Kwengoma_clinic21

Kwengoma_clinic21 Información de contacto, mapa y direcciones, formulario de contacto, horario de apertura, servicios, puntuaciones, fotos, videos y anuncios de Kwengoma_clinic21, Medicina y salud, Monterrubio de la Serena.

Matunda ni muhimu kwa afya zetu tunashauriwa kula matunda kila tunapopata mlo wetu wa kila siku
06/01/2022

Matunda ni muhimu kwa afya zetu tunashauriwa kula matunda kila tunapopata mlo wetu wa kila siku

FAIDA 5 ZA MAJI AMBAZO HAZIZUNGUMZIWI SANA  Tunashauriwa kunywa maji ya kutosha ili kuwa na afya njema. Sehemu kubwa ya ...
26/06/2021

FAIDA 5 ZA MAJI AMBAZO HAZIZUNGUMZIWI SANA

Tunashauriwa kunywa maji ya kutosha ili kuwa na afya njema. Sehemu kubwa ya mwili wako ni maji. Kila seli kwenye mwili wako unahitaji maji ili kuchukua chakula na kutoa uchafu. Pia maji yanahitajika kwa usafirishaji mwilini, sehemu kubwa ya damu ni maji. Faida hizo zimezungumzwa sana na hivyo umesisitizwa kunywa maji walau lita moja na nusu kwa siku ili kuwa na afya njema. Kuna faida nyingine za maji ambazo huwa hazizungumziwi sana, na hizi hapa ni baadhi tu ya faida hizo

1. Kunywa maji kwa wingi kunakufanya uonekane kijana. Mwili wako ukiwa na maji ya kutosha inazuia ngozi kukunjamana na hivyo mtu kuonekana na ngozi nyororo hata k**a umri umekwenda.

kunywa maji

2. Kupunguza uzito/unene. K**a hupendezwi na uzito ama unene wa mwili wako ukinywa maji mengi utapunguza uzito wako. Unywaji wa maji mengi unapunguza uzito wa mwili kwa sababu;

Ukinywa maji mengi unapunguza hamu ya kula hivyo hutoweza kula chakula kingi kinachosababisha uzito kuwa mkubwa. Pia maji yanasaidia uunguzwaji wa mafuta mwilini na kusidia kuondoa sumu mwilini.

3. Kujenga misuli. Mwili unapokuwa na maji ya kutosha unaweza kusambaza hewa ya oksijeni vizuri zaidi na hivyo misuli ya mwili inaweza kufanya kazi kwa muda mrefu bila kuchoka. Hii inasaidia kujenga misuli ya mwili.

4. Kuongeza akili, ndio unywaji wa maji unaongeza uwezo wa kufikiri na kuweka kumbukumbu. Hii ni kwa sababu maji yanasambaza chumvi zinazohitajika na seli za fahamu kwa ajili ya kusafirisha taarifa mbalimbali. Tafiti zinaonyesha kwamba ukinywa glasi 10 za maji unaongeza uwezo wa kufikiri kwa asilimia 30. Jaribu k**a huamini.

5. Unywaji wa maji mengi unasaidia viungo kufanya kazi vizuri. Kunakuwa na majimaji ya kutosha kwenye viungo yanayozuia maumivu ya viungo.

Kwa kifupi hizo ni baadhi tu ya faida za kunywa maji ya kutosha. Kiwang cha kunywa inabidi kisiwe chini ya glasi nane kwa siku. Kunywa maji utunze afya yako.

UMUHIMU MAJI MWILINIMaji si sehemu ya kundi la chakula lakini maji yana umuhimu kubwa sana kiafya katika kufanikisha kaz...
26/06/2021

UMUHIMU MAJI MWILINI
Maji si sehemu ya kundi la chakula lakini maji yana umuhimu kubwa sana kiafya katika kufanikisha kazi mbalimbali mwilini. Pia viungo vingi vya mwili ili iweze kufanya kazi vizuri vinahitaji maji na zaidi ya asilimia 60 ya uzito wa mwili wa binadamu ni maji. Hivyo maji husaidia mwili kufanya kazi mbalimbali na hii ni pamoja na;

Maji husaidia katika uyeyushwaji wa chakula, usafirishaji wa virutubishi na ufyonzwaji wa virutubishi mwilini.
Maji husaidia katika kutengeneza maji maji yanayopatikana katika viungo vya mwili k**a vile viwiko na magoti, hivyo kusaidia viungo hivyo viweze kufanya kazi vizuri.
Maji hurekebisha joto la mwili.
Maji husaidia kuzuia kuondoa uchafu na mabaki ya uchafu mwilini kwa njia ya jasho na mkojo
Maji husaidia kupunguza uchovu wa mwili
Maji husaidia kuzuia uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa k**a vile saratani ya tumbo na kibofu cha mkojo, na mawe kwenye figo hasa yanaponywewa kwa kiasi kinachotakiwa.
Kwa mtu mzima anashauriwa kunywa maji safi na salama kiasi cha lita moja na nusu kwa siku au glasi nane kwa siku. Pia mtu mzima anaweza kuongeza kiasi cha maji kwa kunywa kwa kutumia vitu vya majimaji k**a vile supu juisi ya matunda halisi na madafu.

Watoto walioanza kupewa chakula wenye umri kuanzia miezi 6 na kuendelea wapewe maji kulingana na uhitaji wao na ni vyema wapewe maji baada ya kula na siyo kabla ya kula. Lakini kwa watoto wachanga wenye umri chini ya miezi 6 hairuhusiwi kiafya kupewa chakula na kinywaji chochote zaidi ya maziwa ya mama kwani maziwa ya mama yanavirutubishi na maji ya kutosha kulingana na mahitaji ya mtoto.

Namna mwili unavyopoteza maji mwilini

Joto kali: wakati wa joto kali mtu anakuwa kwenye hatari ya kupoteza maji kwa wingi mwilini k**a hatokunywa maji ya kutosha kwa sababu wakati wa joto kali mtu hutokwa na jasho jingi hali ambayo huchangia maji kupungua.
Kuhara na kutapika: mtu anapokuwa katika hali hii maji mengi hipotea mwilini hivyo inashauriwa kunywa maji mara kwa mara ili kuzuia upungufu wa maji mwilini. Suala la kutumia maji yaliyoongezwa chumvi chumvi na sukari ni muhimu pia wakati mtu anapokuwa anaharisha, kutapika au anahalisha na kutapika kwa wakati mmoja.
Unywaji wa pombe kupita kiasi: kwa sababu pombe inasababisha mtu kwenda haja ndogo mara kwa mara na hivyo kupoteza maji kwa wingi.
Zingatia:

kunywa maji safi na salama ili kulinda afya yako. Takasa maji ya kunywa kwa kuyachemsha au kwa kuweka dawa ya waterguard kwani unywaji wa maji yasiyosafi na salama huweza kusababisha mtu kupata magonjwa ya kuharisha k**a vile typhoid na kipindupindu.

Dalili za mimbaDalili na ishara za mwanzo za mimbaSi wanawake wote wanaziona na kupitia dalili za aina moja wanapokuwa w...
18/05/2021

Dalili za mimba

Dalili na ishara za mwanzo za mimba

Si wanawake wote wanaziona na kupitia dalili za aina moja wanapokuwa wamepata mimba. Kila mmoja anaweza kupata dalili tofauti na mwingine.

Kwa kawaida mwanamke anaweza kuona dalili tofauti katika mimba ya kwanza na mimba nyingine zinazofuata baada ya hii ya kwanza.

Baadhi ya dalili za mwanzo k**a kutokuona siku zako na kuongezeka uzito ni dalili zinazotokea karibu kwa wanawake wote na katika ujauzito za mwanzo na hata zinazofuata

Dalili za Mimba Changa

Dalili na ishara zingine za mwanzo za mimba ni pamoja na:

*Mabadiliko ya kihisia
*Kukojoa mara kwa mara
*Kuumwa kichwa
*Maumivu ya mgongo eneo la chini
*Matiti kuuma
*Chuchu kuwa nyeusi
*Uchovu
*Homa za asubuhi

Mimba ya miezi miwili

Baada ya miezi miwili mwanamke anaweza kuonyesha dalili zifuatazo za kuwa ni mjamzito;

*Miguu kuvimba
*Maumivu ya mgongo
*Kiungulia
*Kukojoa mara kwa mara
*Kupata pumzi fupi fupi

Dalili za mimba changa huanza kuonekana baada ya muda gani?

Baadhi ya wanawake wanaweza kuziona dalili na ishara za mimba ndani ya wiki za mwanzo za mimba kutungwa wakati wengine wanaweza kuziona dalili hizo baadaye zaidi baada ya kuwa wamepata ujauzito.

Dalili za mimba za mwanzo zaweza kuonekana sawa na zile ishara za kupata hedhi ya kwanza na hivyo mwanamke anaweza asitambuwe ikiwa dalili anazoziona ni za mimba au ni za kutaka kupata siku zake.

Je dalili za mimba zinafanana kwa wanawake wote?

Dalili za mimba zaweza kuwa tofauti baina ya wanawake.

Dalili hizo za mimba baina ya wanawake zinaweza kutofautiana katika ubora na wingi wake na hata mwanamke mmoja anaweza kuonyesha dalili tofauti kwa kila mimba anayopata.

Dalili za mwanzo za mimba zinaweza pia kujitokeza au kuonekana katika vipindi tofauti wakati mwanamke akiwa mjamzito.

Kipimo kijulikanacho k**a HCG (human chorionic gonadotropin ) hufanyika ili kubaini uwepo wa ujauzito kwa kutumia mkojo au damu. HCG ni homoni ambayo huzalishwa ya yai lililorutubishwa kutungwa katika kuta za mji wa uzazi.

Vipimo vya kisasa vya kutambua kutungwa kwa mimba vinaweza kuonyesha mwanamke kuwa amepata ujauzito hata kabla ya mwanamke kutoona siku zake.

Kipimo cha kutambua kutungwa kwa mimba kwa kutumia damu kinaweza kuonyesha mimba kutungwa mapema zaidi kuliko kipimo cha kutumia mkojo.

Kupitia makala hii nitakueleza kwa kina dalili za mimba za kawaida za mwanzo na zile zinazojionyesha katika hatua za mbele za kutungwa kwa ujauzito.

Kupanga kupata mimba

Kupanga kupata mimba kunahusisha majadiliano kati ya mme wa mwanamke anayetaka kupata ujauzito na timu ya wataalamu wa afya wa mke wake na kunahusu majadiliano yanayohusiana na chakula na lishe, mazoezi, maandalizi ya kisaikolojia na masharti juu ya vyakula na vinywaji vya kuvieupuka mama awapo mjamzito.

Baadhi ya wanawake kutokana na kuwa na mzunguko wa hedhi usioeleweka wanaweza kupata mimba na wasitambuwe mara moja k**a ni wajawazito mpaka aina fulani maalumu za dalili za mimba zitakapoanza kujitokeza.

Hili linaweza kusababisha mama kutumia vitu ambavyo hakutakiwa kutumia akiwa mjamzito kwakuwa hakuwa anajuwa wala kuonyesha dalili zozote kabla kuwa ni mjamzito.

Wanawake wanaochagua kuchukua muda na kupanga au kujiandaa maalumu kwa ajili ya kupata mimba wanakuwa na uwezo mkubwa wa kuepuka kutumia vyakula au vinywaji au kuishi aina ya maisha ambayo yanaweza kuwa hatari kwa ujauzito.

Dalili 16 za mimba changa

Hizi ni dalili 16 mwanamke anaweza kuziona mwanzoni mwa mimba kutungwa:

1. Kutoona siku zake: Kutoona siku zake ndiyo dalili ya kwanza ya mwanamke kuhisi huenda amepata mimba. Na kawaida wakati wote wa ujauzito mwanamke hawezi kuona siku zake.

Wakati mwingine dalili za kutungwa kwa mimba zinaweza kufanana na zile za kutaka kutokea kwa hedhi. Pia wanawake wenye mzunguko usioeleweka wanaweza wasitambuwe mara moja ikiwa wamepata ujauzito au la.

Siyo jambo la kawaida kwa dalili za mimba kujitokeza kabla mwanamke hajaisi kukosa siku zake lakini ikiwa mwanamke ana mzunguko usioeleweka basi hili linaweza kutokea.

2. Maumivu katika mji wa uzazi: Maumivu kiasi au hali ya kutokujisikia vizuri inaweza kujitokeza wakati yai lililorutubishwa linapojijenga katika kuta za mji wa uzazi siku 6 mpaka 12 za mwanzo za mimba kutungwa.

3. Kujitokeza uchafu ukeni: Baadhi ya wanawake wanaweza kuona uchafu mzito kidogo k**a maziwa ukitoka katika siku za mwanzo za ujauzito. Hili hutokea ndani ya wiki za mwanzo za ujauzito wakati kuta za uke zikiwa zinaongezeka ukubwa na unene.

Uchafu huu unaweza kuendelea kutokea wakati wote wa ujauzito. Ikiwa uchafu huu unatoa harufu mbaya au unaambatana na maumivu inaweza kuwa ni maambukizi ya bakteria na ni mhimu kuonana na daktari haraka kwa uchunguzi na msaada zaidi.

4. Maziwa kubadilika: Wanawake wengi wanashuhudia mabadiliko katika maziwa yao mwanzoni kabisa mwa wiki za kwanza za mimba kutungwa. Mabadiliko hayo ni pamoja na maziwa kuuma, kuwa malaini, mazito, yaliyojaa, na hisia za mchonyoto au msisimko. Mabadiliko haya kwa kawaida hupotea pole pole baada ya wiki kadhaa baadaye.

5. Chuchu kuwa nyeusi: Chuchu ambalo ni sehemu ya mbele kabisa ya ziwa la mwanamke linaweza kubadilika rangi na kuwa jeusi zaidi.

6. Uchovu: Ingawa dalili hii inawezekana isiwe ya ujauzito moja kwa moja hata hivyo wanawake wengi wanaripoti kujisikia uchovu ndani ya wiki za mwanzo za mimba kutungwa.

7. Homa za asubuhi, kujisikia vibaya na kutapika: Hata hivyo hizi homa za asubuhi siyo lazima zitokee asubuhi tu, zinaweza kutokea wakati wowote katika siku iwe mchana au usiku.

Baadhi ya wanawake hawakutani na homa hizi au usumbufu wa aina hii katika kipindi chao chote cha ujauzito wakati wengine huwa ni shida kubwa kipindi karibu chote cha ujauzito. Usumbufu huu kwa kawaida hutokea wiki la pili mpaka la nane tangu ushike mimba na usumbufu huu unaweza kupotea wenyewe kuanzia wiki la 13 mpaka la 18.

8. Kukerwa na baadhi ya harufu: Baadhi ya harufu zinaweza kumkera kirahisi mjamzito na hata kupelekea kutokujisikia vizuri na hata kutapika mwanzoni mwanzoni mwa ujauzito wake.

9. Kukojoa mara kwa mara: Kuanzia wiki ya 6 mpaka ya 8 baadhi ya wanawake wanaweza kutokewa kupata mkojo mara kwa mara sababu ya mabadiliko katika homoni zao kutokana na ujauzito.

Ikiwa dalili zingine zinajitokeza k**a maumivu wakati wa kukojoa unatakiwa kuonana na daktari haraka kuona ikiwa una maambukizi kwenye mfumo wa mkojo (U.T.I) au la.

10. Kizunguzungu au udhaifu: Hili pengine linaweza kuwa ni matokeo ya mabadiliko ya homoni ambayo yanaahiri pia usawa wa sukari katika damu, au k**a matokeo ya shinikizo la damu.

11. Kufunga choo: Mabadiliko ya usawa wa homoni yanaweza kupelekea baadhi ya wanawake kupata tatizo la kukosa au kufunga au kupata choo kigumu kinachoweza kuleta ugonjwa wa bawasiri mwanzoni mwa wiki za kwanza kwanza za ujauzito.

12. Kuumwa kichwa: Maumivu ya kichwa au kuumwa kichwa kunaweza kuwa ni dalili za mimba katika wiki za mwanzo na maumivu haya yanaweza kuwa yanaletwa kutokana na mabadiliko ya homoni katika mwili na wakati mwingine yanaweza kutokea k**a matokeo ya kufunga choo au kupata choo kigumu na kuna baadhi ya wanawake wanaweza kupata maumivu haya katika kipindi chote cha ujauzito wao.

13. Kupenda aina fulani ya vyakula: Mwanamke anaweza kutengeneza aina nyingine ya hamu ya vyakula vingine ambavyo hakuwa anavipenda sana kabla ya ujauzito. Hii hali inaweza kudumu katka kipindi chote cha ujauzito.

Wakati mwingine anaweza kupenda vyakula ambavyo hata haieleweki k**a vile kula udongo au limau mara kwa mara.

14. Maumivu ya nyuma ya mgongo: Hii mara nyingi hutokea wiki za mbele zaidi tangu upate ujauzito.

Maumivu nyuma ya mgongo kwa chini yanaweza kutokea mwanzoni kabisa unaposhika ujauzito. Maumivu haya yanaweza kuja kupotea wakati wote wa kipindi cha ujauzito.

15. Kubadilika kwa hisia: Kubadilika badilika kwa hisia za mwanamke ni dalili mojawapo za mimba wiki za kwanza na mara nyingi ni matokeo ya mabadiliko katika homoni zake.

Mabadiliko haya pia yanaweza kuletwa na msongo wa mawazo (stress) au sababu zingine.

16. Pumzi fupi: Baada ya mimba kutungwa mahitaji ya oksijeni kwa mama huongezeka zaidi ili kusapoti afya ya kiumbe kipya tumboni.

Hili linaweza kusababisha baadhi ya wanawake kupatwa na tatizo la pumzi fupi dalili zinazofanana na pumu.

Dalili za mimba ya miezi miwili

Dalili nyingi za mwanzo za mimba zinaweza kuendelea mapaka miezi 6 au miezi mitatu ya mwisho. Dalili hizo ni pamoja na zifuatazo;

*Kubadilika kwa hisia
*Kuumwa kichwa
*Kukojoa mara kwa mara
*Maumivu ya nyuma ya mgongo
*Kupenda aina fulani ya vyakula
*Uchovu

Baadhi ya dalili k**a maziwa kuwa malaini na kujisikia vibaya hupotea zenyewe kadri mimba inavyozidi kukua.

Wakati huo huo dalili za ujauzito wa miezi miwili zina uhusiano na kuongezeka kwa ukubwa wa mji wa uzazi na kuongezeka kwa uzito wa mwili kati ya miezi mitatu mpaka sita ya ujauzito na wakati mwingine mpaka wakati wa kujifungua.

Siyo wanawake wote wanakutana na dalili hizi k**a zilivyo na uzito ulio sawa.

Dalili 7 za mimba ya miezi miwili

1. Kuongezeka uzito: Wanawake wengi wanaweza kuongezeka uzito wa kilogram 11 mpaka 15 wakati wa ujauzito. Uzito kuongezeka ni matokeo ya kukua kwa mtoto tumboni, kitovu, maziwa kuongezeka na kuongezeka kwa ujazo wa damu na maji. Tabibu au nesi wako wa karibu atakuwa akirekodi na kufuatilia uzito wako kila mara.

2. Maziwa kubadilika: Maziwa ya mwanamke yataongezeka kidogo kidogo wakati wote wa ujauzito mpaka anajifungua. Wakati mwingine maziwa yanaweza kujitokea tu hata kabla ya kuanza kunyonyesha.

3. Kiungulia: Shinikizo kutoka katika mji uliongezeka wa uzazi hupelekea utumbo kusogezwa kidogo kwa juu tofauti na eneo lake la mara zaote na hili ndilo linalosababisha kutokea kwa kiungulia. Mabadiliko ya homoni piayanaweza kusababisha hili.

4. Miguu kuvimba: Presha kutoka kwenye kuongezeka kwa mfuko wa uzazi inaweza kupunguza kiasi cha damu inayotiririka kwenda miguuni na hivyo kupelekea maji maji kujirundika miguuni na kutengeneza uvimbe.

5. Kuvimba Veni: Kuongezeka kwa ujazo wa damu kunaweza kuleta tatizo la kuvimba kwa veni na ugonjwa wa bawasiri.

6. Kukojoa mara kwa mara: Presha ya mji wa uzazi inaongeza presha nyingine kwenye kibofu cha mkojo na kusabbaisha hali ya kukojoa mara kwa mara. Wakati mwingine mwanamke anaweza kuona mkojo unatoka wakati akicheka, akikohoa au hata akipiga chafya.

7. Pumzi fupi: Kuongezeka kwa ukubwa wa mji wa uzazi kunaisukuma diaphragm juu kuelekea kifuani na hivyo kusababisha upate pumzi fupi fupi tofauti na ulivyokuwa kabla ya ujauzito.

Vitu vya kufanya ili kupunguza dalili zisizo nzuri za mimba

Zipo baadhi ya dawa za asili, dawa lishe na matunzo maalumu binafsi yanayoweza kusaidia kupunguza au kuondoa maudhi haya ya wakati wa ujauzito.

