Afya imara

Afya imara Pata virutubisho lishe kwaajili ya afya yako!

15/08/2024
USIKUBALI KUPITWA NA HII NEEMA HAKIKA MUNGU  AMETUPENDELEA SANA KWA TAIFA LA TANZANIAKwanini Tena Twende Nje Kutafuta Ma...
21/06/2024

USIKUBALI KUPITWA NA HII NEEMA HAKIKA MUNGU AMETUPENDELEA SANA KWA TAIFA LA TANZANIA

Kwanini Tena Twende Nje Kutafuta Matibabu?
Wale wataalam mahiri wa kichina wanaotoa tiba kwa magonjwa SUGU na YASIOAMBUKIZA ya kwa kutumia virutubisho maalum sasa wapo TANZANIA wakitoa huduma mara nyingine.

Huduma hizi zinapatikana katika vituo vyetu vya Hospital za GCAT INTERNATIONAL zilizoenea karibu nchi nzima(Tanzania).

Hakika ni wabobezi katika magonjwa yasioambukiza k**a vile:

🌷Vidonda vya tumbo.

🌷Matatizo ya macho.

🌷Shinikizo la damu(presha).

🌷Matatizo ya meno na kinywa.

🌷Magonjwa ya moyo.

🌷Bawasiri.

🌷Tezi dume.

🌷Gazi na miguu kuwaka moto.

🌷Mifumo ya uzazi kwa wanawake na wanaume.

🌷Matatizo mgongo.

🌷kupooza /stock.

🌷Magonjwa ya figo na homa ya ini

🌷Typhoid na u.t.i sugu na pid

🌷Matatizo ya ngozi.

🌷Kisukari. Na mengine mengi yasiokua ya kuambukiza.

Ujio huu umeambatana na OFA maalum ya matibabu ambapo:

Utakutana na specialist wetu bure kabisa bila fedha ya kuona Daktar wa kufungua faili.
Pia Ushauri ni bure

Na utafanya Vipimo kwa ofa ya
Tsh: 20,000/= tu, Badala ya
Tsh:270,000/= ambayo ni gharama halisi.
Na kuokoa Tsh:250,000/=

Lakini pia utapata dawa(virutubisho rishe bora kabisa yaaani food supplements) kwa gharama ya ofa ya punguzo la 20%. Ofa hii ni ndani ya siku 10 tu kuanzia leo.

Wasiliana Nasi Muda huu ili kuweka appointment ya kukutana na specialist wetu. Karibu sana. Piga 0764845584
Au gusa link hii hapa chini 👇
WhatsApp. https://wa.me/255764845584

Je, wewe ni moja ya watu wanaotaka kupungua uzito K**a huyu Karibu Sana. Wasiliana nasi kwa Namba 0764845584
06/06/2024

Je, wewe ni moja ya watu wanaotaka kupungua uzito K**a huyu Karibu Sana.
Wasiliana nasi kwa Namba 0764845584

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO Shirika la Afya  kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA  OFA KWA WATU WATA...
03/06/2024

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU,,Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 ✅, ✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa, ✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari ✅Pumu
✅Stroku. ✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa, ✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi, ✅Figo, ✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri, ✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara na bora Sana
Tupo Arusha na Mikoa mingine tunapatikana.

Wasiliana nasi kwa simu namba
0764845584
Au gusa Link la WhatsApp hapa chini
👇👇👇👇👇👇👇
on WhatsApp. https://wa.me/255764845584

Boresha na tunza Afya yako leo
02/06/2024

Boresha na tunza Afya yako leo

SHERIA 10 ZA MAFANIKIO NA *MR. CALVIN MWACHA*1. Usiwe na wivu; pale unapokutana na waliopiga hatua kuliko wewe, wafurahi...
02/06/2024

SHERIA 10 ZA MAFANIKIO NA *MR. CALVIN MWACHA*
1. Usiwe na wivu; pale unapokutana na waliopiga hatua kuliko wewe, wafurahie na jifunze kutoka kwao ili na wewe uweze kupiga hatua k**a wao.

2. Usiwe na chuki; kumchukia mtu ni sawa na kunywa sumu wewe ili kumdhuru yeye, unaishia kudhurika mwenyewe.

3. Usitumie zaidi ya kipato chako; ongeza kipato chako, punguza matumizi, weka akiba na fanya uwekezaji.

4. Kuwa na shauku bila ya kujali kinachoendelea kwenye maisha yako; hata k**a unapitia magumu, endelea kuwa na shauku kwa sababu ina nguvu ya kukupa matokeo mazuri yatakayokutoa popote unapoweza kuwa umekwama.

5. Jihusishe na watu wanaoaminika; watu ambao wanatimiza wanayoahidi na kufanya kilicho sahihi mara zote.
6. Fanya kile unachopaswa kufanya ili kuwa mtu unayeweza kuaminika na wengine; timiza yale unayoahidi na mara zote fanya kilicho sahihi.

7. Imalize kila siku ukiwa bora kuliko ulivyoianza; kila siku jifunze kitu kipya, siku zako mbili zisifanane.

8. Jua ni wapi ukienda utakufa na usiende hapo; epuka makosa ambayo yatakuondoa kwenye safari uliyopo ili ubaki kwenye safari hiyo kwa muda mrefu zaidi, maana ushindi ni kudumu kwenye safari kwa muda mrefu zaidi.

9. Badala ya kuhangaika kutumia sana akili, epuka kuwa mpumbavu; huhitaji akili nyingi ili kufanikiwa kwenye maisha, unahitaji tu usiwe mpumbavu kwa kurudia makosa yako mwenyewe au ya wengine.

10. Jua eneo lako la ustadi/ubobezi na usifanye maamuzi nje ya eneo hilo; usijifanye mjuaji wa kila kitu chagua eneo ambalo unabobea na hangaika na hilo, mengine achana nayo.

Changamkia fursa pindi uipatapo acha kutoa sababu zisizo na maana yoyote
Eternal raha Sana 🙏🏼

```SOMA MPAKA MWISHO```*Gcat hii ni kampuni toka China iliyo anzishwa tangu 2001 Tz imefika 2013 Tanzania na 2014 ikasaj...
31/05/2024

```SOMA MPAKA MWISHO```

*Gcat hii ni kampuni toka China iliyo anzishwa tangu 2001 Tz imefika 2013 Tanzania na 2014 ikasajiliwa rasmi na kupewa vibali vyotee mpaka sasa ni ina miaka 10.*

Inajihusisha na mambo mawili
1: Afya Bora
2: Biashara hulia

*1: AFYA*
Hapa inatumia bidhaa za asili *(Supplements)* toka nchini *CHINA* kutibu magonjwa yote sugu na yakawaida yasiyo ambukiza. Mtu anapotumia dawa zetu kupona ni uhakika 💯 *_K**a unamgonjwa niulize ataponaje_*

*✍️ DAWA ZETU HUFANYA KAZI NNE NDANI YA MWILI WA BINADAMU*
📌 Kuosha mwili
📌 Kulinda mwili
📌 Kujenga mwili
📌 Kutibu

*2: BIASHARA*
Hapa Kampuni imeandaa mfumo Bora zaidi wa malipo kwa kila mtu ambaye ataamua kufanya kazi ndani ya kampuni hii ya *_GCAT ETERNAL INTERNATIONAL_*
✍️ Mtu yeyote anaruhusiwa kufanya kazi ndani ya kampuni hii
✍️ Mafunzo yote ya kazi utayapata ofisini *BURE* ili usitumie nguvu nyingi kufanya kazi hii.

*MALIPO*
✍️ Malipo yapo ya Aina kuu mbili ambayo pia yamegawanyika mara Sita zaidi

1: Malipo ya kila siku.
👉 Yapo aina Tatu(3)

2: Malipo ya kila mwisho wa mwezi
👉 Yapo aina Tatu (3)

*📱HAPA KAZI YAKO WEWE INAKUWA NI MOJA TU AMBAYO NI KUSAMBAZA TAARIFA ZA KAMPUNI HII BASI*

*🟣 UTAANZA KUPATA MALIPO AINA.3 YA KILA SIKU*

1: Ukimleta mwenzio kufanya kazi ndani ya kampuni hii utalipwa 24,000 Cash, siku hiyo hiyo. Wakiwa wengi utalipwa mara idadi ya watu hao.

2: Ukimleta mgonjwa katika Hospitali zetu mahali popote hata iwe mkoani, Atapimwa magonjwa yote mwili mzima kwa Tshs 20,000 tu nawewe Utalipwa Tshs 10,000 cash papohapo. Wakiwa wengi utalipwa mara idadi ya watu hao.

3: Utapata nyongeza ya faida ya asilimia 15% kwa kila dawa ambayo utauza wewe. ~Kuuza dawa sio lazima~ Maana tunao madaktari tayari hivyo utaleta tu wagonjwa wako na bado utapata faida mara mbili kila siku.

*🟣 MALIPO AINA.3 YA KILA MWISHO WA MWEZI*

✍️ Malipo haya utayapata kutokana na mpangilio wa madaraja yetu ambayo yapo 10.

*YAPO HIVI*👇👇👇

👉 Malipo kutokana na kazi yako

Hakika hii fursa ni nzuri SanaSiyo ya kukosa tuwasiliane tafadhali    0764845584
29/05/2024

Hakika hii fursa ni nzuri Sana
Siyo ya kukosa tuwasiliane tafadhali
0764845584

Karibu Katika fursa ya biasharaUpendo, amani, afya na utajiri Kwa mtaji mdogo tu wa 72,000/= Miliki biashara yako miliki...
29/05/2024

Karibu Katika fursa ya biashara
Upendo, amani, afya na utajiri
Kwa mtaji mdogo tu wa 72,000/=
Miliki biashara yako miliki uchumi wako
Wasiliana nasi 0764845584

Address

MWAKA KATI Street
Tunduma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya imara posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share