AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI Afya salama hukaa kwenye Mwili salama jenga Afya yako Leo na Dr Hussain

Wasiliana nasi kwa 0743322575

Jinsi ya kupona maradhi yote ya Mfumo Mzima Wa uzazi kwa wanawake na wanaumeHuenda Wewe ni mwanamke na Unachangamoto ya ...
03/02/2026

Jinsi ya kupona maradhi yote ya Mfumo Mzima Wa uzazi kwa wanawake na wanaume

Huenda Wewe ni mwanamke na Unachangamoto ya kutokwa na uchafu ukeni, fangas zisizokwisha, uvimbe kwenye kizazi na Matatizo mengine mbalimbali yanayohusu Mfumo wa uzazi

Au Wewe Ni Mwanaume Na unasumbuliwa na tatizo la Kuwahi Kufika Kileleni, uume kuwa mlegevu wakati wa tendo, tezi dume, manii Zako kushindwa kulifikia yai na kusababisha Kutopata Mtoto pamoja na Matatizo mengine ya mfumo wa uzazi

K**a wewe ni miongoni mwa watu Wanaosumbuliwa na haya matatizo Basi Ujumbe Huu Ni Kwa Ajili Yako

Naitwa Dr. Hussein ni mtaalamu wa masuala ya uzazi kwa wanawake na wanaume na nimeshasaidia watu Zaidi ya 200 Kuwapa Mwongozo Wa Jinsi Gani Wanaweza Kupata Suluhisho La Matatizo Yao na wengi wao walikuwa akihitaji watoto

Mwongozo Huo Umewasaidia Kuwapa Elimu Pamoja Na vipimo vilivyowasaidia kugundua chanzo Cha Matatizo Yao

Ili Kupata Mwongozo Huu Bonyeza Neno WhatsApp Apo Chini Kisha Tutawasiliana...

Kwa Kuwa Nimeandaa Darasa La Bure Nahitaji Watu 30 pekee ili nipate utulivu katika kuwaelekeza jinsi Gani Wanaweza Kupata Suluhisho La Matatizo Yao

Wahi Mapema sababu Sitapokea Mtu Baada Ya Idadi hiyo ya watu kutimia

Pia unaweza kujiunga kwenye group letu la afya kwa elimu zaidi ili kujiunga Bonyeza link hapa chini
https://chat.whatsapp.com/EpBG206ef7xFN05ZvZQ4ug?mode=ac_t

Mwenye kujali afya yako

Dr. Hussein

Simu 0695489017

Nyote munakaribishwa

KIPI KIFANYIKE?.πŸ‘‡1. K**a umewahi kupata changamoto ya Ectopic Pregnancy na ukafanya oparesheni jipe mda wa mwaka mzima b...
01/02/2026

KIPI KIFANYIKE?.πŸ‘‡

1. K**a umewahi kupata changamoto ya Ectopic Pregnancy na ukafanya oparesheni jipe mda wa mwaka mzima bila kubeba ujauzito ili uwe salama zaidi kwa ajiri ya ujauzito ujao. Mda huu ni kujitibu chanzo cha tatizo kwako, kupona mshono wa oparesheni na pia utumie kalenda kujilinda na ujauzito kabla ya wakati.

2. Tumia chai ya yetu kwa ajiri ya kuzibua mirija, kusafisha mirija k**a ina uchafu au majimaji: Chai ya mchaichai + tangawizi kipande kimoja + mdalasini kijiko kimoja + karafuu kijiko kimoja + asali kijiko kimoja = chai ya viungo asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo.

3. Tibu UTI, fangasi na P.I.D zinazojirudiarudia kwani ni mojawapo ya chanzo kikuu cha tatizo hili.

4. Tumia juisi ya vitunguu maji viwili, vitunguu swaumu punje 10, tangawizi kipande kimoja na asali kijiko kimoja asubuhi glass moja na jioni glass moja kwa siku 30 mfululizo. Hii itakusaidia kusafisha kizazi hasa kwa waliotoa mimba au kuharibikiwa mimba, kutibu UTI, fangasi na P.I.D.

5. K**a una uvimbe au Endometriosis hakikisha unatibu na kuondoa uvimbe wote kabla ya kubeba ujauzito kwani ni chanzo cha mimba kuharibika na hata mimba kutunga nje ya kizazi.

Zingatia na hakikisha uvimbe unaisha wote siyo tu kupungua, usiridhike na jibu la uvimbe wako ni mdogo hauna madhara au uvimbe wako umepungua sasa hauzuii kubeba ujauzito maana haya vimbe kubwa zenye madhara/ zinazozuia usibebe ujauzito au kuharibu ujauzito zilikuwa ndogo awali lakini zikakua na kuwa na madhara.

6. Anza Clinic mara tu baada ya kujua wewe ni Mjamzito ili kuweza kupima Ultrasound kujua maendeleo yako na mtoto tumboni ili ikibainika una ujauzito nje ya kizazi mapema watakusaidia bila kufanya oparesheni. Muda wa kuanza Clinic ni pale tu unapogundua kuwa wewe ni Mjamzito.🀰.

UFAFANUZI WA UJAZO WA PEDI ZA HEDHI HAPO JUU:πŸ‘‡1. Pedi namba 1 na 2.πŸ‘‰ Hii ni hedhi ndogo sana hivyo siyo kawaida na siyo ...
31/01/2026

UFAFANUZI WA UJAZO WA PEDI ZA HEDHI HAPO JUU:πŸ‘‡

1. Pedi namba 1 na 2.
πŸ‘‰ Hii ni hedhi ndogo sana hivyo siyo kawaida na siyo nzuri.

Ni wazi kuna ishara kuwa kuna kitu hakipo sawa.❌

2. Pedi namba 3.
πŸ‘‰ Hii ni hedhi nzuri na ya kawaida inayoashiria kuwa hali ya hedhi ni nzuri kwako. βœ…

3. Pedi namba 4.
πŸ‘‰ Hii ni hedhi nyingi sana kiasi cha kuzidi wastani.
πŸ‘‰ Inaweza kuashiria kuharibika kwa mimba, kuwepo kwa uvimbe, mvurugiko wa homoni au changamoto nyingine kwenye kizazi. Vilevile wengine wakipata hedhi ya namna hii hupitia hali ya kuhisi uchovu sana, kizunguzungu kipindi cha hedhi, kupungukiwa damu, kutokujiamini, maumivu makali, kutokwa hedhi mda mrefu mfano zaidi ya siku 5 nk
πŸ‘‰ Unaweza kufanya vipimo kujua hasa chanzo mahususi cha hili kwako.

Mara nyingi mimba zilizotunga nje ya kizazi hujuliakana k**a Ectopic Pregnancy huwa haziwezi kukua mpaka mwisho wa ujauz...
30/01/2026

Mara nyingi mimba zilizotunga nje ya kizazi hujuliakana k**a Ectopic Pregnancy huwa haziwezi kukua mpaka mwisho wa ujauzito, na hivyo huweza kuleta hatari kwa afya ya mama hasa pale inapopasuka a kuvujisha damu tumboni mwa mama hivyo oparesheni hufanyika ili kukata mrija na kutoa ujauzito ili kuokoa maisha ya mama.

Mimba iliyotunga nje ya kizazi (Ectopic Pregnancy) inaweza kujipandikiza kwenye mirija ya uzazi (fallopian tubes), kifuko cha yai (o***y), kwenye shingo ya uzazi (cervix) na ndani ya tumbo la uzazi (abnominal cavity).

Lakini mimba nyingi zinazotunga nje ya kizazi hujipandikiza kwenye mirija mirija ya uzazi ambapo huwa na hatari ya kupasuka kadiri mimba inavyokua. Hali hii ikitokea oparesheni hufanyika ili kutoa hiyo mimba pamoja na kukata mrija ambao mimba ilikuwa imetunga.