Dawa nyingi hata antibiotiki zinaweza kutumika na mjamzito lakini mjamzito asitumie dawa yoyote iwe ya asili au ya hospitali bila ruhusa au uangalizi wa karibu wa Tabibu.

Unaweza kufanya yafuatayo ili kupunguza maudhi hayo;

*Mlo sahihi na mazoezi ya viungo. Mlo sahihi na mazoezi ya viungo vinaweza kusaidia kudhibiti uzito. Usifanye kila aina ya mazoezi unayoyafahamu, wasiliana na Tabibu wako wa karibu kwa ushauri zaidi juu ya mazoezi gani hasa yatakufaa.

*Usikae kwenye kiti au chini masaa mengi, bora kutembea tembea au kulala kuliko kuwa kwenye kiti masaa yote.

*Vaa viatu vya kawaida na siyo vyenye visigino virefu au vinavyobana sana

*Usilale kwenye godoro linalobonyea kirahisi

*Vaa sidiria kubwa inayoaacha maziwa kwa uhuru wote

*Kula zaidi vyakula vyenye nyuzi nyuzi (fiber) ili kuepuka kupata choo kigumu na bawasiri. Hii inamaanisha asilimia 80 ya chakula iwe ni matunda na mboga za majani.

*Kula milo mingi midogo midogo ili kupunguza kujisikia vibaya na kiungulia.

*Epuka vyakula vyenye mafuta sana. Kunywa mara nyingi maji na juisi za matunda za nyumbani.

Dalili za Mimba na dalili za siku zako

Dalili nyingi za mwanzo za mimba zinafafanana sana na dalili za mwanzo za kutaka kupata siku zako.

Mpaka utakapoona siku zako zimeanza au kipimo cha ujauzito kinaonyesha ni mjamzito hakuna njia inayoweza kuhitimisha ikiwa dalili unazoziona ni za ujauzito au ni za kupata siku zako.

K**a unatafuta dawa ya asili kwa ajili ya kupata ujauzito, niachie tu ujumbe WhatsApp +255764201450 calls 0627449098

SHARE post hii na rafiki zako wengine uwapendao

MSHAHARA WA PUNYETO (KUJICHUA)>dhakari kusinyaa kila ukijaribu kubadikisha style au mtindo.>dhakari kusimama kwa ulegevu...
09/05/2021

MSHAHARA WA PUNYETO (KUJICHUA)

>dhakari kusinyaa kila ukijaribu kubadikisha style au mtindo.
>dhakari kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
>kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia baola pili na kuebdelea.
> kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza.
>kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.?
>dhakari kutosimama ukiwepo na mwebza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizur.
> kufika kilekeni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
>kushindwa kumuandaa mpenzi wako,kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
>kutoa mbegu hafifu hadi husabisha kushindwa kumpa mkeo ujauzito.
K**a umekumbana au unakumbuna na changamot k**a hizo usisite,
Tuma ujumbe neno MTAMBO kwenda whatsup namba 0629401589 au piga simu usaidiwe mapema

Bei 50000/=
Mikoani tunatuma kwa bus au zanzibar kwa boat na mikoa mingine unaletewa na mawakala wetu waliopo huko

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO KWA WANAUME1.Punyeto hukufanya uwe dhaifu,inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.2....
09/05/2021

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO KWA WANAUME
1.Punyeto hukufanya uwe dhaifu,inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.
2.huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili.
3.ni moja ya kisababishi kikuu cha uanisi(uume kushindwa kusimama)?
4.Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua(teja) unaweza kuajaribu mara 1 tu na tauari ukawa teja kwa jambo hilo kila mara.
5.huleta uchobu sugu na kwa haraka zaidi,mara nyingi utahitajo kulala usingizihata nyakati za mchana.
6.husababisha mfadhaiko (stress) kwenye.akili na kwenye roho yako pia.
7.huleta matatizo ya kisaikolojia ,hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya ujilaumu nafsi mara baada ya kimaliza kujichua.
8.punyeto haifanyiki kirahisi ,unahitajovakili yakoiwaze au itazame picha mbaya au chafu au kumfikiria kimapenzi mti asiyekuwepohapo ulipo.hili ni jambo baya zaidi kwa afya kwani picha hizo hazikuondokiharaka kichwani mwako tofauti na ukishiriki tendo la ndoa na binadamu mwenzio moja kw moja.
9.punyeto inakupelekea kufanya makutanukuturamu kwa kuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila mara itakupelekea kuabza kutafuta vijarida auboicha za ngono jambo ambalo ni baya zaidi kwa afya yako ya mwiki na roho.
10.punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni kuwahi jufija kikeleni utakaposhiriki tendo la ndoa na mwebza wako ,hili itakuketea shida kwenye mahysiano yaki wewe mwenyewe na hata kwa mwebza wako.
11.punyeto inapinguza uwingi wa mbegu( s***m count ) k**a matokeo yake mwanaume hataweza kumoa mwanamke ujauzito.hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha ugumba kwa wabaume na ni matokeo ya kupifa punyeto mara kwa mara.
12.kimaadiki kabisa punyeto au kujichua ni jambo baya, unamuwaza fulani na kujikuta ukishirika tendo la ndoa pekee yako. Hii inapunguza thamani yako na nidhamu kwa wengine. Unaweza kuwa mzuri kwenye maenei mengine mengi lakini utaishia kuwa na matatizo k**a hutaiacha tabia hii haraka.
13.punyeto inapoteza muda wako na kukufanya mtu udiye na faida.
14.raha ya kujichua haibaki akilini kwa kipindi kirefu k**a vile ukishiriki tendo la ndoa kwa na mtu halisi.

Ukweli kuna baadhi ya watu wamejuwa wakitumia picha zetu mbali mbali kuamisha watu ilihali dawa wanazotoa ni tofauti nad...
09/05/2021

Ukweli kuna baadhi ya watu wamejuwa wakitumia picha zetu mbali mbali kuamisha watu ilihali dawa wanazotoa ni tofauti nadawa za bukoba imenikitunisha sana .
Pole sana kwa wote ambao mmetumia dawa mbali mbali kupata matokeo sahihi
Na hii ndo page yetu hslisi
Nakumbusha, hakuna akuezaliwa na KIBAMIA ama upungufu wa nguvu narudia teba KIBAMIA ama dhakari ndogo hilo ni TATIZO na linatibika kabisa amini tu.
Zipo hata shuhuda za watu ambao wametibiwa na hizi dawa zet kutoka bukoba ila hatuwezi kuzipost maana hirusiwi kupost picha kana zile lakini pia watu wanaziiba na kupist kufanya biashara.
1.k**a umewahi kujichua we ni muathirika wa janga hili tayari .unahitaji dawa.
2.k**a unaangalia video za kwichi aise ndugu acha kabisa huo mchezo na utafute yiba mara moja kwani sio salama kwa ujari wako.unahitaji dawa.
3.k**a uliwahi kutumia vidonge vya kuboost wakati wa tendo wewe pole sana wahi katafute na dawa ya kuondoa kemikali/sumu mwilini.
4.k**a umewahi kuwa na ngiri ,kaswende una uwezekano mkubwa wa kupata matatizo haya KIBAMIA na ukosefu wa nguvu .
Wengine KIBAMIA wamepata wakati wa kutahiliwa

5.labda nikueleweshe tunaposema upungufu wa nguvu za kiume ni.kukosa hamu ya tendo,kuwahi kumwaga
Kushindwa kurudia mishindo zaid ya bao 3 kuishiwa bguvu na kiuno kuuma baada ya mshindo dhakari kurudia ndani kusintaa k**a mtoto baada ya kumaliza.

Dawa ya kukuza na kuondoa nisuli iliosinyaa kwaajili ya kujichua n.k 50000
Piga ama kutuma sms kawaida au whatsup
0627449098
Pia tuna maajenti mikoan k**a DODOMA,DAR,ARUSHA,MWANZA kwingine tunawagizia kwa bus ama boatkwa viswani

Amini utapona ma kuwa imara

NB. Usipopata matokeo tunakuhakikishia kuwajibika kwajili yako na tunakujali na kukuthamini

Dirección

Monterrubio De La Serena

Página web

Notificaciones

Sé el primero en enterarse y déjanos enviarle un correo electrónico cuando Kwengoma_clinic21 publique noticias y promociones. Su dirección de correo electrónico no se utilizará para ningún otro fin, y puede darse de baja en cualquier momento.

Compartir

Categoría