04/04/2026
UGONJWA WA KIFAFA NA TIBA YAKE
Huu ni ugonjwa amabao unasabababishwa na seli za mishipa ya fahamu zilizopo kwenye ubongo kutoa umeme[impulses] mwingi kuliko kawaida kwenda kwenye misuli na sehemu zingine za mwili, na matokeo yake mtu huanza kupata degedege ya mwili mzima, kukak**aa, kuanguka chini na kupoteza fahamu..
CHANZO CHA KIFAFA
chanzo kikuu cha ugonjwa huu kwa watu wengi hua hakifahamiki lakini baadhi ni moja ya sababu za kuugia kifafa.
A-KURITHI
B-KUUMIA KICHWA
C-KUUGUA MAGONJWA SUGU K**A MENINGITIS
D-UVIMBE KWENYE UBONGO
E-KIHARUSI
F- KUUMIZWA KICHWA WAKATI WA KUZALIWA
KUNA AINA MBILI ZA KIFAFA …
GRAND MA SEIZURES
Hii ni aina ya kifafa ambayo inanawatokea watu wengi sana, mtu huanza kwa kuchanganyikiwa, huanguka na kupoteza fahamu
PETIT MA SEIZURES
Hii ni aina ya kifafa ambayo mtu anaacha kuongea ghafla, mawazo yanatoka pale alipo kisha anaacha kuongea na baadae anarudi katika hali yake ya kawaida
TIBA YAKE
Kifafa powder ni dawa spesheli kwa ajili ya kutibu na kupambana na kifafa bila kujali chanzo chake dawa hii hutumika kwa rika zote
Wasiliana nasi kwa namba+254721836774 Dr Ismail