Lubonji Wa Lubonji

Lubonji Wa Lubonji L.W.L MUSIC INTERNATIONAL

22/10/2025
SHOW YA FALLY IPUPA KWENYE UWANJA WA STADE DE FRANCE CONCERT HISTORIQUE DE FALLY IPUPA AU STADE DE FRANCE Tarehe 2 Mei 2...
14/10/2025

SHOW YA FALLY IPUPA KWENYE UWANJA WA STADE DE FRANCE
CONCERT HISTORIQUE DE FALLY IPUPA AU STADE DE FRANCE

Tarehe 2 Mei 2026, sauti kutoka mto Kongo itatikisa nguzo za Uwanja wa Stade de France.

Zaidi ya tiketi 40,000 zimeuzwa kwa muda mfupi, ishara ya kwamba msisimko unaovuka mipaka, lugha na simulizi za ukandamizaji ili sauti ya Africa izidi kufifia.

Takwimu hii si ya kawaida tu ni dalili ya wimbi la kihistoria linaloelekea kwenye tukio la kipekee.

Uwanja wa Stade de France, wenye uwezo wa kuchukua watu 80,000, si ndoto tena kwa Wasanii wa Kiafrika : ni eneo lililodhibitiwa, jukwaa ambamo Afrika inaimba fahari yake bila hofu.

FALLY IPUPA, mrithi wa Maguiji wa rumba na mtunzi wa mitindo ya kisasa, haji tuu kutoa burudani. Anakuja kuwakilisha zama, kuunganisha kumbukumbu, na kutoa sauti kwa wale waliotaka kunyamazisha Rumba kwa muda mrefu.

Usiku huo, jukwaa halitakuwa la Ufaransa, bali litakuwa la Afrika ndani ya Ufaransa.
Kila hatua, kila sauti itakayopaa angani mwa Saint-Denis, itakuwa tamko la uhuru wa kitamaduni, jibu la kifahari kwa historia iliotakwa kufutwa.

"Usiku Mmoja. Mfalme Mmoja. Jukwaa Moja." hiyo siotuu kauli ya kibiashara, bali ni tamko la kishairi, alama ya kudumu katika kumbukumbu ya pamoja.

L.W.L
Le 2 mai 2026, une voix venue du fleuve Congo s’apprête à faire vibrer les gradins du Stade de France.

En quelques jours, plus de 40 000 billets ont trouvé preneurs, signe d’un engouement qui dépasse les frontières, les langues et les récits dominants. Ce chiffre, loin d’être anecdotique, annonce une marée humaine en marche vers un rendez-vous historique.

Le Stade de France, avec ses 80 000 sièges, n’est plus un rêve lointain pour les artistes africains : il devient un espace conquis, un théâtre où l’Afrique chante sa grandeur sans complexe.

Fally Ipupa, dans la lignée des géants de la rumba et des bâtisseurs de rythmes modernes, ne vient pas simplement donner un concert. Il vient incarner une époque, réconcilier les mémoires, élever les voix longtemps tues.

Ce soir-là, la scène ne sera pas francilienne, elle sera panafricaine. Chaque pas sur le podium, chaque note lancée dans le ciel de Saint-Denis, sera une affirmation de souveraineté culturelle, une réponse élégante à l’effacement historique.

"One Night. One King. One Stage." ce n’est pas un slogan, c’est une proclamation poétique, une inscription dans le marbre de la mémoire collective.

L.W.L

12/10/2025

Franco Luambo Makiadi : Sauti ya Bara Linaloamka

Tarehe 12 Oktoba 1989, Afrika ilinyamaza kwa muda.
K**a vile Mto Kongo ulisimamisha mkondo wake kusikiliza kwa mara ya mwisho sauti nzito na ya kifalme ya "Franco Luambo Makiadi".

Siku hiyo, gwiji wa OK Jazz aliaga duniani, lakini kazi yake iliingia katika umilele.

"Franco Luambo Makiadi" hakuwa Msanii wa kawaida.
Alikuwa ni dhamiri ya muziki, mfasiri wa roho ya jamii ya Kibantu, na mjumbe wa kihistoria aliyeandika simulizi za watu wake kwa ala na sauti.

Gitaa lake mara laini, mara kali lilibeba huzuni na furaha za watu waliotafuta heshima na utu.

Kupitia midundo ya rumba ya Kongo, alichonga kumbukumbu ya pamoja, akisimulia mapenzi, usaliti, umaskini, umalaya, utajiri, umaskini, siasa, hekima za jadi na kejeli za maisha ya kila siku.

Kwa OK Jazz si bendi tu, bali taasisi alijenga urithi mkubwa, wenye mizizi ya Kiafrika na upeo wa kimataifa.

Alifanya Léopoldville icheze, Brazzaville ilie, Abidjan iote ndoto, Dar Es Salaam iamke, Nairobi ikubali, Brussels itambe na Paris itikisike.

Sauti yake nzito na ya kifalme ilibeba uzito wa mzee wa jadi wa kisasa, aliyeweza kuunganisha mitaa ya watu wa kawaida na kumbi za mabalozi.

Lakini nyuma ya midundo ya furaha, kulikuwa na macho ya kisiasa yaliyoamka.

"Franco Luambo Makiadi" alijua kuwa rumba si burudani tu bali ni silaha. Aliitumia kwa ustadi wa daktari na ufasaha wa mshairi.

Nyimbo zake, ndefu na wakati mwingine zilizopigwa marufuku, zilikuwa ni ramani za kijamii, mahak**a za watu, vioo vya jamii inayobadilika.

Miaka thelathini na sita baada ya kifo chake, "Franco Luambo Makiadi" bado anasikika kwenye teksi za Kinshasa, kwenye redio za bara zima, kwenye kumbukumbu za walioko ughaibuni muziki wake bado unaishi, Unagusa, unafundisha, unaunganisha. Unakumbusha kuwa Afrika, hata ikiwa na majeraha, imezaa sauti zinazovuka mipaka na karne.

"Franco Luambo Makiadi " hajafa :
Amegeuka kuwa midundo !
Amegeuka kuwa maneno !
Amegeuka kuwa kumbukumbu.

Aendelee kupumzika kwa Amani.

L.W.L

Franco Luambo Makiadi : La voix d’un continent qui s’éveille

Le 12 octobre 1989, l’Afrique suspendit son souffle.
Comme si le fleuve Congo lui-même avait interrompu son cours pour écouter, une dernière fois, la voix grave et souveraine de Franco Luambo Makiadi.

Ce jour-là, le maître de l’OK Jazz quittait la scène terrestre, mais son œuvre entrait dans l’éternité.

Franco Luambo Makiadi n’était pas un artiste ordinaire.
Il était la conscience musicale d’un peuple, l’interprète de l’âme bantoue, le messager d’une histoire collective transmise par les cordes et les mots.

Sa guitare tantôt douce, tantôt tranchante portait les douleurs et les joies d’une société en quête de dignité.

À travers les rythmes de la rumba congolaise, il sculptait une mémoire partagée, racontant l’amour, la trahison, la pauvreté, la prostitution, la richesse, la politique, la sagesse ancestrale et les ironies du quotidien.

L’OK Jazz n’était pas une simple formation musicale : c’était une institution.
Franco y bâtit un héritage immense, enraciné dans l’Afrique profonde et ouvert sur le monde.

Il fit danser Léopoldville, pleurer Brazzaville, rêver Abidjan, éveiller Dar Es Salaam, convaincre Nairobi, rayonner à Bruxelles et faire vibrer Paris.

Sa voix grave et majestueuse portait le poids d’un ancien devenu moderne, capable de relier les ruelles populaires aux salons diplomatiques.

Mais derrière les rythmes festifs, veillaient des yeux politiques.
Franco savait que la rumba n’était pas qu’un divertissement : c’était une arme.
Il la maniait avec la précision d’un chirurgien et l’éloquence d’un poète.

Ses chansons, longues et parfois censurées, étaient des cartographies sociales, des tribunaux populaires, des miroirs tendus à une société en mutation.

Trente-six ans après sa disparition, Franco Luambo Makiadi résonne encore.
Dans les taxis de Kinshasa, sur les ondes du continent, dans les souvenirs de l’exil sa musique vit.
Elle touche, elle enseigne, elle rassemble.
Elle rappelle qu’une Afrique meurtrie peut enfanter des voix qui transcendent les frontières et les siècles.

Franco Luambo Makiadi n’est pas mort :
Il est devenu rythme.
Il est devenu verbe.
Il est devenu mémoire.

Qu’il repose en paix.

L.W.L

11/10/2025

DANSA WA ZAMANI WA KOFFI OLOMIDE "CHOUCHOU MBAYO" AFARIKI DUNIA

Apumzike kwa Amani

L.W.L

WERRASON AVEC SEMA LUKONDE KYENGE (Président du Sénat)Katika wakati huu wa kipekee wa historia ya taifa letu, nimepewa h...
10/10/2025

WERRASON AVEC SEMA LUKONDE KYENGE (Président du Sénat)

Katika wakati huu wa kipekee wa historia ya taifa letu, nimepewa heshima ya kuuinua juu bendera ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa kupitia tamasha langu la muziki litakalo fanyika tarehe 18 Oktoba katika ukumbi wa Adidas Arena Jijini (Paris) France, hivyo nachangia kwa fahari taswira ya bara la Afrika.

Kwa muktadha huo, Mheshimiwa "Sama Lukonde Kyenge", Spika wa Seneti ya DRC, alinipokea kwa heshima na kunielezea maneno ya kutia moyo, k**a ishara ya msaada rasmi kwa tukio hilo la kitamaduni lenye hadhi ya kimataifa.

En ce moment singulier de notre histoire nationale, j’ai l’honneur de porter haut l’étendard de la RDC 🇨🇩, ainsi contribuant par mon concert du 18 octobre à l’Adidas Arena à Paris (France) à l’éclat artistique du continent africain.

À cet égard, j’ai été reçu avec bienveillance par l’honorable "Sama Lukonde Kyenge", Président du Sénat de la RDC, qui m’a témoigné ses encouragements et son appui, marquant ainsi un geste de reconnaissance institutionnelle envers cette initiative culturelle d’envergure.

10/10/2025

PHÉNOMÈNE WERRASON
SHOW EXCEPTIONNEL
C'ÉTAIT LE SAMEDI 15 FÉVRIER À L'ARÉNA GRAND PARIS.

L.W.L

KOFFI OLOMIDE ALBUM "V12"V12 ni Album Simfonia ya Quartier LatinIliyotolewa tarehe 9 Oktoba 1995, chini ya lebo ya kifar...
10/10/2025

KOFFI OLOMIDE ALBUM "V12"
V12 ni Album Simfonia ya Quartier Latin
Iliyotolewa tarehe 9 Oktoba 1995, chini ya lebo ya kifaransa Sonodisc.

V12 ni kazi ya kipekee katika safari ya muziki ya Koffi Olomidé, msanii mashuhuri wa rumba ya Kongo na kiongozi wa bendi maarufu Quartier Latin International.

Album hii ilirekodiwa kati ya Juni na Septemba 1995, ikiwa ni mfano wa Muziki wa Dunia unaochanganya mizizi ya Kiafrika na ladha ya kimataifa.

Jina V12, linalomaanisha injini yenye silinda kumi na mbili, linaashiria nguvu ya ubunifu, muungano wa vipaji, na muundo wa kisanaa wa hali ya juu.

Kila wimbo ni k**a pistoni inayosukuma msikilizaji kuelekea safari ya kihisia na kitamaduni yenye kina na uzito.

Kwa mujibu wa takwimu za kimataifa, albamu V12 imeorodheshwa katika nafasi ya 14,975 duniani, ikithibitisha kuwa licha ya kuwa ya asili ya Kongo, imevuka mipaka na kugusa mioyo ya wasikilizaji wa tamaduni mbalimbali.

Album V12 inanyimbo 11
1 Andrada
2 Parking Ya ba Baba
3 Chantou
4 Fouta Djallon
5 État Civil
6 Dossier du Jour
7 Aspirine
8 Nouveau Testament
9 Bambino
10 Miss Toutsi
11 Zokere

Kila wimbo ni simulizi ya kipekee, ikizungumzia masuala ya kijamii, mapenzi, utambulisho na urithi wa Kiafrika.

Wimbo "Bambino" ni wimbo wa hisia za upendo wa utotoni, huku Parking Ya ba Baba ikitoa kejeli kwa tabaka la juu la jamii.

Wasanii Walioshiriki :
Waimbaji : Suzuki Luzubu, Babia Chokoro, Modogo Balongana, W***y Bula, Eric Tutsi, Sam Tshintu, Koffi Olomidé

Gitaa : Beniko Popolipo, Do Akongo, Felly Tyson, Lebou Kabuya

Bass : Binda Bass, Rocky Blanchard

Drums : Coco Tchomba

Ngoma : Nseka Kudiféléla

Kinanda: Ondoma Motema

Rapa Atalaku : Bivens Bienvenue, Koffi Olomidé

Wanenguaji (Dansa) : Rita Dembo, Miette Shegué, Mireille Kondé, Nono Diamant, Zina Bilawu

Kazi hii ni muungano wa vipaji vya hali ya juu, ambapo ustadi wa muziki unakutana na ushairi wa kina, na kuunda sauti ya kipekee inayovuka mipaka ya lugha na tamaduni.

V12 Tamko la Kisanaa na Heshima ya Kiafrika
Zaidi ya album ya burudani, V12 ni tamko la kifalsafa, ni sauti ya heshima ya Kiafrika kupitia muziki.

"Koffi Olomidé" anatumia maneno yenye uzito, kejeli na hekima, akieleza masuala ya utambulisho, haki, na urithi wa jamii.

Album hii ni daraja kati ya vizazi, ikihifadhi kumbukumbu na kuendeleza ndoto za Afrika ya kisasa.

"V12" L’album-moteur de Koffi Olomidé : une symphonie du Quartier Latin.

Sorti le 9 octobre 1995, sous le label Sonodisc, V12 s’impose comme une pièce maîtresse dans l’odyssée musicale de Koffi Olomidé, figure tutélaire de la rumba congolaise et chef d’orchestre du mythique Quartier Latin International.

Enregistré entre juin et septembre 1995, cet album incarne une forme de musique du monde à la fois enracinée et universelle, où la cadence africaine épouse les raffinements de la scène francophone.

Le titre V12, évocateur d’un moteur à douze cylindres, symbolise la puissance créative et la polyphonie maîtrisée d’un collectif artistique en pleine effervescence.

Chaque chanson y fonctionne comme un piston vibrant, propulsant l’auditeur dans un voyage émotionnel et culturel d’une rare intensité.

À noter que l’album V12, dans sa trajectoire internationale, a été classé 14 975ᵉ au rang mondial, témoignant d’une reconnaissance diffuse mais persistante dans les sphères musicales transcontinentales.

Composition de l’album : une mécanique harmonique de 11 Titres

1 Andrada
2 Parking Ya ba Baba
3 Chantou
4 Fouta Djallon
5 État Civil
6 Dossier du Jour
7 Aspirine
8 Nouveau Testament
9 Bambino
10 Miss Toutsi
11 Zokere

Chaque titre est une capsule narrative, oscillant entre satire sociale, introspection affective et célébration identitaire.

"Bambino" s’élève comme une ballade intemporelle, tandis que "Parking Ya ba Baba" déploie une ironie mordante sur les faux-semblants de la notabilité.

Artistes et artisans : une constellation vocale et instrumentale :

Chant : Suzuki Luzubu, Babia Chokoro, Modogo Balongana, W***y Bula, Eric Tutsi, Sam Tshintu, Koffi Olomidé

Guitares : Beniko Popolipo, Do Akongo, Felly Tyson, Lebou Kabuya

Bass : Binda Bass, Rocky Blanchard

Batterie : Coco Tchomba

Percussions : Nseka Kudiféléla

Synthétiseur : Ondoma Motema

Animation Atalaku : Bivens Bienvenue, Koffi Olomidé

Danseuses : Rita Dembo, Miette Shegué, Mireille Kondé, Nono Diamant, Zina Bilawu

Ce panthéon musical donne corps à une œuvre où la virtuosité technique se conjugue à la sensibilité poétique, dans une alchimie sonore qui transcende les frontières.

V12 : une œuvre manifeste
Plus qu’un album, V12 est une déclaration esthétique et philosophique, une affirmation de la dignité africaine par le prisme de l’art.

"Koffi Olomide" y déploie une plume tantôt lyrique, tantôt mordante, toujours empreinte d’une lucidité élégante.

L’œuvre s’inscrit dans une dynamique de transmission culturelle, où la mémoire collective se mêle aux aspirations modernes.
Sandra Kazadi lisasi ya s**a Perpetue Nkodia Ruffine Agbepa Angel Ndouksa

L.W.L

Fally Ipupa et Ferré Gola : Deux maîtres de la Rumba s’apprêtent à embraser les scènes les plus emblématiques.Fally Ipup...
09/10/2025

Fally Ipupa et Ferré Gola : Deux maîtres de la Rumba s’apprêtent à embraser les scènes les plus emblématiques.
Fally Ipupa na Ferre Gola : Magwiji wa Rumba wanapanda jukwaa kwa kishindo

Mwaka wa 2026 utakuwa wa kumbukumbu kubwa kwa muziki wa Kongo.
Wasanii wawili wakubwa wanajiandaa kutikisa viwanja vikubwa kwa matamasha ya kihistoria:

"Fally Ipupa",nyota wa kimataifa, atakuwa Msanii wa kwanza kutoka Kongo kutumbuiza katika Stade de France jijini Paris, mnamo tarehe 2 Mei 2026.
Hii ni hatua ya kifahari inayodhihirisha ukubwa wa kipaji chake na heshima ya muziki wa Kongo duniani.

"Ferre Gola", Mfalme wa sauti ya kipekee, anajibu kwa kishindo kwa kutangaza usiku mbili za moto katika Stade des Martyrs Jijini Kinshasa, mnamo tarehe 19 na 20 Juni 2026.

Mashabiki wake watafurahia burudani ya hali ya juu katika moyo wa jiji la Kinshasa.

Rumba ya Congo inaendelea kutawala, na Mashabiki wanajiuliza : Je, utakuwa Paris au Kinshasa?
Popote pale utakapo kuwa, jua kwamba utaburudika vilivyo !

Fally Ipupa na Ferré Gola :
Njia mbili tofauti, mitazamo miwili, lakini shauku moja : kuwatumbuiza mashabiki na kuenzi utajiri wa muziki wa Kongo

Fally Ipupa et Ferré Gola : Deux maîtres de la rumba s’apprêtent à embraser les scènes les plus emblématiques.

L’année 2026 s’annonce mémorable pour la musique congolaise. Deux figures majeures de la scène artistique se préparent à faire vibrer des stades mythiques lors de spectacles d’une envergure historique :

"Fally Ipupa", étoile de renommée internationale, deviendra le premier artiste congolais à se produire en solo au Stade de France, à Paris, le 2 mai 2026.
Ce moment d’exception consacre l’ampleur de son talent et témoigne du rayonnement mondial de la rumba congolaise.

"Ferré Gola", souverain d’une voix singulière, réplique avec éclat en annonçant deux soirées incandescentes au Stade des Martyrs de Kinshasa, les 19 et 20 juin 2026.
Une célébration musicale au cœur de la capitale, où ses admirateurs vivront une expérience artistique d’une rare intensité.

Tandis que la Rumba congolaise poursuit son règne, une question se pose aux mélomanes : serez-vous à Paris ou à Kinshasa ?
Peu importe la ville, une chose est certaine : l’émotion sera au rendez-vous.

🎤 Fally Ipupa et Ferré Gola : deux trajectoires distinctes, deux visions artistiques, mais une passion commune celle d’enchanter leur public et de magnifier l’héritage musical du Congo.

L.W.L

Tamasha la Fally Ipupa katika Uwanja wa Stade de France – Tarehe 02 Mei Subira ni kubwa k**a tukio lenyewe: zaidi ya wat...
08/10/2025

Tamasha la Fally Ipupa katika Uwanja wa Stade de France – Tarehe 02 Mei

Subira ni kubwa k**a tukio lenyewe: zaidi ya watu 7000 wamesimama kwenye foleni wakisubiri tiketi yao ya thamani. Tarehe 02 Mei, Uwanja wa Stade de France utatikisika kwa sauti ya Fally Ipupa, gwiji wa muziki wa Kongo na nyota wa kimataifa. Kununua tiketi imekuwa k**a mtihani wa uvumilivu mbio dhidi ya muda, tendo la upendo kwa muziki.

Katika msongamano huu wa kipekee, kila bonyezo kwenye tovuti ya tiketi ni k**a mapigo ya moyo. Mashabiki kutoka kila pembe ya dunia wanajizatiti kwa subira na matumaini.
Kwani kuhudhuria tamasha hili ni kushuhudia historia ikitendeka muungano wa kisanii usio na kifani.

K**a bado hujapata tiketi yako, huu ndio wakati wa kuchukua hatua.
Lakini jiandae: foleni imezidi watu 7000. Idadi hii inaonyesha shauku, hamasa, na upeo wa ushawishi wa Fally Ipupa.

Tarehe 02 Mei, jiji la Paris litacheza kwa midundo ya rumba, ndombolo, na ustadi wa muziki wa hali ya juu. Usikose tukio hili la kihistoria.

Concert de Fally Ipupa au Stade de France – 02 Mai

L’attente est à la hauteur de l’événement : plus de 7000 personnes en file pour obtenir leur précieux sésame.

Ce 02 mai, le Stade de France vibrera au rythme de Fally Ipupa, icône de la musique congolaise et star internationale.

L’achat du billet devient une épreuve d’endurance, une course contre la montre, un acte d’amour pour la musique.

Face à cette affluence exceptionnelle, chaque clic sur la billetterie en ligne est un battement de cœur.

Les fans, venus des quatre coins du monde, s’arment de patience et d’espoir.

Car assister à ce concert, c’est vivre un moment historique, une communion artistique sans précédent.

Si vous n’avez pas encore votre billet, il est temps d’agir.
Mais préparez-vous : la file d’attente dépasse les 7000 personnes.

Un chiffre qui témoigne de l’engouement, de la ferveur, et du rayonnement de Fally Ipupa.

Ce 02 mai, Paris dansera au rythme de la rumba, du ndombolo, et de l’élégance musicale. Ne manquez pas ce rendez-vous avec l’histoire.

L.W.L

LES ANCIENS DE QUARTIER LATINPROFESSEUR MODOGO ABARAMBWAGIPSON BUTUKONDOLOPRESIDENT SAM TSHINTUMBOSHI LIPASA
05/10/2025

LES ANCIENS DE QUARTIER LATIN
PROFESSEUR MODOGO ABARAMBWA
GIPSON BUTUKONDOLO
PRESIDENT SAM TSHINTU
MBOSHI LIPASA

Adresse

Avenue D'ORADOUR SUR GLANE
Bonneuil-sur-Marne
94380

Téléphone

33668312952

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Lubonji Wa Lubonji publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter La Pratique

Envoyer un message à Lubonji Wa Lubonji:

Partager

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram