30/06/2023
TEZI DUME NA MATIBABU YAKE
(BILA YA UPASUAJI).
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji ambayo husafirisha mbegu za kiume.
KUPANUKA KWA TEZI DUME
Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .
DALILI ZA TEZI DUME
1.Kukojoa mara kwa mara, ama kuhisi kukojoa mara kwa mara.
2.Mchirizi wa mkojo kuwa dhaifu (pole pole)
3.Kupatwa na ugumu kutoa mkojo (kutumia nguvu kuanzisha mkojo)
4.Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
5.Mkojo kukatakata unapofika karibu a mwisho
6.Mkojo kuendelea kutoka kidogo dogo baada ya kukojoa (Kujichafua)
7.kibofu hakikauki mkojo
8.Kushindwa kukojoa kabisa.
9.Kupata mkojo mchache sana
10)Wakat mwengne mtu huweza kutokwa na Damu kwenye mkojo inaashiria ana kensa ya tezi dume
MADHARA YA KUCHELEWA KUTIBU TEZI DUME
1) Kushindwa kabisa kukojoa
2) Kupatwa na maambukizi ya UTI
3) Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu
4) Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea
5) Figo inaweza kuharibika
6) Upungufu wa nguvu za kiume.
TIBA YA HARAKA INAPATIKANA BILA YA UPASUAJI WOWOTE.
Kwa sasa inapatikana kwa bei ya ofa.
Kwa mahitaji tupigie/whatsapp 0621672394