
27/08/2020
MAUMIVU YA HEDHI KWA WANAWAKE (DYSIMENORRHEA)
Hii ni hali ya maumivu yanayomtokea mwanamke kipindi cha hedhi yake.
Hii hutokea aidha siku kadhaa kabla ya hedhi,wakati wa hedhi au baada ya hedhi.
Maumivu hutokea kwenye tumbo eneo la chini ya kitovu,kiunoni au mgongoni...
Dalili nyingine huwa ni aidha:
Homa kali
Kichefuchefu
Kichomi
Tumbo kujaa gesi
Kutapika.
HABARI NJEMA
Ninalo suluhisho la tatizo hili.
Kutana na ROYAL JELLY,product pekee inayoweza kulimaliza kabisa tatizo hili.
Soma Faida ya hiki Kirutubisho.
ROYAL JELLY.
Kirutubisho hiki cha nyuki kina vitamin A,,C,,D,,&E na huifadhi vitamin B complex. Pia kina vitamin B5 vitamin hivi husaidia kumeng'enya protein, mafuta na uwanga na huongeza vichocheo (homones)
Royal Jelly pia ina Amino acid 8 muhimu na madini k**a (calcium,copper, iron, phosphorous, potassium, sillicon na sulpher). Madini haya huboresha utendaji mzuri wa kazi za mwili, kuongeza nguvu, kuondoa machovu ya mwili, kuuwa bakteria na virusi na husaidia uponyaji wa vidonda.. Lakini pia husaidia katika kuzalisha seli mpya(cell regeneration) na kuboresha muonekano mzuri wa ngozi.
Royal Jelly inasaidia sana katika kuzuia msongo wa mawazo na kuondoa maumivu makali wakativwa hedhi.
Husaidia kuondoa maumivu wakati wa hedhi na kuboresha mzunguko mzuri wa damu.
Faida nyingine
Husaidia kukuza nywele na kuzuia kukatika katika.
Husaidia kuondoa Chunusi na kuboresha ngozi na kupunguza kasi ya uzee.
Kuongeza nguvu.
Kuongeza idadi ya mayai kwenye mfuko wa uzazi wa mwanamke.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami(0787635123