Shifaa herbal clinic Mombasa

Shifaa herbal clinic Mombasa Good health is not something we can buy. However, it can be an extremely valuable savings

07/12/2022

▫️EWE MOLA WETU MLEZI !

▫️k**a ulivyoyaamsha
macho yetu kutoka usingizini, ziamshe nyoyo
zetu kutokana na kughafilika.

▫️Na k**a ulivyotung'arishia dunia kwa nuru ya
asubuhi, yang'arishe maisha yetu kwa nuru ya
uongofu.

▫️Ewe Mola wetu mlezi Tujaalie tawfiq na utuhifadhi katika maisha yetu.

▫️Tuepushe na huzuni na taabu, na utuangazie nuru iliyojaa upendo.

▫️Utupe afya njema na uzima katika twaa yako,

▫️Tupe raha ya leo hapa duniani na kesho aakhira huko twendako.

▫️Ewee mola! Tukunjulie rizki na mambo yetu utunyoshee, tupatacho ukibariki kitoshe na kubakia na malaika wema wafanye doria usiku na mchana tusipatwe na mabaya,

Aaamiiin

07/08/2022
Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa tatizo la nyama za puani bila upasuaji
06/07/2022

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa tatizo la nyama za puani bila upasuaji

🔰-Dawa hii kwa jina la siha🌳-Ni dawa ya herbal ambayo imetengenezwa kutokana na miti ni herbal na haina madhara ya baada...
20/06/2022

🔰-Dawa hii kwa jina la siha

🌳-Ni dawa ya herbal ambayo imetengenezwa kutokana na miti ni herbal na haina madhara ya baadae (no side effects)

✅-Dawa hii ina uwezo wa kutibu na kuyeyusha uvimbe wa goita bila upasuaji

✳️-Dawa hii inaweza kutumiwa na wanawake kwa wanaume

🌐-Kwa miezi mitatu pekee unakuwa Sawa kabisa

📞-Kwa shilingi 5500 unapata full doze

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa tatizo la macho1-macho mekundu2 -Kutokwa na machozi3-utandu kwenye macho4-mtoto wa jic...
07/06/2022

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa tatizo la macho

1-macho mekundu
2 -Kutokwa na machozi
3-utandu kwenye macho
4-mtoto wa jicho
5-macho kutoona vizuri
6-maumivu

Dawa hii ni asilia na haina madhara yeyote

Inaweza kutumiwa na watoto na watu wazima

Wasiliana na Dr Ismail kwa maelezo zaidi

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo ya nyama za puanitatizo la sinus, matatizo ya kupumua na mengine mengi Dawa h...
23/05/2022

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo ya nyama za puani

tatizo la sinus, matatizo ya kupumua na mengine mengi

Dawa hii ni herbal na haina madhara yeyote

Wasiliana na Dr Ismail kwa +254721836774

DAWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS/MAYOMA).JE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU UNA NDUGU JAMAA AU RAFIKI MWEN...
19/05/2022

DAWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS/MAYOMA).

JE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU UNA NDUGU JAMAA AU RAFIKI MWENYE TATIZO HILI ?USIWAZE SANA, JIPATIE DAWA MUJARABU KWA UWEZO WA MOLA INAYOMALIZA UVIMBE KWENYE KIZAZI BILA UPASUAJI.

Fibroids , Ni uvimbe usiyokuwa na kansa unakua katika tabaka la misuli ya kizazi katika tissue zinazozunguka kizazi.Uvimbe unaanza kwa kukua kwa misuli laini k**a ukubwa wa harage kisha kuwa kubwa k**a tikitimaji.Kwa kawaida ukuaji wa uvimbe huanza katika umri wa miaka 16 hadi 50.Hii ndiyo miaka ya uzazi ambapo kiwango cha estrogen huwa juu .

KUNA AINA NNE (4) ZA (FIBROIDS).
Uainishaji wa aina za fibriods unategemea na sehemu ilipo katika Mji wa Kizazi .

1⃣. INTRAMURAL FIBROIDS;
Aina hiihutokea katika misuli ya kuta za kizazi Hii ndio aina ya mayoma inayowatokea wanawake wengi.

2⃣. SUBSEROSAL FIBROIDS;
Hukua ndani ya safu ya nje ya tishu ya kizazi na kupanua ukuta unaozunguka Mji wa kizazi.Uvimbe k**a huu Unaweza kukua zaidi na kua Pedunculated fobriods huenda ukawa uvimbe mkubwa sana.

3⃣. SUBMUCOSAL FIBROIDS;
Hutokea kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za mji wa uzazi.Inaweza kushinikiza (kujisukuma) ndani ya uwazi (cavity) wa mji wa uzazi.

CERVICAL FIBROIDS;
Aina hii hujijenga kwenye shingo ya Tumbo la kizazi (cervix).

DALILI ZA (FIBROIDS)
♦️Damu ya hedhi kutoka Nyingi , nzito, na maumivu wakati wa siku za hedhi (Menorrhagia).

♦️Upungufu wa damu kutokana na damu kutoka nyingi.

♦️Maumivu ya kiuno, mgongo au mguu .

♦️Kukosa choo au kupata choo k**a cha mbuzi kwa tabu

♦️Maumivu chini ya kitovu

♦️Kukojoa mara kwa mara

♦️Maumivu wakati wa tendo la ndoa (Dyspareunia )

♦️Matatizo ya kushika mimba , kubeba mimba na kuzaa

♦️Mimba kutoka mara kwa mara

♦️Kama fibroids ni kubwa sana ,Uzito unaweza kuongezeka na chini ya kitovu kuvimba .
Upatapo mojawapo ya dalili hizo fika kituo cha afya kwa vipimo zaidi.

kwa mahitaji ya dawa ya uhakika ya fibroids wasilian nasi +254721836774 DR ISMAIL .

18/05/2022

Colon cleanser

TEZI DUME NI NINI ?     Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza  majimaji ...
11/05/2022

TEZI DUME NI NINI ?

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi

Dalili zake ni zipi?

1-Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
Kwenda kukojoa mara kwa mara.
2-Damu ndani ya mkojo.
3-Kushindwa kukojoa.
4-Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.

Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.

Katika Kituo Chetu tunazo dawa za Kutibu na Kumaliza Kabisa matatizo ya tezi dume

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

Dawa mujarab Dawa mujarab kwa matatizo ya miguu kuwaka moto, Ganzi, gaut, baridi, na mengineDawa hii ni herbal na haina ...
10/05/2022

Dawa mujarab

Dawa mujarab kwa matatizo ya miguu kuwaka moto, Ganzi, gaut, baridi, na mengine

Dawa hii ni herbal na haina madhara yeyote

Kwa anaye hitaji dawa hii Wasiliana na Dr Ismail kwa +254721836774

Kifafa powderDawa ya kutibu na kumaliza kabisa ugonjwa wa kifafaDawa hii inatibu watoto kwa wakubwa
09/05/2022

Kifafa powder

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa ugonjwa wa kifafa

Dawa hii inatibu watoto kwa wakubwa

JE UNATESEKA SABABU UKE NI MKAVU 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇  CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?*                Uke mkavu; ni tatizo ambalo hus...
05/05/2022

JE UNATESEKA SABABU UKE NI MKAVU
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?*

Uke mkavu; ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu wa homoni au kutokua na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo upelekea misuli ya uke kusinyaa na kukosa vilainishi.

Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na Raha ya tendo.
Ute huo ukizidi Sana au kua pungufu Sana nalo ni tatizo.

*VISABABISHI VYA UKE MKAVU.*
-Utumiaji mafuta yenye kemikali (cosmetics)
-Magonjwa ya zinaa na fangasi
-Matumizi ya sabuni za antibiotics kwa kuoshea uke
-Upungufu wa homoni
-Uoga na wasiwasi

*DALILI ZA UKE MKAVU*
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kupungua hamu ya tendo la ndoa
-Kua na ngozi kavu
-Maumivu ya mifupa na viungo
-Msongo wa mawazo
-Mzunguko wa hedhi Kubadilika badilika
-Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na Maumivu.

*MATIBABU YA UKE MKAVU*
Kuna lishe ambazo zimetengenezwa kwa kuzingatia tiba lishe na Ni Bora Zaidi kwa afya
⚠️Tumia sasa LADY CARE wasiliana nasi

+254721836774

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo ya kukosa usingizi2-joto jingi3-maumivu ya kichwa4-wasi wasi, hofu, Na mengin...
26/04/2022

Dawa ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo ya kukosa usingizi

2-joto jingi

3-maumivu ya kichwa

4-wasi wasi, hofu,

Na mengine mengi

Dawa hii ni herbal na haina madhara yeyote

Address

Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shifaa herbal clinic Mombasa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Shifaa herbal clinic Mombasa:

Share