AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NI MTAJI, Medical and health, Zanzibar City.

Afya salama hukaa kwenye Mwili salama jenga Afya yako Leo na Dr Hussain

Jiunge kwenye group letu la afya kwa elimu zaidi ili kujiunga Bonyeza link hapa chini
https://chat.whatsapp.com/CuZqvAqbgIQ6tG4XqlMcZH?mode=gi_t

Wasiliana nasi kwa 0743322575

Jinsi ya kupata ujauzito kwa muda Wa wiki 2 tuJe wewe ni miongoni mwa wanawake mnaoteseka na swala la uzaziHuenda una mt...
26/03/2026

Jinsi ya kupata ujauzito kwa muda Wa wiki 2 tu

Je wewe ni miongoni mwa wanawake mnaoteseka na swala la uzazi

Huenda una mtoto mmoja mpaka watatu lakini imekuwa ni ngumu sana kupata mtoto mwengine

Au wewe ni miongoni mwa wanawake mnaoteseka na masuala ya fangas, PID UTI Au hata matatizo ya hormone na yanapelekea kushindwa kupata ujauzito

Au wewe ni miongoni mwa wanawake munaojihisi muna dalili zote za ujauzito lakini ukipima hakuna kitu

K**a huyo ni wewe basi Ujumbe huu ni kwa ajili yako

Naitwa Dr Hussein ni mtaalamu wa masuala ya uzazi kwa wanawake

Nimeshasaidia wanawake zaidi ya 350 kuweza kutimiza ndoto zao na kuitwa mama kwa Kuwapa mwongozo pamoja na Ushauri

Mwongozo Huu utakusaidia kujua jinsi Gani unaweza kujua chanzo cha tatizo lako Tatizo lililopo na Viashiria vya tatizo lingine

K**a unahitaji Mwongozo Huu basi Bonyeza Neno WhatsApp Apo Chini Kisha Tutawasiliana

Pia Nimeandaa Darasa La Bure Kwa watu 30 Tu ili niwe na wepesi Wa kutoa elimu

Hivyo Sitapokea watu baada ya Idadi hiyo ya watu kutimia

Mwenye kujali afya yako

Dr Hussain

Mawasiliano
0695489017

JINSI YA KUONGEZA UWEZEKANO WA KUBEBA UJAUZITO BAADA YA HEDHI.🀰Tafuta karafuu usage mwenyewe upate unga wake kisha chems...
18/03/2026

JINSI YA KUONGEZA UWEZEKANO WA KUBEBA UJAUZITO BAADA YA HEDHI.🀰

Tafuta karafuu usage mwenyewe upate unga wake kisha chemsha maziwa fresh kikombe kimoja.

Weka kijiko kimoja cha karafuu uliyosaga kwenye kikombe cha maziwa yaliyochemshwa.

Kunywa asubuhi kikombe kimoja kabla ya kula chochote na usiku kikombe kimoja wakati wa kulala baada ya kumaliza hedhi kwa siku 7 mfululizo.

Usiongeze chochote zaidi ya maelekezo tajwa hapo juu.❌

Itakusaidia:πŸ‘‡
1. Kusafisha shingo ya kizazi ili mbegu zisafiri kiurahisi.
2. Kusafisha tumbo la uzazi na kuandaa mfuko wa kizazi kupokea ujauzito.
3. Kuongeza hamu na hisia za kushiriki tendo la ndoa.
4. Kuongeza ute wa mimba.

Jinsi ya kupona maradhi yote ya Mfumo Mzima Wa uzazi kwa wanawake na wanaumeHuenda Wewe ni mwanamke na Unachangamoto ya ...
12/03/2026

Jinsi ya kupona maradhi yote ya Mfumo Mzima Wa uzazi kwa wanawake na wanaume

Huenda Wewe ni mwanamke na Unachangamoto ya kutokwa na uchafu ukeni, fangas zisizokwisha, uvimbe kwenye kizazi na Matatizo mengine mbalimbali yanayohusu Mfumo wa uzazi

Au Wewe Ni Mwanaume Na unasumbuliwa na tatizo la Kuwahi Kufika Kileleni, uume kuwa mlegevu wakati wa tendo, tezi dume, manii Zako kushindwa kulifikia yai na kusababisha Kutopata Mtoto pamoja na Matatizo mengine ya mfumo wa uzazi

K**a wewe ni miongoni mwa watu Wanaosumbuliwa na haya matatizo Basi Ujumbe Huu Ni Kwa Ajili Yako

Naitwa Dr. Hussein ni mtaalamu wa masuala ya uzazi kwa wanawake na wanaume na nimeshasaidia watu Zaidi ya 200 Kuwapa Mwongozo Wa Jinsi Gani Wanaweza Kupata Suluhisho La Matatizo Yao na wengi wao walikuwa akihitaji watoto

Mwongozo Huo Umewasaidia Kuwapa Elimu Pamoja Na vipimo vilivyowasaidia kugundua chanzo Cha Matatizo Yao

Ili Kupata Mwongozo Huu Bonyeza Neno WhatsApp Apo Chini Kisha Tutawasiliana...

Kwa Kuwa Nimeandaa Darasa La Bure Nahitaji Watu 30 pekee ili nipate utulivu katika kuwaelekeza jinsi Gani Wanaweza Kupata Suluhisho La Matatizo Yao

Wahi Mapema sababu Sitapokea Mtu Baada Ya Idadi hiyo ya watu kutimia

Pia unaweza kujiunga kwenye group letu la afya kwa elimu zaidi ili kujiunga Bonyeza link hapa chini
https://chat.whatsapp.com/EpBG206ef7xFN05ZvZQ4ug?mode=ac_t

Mwenye kujali afya yako

Dr. Hussein

Simu 0695489017

Nyote munakaribishwa

NJIA RAHISI ZAIDI YA KUONGEZA DAMU KWA MJAMZITO  KUTIBU CHANGAMOTO YA MACHO KUWA K**A YAMEVIMBA na KUONA GIZA GIZA MDA M...
06/03/2026

NJIA RAHISI ZAIDI YA KUONGEZA DAMU KWA MJAMZITO KUTIBU CHANGAMOTO YA MACHO KUWA K**A YAMEVIMBA na KUONA GIZA GIZA MDA MWINGINE.🀰

Fuatisha maelekezo haya:πŸ‘‡

Tengeneza juisi ya beetroot mbili,🫜 karoti mbiliπŸ₯• na apple moja.🍎 Weka maji nusu lita kisha saga pamoja uchuje vizuri.

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Weka asali ukihitaji.
2. Weka kwenye friji kwa ajiri ya baadae.
3. Kila siku tengeneza mpya.
4. Kunywa siku 7 mpaka 14 kisha pima tena wingi wa damu yako.

JE, HUWA UNAUMWA CHOCHOTE KABLA HUJAINGIA SIKU ZAKO (HEDHI)?.K**a jibu ni NDIYO basi kuna kitu hakiko sawa hata k**a siy...
04/03/2026

JE, HUWA UNAUMWA CHOCHOTE KABLA HUJAINGIA SIKU ZAKO (HEDHI)?.

K**a jibu ni NDIYO basi kuna kitu hakiko sawa hata k**a siyo kikubwa lakini kipo na wengi huwasumbua hivo kutokuamini k**a inawezekana kuingia period bila taarifa.

JIFUNZE KITU HAPAπŸ‘‡

Period siyo ugonjwa kila mwanamke lazima aingie period awe amejiandaa au hajajiandaa.

Kwa kuwa siyo ugonjwa hautakiwi kupata dalili yoyote, kuumwa popote kuwa umekaribia au upo period. Kitu pekee cha kujua ni mzunguko wako tu kuwa tarehe fulani nitaingia hedhi lakini siyo viashiria vingine kwenye mwili.

Siyo kiuno, siyo tumbo, siyo kichwa, siyo chunusi, siyo maziwa kujaa au kuuma.

Haitakiwi.❌

Ni ugonjwa pekee ndiyo una dalili lakini period siyo ugonjwa.

Ukiona umepata dalili kuwa umekaribia period na ukaingia ujue kuna kitu hakipo sawa hata k**a siyo kikubwa lakini kipo.

Watu hawaamini k**a unaweza kuingia period bila kuumwa chochote lakini baada ya kutumia juisi wameamini.

Mfano:πŸ‘‡

Ukiumwa tumbo, kiuno, nyonga, ukikaribia au ukiwa period hilo ni chango la Uzazi. juisi ya bamia na chai ya mchaichai inakuhusu.

Ukiona maziwa yamejaa, yanatoa maji maji, yanauma au yanatoa maziwa kabisa ukikaribia au ukiwa period hiyo ni mvurugiko wa homoni. Tena ni prolactin homoni ipo juu ndiyo maana inafanya maziwa yaume, wengine kujaa, wengine kutoa maji maji na baadhi kutoa maziwa maziwa kabisa ilihali siyo WAJAWAZITO wala hawanyonyeshi hasa wanapokaribia au wawapo period.

Kwa ufupi period siyo ugonjwa hivyo hutakiwi kupata dalili yoyote au maumivu yoyote kuwa umekaribia kuingia period au upo period.πŸ™

NINI KIFANYIKE?.

1. Tibu chango la uzazi kwa kutumia juisi ya bamia na chai ya mchaichai. Vile vile juisi ya bamia husaidia homoni kuwa sawa ikiwemo kutokupata chunusi kabla au kipindi cha period.

2. K**a umeingia period maumivu ni makali tumia hii k**a huduma ya kwanza; (Tengeneza chai ya mchaichai mwingi, maji kikombe kimoja, ukichemka chuja weka kwenye kikombe kisha kamulia limao moja zima. Weka asali vijiko viwili unywe 1x3 kwa siku 3 mfululizo).

Kwa mwenye vidonda vya tumbo asiweke limao bali atumie mchaichai pekee na asali.

3. K**a maumivu ya hedhi yako yanasababishwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai hakikis

K**A UNATAKA KUSAFISHA KIZAZI BAADA YA  MIMBA KUHARIBIKA au KUTOKA hata k**a umesafishwa Hospital tumia ili uwe imara za...
22/02/2026

K**A UNATAKA KUSAFISHA KIZAZI BAADA YA MIMBA KUHARIBIKA au KUTOKA hata k**a umesafishwa Hospital tumia ili uwe imara zaidi kwa haraka.

Fuatisha hii:πŸ‘‡

Chukua kitunguu maji kimoja, vitunguu swaumu punje 5, na tangawizi kipande kimoja.

Katakata vipande vidogo vidogo kisha saga kwa pamoja kwa kutumia maji ujazo wa glass moja.

Kisha chuja na weka asali kijiko kimoja unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kila siku kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Ukimaliza kuchuja kunywa hapo hapo yote isikae mda mrefu baada ya kutengenezwa.
2. Usiweke kwenye friji.❌
3. Kila ukitaka kutumia tengeneza mpya.
4. Mwenye vidonda vya tumbo asitumie.❌
5. Pia itakusaidia kuzuia changamoto zinazoweza kujitokeza baada ya kuharibikiwa k**a vile mirija kuziba, kupata fangasi au P.I.D.

Address

Zanzibar City

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram