Afya care

Afya care Healthy is the best treatment
(afyacare ๐Ÿฅ Hospital) life additional

20/11/2023
๐Œ๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐Ÿ“ ๐˜๐š ๐Œ๐จ๐ฒ๐จ ๐”๐ค๐จ ๐‡๐š๐ญ๐š๐ซ๐ข๐ง๐ข ๐Š๐ฎ๐ฒ๐š๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐Š๐š๐ฆ๐š ๐‡๐ฎ๐ฃ๐š๐๐ก๐ข๐›๐ข๐ญ๐ข ๐๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐šUnaweza Kudhibiti Presha. Pia unaweza kuepuka madhara ya...
21/06/2023

๐Œ๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐Ÿ“ ๐˜๐š ๐Œ๐จ๐ฒ๐จ ๐”๐ค๐จ ๐‡๐š๐ญ๐š๐ซ๐ข๐ง๐ข ๐Š๐ฎ๐ฒ๐š๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐Š๐š๐ฆ๐š ๐‡๐ฎ๐ฃ๐š๐๐ก๐ข๐›๐ข๐ญ๐ข ๐๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š

Unaweza Kudhibiti Presha. Pia unaweza kuepuka madhara ya presha. Usipodhibiti, shinikizo la damu la juu, au k**a linavyojulikana sana , linaweza kuwa na athari kubwa kwa afya ya moyo na kusababisha matatizo mbalimbali.

Presha inapokuwa juu huleta ukinzani na kusababisha moyo kufanya kazi ya kusukuma damu kwa kutumia nguvu zaidi, hivyo kuongeza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na mishipa ya damu.

Baadhi ya matatizo yanayoweza kusababishwa na presha kwenye moyo ni k**a yafuatayo:

๐Ÿญ. ๐—จ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜†๐—ผ
Presha inaweza kusababisha mishipa inayosambaza damu kwenye moyo kukak**aa na kuwa membamba zaidi na kupunguza mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo..

๐Ÿฎ. ๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ
Kazi kubwa ya kusukuma damu ambayo moyo hufanya kwasababu ya presha inaweza kusababisha misuli ya moyo kuwa mikubwa.

Hii ni k**a kwa watunisha misuli, misuli yao huongezeka kadiri wanavyonyanyua uzito mkubwa.

Tofauti ya ukuaji wa misuli ya moyo huathiri uwezo wa moyo kusukuma damu kwa ufanisi.

Matokeo yake moyo hushindwa kufanya kazi vizuri, mapigo ya moyo, na kuongeza hatari shambulio la moyo.

๐Ÿฏ. ๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฒ๐—น๐—ถ
Presha isiyodhibitiwa inaweza kusababisha moyo kufanya kazi kwa nguvu zaidi na kupoteza uwezo wake wa kusukuma damu kwa ufanisi. Maana yake ni kwamba k**a moyo utashindwa kusukuma damu kwa kiwango kinachotakiwa, hautaweza kupokea damu kwa kiwango kinachotakiwa.

๐Ÿฐ. ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜†๐—ผ
Presha inaweza kuvuruga shughuli ya kawaida ya umeme katika moyo, hivyo kusababisha mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida (matatizo ya mapigo ya moyo).

Matatizo haya ya mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida yanaweza kuongeza hatari ya matatizo k**a vile kuganda kwa damu, kiharusi, na shambulio la moyo.

๐Ÿ“. ๐’๐ก๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฅ๐ข๐จ ๐Œ๐จ๐ฒ๐จ
Shinikizo la damu la juu (presha) linachangia kuharibu mishipa ya damu, hali inayosababisha kujengeka kwa utando ndani ya mishipa.

Iwapo utando utabandukana na kuziba njia ya damu kwenye mishipa ya damu inayosambaza damu kwenye moyo. Shambulio la moyo hutokea pale misuli ya moyo inapokosa damu ya kutosha.

Nimekuandikia makala kukufahamisha kwa kina kuhusu somo hili na namna ya kujikinga lakini hapa hapatoshi.

Kufahamu zaidi 0744 064 283

A fever is usually a sign that your body is fighting an infection. Learn how to treat fever fuatilia รฉlimu huru afya na ...
11/04/2023

A fever is usually a sign that your body is fighting an infection.

Learn how to treat fever fuatilia รฉlimu huru afya na doctors Afyacare
0744064283

There are times when lethargy is normal, like if youโ€™ve just engaged in physical activity or havenโ€™t gotten enough sleep...
08/04/2023

There are times when lethargy is normal, like if youโ€™ve just engaged in physical activity or havenโ€™t gotten enough sleep. But lethargy can also be a sign of something more serious and should be brought to a healthcare providerโ€™s attention.

To learn everything you need to follow doctors Afyacare
0744064283

Je ni sababu gani zinazoweza kukuua wakati wa tendo la ngono?0744064283
31/03/2023

Je ni sababu gani zinazoweza kukuua wakati wa tendo la ngono?

0744064283

Karibu huduma za afya ukiwa na Dr afyacare
05/03/2023

Karibu huduma za afya ukiwa na Dr afyacare

29/12/2022

๐‰๐ž, ๐Œ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐Š๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐š๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ฏ๐ฒ๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐ ๐š?


Mgonjwa wa kisukari hakatazwi kula vyakula vya wanga. Cha kuzingatia ni aina ya wanga ambao mgonjwa wa kisukari anataka kula. Inakupasa kuzingatia mambo matatu (3):

1- Aina ya wanga,

2- Upatikanaji wa sukari kwenye chakula hicho, na

3- Ufyonzwaji wa sukari kutoka tumboni na kuingia kwenye damu.

Haya ndiyo mambo muhimu kuzingatia kuliko wanga wenyewe.

Kuna makundi matatu ya wanga. Aina ya kwanza ni sukari k**a ile tunayopata kwenye sukari ya chai na asali. Aina ya pili ni k**a ile ya kwenye matunda, na aina ya tatu mfano wake ni wanga tunaoupata kwenye ugali, mihogo na vyakule vingine vyenye rangi ya weupe.Wanga hubadilishwa kuwa sukari.



Wataalamu wa lishe wamegawanya vyakula vya wanga kulingana na kasi ya kupanidisha sukari pindi mtu anapovila. Ili Mgawanyo huu hukusaidia kuelewa na hivyo kushauri aina ya vyakula vya wanga vinavyofaa kutumiwa kwa kiwango na wakati muafaka.



Kipimo cha uwezo kasi ya chakula cha wanga kupandisha sukari huitwa Glycemic Index (GI). GI huanzia 1 (kiwango kidogo cha kupandisha sukari) mpaka 100 (Kiwango kikubwa kabisha cha kupandisha sukari kwenye damu baada ya kula).

Nimekuandikia kinagaubaga makala itakayokuwezesha kudhibiti kisukari kwa njia ya chakula.

Fahamu zaidi kwa kubonyeza link hapo chini.
Dr.afyacare dktat wa-wa-kisukari-fahamu-vyakula-salama/

Ungependa kufahamu namna ya kudhibiti   na madhara yake? Leo nitakufahamisha kuhusu kisukari na ugonjwa wa figo. Kisukar...
17/10/2022

Ungependa kufahamu namna ya kudhibiti na madhara yake? Leo nitakufahamisha kuhusu kisukari na ugonjwa wa figo.

Kisukari na ugonjwa wa huenda pamoja. Epuka figo kuharibika kwa kuwa na elimu sahihi ya nini cha kufanya.

Kisukari husababisha Ugonjwa wa figo kwa namna mbili: namna ya kwanza ni madhara ya moja kwa moja yatokanayo na uwepo wa kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu na njia ya pili ni mchango wa kisukari kusababisha shinikizo la juu damu-presha.

Lakini madhara yote yanayotokea kwenye figo yanaweza yasiwe na dalili yeyote๐Ÿ˜ญ mpaka pale ambapo madhara yamekuwa makubwa.

๐Ÿ˜ŠLakini habari njema ni kwamba, madhara yote haya yanaweza kugundulika na kupunguza hatari ya figo kufeli k**a utafanya vipimo sahihi kwa wakati sahihi na kuchukua hatua stahiki.

Tafiti mbali mbali zinashauri mgonjwa wa kisukari kufanya yafuatayo ili kuepuka au kupunguza hatari ya kupata madhara kwenye figo.

1๏ธโƒฃ Dhibiti sukari kwenye damu yako kadri uwezavyo.

2๏ธโƒฃ Pata kipimo cha HBA1C angalau mara mbili kwa mwaka, mara nyingi zaidi ikiwa dawa yako itabadilika au ikiwa una hali zingine za kiafya.

3๏ธโƒฃ Hakikisha unafahamu kiwango chako cha presha ya damu. Angalau shinikizo la damu yako liwe chini ya 140/90 mm/Hg.

4๏ธโƒฃ Weka uwiano wako wa uzito na kimo katika wastani unaoshauriwa kiafya.

5๏ธโƒฃ Fahamu na dhibiti kiwango cha lehemu (cholesterol) kwenye damu.

6๏ธโƒฃ Epuka kiwango kikubwa cha chumvi- hasa ile ya kuongeza mezani.

7๏ธโƒฃ Kula matunda na mboga zaidi.

8๏ธโƒฃ Fanya shughuli zinazotumia nguvu ya mwili k**a vile mazoezi.

9๏ธโƒฃ Fuata maelekezo ya matumizi ya dawa zako.

Kwa kufuatilia andiko hili najua umeng'amua jambo 1 muhimu kulifanya ili uweze kuidhibiti kisukari na madhara yake KIUHAKIKA! Je, nikweli Umelifahamu?

Jambo hili ndio msingi ukilikamilisha njia zingine zote zinafuata. Ukishindwa kulifanya hili njia zingine zinakuwa na vikwazo na huwenda zisifanikiwe.

Hili ni jambo ambalo ni LAZIMA kufanya kwa kudhibiti/ kuepuka na kukuwezesha kuchukua tahadhari ya madhara yote ikiwamo Moyo kufeli, kiharusi nk.

Bado tuu? K**a hujalifahamu, na ungependa kulifahamu basi wasiliana na afyacare (MOBILE CLINIC) 0744064283

๐—จ๐—น๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐— ๐—ฏ๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ž๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎMboga za majani na matunda yanapunguza presha kwa kiwango ka...
28/09/2022

๐—จ๐—น๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐— ๐—ฏ๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ž๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ
Mboga za majani na matunda yanapunguza presha kwa kiwango kati ya 8mmHg-12mmHg. Je, ule kiasi gani.

๐— ๐—ฏ๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ angalau; 1/2 kilo ya mbichi, Au robo kilo ya mboga zilizopikwa, robo lita ya juice ya mbogamboga

๐— ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ด ๐Ÿฐ โ€“ ๐Ÿฑ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ angalau; Machungwa manne au matunda 4 yenye ukubwa sawa na chungwa la kawaida
Kikombe kimoja cha matunda yaliokaushwa au Lita moja ya juisi ya matunda

Unahitaji kufahamu kuhusu aina ingine ya vyakula k**a vile nafaka na nyama?

Makala nzima nimekuandikia, wasiliana na afyacare 0744062483

09/08/2022

Mpendwa mtanzania mwenzangu nipende kukupa elimu ya afya itokanayo na magonjwa yasio ya kuambukiza , like na weka comment yako kisha tuma ujumbe wsup tukupe elimu; choose a healthy life with Dr afyacare

*KWANINI WANAWAKE WENGI  HAWAPATA UJAUZITO*kumekuwa na sababu nyingi kwa wanawake Kushindwa kubeba ujauzito, Mwanamke an...
18/07/2022

*KWANINI WANAWAKE WENGI HAWAPATA UJAUZITO*

kumekuwa na sababu nyingi kwa wanawake Kushindwa kubeba ujauzito,

Mwanamke anaweza kubeba mimba kwa urahisi sana Endapo ana sifa Zifuatazo :.

๐Ÿ‘ฃMayai yanakomaa na kupevuka vizuri

๐Ÿ‘ฃMirija ya uzazi haikuvimba wala kuziba au kuwa na kakovu

๐Ÿ‘ฃmji wa mimba au uterus ipo safi na hauna Vivimbe

๐Ÿ‘ฃKizazi hakina uambukizo wa aina yoyote, fangasi, UTI,(Urinary Track Infection), PID - (Pelvic Inflammatory Disease )

๐Ÿ‘ฃHomoni zake zimebalance vizuri

๐Ÿ‘ฃUTE wa Uzazi /OVULATION uwepo katika siku za hatari.

โœUwezo wa kupata sifa hizo na kukufanya ubebe mimba upo.K**a unamfahamu mtu mwenye changamoto hii Usisite kumpatia mawasiliano yetu tumuhudumie. 0625047194

Touching, patting or holding your baby bump doesnโ€™t just make you feel warm and fuzzy, it might make your baby feel good...
17/07/2022

Touching, patting or holding your baby bump doesnโ€™t just make you feel warm and fuzzy, it might make your baby feel good too. Research shows that fetuses respond powerfully to belly touches by moving around. What's more, theyโ€™re more likely to react to familiar touches from you than touches from strangers.
karibu kwa huduma ya afya ya uzazi kutoka kwetu wabobezi wa afyacare kwa afya ya uzazi wasiliana no 0625047194

14/07/2022

Emergency!!

Need 2unit blood in
Shalimar hospital Indra nagar
Lucknow.
Anyone can help!!

DM Plz ๐Ÿ™

Address


Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 22:00
Thursday 08:00 - 22:00
Friday 08:00 - 22:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255744064283

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya care:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram