Yesu Ni Neno La Uzima

Yesu Ni Neno La Uzima Karibuni nyote katika page yetu Facebook !
°Maubiri na
°Mafundisho

05/08/2024

*TAFAKARI NENO HILI 👇*

FAHAMU KWAMBA TAARIFA MBAYA HUZAA MAOMBI MABAYA.👇

Nabii Habakuki anainuka k**a nabii kwenye taifa takatifu la
Mungu, Israeli, kipindi ambapo kuna vurugu, madhira na
sintofahamu katikati ya taifa lake. Kuna hali ya kutokosa
utulivu kwenye mifumo ya uongozi na usimamizi ambayo
inapelekea kuwa na hali mbaya ya maisha ya kijamii.

👉🏾Jambo hili linainua hasira na huzuni kwenye moyo wa
Habakuki, nabii. Kiasi kwamba anamwendea Mungu kwa
kilio chenye uchungu na laumu ndani yake:
“Ee Bwana, nilie hata lini, wewe usitake kusikia? Nakulilia
kwa sababu ya udhalimu, ila hutaki kuokoa.”
Habakuki 1:2

➡️Hapa Habakuki anaenda kwenye maombi ya kulia kidini tu.
Anaenda kutimiza wajibu tu. Kwasababu tayari ameshatoa
hitimisho la mashaka yake juu ya usikivu wa Mungu na
uhusika wake wa kutatua yanayoendelea kwenye nchi:
“… wewe usitake kusikia? ….. ila hutaki kuokoa.”

👉🏾Umewahi kwenda kwenye maombi wakati ukijitazama ndani
ya kilindi cha moyo wako una hali k**a ya Habakuki?
Umewahi kumtilia Mungu mashaka kwamba hatatenda? Au
haoni?

Hali hii huwatokea watu wanapoenda kwenye maombi hali
wakilitazama tatizo, wakilichambua na kulielewa sana kiasi.👇

kwamba wanao ushahidi wote ya kwamba Mungu amechagua
kukaa kimya mambo yajiendee au amewakasirikia watu, na
hivyo hatahusika kwa chochote.

➡️Ni vizuri ukajua ya kwamba BWANA hutazama nia ya moyo –
huona sirini. Huwezi kuigiza mbele yake. Hivyo basi, k**a
una mashaka juu yake, usijaribu kuigiza kwamba uko sawa.
Itakupelekea kuwa mtu wa laumu badala ya kuomba.

👉🏾Habakuki anazungumza juu ya “habari ya KULALAMIKA
kwangu...”’ Si maombi tena!
Ukitazama kwa jicho la kujifunza utagundua ya kwamba
Habakuki anaendelea na malalamiko japokuwa yuko kwenye
maombi ni kwasababu ya kutotosheka na mpango wa Mungu. 👇

Namna ambavyo alikuwa anatekeleza swala la kuondosha
uovu kwenye taifa lake takatifu.

27/03/2024

Satan ne connaît pas votre avenir, c'est pourquoi s'il vous guide, il ne peut pas vous amener là où vous devez aller et dans quelle mesure, même s'il essaiera de le copier, mais il ne le pourra pas pour toujours.

27/03/2024

Personne n'ira au ciel en servant Dieu. Il faut distinguer la grâce de servir Dieu et la grâce du salut.

26/03/2024

Désormais, dans chaque service que vous effectuez, vérifiez comment vous allez et vous saurez de qui provient ta bénédiction.

26/03/2024

Si par la grace de Dieu, vous obtenez un poste dans le bureau, le service, la richesse, le mariage, etc. et qu'ensuite vous jouez avec ; soyez sûr que s'il est perdu, il ne reviendra pas.

26/03/2024

Ils peuvent vous expulser mais ils ne peuvent pas vous tuer parce que votre temps est encore là et ils ne connaissent pas votre Grâce.

26/03/2024

Quand Samson s'est réveillé, il a dit que j'irais comme hier mais il n'a pas évalué hier, ce qui l'aidera à évaluer aujourd'hui.

19/09/2023

Celui qui pense être le pire pécheur du monde, c'est celui qui peut-être le plus facilement sauvé. Amen.

19/09/2023

Nous devons rejeter l'obstination et admettre que nous sommes pécheurs devant Dieu.

18/09/2023

Nous devons d'abord prendre conscience de nos péchés pour être sauves.

18/09/2023

Si le baptême de Jésus n'existait pas, sa croix n'aurait aucune signification pour nous.

25/07/2023

Unyenyekevu ni njia mojawapo kubwa Mungu hupitia kubariki mtu.

16/07/2023

Chunga uwezo wamiguu yako. Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, k**a nilivyomwapia Musa.

31/05/2023

Njia ya Mungu kutuinua ni kunyenyekea (kujishusha). 1petro 5:6.

Address

Bujumbura

Telephone

+25762662536

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yesu Ni Neno La Uzima posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Yesu Ni Neno La Uzima:

Share