Afya yangu

Afya yangu Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA

+255628361104

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ] ๐—ก๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—š๐—œ๐—ก๐—˜ ๐—›๐—จ๐—Ÿ๐—”๐—ญ๐—œ๐— ๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—›๐—จ๐—ฅ๐—œ๐—” ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ž๐—”...
30/09/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ] ๐—ก๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—š๐—œ๐—ก๐—˜ ๐—›๐—จ๐—Ÿ๐—”๐—ญ๐—œ๐— ๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—›๐—จ๐—ฅ๐—œ๐—” ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐— ๐—”๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ข ๐—ฌ๐—ข๐—ง๐—˜:

Muda wa kumaliza tatizo au changamoto, inategemea hatua ya tatizo lilipo fikia, na tunapo zungumzia hatua ya tatizo tuna tazama au kuzungumzia mambo matatu.

โž– Wingi wa maambukizi yani vimelea Virusi hapa tunamaanisha (Viral load).

โž– Afya ya ini (Liver health)

โž– Afya ya mgonjwa kwa ujumla yani changamoto anazo zipitia kwa wakati huo (Currently General Health for Patient ).

Kwaiyo kuna wagonjwa wanao maliza tatizo hili kwa kuda wa miezi miwili, wengine miezi mitatu, miezi mienne na wengine mwaka mnzima na wapo wachache inawalazimu kuhudhulia dozi maisha yote kutokana na hatua aliyo ifikia.

Wagonjwa ambao inawalazimu kushiliki dozi katika kipindi chote ni wagonjwa ambao wapo kuanzia Stage ya tatu ya uharibifu wa ini unao endelea pole pole kutokana na maambukizi ya muda mlefu (Third Stage of liver Demage).

Hatua hii ya tatu maranyingi sana ini likuwa tayari limeshafikia hatua ya kuwa na kovu baada ya multiple cells yani seli nyingi au tishu nyingi za ini kupasuliwa kwa wingi na zile scar tissues yani tishu au seli za ini zilizo pasuliwa kuwa placed yani kukusanyika au kukaa pamoja na health tissues hizi ni tishu za ini zenye afya, zinapo kuja kuingiliana na tishu au seli za ini zilizo haribika, huwa zinakuja kutengeneza kovu la ini, kovu hili hulifanya ini kuwa katika hatua ya tatu ya uharibifu wa ini ulio endelea pole pole kutokana na uwepo wa maambukizi ya virus vya Hepatitis kwa muda mlefu hatua hii ya tatu tunaita "๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—–๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€ ๐—ฆ๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฒ ".

Kovu hili la ini huingilia utendaji kazi wa ini kwakiwango kikubwa sana, na kulifanya ini lianze kuacha au kushindwa kufanya kazi zake au metabolism mbali mbali mwilini k**a vile uchujwaji wa Sumu, Asidi, Protini ya ziada, Mafuta na kuweka sawa viwango sahihi vya maji mwilini ili maisha yaweze kuendelea.

Na ukitazama kovu la ini ndio mwanzo wa ini kuingia katika hatua ya nne ya uharibifu wa ini ambayo ni Liver cancer au saratani ya ini.

Kwaiyo kwa wagonjwa waliopo hatua ya tatu, hatua ya nne na hatua ya tano maranyingi sana inakuwa ni ngumu kupona moja kwa moja kwasababu kovu la ini huwa ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ธ๐—ถ anaweza kumaliza maambukizi na kupata utaratibu wa chanjo, lakini bado ini lake likaendelea kuzalishwa seli za kansa.

Kwaiyo kupitia hatua hizi hatarishi, ngonjwa hushauliwa kuendelea kuhudhulia Dozi, Vyakula salama kwa afya ya ini pamoja na vipimo vya mara kwa mara ili kuzuiya kovu la ini lisiendelee kuharibu Tishu za ini zilizo Salia ili kuliwezesha ini kuendelea kufanya kazi kazi zake za kilasiku.

Matibabu ya dozi za kuondoa maambukizi ya virus vya homa ya ini dozi hizi zipo katika mfumo wa vidonge na ni za asili (Ant-hepatitis B Virus Medicine).

Ufanis wa dawa hizi katika kumaliza tatizo, dawa hizi ๐—ต๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ viambata vya DNA ya kirus wa Hepatitis ambayo inamfanya awe sugu katika mwitikio wa dozi na kumtengeneza kirusi katika hali ya kufubazwa.

๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—ก๐—” ๐—– ๐—›๐—จ๐—™๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—”๐—ญ๐—œ ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข:

โž– Kuimarisha afya ya ini katika utendaji kazi wake.

โž– Kurejesha seli za ini zilizo chakaa kwakuweka sawa chembe hai ya seli yani DNA.

โž– Kuzilinda seli za ini au tishu zilizo hai zisiweze kushambuliwa na maambukizi.

โž– Kuimarisha afya ya ini kwakufanya liver Recovering.

โž– Kuimarisha afya ya figo na utumbo kwakuzuiya na kutibu vidonda vya tumbo, tumbo kujaa gesi, ganzi, bawasiri pamoja na kansa ya utumbo.

โž– Kuzuiya Assicites yani tumbo kujaa maji pamoja na mwili k**a vile miguu.

โž– Kuondoa na kuzuiya Jaunces yani manjano ya ngozi na macho.

โž– Kuondoa na kuzuiya maumivu ya misuri, mifupa na kifua.

โž– Kuongeza hamu ya kula na kuimarisha mfumo wa Digestion System yani mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (๐—”๐—Ÿ๐—ง ๐—ป๐—ฎ ๐—”๐—ฆ๐—ง ) Enzymes.

โž– Blood Detoxification na Cleaning (Kusafisha damu kwakuondoa sumu, mabaki ya protini, Urea, asid, na kuondoa maambukizi yaliyo nje ya mfumo wa seli).

โž– Kuongeza au kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake kuimarisha mfumo wao wa homon.

โž– Kulinda na Kuimarisha afya ya figo na kibofu pamoja na uvunjwaji wa seli zilizo kufa kazi ambayo ufanywa na ini kwakuweka sawa rangi ya mkojo pamoja na nyongo.

Malengo yetu katika kutibu changamoto hii ni kutoa suluhisho bora na la kudumu katika kumaliza maambukizi na kuimarisha afya ini kwa ujumla, na mgonjwa aweze kuifikia huduma ya chanjo.

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฅ๐—˜๐—๐—˜๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข.

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp. 0628 361 104 +255746484873

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ] ๐—ก๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—š๐—œ๐—ก๐—˜ ๐—›๐—จ๐—Ÿ๐—”๐—ญ๐—œ๐— ๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—›๐—จ๐—ฅ๐—œ๐—” ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ž๐—”...
30/09/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ] ๐—ก๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—š๐—œ๐—ก๐—˜ ๐—›๐—จ๐—Ÿ๐—”๐—ญ๐—œ๐— ๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—›๐—จ๐—ฅ๐—œ๐—” ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐— ๐—”๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ข ๐—ฌ๐—ข๐—ง๐—˜:

Muda wa kumaliza tatizo au changamoto, inategemea hatua ya tatizo lilipo fikia, na tunapo zungumzia hatua ya tatizo tuna tazama au kuzungumzia mambo matatu.

โž– Wingi wa maambukizi yani vimelea Virusi hapa tunamaanisha (Viral load).

โž– Afya ya ini (Liver health)

โž– Afya ya mgonjwa kwa ujumla yani changamoto anazo zipitia kwa wakati huo (Currently General Health for Patient ).

Kwaiyo kuna wagonjwa wanao maliza tatizo hili kwa kuda wa miezi miwili, wengine miezi mitatu, miezi mienne na wengine mwaka mnzima na wapo wachache inawalazimu kuhudhulia dozi maisha yote kutokana na hatua aliyo ifikia.

Wagonjwa ambao inawalazimu kushiliki dozi katika kipindi chote ni wagonjwa ambao wapo kuanzia Stage ya tatu ya uharibifu wa ini unao endelea pole pole kutokana na maambukizi ya muda mlefu (Third Stage of liver Demage).

Hatua hii ya tatu maranyingi sana ini likuwa tayari limeshafikia hatua ya kuwa na kovu baada ya multiple cells yani seli nyingi au tishu nyingi za ini kupasuliwa kwa wingi na zile scar tissues yani tishu au seli za ini zilizo pasuliwa kuwa placed yani kukusanyika au kukaa pamoja na health tissues hizi ni tishu za ini zenye afya, zinapo kuja kuingiliana na tishu au seli za ini zilizo haribika, huwa zinakuja kutengeneza kovu la ini, kovu hili hulifanya ini kuwa katika hatua ya tatu ya uharibifu wa ini ulio endelea pole pole kutokana na uwepo wa maambukizi ya virus vya Hepatitis kwa muda mlefu hatua hii ya tatu tunaita "๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—–๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€ ๐—ฆ๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฒ ".

