JALI AFYA YAKO

  • Home
  • JALI AFYA YAKO

JALI AFYA YAKO 💊Fertility doctor.

(Mtabibu wa Changamoto za Uzazi).

🩺" Nasaidia wanaume na wanawake kutatua changamoto zao za uzazi kwa kutumia Tibalishe zilizothibitishwa".

💡"Kila mtu ana nafasi ya kuitwa Mama au Baba,usikate tamaa tupo kwa ajili yako".

22/10/2025

Ni changamoto gani ya kiafya imekuwa ikikusumbua kwa muda mrefu, licha ya kutumia dawa nyingi na pesa nyingi bila mafanikio?

21/10/2025

Mwanamke: Katu usijaribu kutoa Mimba hata k**a baba wa mtoto Ameikataa Mimba.

Eti! ni kweli!??
17/10/2025

Eti! ni kweli!??

✍️Hii ndio njia Bora na ya Asili ya kutibu changamoto ya mvurugiko wa Homoni ukiwa nyumbani kwako (Home Remedy).Jinsi ya...
16/10/2025

✍️Hii ndio njia Bora na ya Asili ya kutibu changamoto ya mvurugiko wa Homoni ukiwa nyumbani kwako (Home Remedy).

Jinsi ya YA Kutibu Tatizo la MVURUGIKO WA HOMONI (KUWEKA HOMONI SAWA) Kwa Kutumia Juice Ya VIAZI VYEKUNDU (BEETROOT)🫜 na KAROTI.🥕

Chukua beetroot mbili na karoti mbili kisha zioshe na umenye vizuri kuondoa maganda.

Katakata vipande vidogo vidogo kisha saga(blend) kwa pamoja kwa kutumia nusu lita ya maji.

Baada ya kusaga Utachuja vizuri na unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kwa siku 30 mfululizo.

Unaruhusiwa kuweka asali na kutunza kwenye friji kwa ajili ya Matumizi ya baadae.

♻️K**a unasumbuliwa na changamoto zingine za Uzazi na nyinginezo na unahitaji kuzitatua Kwa kutumia Tiba Bora za Asili na zenye ubora, basi wasiliana nasi Kwa msaada zaidi . +255717920637

15/10/2025

Ukimuona Mtu anaongea Peke yake Barabarani Muache Wala usimcheke, Nawe Zamu yako inakuja.

Wanaume wote wenye Vitambi Huwa na changamoto ya mvurugiko wa Homoni na upungu wa Nguvu za kiume...!✍️Unataka ujue ni kw...
13/10/2025

Wanaume wote wenye Vitambi Huwa na changamoto ya mvurugiko wa Homoni na upungu wa Nguvu za kiume...!

✍️Unataka ujue ni kwanini?, nifuatilie chini👇

📍Kitambi kikubwa kinaleta mvurugiko wa homoni kwa sababu mafuta ya tumboni (visceral fat) yana tabia ya kipekee ambayo huathiri mfumo wa homoni kwa njia zifuatazo:

1️⃣. Mafuta ya tumboni ni "active" kimwili – Hayakai tu mwilini k**a hifadhi ya nishati, bali hutoa kemikali na homoni zinazochafua mfumo wa kawaida wa homoni mwilini.

2️⃣. Huongeza homoni ya estrogeni kwa wanaume – Mafuta mengi hubadilisha homoni za kiume (testosterone) kuwa za k**e (estrogen), na kusababisha matatizo k**a kupungua nguvu za kiume, hamu ya tendo la ndoa kushuka, na hata kuota matiti kwa wanaume.

3️⃣. Huathiri homoni ya insulin – Mafuta ya tumboni hupunguza uwezo wa mwili kuitikia insulin, hali ambayo husababisha kisukari na kuvuruga homoni zingine zinazohusiana na nishati na njaa.
,,

4️⃣. Huongeza homoni ya cortisol (msongo wa mawazo) – Mafuta ya tumboni huzalisha cortisol kwa wingi, ambayo huongeza msongo wa mawazo, huongeza njaa, na kuvuruga usingizi.

♻️Kitambi ni Ugonjwa wa k**a Magonjwa mengine, na Ugonjwa huu unasababishwa na Mfumo mbovu wa Ulaji na maisha Kwa ujumla.
Ili kupona changamoto hii, Hakikisha unabadilisha namna ya Ulaji, punguza Matumizi ya wanga, Sukari na Mafuta mengi.

Kula sana vyakula vya protein,Mafuta Asilia k**a ya Nazo،mzaituni, parachichi nk. Pia Jitahidi ufanye mazoezi mara Kwa mara Ili uchome Mafuta mabaya mwilini na kujenga misuli imara ya mwili.

👉Ukimuona mtu ana Kitambi, mpe pole sana na umuambie apunguze Kitambi.

.

✍️K**a unataka muongozo sahihi wa Kupunguza Kitambi, nyama uzembe na changamoto za Uzazi Kwa ujumla basi wasiliana nami Ili kupata muongozo huo.
Click button hii ya Whatsapp kupata muongozo huo.

12/10/2025

Being “nice” doesn’t mean you’ll be respected.

People take advantage of men who lack boundaries.

📌K**a haupati morning glory (hausimamishi Asubuhi) basi unashida kubwa sana!!!.👉Moja ya sifa ya mwanaume rijali ni kuamk...
11/10/2025

📌K**a haupati morning glory (hausimamishi Asubuhi) basi unashida kubwa sana!!!.

👉Moja ya sifa ya mwanaume rijali ni kuamka asubuhi uume ukiwa umesimama mithili ya mchongoma.

👉Hali ya uume kusimama legelege wakati wa tendo au kutosimamisha kabisa nyakati za asubuhi ni dalili mbaya kwa mwanaume.

♻️Endapo unapitia hali hiyo, Fanya Hivi chukua Vijiko 3 vya Karafuu kisha chemsha kwenye Maji kwa dk 15 Tu.
Kunywa kikombe 1 Angalau mara 3 kwa wiki..💦

✍️Kwa Ushauri na Tiba makini zaidi kuhusu changamoto za Afya ya Uzazi usisite kuwasaliana nasi ☎️+255717920637/Whatsp.

✍️Siku hizi Wanawake wengi wamekuwa wakipata changamoto ya kuharibika kwa mimba mara kwa mara (Recurrent miscarriage) bi...
10/10/2025

✍️Siku hizi Wanawake wengi wamekuwa wakipata changamoto ya kuharibika kwa mimba mara kwa mara (Recurrent miscarriage) bila kujua tatizo ni nini hasa.
Lakini habari njema ni kwamba chanzo kinaweza kutambulika na kutibiwa.

🤰 Baadhi ya Sababu Zinazoweza Kusababisha Tatizo Hilo ni :-

1️⃣Tatizo la homoni.
Upungufu wa homoni ya progesterone au magonjwa k**a PCOS na matatizo ya tezi (thyroid).

2️⃣Tatizo la kimaumbile kwenye mfuko wa uzazi (uterus).
Mfuko wa uzazi unaweza kuwa na umbo lisilo la kawaida (septate uterus), makovu au uvimbe (fibroids, polyps).

3️⃣Sababu za kijenetiki (chromosomal abnormalities)
Mayai au mbegu zikiwa na hitilafu ya kijenetiki mimba hushindwa kukua ipasavyo.

4️⃣Magonjwa ya kinga ya mwili (autoimmune disorders)
Mfano Antiphospholipid syndrome, ambapo mwili hushambulia mimba k**a kitu cha kigeni.

5️⃣Maambukizi ya muda mrefu
K**a toxoplasmosis, listeria, chlamydia, ureaplasma, au syphilis.

6️⃣ Mtindo wa maisha
Uvutaji wa sigara, pombe, msongo wa mawazo, au uzito mkubwa (obesity).

♻️Endapo unapitia Hali Hii :-

✅Fanya uchunguzi wa homoni, maumbile ya kizazi, na kinga ya mwili.

✅Zungumza na daktari kwa tiba na ushauri.

✅Epuka sigara, pombe na msongo wa mawazo.

✅Kula lishe bora yenye madini ya chuma na folic acid.

📌Habari njema ni kwamba Mara nyingi, chanzo cha tatizo kinaweza kugunduliwa na kutibiwa.

✍️K**a unakutana na changamoto hii, wasiliana nasi Kwa msaada wa ushauri na tiba.

Barua ya wazi kwa wanaume wote!!!.✍️Ukweli ni kwamba wanaume wote wenye changamoto ya Upungufu wa Nguvu za kiume Huwa wa...
06/10/2025

Barua ya wazi kwa wanaume wote!!!.

✍️Ukweli ni kwamba wanaume wote wenye changamoto ya Upungufu wa Nguvu za kiume Huwa wanapitia wakati mgumu sana Kwa kuelemewa na Msongo wa mawazo, ufanisi wa kazi Kupungua, wengine Huwa wanakuwa wakali k**a pilipili nk.

👉Hali hiyo Huwa inakuja mara baada ya kukumbuka Ile Aibu na fedheha wanayoipata wakiwa faragha na wenza wao, yani Mwenza wake Ana hamu sana ya kukatwa kiu chake jamaa ndani ya dakika 2 tayari Ameshalibwaga.
Atajitahidi ajitetee oh! Baby sipo vizuri Leo nk.
Lakini hali yake hiyo ipo Kila siku, mpaka inafikia Hatua mwenza wako anapata mawazo ya kuanza kuku cheat Kwa Sababu haumridhishi kwenye tendo la ndoa.

✨Kibaya zaidi ni kwamba hautaki kutafuta Suluhisho la Tatizo lako pengine huenda ukajihisi upo sawa kumbe mwenzetu Hali yako ni mbaya sana.

📌Sikia nikwambie!!!

♻️ Jifunze kutenga kiasi Fulani Cha pesa Kwa ajili ya kutatua changamoto zako za kiafya na zingine Binafsi. Wanaume wengi wanajisahau sana hasa hasa linapokuja swala la kujigharamia wao Binafsi. Hata waswahili husema "unapotafuta usisahau kuishi".

🥏Kumbuka Hao unaohisi kwamba hawawezi kuishi bila wewe, siku ukitoweka Duniani wataendelea kuishi Bila wewe na watakusahau.
Jifunze kujipenda na kujihudumia.

👉 Ili kuonesha kwamba unajipenda na upo serious na Afya yako basi ni lazima ujiunge na Program maalumu ya (RIJALI POWER) Ili kuweza kurudisha heshma yako nyumbani na uanaume wako, usipochukua Hatua haraka Leo basi utaendelea kuaibika na kudharaurika na utapoteza mamlaka ndani ya nyumba yako.

Tuma Ujumbe mfupi Whatsapp "RIJALI POWER" Ili kujiunga na program hii, kumbuka program hii sio ya Kila mtu. ☎️+255717920637

30/09/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Rajabu Almasi, Moses Nakwawi, Lugano Kyonde, Elkan Peter, Veronicka Binti John, Shuku Sam Chembe, Spacka Marwa

wanaume wote ni waaminifu.
28/09/2025

wanaume wote ni waaminifu.

Address

Ilala Boma

Telephone

+255717920637

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JALI AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JALI AFYA YAKO:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram