Shifaa sunna clinic

Shifaa sunna clinic We produce quality herbal medicine from plants. that are best, safe, effective and sustainable

our mission is to provide our patients with the highest quality herbal medicine treatment at an affordable price

24/02/2026
14/02/2026

Big shout out to my newest top fans! Benta Santa, King Davis, Jumaa Mndalu, Rahma Salim, يوسف عمر, Ummu Idhris

KUVIMBA AU KUFURA MIGUU  (EDEMA )Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kusab...
05/12/2025

KUVIMBA AU KUFURA MIGUU (EDEMA )

Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kusababishwa na matatizo katika mfumo wa mishipa ya damu, mirija ya mitoki au tatizo katika figo. Unaweza kuvimba miguu kwa sababu pia ya kukaa ama kusimama mda mrefu sehemu moja.

SABABU YA KUFURA MIGUU
Kuna aina mbili za visabaishi, aina ya kwanza ni kutokana na kuvia kwa maji na aina ya pili kutokana na michomo kwenye chembe hai maeneo ya miguu. Maelezo zaidi yanapatikana kwenye aya zinazofuata.

Kuvimba miguu kutokana na mkusanyiko wa maji kwenye tishu za miguu

A-Kufeli ghafla kufanya kazi kwa figo
B-Magonjwa ya kuta za moyo
C-Kufeli sugu kufanya kazi kwa figo
D-Kufanyika makovu kwenye ini

SABABU ZINGINEZO
1-Kufeli kwa moyo
2-Kuziba kwa mishipa ya ngiri
3-Kuharibika kwa mishipa midogo ya ndani ya figo
4-Dawa wa dawa za kutuliza maumivu kiholela
5-Ujauzito
6-Madawa k**a madawa ya kisukari na shinikizo la damu
7-Kusimama kwa mda mrefu, kukaa kwa mda mrefu k**a kwenye ndege na gari
8-Magonjwa ya mishipa ya damu
9-Mishipa ya damu ya vein kushindwa kurudisha damu kwenye moyo

LA ZIADA
Kuvimba miguu kutokana na magonjwa ya michomo kinga

X-Kuvunjika kwa mfupa
XMaambukizi kwenye ngozi
Gauti
X-Maambukizi kwenye vidonda vya miguuni
X-Maambukizi kwenye vijifuko vya maji katika maungio ya miguu
X-Misuguano ya mifupa katika maungio
X-Baridi yabisi
X-Jeraha kwenye maungio ya visigino
X-Mgandamizo kwenye miguu

TIBA
Unaweza tumia soksi maalumu za kugandamiza miguu yako .Soksi hizi husaidia miguu isiendelee kuvimba Zaidi na pia inapunguza uvimbe. Daktari wako atashauri matumizi ya hizi soksi na namna unavyowezazipata.

​ZINGATIA

KINGA MIGUU NA MAJERAHA
Hakikisha eneo la miguu yako limekuwa safi na halijakauka, na usiliweke katika mazingira ya kupata jeraha.

PUNGUZA KIWANGO CHA CHUMVI
Fuata ushauri wa dakiktari kuhusu kiwango cha chumvi unachotakiwa kutumia. Chumvi huwa na tabia ya kuhifadhi maji kwenye mwili, hivyo ukila nyingi inaweza kusababisha hali ya kuvimba ikawa mbaya Zaidi.

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):( TIBA BILA UPASUAJI) Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi amb...
14/11/2025

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):
( TIBA BILA UPASUAJI)

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

AINA ZA FIBROIDS
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizazi)

FIBROIDS sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini.

DALILI ZA FIBROIDS;
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi.

MADHARA YA FIBROIDS
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu

JINSI FIBROIDS ZINAVYOWEZA KUZUIA KUPATA MTOTO
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai

UPASUAJI
kufanyiwa upasuaji sio suluhisho kwa sababu upasuaji sio kiba bali ni kuondoa uvimbe ila baada ya mda upasuaji hukua tena na kuwa mkubwa zaidi kuzidi mwanzo

UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.

Sasa kwa kuliona hilo suluhisho lako lipo, tuna dawa ambayo imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa unga ambayo imetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha.

Dawa hiyo ni mchanganyiko wa dawa asilia za ambapo hazina sumu au madhara yoyote mwilini.zina uwezo wa kuyeyusha na kumaliza kabisa uvimbe wa fibroid bila upasuaji wowote na kuhakikisha kuwa fibroids hazirudi tena

KWA TIBA NA USHAURI
WASILIANA NASI KWA
+254721836774
DR ISMAIL

Solution
08/11/2025

Solution

04/11/2025

Shwari kabisa

☑️-KIDNEY PRO Hii ni miongoni mwa dawa ambazo zimefahamika sana kwa ajili ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo sugu ya ...
13/10/2025

☑️-KIDNEY PRO

Hii ni miongoni mwa dawa ambazo zimefahamika sana kwa ajili ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo sugu ya figo k**a:

1️⃣-Maumivu ya kwenye figo au kidney stones
2️⃣-figo kuwa na maambukizi au infection
3️⃣-Huondoa na kumaliza kabisa mawe kwenye figo
4️⃣-dawa hii inasafisha au ku detoxify figo
5️⃣- dawa hii inatibu na kumaliza kabisa uvimbe kwenye figo bila sergery ama upasuaji wowote

🅰️-DAWA HII NI YA KUNYWA KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI KWA MWEZI MZIMA NA UTAPONA KABISA

*MADHARA YA KUTOKUFANYA TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU KWA MWANAMKE*Topic hii nimahususi kwa watu wote wanandoa na wasio i...
29/09/2025

*MADHARA YA KUTOKUFANYA TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU KWA MWANAMKE*

Topic hii nimahususi kwa watu wote wanandoa na wasio ingawaje itawagusa kwa namna moja ama nyengine haswa wale waliothubutu kuujaribu mchezo huu au kutothubutu kuujaribu (s*x), . Kukaa muda mrefu bila ya kushiriki tendo kuna madhara haya yafuatayo.

😡Hasira za Mara kwa Mara hata kwa mambo madogo madogo yeye hukasirika.

📞Kupoteza umakini katika kazi (efficiency) na kupoteza nguvu za akili, mwishoe hupatwa na kichaa.

📞Sahau ya Mara kwa Mara, na kufoka sana kwa watu.

🫦Kupenda kujitenga na kukaa peke yao

💌Kuwa na hali ya kutojiamini

🩸Kutokwa na damu nyingi wakati wa haedhi(excessive bleeding) kwa wanawake wasiofanya s*x kwa muda mrefu.

📞Kupenda kudakia mambo ya watu wengine hata k**a hayamuhusu, yeye yuko mbelembele.(kuongea sana)

📞Kuumwa sana na kichwa mara kwa mara, na tumbo zaidi.

📞Kukak**aa mgongo , mwisho kupinda zaidi.

📞Maumivu ya nyonga na kiuno kwa wanawake wasiofanya s*x kwa muda mrefu.

📞Mwili wako huwa mwepesi sana kupokea virusi na bakteria hatarishi katika uke.

🍷Kudevelop tabia mpya k**a vile ya kuchukia wanaume

📞Kukata hamu ama ashki kwa kupiga punyeto (ma********on). Kwa wanawake.

📞Kuongea sana katika jumuia ya watu, nyege zikizidi sana mwilini hurukwa na akili.

📞.kuja na joto jingi mwilini na jasho jingi

*Ngozi kukak**aa au kuzeeka haraka

*Hupata menopause mapema au kukoma kwa hedhi

KWA LEO TUKOMEE HAPA

KWA WENYE MASWALI WASILIANA NASI KWA NAMBA +254733836774 DR ISMAIL

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME: MAANA, SABABU, DALILI, KINGA, TIBA, SULUHISHO NGUVU ZA KIUME: KWA NINI NI MUHIMU SANA?Nguvu ...
19/09/2025

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME: MAANA, SABABU, DALILI, KINGA, TIBA, SULUHISHO

NGUVU ZA KIUME: KWA NINI NI MUHIMU SANA?
Nguvu za kiume siyo tu uwezo wa mwanaume kushiriki tendo la ndoa, bali huashiria afya yake ya jumla, hali ya kujiamini, na furaha katika mahusiano ya kimapenzi.

Hata hivyo, wanaume wengi hupitia hali ya kupungua kwa nguvu za kiume kwa muda mrefu bila kuelewa chanzo, suluhisho, wala hatua sahihi za kuchukua.

Tatizo la Nguvu za Kiume Linavyowaumiza Wanaume Kimya Kimya
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ambapo mwanaume anashindwa kusimamisha au kudumisha uume wake kuwa mgumu vya kutosha kwa tendo la ndoa.

Hali hii inaweza kusababishwa na matatizo ya kiafya k**a vile kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo, kisukari, au matatizo ya kisaikolojia k**a msongo wa mawazo na wasiwasi.

Licha ya kuwa ni tatizo linalowakumba wanaume wengi, bado kuna hofu na aibu kubwa inayowafanya wasitafute msaada mapema.

UNAJUAJE K**A UNA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?

Dalili kuu za upungufu wa nguvu za kiume
ni pamoja na:

1-Kushindwa kusimamisha uume kabisa
2-Uume kusimama kwa muda mfupi au kutodumu wakati wa tendo
3-Kupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa
4-uume kusimama lege lege au kusinyaa ukiwa ndani
5-kusindwa kufikisha mwanamke kileleni

Pamoja na dalili hizo, wengi hushindwa kutambua kiwango cha tatizo lao kwa njia ya kitaalamu. Hapa ndipo kipimo cha IIEF-5 (Sexual Health Inventory for Men) kinapotoa suluhisho bora.

IIEF-5: Kipimo Rahisi cha Kujitathmini Nguvu za Kiume
IIEF-5 ni kipimo rasmi na rahisi chenye maswali matano, kinachotumiwa kimataifa

KUPIMA HALI YA NGUVU ZA KIUME KWA MWANAUME INAJUMUISHA

A-Uwezo wa kusimamisha uume
B-Kudumisha msimamo wakati wa tendo
C-Kuridhika na uwezo wa kimapenzi
Kwa kujaza kipimo hiki mwenyewe kwa usiri, mwanaume anaweza kujua ikiwa ana kiwango kidogo, cha kati, au kikubwa cha upungufu wa nguvu za kiume.

Kwa NINI KUJITATHMINI NI MUHIMU?
Wanaume wengi hutumia dawa za kuongeza nguvu bila kujua kiini cha tatizo. Wengine huanza kuamini kuwa tatizo lao haliwezi kutibika. Hali hii huchelewesha tiba sahihi na wakati mwingine huongeza matatizo.

KILA MWANAUME ANAHITAJI:
X-Njia ya binafsi na ya usiri ya kujipima nguvu za kiume
X-Maarifa ya kutofautisha hali ya kawaida na inayohitaji matibabu
X-Msingi wa kufanya uamuzi sahihi kuhusu matibabu au ushauri
X-Nguvu za Kiume Zinaweza Kurudi
Habari njema ni kwamba, kwa asilimia kubwa ya wanaume, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaweza kutibika.

ZINGATIA
Mabadiliko ya mtindo wa maisha k**a mazoezi, lishe bora, kupunguza msongo wa mawazo, pamoja na tiba za kitabibu zilizothibitishwa, huweza kusaidia kurejesha nguvu na uwezo wa mwanaume.

CHUKUA HATUA
Usikae Kimya, Chukua Hatua Leo
Nguvu za kiume ni sehemu ya afya ya mwanaume. Usikae kimya, njoo upate upte suluhisho la kudumu

TIBA
KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

Address

Kombani
Mombasa
254

Telephone

+254721836774

Website

https://shifaaherbsclinic.co.ke/, https://shifaaherbsclinic.co.ke/, https://shifaaherb

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shifaa sunna clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Shifaa sunna clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category