Kovu hili la ini huingilia utendaji kazi wa ini kwakiwango kikubwa sana, na kulifanya ini lianze kuacha au kushindwa kufanya kazi zake au metabolism mbali mbali mwilini k**a vile uchujwaji wa Sumu, Asidi, Protini ya ziada, Mafuta na kuweka sawa viwango sahihi vya maji mwilini ili maisha yaweze kuendelea.

Na ukitazama kovu la ini ndio mwanzo wa ini kuingia katika hatua ya nne ya uharibifu wa ini ambayo ni Liver cancer au saratani ya ini.

Kwaiyo kwa wagonjwa waliopo hatua ya tatu, hatua ya nne na hatua ya tano maranyingi sana inakuwa ni ngumu kupona moja kwa moja kwasababu kovu la ini huwa ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ธ๐—ถ anaweza kumaliza maambukizi na kupata utaratibu wa chanjo, lakini bado ini lake likaendelea kuzalishwa seli za kansa.

Kwaiyo kupitia hatua hizi hatarishi, ngonjwa hushauliwa kuendelea kuhudhulia Dozi, Vyakula salama kwa afya ya ini pamoja na vipimo vya mara kwa mara ili kuzuiya kovu la ini lisiendelee kuharibu Tishu za ini zilizo Salia ili kuliwezesha ini kuendelea kufanya kazi kazi zake za kilasiku.

Matibabu ya dozi za kuondoa maambukizi ya virus vya homa ya ini dozi hizi zipo katika mfumo wa vidonge na ni za asili (Ant-hepatitis B Virus Medicine).

Ufanis wa dawa hizi katika kumaliza tatizo, dawa hizi ๐—ต๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ viambata vya DNA ya kirus wa Hepatitis ambayo inamfanya awe sugu katika mwitikio wa dozi na kumtengeneza kirusi katika hali ya kufubazwa.

๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—ก๐—” ๐—– ๐—›๐—จ๐—™๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—”๐—ญ๐—œ ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข:

โž– Kuimarisha afya ya ini katika utendaji kazi wake.

โž– Kurejesha seli za ini zilizo chakaa kwakuweka sawa chembe hai ya seli yani DNA.

โž– Kuzilinda seli za ini au tishu zilizo hai zisiweze kushambuliwa na maambukizi.

โž– Kuimarisha afya ya ini kwakufanya liver Recovering.

โž– Kuimarisha afya ya figo na utumbo kwakuzuiya na kutibu vidonda vya tumbo, tumbo kujaa gesi, ganzi, bawasiri pamoja na kansa ya utumbo.

โž– Kuzuiya Assicites yani tumbo kujaa maji pamoja na mwili k**a vile miguu.

โž– Kuondoa na kuzuiya Jaunces yani manjano ya ngozi na macho.

โž– Kuondoa na kuzuiya maumivu ya misuri, mifupa na kifua.

โž– Kuongeza hamu ya kula na kuimarisha mfumo wa Digestion System yani mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (๐—”๐—Ÿ๐—ง ๐—ป๐—ฎ ๐—”๐—ฆ๐—ง ) Enzymes.

โž– Blood Detoxification na Cleaning (Kusafisha damu kwakuondoa sumu, mabaki ya protini, Urea, asid, na kuondoa maambukizi yaliyo nje ya mfumo wa seli).

โž– Kuongeza au kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake kuimarisha mfumo wao wa homon.

โž– Kulinda na Kuimarisha afya ya figo na kibofu kwakweka sawa rangi ya mkojo.

Malengo yetu katika kutibu changamoto hii ni kutoa suluhisho bora na la kudumu katika kumaliza maambukizi na kuimarisha afya ini kwa ujumla, na mgonjwa aweze kuifikia huduma ya chanjo.

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฅ๐—˜๐—๐—˜๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข.

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp. +255746484873

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฒ:๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ...
29/09/2024

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ
๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฒ:

๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• :- Ni virus vinavyo sababisha ugonjwa mkali wa Ini kutokana na uwepo wa maambukizi haya kwa muda mlefu.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza mtu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

[1] Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto Katika kipindi cha ujauzito au kujifungua.

[2 ] Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI [HEPATITIS].

[3 ] Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

[4 ] Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

[5 ] Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

[6 ] Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

[7 ] Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 hadi nane 8.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—Ÿ๐—˜๐—™๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [๐—›๐—•๐—ฉ]:

[1 ] Uchovu wa mara kwa mara

[2 ] Kichefuchefu.

[3 ] Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

[4 ] Homa kali.

[5 ] Kupoteza hamu ya kula.

[6 ] Kupungua uzito.

[7 ] Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

[8 ] Macho na ngozi kuwa vya njano.

[7 ] Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya ini hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi iki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu sahihi na mapema.
Hii hatua huitwa โ€œ๐—™๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza maambukizi. [Kupona kabisa]

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

[1 ] INI kushindwa kabisa kufanya kazi (Falminant liver failure).

[2 ] Saratani ya ini (hepatoma au hepatocelluler casinoma).

[3 ] Figo kuferi na kujaa maji kutokana na kuharibika kwa tishu za ogani hizo Hali ambayo inasababishwa na uwepo wa maambukizi Pamoja na Simu mwilini.

[4 ] Maumivu ya tumbo yasiyo Isha.

[5 ] Ascites ya tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6 ] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7 ] Manjano ya macho na ngozi ya kudumu

[8 ] Mgonjwa Kupoteza maisha

๐—ž๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—ง๐—ข๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข - ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜.

Unaweza kuwasiliana nasi kwa kupiga Simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp

๐Ÿ“ž +255746484873

๐—ช๐—”๐—ž๐—”๐—ง๐—œ ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ž๐—จ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐— ๐—”๐—”๐—Ÿ๐—จ๐—  ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ฆ๐—”๐— ๐—•๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—˜๐—ข ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—”๐—ฅ๐—”๐—ž๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ:

๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—œ๐—ง๐—œ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ง๐—จ๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐—ก๐——๐—” ๐—Ÿ๐—” ๐—˜๐—ฃ๐—ข:Juice ya tufaa imepata umaarufu k**a tiba ya asili ...
29/09/2024

๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—œ๐—ง๐—œ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ง๐—จ๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐—ก๐——๐—” ๐—Ÿ๐—” ๐—˜๐—ฃ๐—ข:

Juice ya tufaa imepata umaarufu k**a tiba ya asili inayotumika sana katika mataifa mbali mbali duniani inayotajwa kuwa na faida nyingi za kiafya.

Ingawa matumizi yake yalianza nyakati za kale, sayansi ya kisasa inaanza kuthibitisha baadhi ya madai ya afya yanayohusiana na juice ya apple yani tufaa.

Hebu tuangalie faida mbalimbali za kuingiza juice ya apple katika mlo wako na mtindo wa maisha:

๐Ÿญ. ๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ.

Moja ya faida zinazojulikana zaidi za ulaji wa apple ni nzuri kwenye digestion system yani kuimarisha mfumo wa usagaji chakula.

Asidi ya asetiki inayo patikana katika apple inaweza kusaidia kuongeza asidi salama tumboni, ambayo ni muhimu kwa kuvunja vunja chakula na kunyonya virutubisho.

Hii inaweza kuwa ya manufaa hasa kwa wale walio na asidi ya chini tumboni au matatizo ya usagaji chakula k**a vile kuvimbiwa au kukosa kusaga chakula vizuri.

๐Ÿฎ. ๐—”๐—ฝ๐—ฝ๐—น๐—ฒ ๐—ต๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜€๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ถ.

Apple mara nyingi hutumiwa k**a detoxifier asili, kusaidia kusafisha ๐—ถ๐—ป๐—ถ na mfumo wa lymphatic.

Inaaminika kusaidia kuondoa sumu kutoka mwili na kuboresha afya kwa ujumla.

๐Ÿฏ. ๐—›๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ผ ๐˜‡๐—ถ๐—ฑ๐—ถ.

Apple mara nyingi huhusishwa na kupoteza uzito kutokana na uwezo wake wa kuimarisha satiety, ambayo inaweza kusaidia kupunguza ulaji wa kalori kwa ujumla na kuchoma mafuta yaliyo zidi mwilini.

Masomo fulani yanaonyesha kwamba asidi ya asetiki katika apple inaweza kuongeza shughuli za kimetaboliki na kupunguza uhifadhi wa mafuta mengi katika damu, na kuifanya kuwa nyongeza muhimu kwa regimen ya kupoteza uzito.

๐Ÿฐ. ๐—œ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚.

Juice ya tufaa imeonyeshwa kusaidia kudhibiti viwango vya sukari ya damu, na kuifanya kuwa ya manufaa hasa kwa watu walio na kisukari cha aina ya 2 au wale walio katika hatari ya kupata ugonjwa uwo na wale wenye upungufu wa kinga ya mwili ambao wanaishi na magonjwa ya kuambukiza.

Asidi ya asetiki katika Apple inaweza kuboresha usikivu wa insulini na kupunguza viwango vya sukari katika damu baada ya chakula.

๐Ÿฑ. ๐—›๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ.

Apple pia ni maarufu kwa faida zake za ngozi, kwa wingi wa mali yake ya virutubisho vyenye viambata vya antibacterial na antifungal.

Inaweza kusaidia kuondoa chunusi, kutuliza kuchomwa na jua, na kuboresha muundo wa ngozi kwa kusawazisha viwango vya pH vya ngozi.

๐Ÿฒ. ๐—›๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜†๐—ผ.

Baadhi ya tafiti zinaonyesha kwamba apple linaweza kusaidia kuboresha afya ya moyo kwa kupunguza viwango vya cholesterol na kupunguza shinikizo la damu kwakuzibua mishipa ya damu iliyo ziba kutokana na kuganda kwa damu au uwepo wa mafuta mengi katika damu.

Asidi ya asetiki katika apple inaaminika kupunguza uzalishwaji wa cholesterol hatari yani mbaya mwilini.

๐—ž๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—” - UNAWEZA KUNYWA JUICE
YA EPO AU KULA APPLE LENYEWE KWAKUTAFUNA K**A TUNDA:

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฅ๐—˜๐—๐—˜๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ.

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ  ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ:Homa ya ini hujulikana kwa kitaalamu k**a Hepatitis.Hep...
26/09/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ:

Homa ya ini hujulikana kwa kitaalamu k**a Hepatitis.

Hepatitis ni kirusi kinacho sababisha saratani ya ini baada ya kuishi na maambukizi ya muda mrefu pasipo kutibia.

Katika maeneo yetu, bara la afrika maambukizi ya virusi vya homa ya ini ndio sababu kuu ya shida kwenye ini.

Virusi vya homa ya ini vipo vya aina 5 (A,B,C,D,E) ambapo aina mbili za virusi (B na C ) ndio sababu kuu za ugonjwa wa homa ya ini na husambaa kupitia damu na majimaji ya mwili.

Homa ya ini ni sawa janga linaloua kimya kimya kulingana na takwimu za vifo vya dunia inakadiriwa kirusi cha homa ya ini aina ya B pekee huua watu 600,000 hivi kila mwaka.

Kwa wastani zaidi ya watu bilioni mbili, yaani, asilimia 33 hivi ya watu wote ulimwenguni, wameambukizwa virusi vya HBV (Hepatitis B Virus), na wengi wao hupona baada ya miezi michache kupitia kinga zao za mwili au kupitia medications ya dozi za Ant-hepatitis B Virus.

Watu milioni 350 hivi huendelea kuwa na virusi hivyo mwilini, wengi huishi bila dalili na kuendelea kuambukiza watu wengine.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—๐—œ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—”๐— ๐—•๐—”๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ:

โ–ช๏ธKushiliki ngono isiyo salama na mtu mwenye kuishi na maambukizi ya virus vya Hepatitis.

โ–ช๏ธKuchangia vitu vyenye ncha kali k**a vile sindano, kisu NK.

โ–ช๏ธKuvaliana na nguo na mtu mwenye maambukizi ya virus vya Hepatitis.

โ–ช๏ธKushika maji maji yatokayo mwilini mwa mtu alie na maambukizi ya virus vya homa ya ini Hepatitis.

โ–ช๏ธKuchangia damu au kutumia vifaa vya kusafishia damu k**a ilivyo kwa Dialysis ya figo.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ:

Kwa kawaida dalili za mwanzo za homa ya ini hutokea ndani ya miezi 6 baada kuambukizwa,na hutokea kwa baadhi ya watu hazitokei kwa kila mtu.

Mgonjwa mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hupata dalili zifuatazo;

[ 1 ] Tumbo kujaa Gesi, vidonda vya tumbo, uchovu na kuishiwa nguvu.

[ 2 ] Kichefuchefu na kutapika.

[ 3 ] Miwasho ya ngozi na majipu.

[ 4 ] Homa kali na za mara kwa mara.

[ 5 ] Kupoteza hamu ya kula, kuharisha.

[ 6 ] Kupungua uzito kupita kiasi.

[ 7 ] Maumivu makali ya tumbo upande wa ini upande wa kulia.

[ 8 ] Macho na ngozi kuwa vya njano.

[ 9 ] Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—Ÿ๐—˜๐—™๐—จ ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ž๐—จ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—”:

Kuna kundi dogo la wagonjwa wa homa ya ini hupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo. Hii hatua huitwa โ€œ๐—ณ๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Watu wenye maambukizi ya kudumu ya virusi vya homa ya ini mara nyingi huwa hawana dalili kwa miaka mingi, kadri muda unavyoenda virusi vya hepatitis husababisha ini kusinyaa hatua hii ya ini kusinyaa huitwa (๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฐ๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€) hupelekea ini kushindwa kabisa kufanya kazi vyema.

Pia maambukizi ya virusi vya homa ya ini huchangia kupata saratani ya ini ambayo hujulikana kwa kitaalamu k**a ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฐ๐—ฒ๐—น๐—น๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ฟ ๐—ฐ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ถ๐—ป๐—ผ๐—บ๐—ฎ.

๐—ž๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—”: Watu wengi wameangaika katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili, ili kunusuru maisha kwa ghalama mbali mbali na hatimae kukosa kutimiza lengo la matibabu katika kumaliza tatizo hili na mwisho huishi na fikra potofu au tofauti ya kuamini kwamba ugonjwa huu hauna tiba na hivyo hupoteza matumaini ya kuendelea kuishi.

Ugonjwa huu unatibika kupitia dozi sahihi ya Hepatitis Ant-Viral uku ukizingatia lishe yenye manufaa kwa afya ya INI pamoja na seli zake, mazoezi na utumiaji wa matunda kwa wingi pamoja na mboga za majani.

Matibabu ya tatizo hili yanategemea pia na hatua ya tatizo lilipo fikia katika upande wa afya ya ini [Liver Demage] pamoja na wingi wa maambukizi, tatizo linaweza kuisha mapema na kupata chanjo ya kuzuiya kupata tena maambukizi ya virusi vya homa ya ini endapo utawai matibabu ya mapema kabla ya ini kufikia hatua mbaya ya kovu.

Sikuzote kovu la ini halitibiki na hii ndio sababu ya kwamba homa ya ini haina tiba unaweza ukatokomeza maambukizi na kupata chanjo lakini k**a ini tayari limesha kuwa na kovu inakuwa bado ni changamoto kwasababu kovu la ini ndio chanzo cha saratani ya ini:

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข:

KWA USHAURI, VIPIMO, MATIBABU NA CHANJO UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWAKUPIGA SIMU AU KUTUMA UJUMBE MFUPI WA MAANDISHI.

+255628361104

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ  ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ:Homa ya ini hujulikana kwa kitaalamu k**a Hepatitis.Hep...
15/09/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ:

Homa ya ini hujulikana kwa kitaalamu k**a Hepatitis.

Hepatitis ni kirusi kinacho sababisha saratani ya ini baada ya kuishi na maambukizi ya muda mrefu pasipo kutibia.

Katika maeneo yetu, bara la afrika maambukizi ya virusi vya homa ya ini ndio sababu kuu ya shida kwenye ini.

Virusi vya homa ya ini vipo vya aina 5 (A,B,C,D,E) ambapo aina mbili za virusi (B na C ) ndio sababu kuu za ugonjwa wa homa ya ini na husambaa kupitia damu na majimaji ya mwili.

Homa ya ini ni sawa janga linaloua kimya kimya kulingana na takwimu za vifo vya dunia inakadiriwa kirusi cha homa ya ini aina ya B pekee huua watu 600,000 hivi kila mwaka.

Kwa wastani zaidi ya watu bilioni mbili, yaani, asilimia 33 hivi ya watu wote ulimwenguni, wameambukizwa virusi vya HBV (Hepatitis B Virus), na wengi wao hupona baada ya miezi michache kupitia kinga zao za mwili au kupitia medications ya dozi za Ant-hepatitis B Virus.

Watu milioni 350 hivi huendelea kuwa na virusi hivyo mwilini, wengi huishi bila dalili na kuendelea kuambukiza watu wengine.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—๐—œ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—”๐— ๐—•๐—”๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ:

โ–ช๏ธKushiliki ngono isiyo salama na mtu mwenye kuishi na maambukizi ya virus vya Hepatitis.

โ–ช๏ธKuchangia vitu vyenye ncha kali k**a vile sindano, kisu NK.

โ–ช๏ธKuvaliana na nguo na mtu mwenye maambukizi ya virus vya Hepatitis.

โ–ช๏ธKushika maji maji yatokayo mwilini mwa mtu alie na maambukizi ya virus vya homa ya ini Hepatitis.

โ–ช๏ธKuchangia damu au kutumia vifaa vya kusafishia damu k**a ilivyo kwa Dialysis ya figo.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ:

Kwa kawaida dalili za mwanzo za homa ya ini hutokea ndani ya miezi 6 baada kuambukizwa,na hutokea kwa baadhi ya watu hazitokei kwa kila mtu.

Mgonjwa mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hupata dalili zifuatazo;

[ 1 ] Tumbo kujaa Gesi, vidonda vya tumbo, uchovu na kuishiwa nguvu.

[ 2 ] Kichefuchefu na kutapika.

[ 3 ] Miwasho ya ngozi na majipu.

[ 4 ] Homa kali na za mara kwa mara.

[ 5 ] Kupoteza hamu ya kula, kuharisha.

[ 6 ] Kupungua uzito kupita kiasi.

[ 7 ] Maumivu makali ya tumbo upande wa ini upande wa kulia.

[ 8 ] Macho na ngozi kuwa vya njano.

[ 9 ] Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—Ÿ๐—˜๐—™๐—จ ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ž๐—จ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—”:

Kuna kundi dogo la wagonjwa wa homa ya ini hupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo. Hii hatua huitwa โ€œ๐—ณ๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Watu wenye maambukizi ya kudumu ya virusi vya homa ya ini mara nyingi huwa hawana dalili kwa miaka mingi, kadri muda unavyoenda virusi vya hepatitis husababisha ini kusinyaa hatua hii ya ini kusinyaa huitwa (๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฐ๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€) hupelekea ini kushindwa kabisa kufanya kazi vyema.

Pia maambukizi ya virusi vya homa ya ini huchangia kupata saratani ya ini ambayo hujulikana kwa kitaalamu k**a ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฐ๐—ฒ๐—น๐—น๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ฟ ๐—ฐ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ถ๐—ป๐—ผ๐—บ๐—ฎ.

๐—ž๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—”: Watu wengi wameangaika katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili, ili kunusuru maisha kwa ghalama mbali mbali na hatimae kukosa kutimiza lengo la matibabu katika kumaliza tatizo hili na mwisho huishi na fikra potofu au tofauti ya kuamini kwamba ugonjwa huu hauna tiba na hivyo hupoteza matumaini ya kuendelea kuishi.

Ugonjwa huu unatibika kupitia dozi sahihi ya Hepatitis Ant-Viral uku ukizingatia lishe yenye manufaa kwa afya ya INI pamoja na seli zake, mazoezi na utumiaji wa matunda kwa wingi pamoja na mboga za majani.

Matibabu ya tatizo hili yanategemea pia na hatua ya tatizo lilipo fikia katika upande wa afya ya ini [Liver Demage] pamoja na wingi wa maambukizi, tatizo linaweza kuisha mapema na kupata chanjo ya kuzuiya kupata tena maambukizi ya virusi vya homa ya ini endapo utawai matibabu ya mapema kabla ya ini kufikia hatua mbaya ya kovu.

Sikuzote kovu la ini halitibiki na hii ndio sababu ya kwamba homa ya ini haina tiba unaweza ukatokomeza maambukizi na kupata chanjo lakini k**a ini tayari limesha kuwa na kovu inakuwa bado ni changamoto kwasababu kovu la ini ndio chanzo cha saratani ya ini:

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข:

KWA USHAURI, VIPIMO, MATIBABU NA CHANJO UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWAKUPIGA SIMU AU KUTUMA UJUMBE MFUPI WA MAANDISHI.

+255628361104

+255746484873

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด:Mishipa ya varico...
19/03/2024

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด:

Mishipa ya varicose, au varicosities veins.

Ni mishipa ya damu iliyovimba na kupinda pinda kwa Kawaida mishipa hii hutokea au kukaa kwenye miguu na wakati mwingine mishipa ya varicose huunda katika sehemu nyingine za mwili tofauti na miguuni k**a vile Vifundoni ikiwa na rangi ya Blue, Zambarau au nyekundu.

Vipuli hivi vya bluu au zambarau kawaida huonekana kwenye miguu, na vifundo vyako.
Inaweza kuambatana na maumivu au kuwasha.

๐’๐€๐๐€๐๐” ๐™๐ˆ๐๐€๐™๐Ž ๐–๐„๐™๐€ ๐‚๐‡๐Ž๐‚๐‡๐„๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐•๐€๐‘๐ˆ๐‚๐Ž๐’๐„ ๐•๐„๐ˆ๐๐’!.

Mtu yeyote anaweza kupata mishipa ya varicose. Sababu fulani huongeza uwezekano wako wa kupata mishipa ya varicose, ikiwa ni pamoja na:

[ 1 ] Umri: Kwa sababu ya mchakato wa kuzeeka, kuta za mshipa na vali hazifanyi kazi vizuri k**a zilivyofanya hapo awali. Mishipa hupoteza elasticity ya kuimarisha mishipa iyo.

[ 2 ] Jinsia: Homoni za k**e zinaweza kuruhusu kuta za mishipa ya miguuni kuanza kuonyesha varicose.

Watu ambao ni wajawazito, wanaotumia kidonge cha kudhibiti uzazi au kutumia njia za uzazi wa mpango au wanaopitia kipindi cha kukoma kwa hedhi wana hatari kubwa ya kupata mishipa ya varicose kwa sababu ya mabadiliko ya viwango vya homoni.

[ 3 ] Kujifungua kwa Oparesheni

[ 4 ] Kutumia njia za uzazi wa mpango

[ 5 ] Unene au mwili mkubwa

[ 6 ] Kuwa na damu nyingi

[ 7 ] Kuwa na damu Ya kuganda au nzito

[ 8 ] Kukoma kwa hedhi

[ 9 ] Historia ya Familia: Hali hii inaweza kurithiwa (huendeshwa katika familia) Genitics Factors.

[ 10 ] Mtindo wa maisha: Kusimama au kukaa kwa muda mrefu hupunguza mzunguko wa damu. Kuvaa nguo zinazobana, k**a vile mikanda au suruali yenye mikanda ya kiunoni kunaweza kupunguza mtiririko wa damu.

[ 11 ] Afya kwa ujumla: Hali fulani za kiafya, k**a vile kuvimbiwa sana au uvimbe fulani, huongeza shinikizo la damu kwenye mishipa.

[ 12 ] Matumizi ya tumbaku: Watu wanaotumia bidhaa za tumbaku wana uwezekano mkubwa wa kupata VARICOSE VEIN.

[ 13 ] Uzito: Uzito wa ziada huweka shinikizo kwenye mishipa ya damu.

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

[ 1 ] Maumivu ya mara kwa mara ya miguu na misuri kukaza

[ 2 ] Saratani au Kansa ya kudumu

[ 3 ] Hupelekea kushindwa kutembea kabisa pindi ugonjwa huu usipo tibiwa mapema.

๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma usisite kuwasiliana nasi kwa kupiga simu au WhatsApp

0628 361 104

+255628361104

Thamani ya Dozi TZS 86, 000/=

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER :

๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐“๐ฎ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ข๐ž - ๐ค๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ณ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ญ๐จ๐š ๐”๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ ๐๐€ ๐“๐ˆ๐๐€.

๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐] ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐–๐ˆ๐Š๐ˆ  ๐Ÿ๐Ÿ:Rejesha afya na tumaini jema la maisha yako:HOMA YA INI INATIBIKA:...
07/03/2024

๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐] ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐–๐ˆ๐Š๐ˆ ๐Ÿ๐Ÿ:

Rejesha afya na tumaini jema la maisha yako:
HOMA YA INI INATIBIKA:

HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

[1] Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

[2 ] Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

[3 ] Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

[4 ] Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

[5 ] Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

[6 ] Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

[7 ] Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 hadi nane 8.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

๐๐€๐€๐ƒ๐‡๐ˆ ๐˜๐€ ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐ˆ๐“๐Ž๐Š๐€๐๐€๐™๐Ž ๐๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ:

[1 ] Uchovu wa mara kwa mara

[2 ] Kichefuchefu.

[3 ] Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

[4 ] Homa kali.

[5 ] Kupoteza hamu ya kula.

[6 ] Kupungua uzito.

[7 ] Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

[8 ] Macho na ngozi kuwa vya njano.

[7 ] Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya ini hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi iki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu sahihi na mapema.
Hii hatua huitwa โ€œ๐—™๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza virus wote. [Kupona kabisa]

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

[1 ] INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).

[2 ] Saratani ya ini (hepatoma).

[3 ] Figo kuferi na kujaa maji

[4 ] Maumivu ya tumbo yasiyo isha

[5 ]Tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6 ] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7 ] Manjano ya macho na ngozi yasiyo isha

[8 ] Mgonjwa Kupoteza maisha

๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜...

Bonyeza namba hii kuwasiliana nasi kupitia WhatsApp au kupiga simu

0628 361 104

๐Ÿ“ž +255628361104

๐—ช๐—”๐—ž๐—”๐—ง๐—œ ๐—จ๐—ก๐—”๐—ฃ๐—ข ๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฃ๐—˜๐—ช๐—” ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ฆ๐—”๐— ๐—•๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—˜๐—ข ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—”๐—ฅ๐—”๐—ž๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ:

๐“๐”๐๐€๐๐€๐“๐ˆ๐Š๐€๐๐€ ๐ƒ๐€๐‘ ๐„๐’ ๐’๐€๐‹๐€๐€๐Œ - ๐Š๐ˆ๐Œ๐€๐‘๐€ - ๐’๐“๐Ž๐ ๐Ž๐•๐„๐‘:

- ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ๐—•๐—จ ๐—ง๐—จ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—œ๐—˜ -

Address

Daresalaam
Zanzibar
123456

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya yangu:

Share