting it?

Understand that you were designed💡 “The body is not made up of any alphabetical order it is made up of minerals and when...
11/04/2022

Understand that you were designed💡 “The body is not made up of any alphabetical order it is made up of minerals and when those minerals have been depleted, a disease ensues💛

11/04/2022
Forever health resolution inawatakia heri ya ramadhani na mfungo mwema🙏🙏🙏🙏🙏🙏Click link hapo chini ili huweze join katika...
03/04/2022

Forever health resolution inawatakia heri ya ramadhani na mfungo mwema🙏

🙏

🙏

🙏

🙏

🙏

Click link hapo chini ili huweze join katika group la AFYA NA MTINDO BORA WA MAISHA🙏

https://chat.whatsapp.com/Hc0Pylz9Cf59pp1TK2f8jO

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 22:00
Tuesday 09:00 - 22:00
Wednesday 09:00 - 22:00
Thursday 09:00 - 22:00
Friday 09:00 - 22:00
Saturday 09:00 - 22:00

Telephone

+255625773883

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya mwanaume posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram