Shifaa herbs clinic

Shifaa herbs clinic Your health is our priority

03/01/2023

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na kuendelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vina dalili k**a;

Ø Kupata maumivu ya tumbo ya kuwaka moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
Ø Kupatwa na kiungulia(heartburn) karibu na chembe ya moyo
Ø Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
Ø Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
Ø Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi cheenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
Ø Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
Ø Kushindwa kupumua vizuri

JINSI YA KUEPUKANA NA VIDONDA VYA TUMBO

Ø Kunywa maji mengi
Ø Punguza mawazo, fanya mazoezi yatakupunguza na mawazo
Ø Punguza (balance) kiwango cha lehemu (choresterol) mwilini
Ø Usivute sigara
Ø Punguza au acha kunywa pombe
Ø Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
Ø Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

Tatizo la Vidonda vya tumbo linatibika kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakizalau dalili za vidonda vya tumbo na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.

MATIBABU

Kwa matatizo ya vidonda vya tumbo,watu wengi wamekuwa hakihangaika sana kupata matibabu sahihi na badala yake wamekuwa wakitumia dawa za kutuliza matatizo ya vidonda vya tumbo na si kutibu tatizo moja kwa moja.

Zipo dawa asili ambazo hutibu matatizo ya vidonda vya tumbo kwa haraka sana na tiba ya kudumu,mfano kuna dawa ya asili Iitwayo
KISWA ALCERS POWDER,dawa hii hutibu kwa haraka sana matatizo ya vidonda vya tumbo.

KWA SIKU 30 pekee NA UNAKUWA SAWA KABISA

Address

Mombasa

Telephone

+254721836774

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shifaa herbs clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share