Al najm herbal clinic

Al najm herbal clinic ๐ŸŒฟ Mimea Tiba Asili ๐ŸŒฟ
Mabingwa wa kutibu magonjwa kwa kutumia mimea. Wasiliana nasi +255 (0) 788 490 556
Email: alnajmherbalclinic@gmail.com

Karibu alnajmherbalclinic mabingwa wa tiba rishe na mimea tupigie kwa msaada zaidi namba 0788-49-0556
10/09/2025

Karibu alnajmherbalclinic mabingwa wa tiba rishe na mimea tupigie kwa msaada zaidi namba 0788-49-0556

21/08/2025

Hello ndugu wapenda wafatiliaji wa peg yetu nawasalimu

17/08/2025

๐Ÿ“ข TANGAZO MAALUM๐ŸŒฟ AL NAJM HERBAL CLINIC ๐ŸŒฟ๐Ÿ‘‰ Je, unasumbuliwa na gesi tumboni?๐Ÿ‘‰ Maumivu ya tumbo, kujaa, kukosa raha baada...
17/08/2025

๐Ÿ“ข TANGAZO MAALUM
๐ŸŒฟ AL NAJM HERBAL CLINIC ๐ŸŒฟ

๐Ÿ‘‰ Je, unasumbuliwa na gesi tumboni?
๐Ÿ‘‰ Maumivu ya tumbo, kujaa, kukosa raha baada ya kula?

๐Ÿ’Š Suluhisho ni JITACHANWA โ€“ dawa bora ya asili inayosaidia:
โœ… Kuondoa gesi tumboni
โœ… Kupunguza kujaa na maumivu
โœ… Kurekebisha mfumo wa mmengโ€™enyo wa chakula

๐Ÿ“ Tunapatikana:

Dar es Salaam โ€“ Riverside

Zanzibar โ€“ Koani Sheli

๐Ÿšš Tunafanya delivery Tanzania nzima

๐Ÿ“ž Piga simu au WhatsApp:
๐Ÿ“ฑ +255 788 490 556

08/08/2025

Faida:

Hushusha na kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu.

Husaidia kupunguza uzito kupita kiasi.

Huimarisha afya ya moyo na mishipa ya damu.

Inasaidia kupunguza cholesterol mbaya mwilini.

Huimarisha kinga na afya ya ini.

Faida:

Hushusha na kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu.

Husaidia kupunguza uzito kupita kiasi.

Huimarisha afya ya moyo na mishipa ya damu.

Inasaidia kupunguza cholesterol mbaya mwilini.

Huimarisha kinga na afya ya ini.

08/08/2025

BERBERINE โ€“Dawa ya Asili kutoka Mitishamba ya asili ya Tanzania!Kutoka kwa wataalamu wa afya ya jadi wa Al Najm Herbal C...
11/04/2025

BERBERINE
โ€“Dawa ya Asili kutoka Mitishamba ya asili ya Tanzania!
Kutoka kwa wataalamu wa afya ya jadi wa Al Najm Herbal Clinic โ€“ kituo kinachoamini katika nguvu ya tiba asilia, salama na thabiti.

Kudhibiti na kutibu kisukari aina ya 1, 2 na aina ya 3 kabisa!

- Kurekebisha kiwango cha sukari mwilini bila madhara ya dawa za kemikali

- Kuimarisha kongosho na kusaidia usawa wa insulini

- Kuongeza kinga ya mwili na kuupa mwili nguvu mpya

Inapatikana kwa urahisi kote Tanzania.

Imetibu maelfu, na sasa ni zamu yako!

Usisubiri mpaka hali iwe mbaya. Anza safari ya uponyaji leo!

Wasiliana nasi sasa:
Al Najm Herbal Clinic
Huduma kwa simu, mtandaoni na ana kwa ana โ€“ Popote ulipo, tiba yako iko karibu nawe.

WhatsApp/SIMU: 0714 308 700 au 0718 789 882

09/04/2025

AL NAJM HERBAL CLINIC

*CHAMOMILE* - DAWA YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO SUGUDalili za vidonda vya tumbo (peptic ulcers) zinaweza kutofautiana kul...
08/04/2025

*CHAMOMILE* - DAWA YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO SUGU

Dalili za vidonda vya tumbo (peptic ulcers) zinaweza kutofautiana kulingana na ukali na mahali vilipo, lakini hapa ni baadhi ya dalili kuu:

1. Maumivu ya tumbo.
3. Kichefuchefu au kutapika.
4. Kupungua kwa hamu ya kula.
5. Choo chenye damu au cheusi.
6. Kusikia kiungulia au gesi tumboni.

Ikiwa mtu anapata dalili hizi mara kwa mara, hasa pamoja na dalili kali k**a kutapika damu au choo cheusi, anapaswa kumuona daktari haraka kwa uchunguzi na matibabu.

๐ŸŒฟ ๐—”๐—Ÿ ๐—ก๐—”๐—๐—  ๐—›๐—˜๐—ฅ๐—•๐—”๐—Ÿ ๐—–๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ๐—–
Mabingwa wa kutibu magonjwa kwa kutumia Mimea.

โ˜Ž๏ธ ๐—›๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ;
(1) +255 (0) 714 308 700 Whatsapp
(2) +255 (0) 613 437 946 | Calls & Messages

"Al Najm Herbal Clinic for better treatment of your health"

Uzazi salama ni haki ya kila mwanamke, na unahitaji maandalizi mazuri kiafya, kijamii, na kisaikolojia. Hapa chini kuna ...
06/04/2025

Uzazi salama ni haki ya kila mwanamke, na unahitaji maandalizi mazuri kiafya, kijamii, na kisaikolojia. Hapa chini kuna elimu muhimu kwa mwanamke ili ajitunze na kuhakikisha anapata uzazi salama:

1. Afya kabla ya mimba (Preconception care)

Tembelea kliniki ya kabla ya mimba: Hii husaidia kujua hali yako ya afya kabla ya kushika mimba.

Fanya vipimo muhimu: K**a vile presha ya damu, kisukari, upungufu wa damu, maambukizi ya zinaa (STIs), HIV n.k.

Tumia lishe bora: Kula vyakula vyenye madini ya chuma, folic acid, protini, na vitamini.

Acha tabia hatarishi: K**a vile sigara, pombe, na dawa za kulevya.

2. Wakati wa ujauzito

Hudhuria kliniki mapema: Anza kliniki mapema mara tu unapoona dalili za ujauzito, angalau mara 4-8 wakati wote wa ujauzito.

Chanja chanjo muhimu: K**a TT (tetanus toxoid) ili kuzuia pepopunda kwa mama na mtoto.

Angalia mabadiliko yoyote mwilini: K**a kutokwa na damu, maumivu makali ya tumbo, kichwa kuuma sana, miguu kuvimba โ€“ toa taarifa hospitalini mara moja.

Pata mapumziko ya kutosha: Usijichoshe sana, pata usingizi wa kutosha.

Epuka dawa bila ushauri wa daktari.

3. Wakati wa kujifungua

Jifungulie katika kituo cha afya kilicho na wataalamu na vifaa vya dharura.

Pata usaidizi wa wakunga waliobobea.

Andaa mahitaji ya kujifungua mapema, k**a nguo za mtoto, vifaa vya usafi, n.k.

4. Baada ya kujifungua (Postnatal care)

Endelea kuhudhuria kliniki ya mama na mtoto.

Nyonyesha mtoto maziwa ya mama pekee kwa miezi 6 ya kwanza.

Pata msaada wa kisaikolojia ikiwa unahisi huzuni, hofu au msongo wa mawazo.

Tumia uzazi wa mpango kwa ushauri wa wataalamu k**a hutaki kushika mimba haraka.

5. Mazingira ya familia na jamii

Pata msaada wa familia na mwenza: Hii husaidia kupunguza msongo wa mawazo na kufanya kipindi cha ujauzito na uzazi kiwe chepesi.

Toa elimu kwa mwenza wako kuhusu umuhimu wa ushirikiano na afya ya uzazi.

AL NAJM HERBAL CLINIC inakuletea dawa asili yenye uwezo mkubwa wa kutibu nguvu za kiume. *AJWA* imetengenezwa kwa kutumi...
25/02/2025

AL NAJM HERBAL CLINIC inakuletea dawa asili yenye uwezo mkubwa wa kutibu nguvu za kiume.

*AJWA* imetengenezwa kwa kutumia mimea aisili na haina madhara kwa afya ya binaadamu.

Dawa hii inatibu;
1. Waliothirika na upigaji punyeto.
2. Kushindwa kurudia tendo.
3. Uume legelege.
4. Kukosa hamu ya tendo.
5. Maumivu wakati wa tendo.

๐Ÿซด Bado hujachelewa, wahi sasa tukutibu ili uepuke fedheha na uitunze ndoa yako.

๐Ÿ“ฒ Tupigie simu sasa Al Najm Herbal Clinic kwa Ushauri nasaha, Matibabu ya uhakika pamoja na vipimo kwa kina.

โ˜Ž๏ธ 0718 789 882 || 0714 308 700 Dr. Said Nassoro Mihayo.

"Al Najm Herbal Clinic for better treatment of your health "..............................................................................




ใ‚š
ใ‚šviralใ‚ทfypใ‚ทใ‚šviralใ‚ทalใ‚ท

Address

Zanzibar
Zanzibar
71212

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Al najm herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram