03/02/2026
ASALAM ALEIKUM WARAHMA TULAHI WABARAKATU
💆♂((MAGONJWA SUGU YA NYONGA))💆♂
💆♂((Chronic pelvic diseases))💆♂
👉🥨ni magonjwa yanayoshambulia sehemu ya nyonga kwa muda mrefu na mara nyingi hujirudia au hayaponi haraka. Nyonga hujumuisha mifupa, misuli, mishipa ya fahamu, viungo vya uzazi na kibofu cha mkojo🥨
🥨((Baadhi ya magonjwa sugu ya nyonga))🥨
👉1)) ❄️ : Pelvic Inflammatory Disease (PID) sugu❄️
Huambatana na maambukizi ya mara kwa mara kwenye kizazi, mirija ya uzazi na ovari.
Husababishwa na magonjwa ya zinaa (gonorrhea, chlamydia n.k.) yasiyotibiwa vizuri.
*Madhara: maumivu ya mara kwa mara chini ya tumbo, utasa, mimba za nje ya kizazi.*
👉2)) 🤒: Endometriosis🤒
Hali ambapo tishu zinazofanana na za ndani ya mji wa mimba hukua nje ya uterasi (mfano kwenye ovari au kwenye nyonga)
Husababisha maumivu makali ya hedhi, maumivu wakati wa tendo la ndoa, na utasa
👉3)):🥨 Fibroids (Myomas)🥨
Vinundu vinavyokua kwenye kuta za mji wa mimba.
Hupelekea tumbo kuvimba, maumivu ya nyonga, hedhi nzito na changamoto za uzazi.
👉4)) ❄️ : Saratani ya nyonga❄️
Saratani ya shingo ya kizazi, saratani ya ovari au ya uterasi.
Dalili: kutokwa na damu isiyo ya kawaida, maumivu ya kudumu ya nyonga, uvimbe.
👉5)) : 👱♂ Chronic Prostatitis (kwa wanaume)👱♂
Uvimbe au maambukizi ya tezi dume kwa muda mrefu.
Dalili: maumivu ya nyonga, kuchoma wakati wa kukojoa, tatizo la nguvu za kiume.
👉6)) : 🥨Arthritis ya nyonga🥨
Ugonjwa wa kuharibika kwa maungio ya nyonga.
Dalili: maumivu makali ya kiuno/nyonga, ugumu wa kutembea.
👉7)) : 😞Maumivu sugu ya nyonga (Chronic Pelvic Pain Syndrome)😞
Hali ya maumivu inayoendelea kwa zaidi ya miezi 6 bila chanzo cha moja kwa moja.
Mara nyingi huhusiana na matatizo ya neva, msongo wa mawazo, au majeraha ya awali.
Dalili za kawaida za magonjwa sugu ya nyonga
Maumivu ya mara kwa mara chini ya kitovu au kwenye nyonga.
Hedhi nzito au isiyo ya kawaida (kwa wanawake).
Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni au kwenye uume.
Kukojoa mara kwa mara au kwa shida.
Utasa au changamoto ya kupata mimba.
👉((Madhara ya kuchelewa kutibu,Utasa))📌
((kwa wanawake na wanaume))
👉1)) : 😒 Kuishi na maumivu ya kudumu.😔
👉2)) : 🥨 Kuvimba au kuharibika kwa viungo vya uzazi.🥨
👉3)) : ❄️ Saratani (kwa baadhi ya aina)❄️
👉4)) : 👰♀Changamoto kubwa za kisaikolojia na ndoa.👰♀
👉KWA VISOMO !! NA DAWA !! 📌
👉WASILIANA NA MWALIMU !! 📌
buy good till number
( 6722029 )
🤙📲🔥WASILIANA NA MWALIMU🤙 📲🔥
Call//whatsupp
0754 092791 airtel
0706 667399 safaricom
🔪⚡️((WAKANYAGENI MASHEITWANI NA WACHAWI NA MJII WA MOMBASA PEMBA TIBBA ZETU BAHARI YA CHUMVI MAWE HARUFU YA KARAFU WACHAWI LAZIMA TU WANYOE MAJINI TU WACHOMOE))⚡️🔪
💥🔪🔪DR::((SHEKYASSIN BALLKUSS JEILAN AZADHIHIL KIRAMI SHAMKHAYARUHIN MAULANA UWESO MARIJAHN ALL SURTAN JIBRILL KAIMU MWAKAYA))🔪🔪💥. !!