23/04/2026
ASALAM ALEIKUM WARAHMA TULAHI WABARAKATU
❄️((MAGONJWA YA MOYO DALILI ZAKE))🫀
1)):👉🫀Moyo ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kazi yake kubwa ni kusukuma damu ili kupeleka oksijeni na virutubisho katika sehemu zote za mwili.💁♂
2)): 👉🫀moyo unaweza kushambuliwa na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kuhatarisha maisha k**a hayatatambuliwa mapema ⌚
3)):👉🫀Magonjwa ya moyo hutokea pale ambapo misuli ya moyo, mishipa ya damu au mfumo wa mapigo ya moyo unapopata hitilafu. Mara nyingi magonjwa haya huanza taratibu bila mtu kujua, ndiyo maana ni muhimu kufahamu dalili zake mapema📌⌚
👉((Sababu kuu za magonjwa ya moyo))🫀
1))• 👉Shinikizo la damu(presha)🩸
2))• 👉🥨Cholesterol nyingi kwenye damu🩸
3))• 👉Kisukari❄️
4))• 👉🫄Unene uliopitiliza🫄
5))• 👉🚬 Kuvuta sigara🚬
6))• 👉🏋️Kutofanya mazoezi🏋️
7))• 👉🍜Lishe yenye mafuta na chumvi nyingi🧂
8))• 👉😔Msongo wa mawazo wa muda mrefu😔
9))• 👉🍺Matumizi ya pombe kupita kiasi🍻🍾
👉📖 ((Historia ya magonjwa ya moyo))🫀
👉:Dalili 📌 • Maumivu au kubana kifuani🫁
👉:Dalili📌• Kupumua kwa shida au pumzi kukatika🤧
👉:Dalili📌• Mapigo ya moyo kwenda haraka au yasiyo ya kawaida🫀
👉:Dalili📌• Kuchoka haraka hata kwa kazi ndogo🥱
👉:Dalili 📌• Kizunguzungu au kuzimia😴
👉:Dalili 📌•Miguu au vifundo kuvimba🦶🦵
👉:Dalili 📌 •kutokwa na jasho jingi lisilo la kawaida😰💦
👉:Dalili 📌• Maumivu kuenea hadi mkono wa kushoto, shingo au taya👐😒
👉:Dalili📌• Kichefuchefu au kutapika hasa wakati wa maumivu ya kifua🫁🤮
👉:NTB:Tahadhari:📌📌
👉:Ukiona dalili k**a maumivu makali ya kifua, kubanwa pumzi au mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida, ni muhimu kuwahi hospitali haraka kwa uchunguzi na matibabu.💊💉
👉NTB:Ushauri wa kiafya:📌📌
👉:🫀Linda moyo wako kwa kula chakula bora, kupunguza chumvi na mafuta mengi, kufanya mazoezi mara kwa mara, kuacha sigara, na kupima presha pamoja na sukari mara kwa mara. 🧂🍯
🫀Moyo wenye afya , ni msingi wa maisha marefu.💪👌
🤲:Karibuni katika tiba zetu:🤲
👉KWA VISOMO !! NA DAWA !! 📌
👉WASILIANA NA MWALIMU !! 📌
buy good till number
( 6722029 )
🤙📲🔥WASILIANA NA MWALIMU🤙 📲🔥
Call//whatsupp
0754 092791 airtel
0706 667399 safaricom
🔪⚡️((WAKANYAGENI MASHEITWANI NA WACHAWI NA MJII WA MOMBASA PEMBA TIBBA ZETU BAHARI YA CHUMVI MAWE HARUFU YA KARAFU WACHAWI LAZIMA TU WANYOE MAJINI TU WACHOMOE))⚡️🔪
💥🔪🔪((TIBBA ZA MKUCHAMBA MARIJAH))🔪🔪💥. !!