Chakula na Tiba

Chakula na Tiba Karibuni wote mpate kujua chakula safi na namna kinavyotibu miili yetu na akili zetu.

25/10/2025
21/10/2025

Siri Tiba ya Ukwaju Wengi Hawaijui Soma kwa makini Elimu hii...🩺

Usiuchukulie powa ukwaju —Ndani ya ganda lake la kawaida kumefichwa tiba asilia yenye nguvu zaidi kwa mwili wako....

Kitaalamu, ukwaju una asidi ya tartaric, potassium, magnesium, na polyphenols —Mchanganyiko unaosaidia...👇

↳ Kupunguza uchovu na kusafisha damu kwa kuondoa taka za metabolic waste...

↳ Kurekebisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kwa kusisimua bile secretion na kupunguza gesi, kujaa, au choo kigumu....

↳ Kushusha cholesterol na sukari ya damu kupitia fiber yake inayodhibiti absorption ya glucose.

↳ Kusafisha ini (liver detox) kwa kuongeza ufanisi wa enzymes za kuondoa sumu.

↳ Kupunguza uvimbe mwilini (inflammation) — chanzo kikuu cha magonjwa sugu k**a pressure, kisukari, na uzito kupita kiasi.....

↳ Kwa wanaume, ukwaju huamsha mzunguko wa damu na kusaidia kurejesha stamina asilia bila dawa za kuongeza nguvu.

↳ Kwa wanawake, husaidia kusawazisha homoni na kupunguza bloating hasa kipindi cha hedhi....

NB: Anza Tiba ya kutumia Ukwaju leo, Chemsha kijiko 1 cha ukwaju mbichi (au kavu) katika glasi 1 ya maji ya uvuguvugu, Ongeza asali kidogo, Kunywa asubuhi kabla ya chakula kwa siku 14.

Matokeo yake hayachelewi— Utahisi mwili wako unaamka, tumbo linatulia, ngozi inang’aa, na nguvu zinarejea...💪

Ukwaju sio ladha tu, Ni tiba ya mfumo mzima wa mwili wako.

Kumbuka hili: Daima tiba huanzia kwenye sahani yako ya chakula, sio kwenye maduka ya dawa....🫵

21/10/2025

🍌UKIMALIZA KULA NDIZI USITUPE MAGANDA YAKE (BANANA PEELS) .

1️⃣ KWA AJILI YA NGOZI
sugulia ile nyamanyama ya maganda kwenye ngozi ili utibu chunusi,na madoamadoa ya ngozi na uso wako.Usioshe hadi ipite nusu saa au saa nzima.

2️⃣ KWA AJILI YA VIDONDA
Weka au valisha ganda la ndizi ligusane na kidonda utapona.

3️⃣ KWA AFYA YA MOYO
Chemsha kwa dakika15-20 kisha kunywa glasi asubuhi na jioni .

4️⃣ KWA AFYANYA MENO NA FIZI
Sugulia meno yako na maganda hayo kwa dakika 2 hadi 3 .Hufanya pia meno kuwa meupe.

5️⃣ KWA AJILI YA KUSUUZA MWILI ULIOCHOKA NA KUPATA USINGIZI MZURI.
Chemsha kwa dakika15-20 kisha kunywa glasi moja kabla ya kulala ,utalala k**a mtoto mchanga.

Maandalizi ya dawa :

Osha maganda yawe masafi, katakata vipande vidogovidogo kisha chemsha kwenye chombo kwa dakika15-20.
Chuja na kunywa glasi moja. Ongezea na asali kwa ajili ya ladha kijiko kimoja cha chakula cha asali.

Kunywa sasa

Danieli 1:8-20

Dawa ya vidonda vya tumbo
19/10/2025

Dawa ya vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo ni nini?Vidonda vya tumbo hufahamika kwa kiingereza k**a Peptic Ulcer ni hali ambayo kuna kidonda kwen...
19/10/2025

Vidonda vya tumbo ni nini?

Vidonda vya tumbo hufahamika kwa kiingereza k**a Peptic Ulcer ni hali ambayo kuna kidonda kwenye tabaka la tumbo au sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo. Dalili kuu ni hisia ya kuungua katika sehemu ya juu ya tumbo baada ya kula. Dalili nyingine ni kiungulia, kubeua, tumbo kujaa gesi na kichefuchefu. Dalili za vidonda vya tumbo huongezeka kadiri muda unavyoenda.Vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha madhara ambayo huhitaji huduma ya dharura. Haya hujumuisha kutokwa damu au kuchimbika shimo katika tumbo la chakula. Madhara haya huweza kusababisha dalili kuanza kwa ghafla. Matibabu ya vidonda vya tumbo hutegemea sababu ya hali hii kutokea. Sababu hiyo ikishatambuliwa na kutibiwa, huwa na matokeo mazuri.

Mara nyingi mtindo mbaya wa ulaji na unywaji husababisha vidonda vya tumbo.

Pata dawa inayotibu kabisa na pia badilisha mtindo wa maisha ili kuepuka kuumwa tena baada ya kupona.

Mawasiliano: call/sms/WhatsApp +255760209793

FAIDA YA KULALA MASAA 8 kuanzia saa 3 mpaka saa 11 au saa 4 mpaka saa 121. Hukusaidia kuwa na kumbukumbu nzuri2. Huupa m...
01/10/2025

FAIDA YA KULALA MASAA 8 kuanzia saa 3 mpaka saa 11 au saa 4 mpaka saa 12

1. Hukusaidia kuwa na kumbukumbu nzuri

2. Huupa mwili na akili nafasi ya kujikarabati upya(restoring)

3. Unapata nafasi nzuri ya ubongo kupangilia taarifa kichwani na kuepusha hitilafu katika akili yako

4. Kwa mtu ambaye bado umri wake uko katika hatua za makuzi inamsaidia kukua kwa haraka

5. Hupunguza msongo wa mawazo

6. Huondoa uchovu

7. Huruhusu upumzishwaji wa kichwa(saa 3 mpaka 6) upumzishwaji wa tumbo(saa 6 mpaka 9) na kisha miguu(saa 9 mpaka 11)

Mungu awabariki na kuwapa afya njema

Address

Segerea
Dar Es Salaam
12105

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chakula na Tiba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Chakula na Tiba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram