11/04/2022
JINSI PUNYETO (MA********ON) INAVYOATHIRI SUALA LA NGUVU ZA KIUME.*
+255625773883
K**a wewe upo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii utakua umeshaona jinsi magroup ya mambo za picha za uchi na video za ngono yalivyo mengi kuanzia instagram facebook na whatsApp.washiriki wengi ni wanaume hasa ni vijana , na tafiti mbali mbali zinaonyesha kuwa wanaathiriwa na picha hizo huchochea kujichua (kupiga punyeto) ili kumaliza hamu zinazohamshwa na hisia kali za ngono baada ya kutizama picha hizo na video hizo.
Wengi wao hawafahamu namna gani swala hilo masterbation(kupiga punyeto) linavyoweza kuathiri afya ya uzazi hasa nguvu za kiume.
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo linalowakabili mamilioni ya wanaume duniani. Of course zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na maradhi ya kisukari,presha,shinikizo la damu, moyo,figo,matatizo kwenye mishipa ya ubongo & mishipa ya utii wa mgongo ,matatizo kwenye mishipa itumikayo kusafirisha damu mwilini ,maradhi ya ngiri, pamoja na upigaji punyeto kwa mdaa mrefu.
Na leo nataka tuangalie namna suala la upigaji punyeto linavyoathiri nguvu za kiume .
*JINSI PUNYETO INAVYO SABABISHA TATIZO LA UKOSEFU & UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.*
Mwanaume anapopatwa na wazo la kufanya tendo la ndoa ubongo hutoa ishara kwenye mishipa ya utii wa mgongo ambayo nayo husafirisha taarifa hadi kwenye mishipa & misuli ya uume.
Mishipa ya uume inapokea taarifa hiyo,hutanuka na mishipa ya uume inapotanuka, hufanya mambo mawili muhimu sana.
i.Husababisha mishipa ya ateri kupanuka na hivyo huruhusu damu kuingia kwa kasi sana ndani ya mishipa mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume usimame na kuwa imara bara bara.
ii.Huibinya na kuiziba mishipa ya vena na hivyo kuzuia kunyonya ama kufyonza damu iliongia ndani ya mishipa ya uume.
( KAZI KUBWA YA MISHIPA YA VENA ILIYOKARIBU NA MISHIPA YA UUME NI KUHAKIKISHA HAKUNA DAMU NDANI YA MISHIPA YA UUME, HIVYO BASI DAMU INAPOINGIA NDANI MISHIPA YA UUME , MISHIPA YA VENA HU "SENSE" JAMBO HILO KWA HARAKA NA HIVYO KUIFYONZA DAMU KUTOKA KWENYE MISHIPA YA UUME YA KUITOA NJE YA MISHIPA YA UUME , NA DAMU INAPOKOSEKANA NDANI YA MISHIPA YA UUME