AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NI MTAJI, Medical and health, Zanzibar City.

Afya salama hukaa kwenye Mwili salama jenga Afya yako Leo na Dr Hussain

Jiunge kwenye group letu la afya kwa elimu zaidi ili kujiunga Bonyeza link hapa chini
https://chat.whatsapp.com/CuZqvAqbgIQ6tG4XqlMcZH?mode=gi_t

Wasiliana nasi kwa 0743322575

Je, unapitia changamoto za mfumo wa uzazi?Sasa unaweza kufanya vipimo kwa wanaume na wanawake kwa gharama nafuu na usiri...
12/05/2026

Je, unapitia changamoto za mfumo wa uzazi?
Sasa unaweza kufanya vipimo kwa wanaume na wanawake kwa gharama nafuu na usiri mkubwa. ❤️
✔️ Vipimo vya mfumo wa uzazi
✔️ Ushauri wa kitaalamu
✔️ Huduma kwa wanaume na wanawake
✔️ Faragha na usiri kamili
💰 Tsh 20,000 tu
📞 0695489017

🔴 MIAKA INAENDA NA BADO HUJAPATA MTOTO?Usikae kimya… hatua ya kwanza ni kufanya vipimo mapema.Tunatoa huduma za vipimo v...
11/05/2026

🔴 MIAKA INAENDA NA BADO HUJAPATA MTOTO?
Usikae kimya… hatua ya kwanza ni kufanya vipimo mapema.
Tunatoa huduma za vipimo vya afya ya uzazi kwa mwanaume na mwanamke kwa gharama nafuu ya Tsh 20,000 tu.
✅ Vipimo vya homoni
✅ Uchunguzi wa uzazi
✅ Ushauri wa kitaalam
✅ Siri yako inalindwa
📞 Wasiliana nasi sasa: 0743 322 575
Afya njema huanza na uchunguzi sahihi.

10/05/2026
USICHOKIJUA KUHUSU MAAJABU YA MCHANGANYIKO WA TANGAWIZI,🫚 TANGO,🥒 UKWAJU🥓 na KARAFUU KWENYE UZAZI WA MWANAMKE. 🤰👩‍🍼1. Hu...
10/05/2026

USICHOKIJUA KUHUSU MAAJABU YA MCHANGANYIKO WA TANGAWIZI,🫚 TANGO,🥒 UKWAJU🥓 na KARAFUU KWENYE UZAZI WA MWANAMKE. 🤰👩‍🍼

1. Huongeza hamu ya tendo la ndoa.
2. Huondoa uchovu wakati wa tendo.
3. Huongeza ute wa uzazi.
4. Huondoa sumu za uzazi wa mpango.
5. Husafisha kizazi kwa ujumla na kubana uke.🥰

MAELEKEZO:👇

👉 Chemsha ukwaju na karafuu kwa pamoja kuua vidudu kisha chuja upate juisi yake.
👉 Katakata vipande vidogo vidogo vya tango moja na tangawizi kipande kimoja.
👉 Saga kwa pamoja kwa kutumia juisi ya ukwaju na karafuu uliyochuja.
👉 Chuja na unywe juisi hii asubuhi glass moja na jioni glass moja kwa siku 7 mpaka 14 matokeo mazuri yatakushangaza.

NYONGEZA:👇
1. Unaweza kutengeneza ya kutumia siku mbili ukahifadhi kwenye friji.
2. Usiongeze kitu chochote zaidi ya maelekezo tajwa hapo juu.
3. Hakikisha mubaba wako yupo jirani kabla hujatumia ili kupunguza kesi zisizoeleweka.😂😂😂

Matatizo mengi ya afya yameanzia kwenye ulaji mbovu na kutumia madawa kihorela na si bahati mbaya.Kuna wakati tunabadili...
30/04/2026

Matatizo mengi ya afya yameanzia kwenye ulaji mbovu na kutumia madawa kihorela na si bahati mbaya.

Kuna wakati tunabadilisha ulaji wetu na vitu tunavyokunywa siyo kwa sababu tunapenda, bali kwa sababu afya inatulazimisha kupenda.🍇🍍🥭🥬🥦🍉🐟

Samaki hasa sato, sangara au yeyote hasa wabichi wakitumika mara kwa mara wanaweza kusaidia:

1. Kuboresha homoni.
2. Kuupa mwili nguvu.
3. Kuimarisha afya ya uzazi.
4. Kuongeza nafasi ya kupata ujauzito.
5. Ni nzuri kwa Mjamzito kwa afya yake na mtoto tumboni.🤰👩‍🍼

Tumia k**a supu, mboga lakini nzuri zaidi usimkaange. Unaweza kuongeza viungo vingine kulingana na mahitaji na upatikanaji.

NJIA RAHISI ZAIDI YA KUTIBU:👇1. Uvimbe kwenye kizazi (Fibroids/mayoma).2. Uvimbe maji kwenye mayai (Ovarian Cyst).3. Kuv...
14/04/2026

NJIA RAHISI ZAIDI YA KUTIBU:👇

1. Uvimbe kwenye kizazi (Fibroids/mayoma).
2. Uvimbe maji kwenye mayai (Ovarian Cyst).
3. Kuvimba au kutuna kwa kuta za kizazi (Endometriosis).
4. Malenge malenge kwenye mayai (PCOS).
5. Kuondoa sumu za uzazi wa mpango.
6. Kutibu UTI ya kujirudiarudia, fangasi za kujirudiarudia na kutoa harufu mbaya ukeni.

FANYA HIVI:👇

Tengeneza juisi ya beetroot mbili, tangawizi kipande kimoja, tikitimaji kipande kimoja na vitunguu swaumu punje 10.

Menya maganda kwa kila moja kisha saga pamoja na maji nusu lita, chuja juisi yako na unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA:👇
1. Unaweza kuweka kwenye friji kwa ajiri ya baadae.
2. Kila siku tengeneza mpya.
3. Unaweza kuweka asali k**a ukihitaji.

Address

Zanzibar City

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share