Sababu za mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic Pregnancy).πŸ‘‡

1. Kutoa mimba.
2. Upasuaji wa mirija/ kusafishwa/ kuzibuliwa mirija inaweza kusababisha makovu kwenye mirija hivo yai la mwanamke wakati wa kurutubishwa likashindwa kupita kiurahisi.
3. Athari za Uzazi wa mpango hasa Kijiti, Kipandikizi, Sindano na P2.
4. Maambukizi ya bakteria kwenye via vya uzazi yaani UTI SUGU, FANGASI na P.I.D isiyotibiwa mda mrefu.
5. Uvimbe kwenye kizazi.
6. Mimba kuharibika mara kwa mara.
7. Endometriosis yaani kuoteana kwa tishu kwenye viungo vingine vya uzazi.
(Tutajifunza zaidi kuhusu Endometriosis kwenye makala zijazo chanzo na tiba yake lakini kwa sasa k**a uligundulika na Endometriosis tumia juisi au dawa za kutibu Uvimbe kwani zinaweza kutibu Endometriosis pia).
8. Uvutaji wa sigara. Kemikali ya nikotini iliyopo kwenye sigara huweza kuifanya mirija ya uzazi kuwa nyembamba zaidi na hata kuziba kabisa.

Je, wewe namba ngapi inakuhusu hapo?.

Tengeneza juisi ya tangawizi🫚, limaoπŸ‹β€πŸŸ© na tangoπŸ₯’ kwa ajiri ya:πŸ‘‡1. Kuondoa sumu ya uzazi wa mpango.2. Kutibu chango la u...
27/01/2026

Tengeneza juisi ya tangawizi🫚, limaoπŸ‹β€πŸŸ© na tangoπŸ₯’ kwa ajiri ya:πŸ‘‡

1. Kuondoa sumu ya uzazi wa mpango.
2. Kutibu chango la uzazi.
3. Kupunguza uzito hasa walioshauriwa kupunguza uzito ili homoni ziwe sawa.
4. Kutibu UTI na fangasi za kujirudiarudia.
5. Kusafisha mirija iliyoziba, kujaa uchafu au kujaa majimaji au vyote kwa pamoja.

MAELEKEZO:πŸ‘‡

πŸ‘‰ Tangawizi kubwa moja.
πŸ‘‰Tango kubwa moja.
πŸ‘‰ Limao kubwa moja.
πŸ‘‰ Maji nusu lita.

Vioshe vizuri, katakata vipande vidogo vidogo na maganda yake kisha saga pamoja kwa kutumia nusu lita ya maji.

Chuja juisi yako na unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Usiongeze wala kupunguza kitu chochote.
2. Mwenye changamoto ya vidonda vya tumbo asitumie.❌

USICHOKIJUA KUHUSU MAAJABU YA MCHANGANYIKO WA TANGAWIZI,🫚 TANGO,πŸ₯’ UKWAJUπŸ₯“ na KARAFUU KWENYE UZAZI WA MWANAMKE. πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌ1. Hu...
22/01/2026

USICHOKIJUA KUHUSU MAAJABU YA MCHANGANYIKO WA TANGAWIZI,🫚 TANGO,πŸ₯’ UKWAJUπŸ₯“ na KARAFUU KWENYE UZAZI WA MWANAMKE. πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌ

1. Huongeza hamu ya tendo la ndoa.
2. Huondoa uchovu wakati wa tendo.
3. Huongeza ute wa uzazi.
4. Huondoa sumu za uzazi wa mpango.
5. Husafisha kizazi kwa ujumla na kubana uke.πŸ₯°

MAELEKEZO:πŸ‘‡

πŸ‘‰ Chemsha ukwaju na karafuu kwa pamoja kuua vidudu kisha chuja upate juisi yake.
πŸ‘‰ Katakata vipande vidogo vidogo vya tango moja na tangawizi kipande kimoja.
πŸ‘‰ Saga kwa pamoja kwa kutumia juisi ya ukwaju na karafuu uliyochuja.
πŸ‘‰ Chuja na unywe juisi hii asubuhi glass moja na jioni glass moja kwa siku 7 mpaka 14 matokeo mazuri yatakushangaza.

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Unaweza kutengeneza ya kutumia siku mbili ukahifadhi kwenye friji.
2. Usiongeze kitu chochote zaidi ya maelekezo tajwa hapo juu.
3. Hakikisha mubaba wako yupo jirani kabla hujatumia ili kupunguza kesi zisizoeleweka.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tumia chai ya tangawizi na pilipili manga kutwa mara mbili kwa ajiri ya:πŸ‘‡1. Kuondoa sumu ya P2 mwilini.2. Kutibu UTI ya ...
15/01/2026

Tumia chai ya tangawizi na pilipili manga kutwa mara mbili kwa ajiri ya:πŸ‘‡

1. Kuondoa sumu ya P2 mwilini.
2. Kutibu UTI ya kujirudiarudia au mkojo kuwa mchafu au kuuma baada ya kukojoa.
3. Kutibu chango la uzazi.

Fuatisha maelekezo haya:πŸ‘‡

Chukua kipande cha tangawizi kisha kikwangulie kwenye chombo, chemsha na maji kupata kikombe kimoja.

Weka kijiko kimoja kidogo cha pilipilimanga iliyosagwa na asali kijiko kimoja au viwili.

Kunywa chai hii asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo.

OVULATIONOvulation ni kipindi cha thamani sana katika mzunguko wa mwanamke.Hii ni kwa sababu ni kilele cha uwezo wa kush...
18/11/2025

OVULATION

Ovulation ni kipindi cha thamani sana katika mzunguko wa mwanamke.

Hii ni kwa sababu ni kilele cha uwezo wa kushika mimba, na wanawake wengi hujihisi vizuri sana wakati huu!😊

Kwa bahati mbaya, hudumu kwa saa 24 tu na unaweza kuikosa k**a huna uangalifu.

Hapa kuna dalili 7 kuwa unaovulate

Unapaswa kutambua kuwa, ovulation ni kipindi ambacho yai hutolewa kutoka kwenye ovari likisubiri kurutubishwa na mbegu ya kiume (s***m).

K**a yai litachavushwa, husafiri hadi kwenye mji wa mimba (uterus) na kujipandikiza hapo.

K**a halitachavushwa, huwa linachanganyika na utando wa mji wa mimba na kutolewa nje k**a damu ya hedhi.

Ovulation kawaida hutokea katikati ya mzunguko. Hivyo, k**a una mzunguko wa siku 28, kuna uwezekano mkubwa wa kuovulate siku ya 14.
3
Haya tuanze kuangalia dalili

*1. Mabadiliko katika ute wa mlango wa kizazi (cervical mucus)*
Wakati wa ovulation, ute huu huwa mwepesi, wazi (clear), unaovutika k**a ute wa yai bichi.

Hii husaidia kuunda mazingira rafiki kwa mbegu ya kiume kuogelea hadi kufikia yai kwa urahisi.

2. *Kuongezeka kwa joto la msingi la mwili (Basal Body Temperature)*

Joto la msingi la mwili ni lile joto la mwili ukiwa umepumzika kabisa, kabla ya kufanya shughuli yoyote asubuhi.

Kuongezeka kidogo kwa joto (kwa takribani nyuzi 0.5 - 1 za Fahrenheit) ni dalili ya kwamba ovulation imetokea.

Unaweza kufuatilia mabadiliko haya kwa kutumia kipima joto (thermometer) kila siku asubuhi kabla ya kutoka kitandani.

3. *Kuongezeka kwa hamu ya tendo la ndoa*

Wakati wa ovulation, kiwango cha hormoni ya estrogen huongezeka, na huambatana na kuongezeka kwa hamu ya kufanya mapenzi.

Wanawake wengi hujihisi wakichochewa zaidi kufanya mapenzi katika kipindi hiki.

*4. Maumivu au hisia za kuuma kwenye matiti*

Baadhi ya wanawake huhisi matiti yao kuwa laini au kuuma baada ya ovulation.

Hii husababishwa na kuongezeka kwa homoni ya β€œprogesterone” baada ya yai kuachiliwa kutoka kwenye ovari.

*5. Maumivu madogo ya nyonga*

Haya huitwa β€œmittelschmerz” – ni maumivu au kucramp kwa upande mmoja wa tumbo la chini wakati wa ovulation.

Baadhi ya wanawake huweza kuyahisi maumivu haya kwa muda mfupi.

*6. Kutokwa na damu kidogo au doa (sp

Address

Zanzibar City

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram