14/11/2025
TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):
( TIBA BILA UPASUAJI)
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
AINA ZA FIBROIDS
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizazi)
FIBROIDS sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini.
DALILI ZA FIBROIDS;
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi.
MADHARA YA FIBROIDS
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
JINSI FIBROIDS ZINAVYOWEZA KUZUIA KUPATA MTOTO
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai
UPASUAJI
kufanyiwa upasuaji sio suluhisho kwa sababu upasuaji sio kiba bali ni kuondoa uvimbe ila baada ya mda upasuaji hukua tena na kuwa mkubwa zaidi kuzidi mwanzo
UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.
Sasa kwa kuliona hilo suluhisho lako lipo, tuna dawa ambayo imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa unga ambayo imetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha.
Dawa hiyo ni mchanganyiko wa dawa asilia za ambapo hazina sumu au madhara yoyote mwilini.zina uwezo wa kuyeyusha na kumaliza kabisa uvimbe wa fibroid bila upasuaji wowote na kuhakikisha kuwa fibroids hazirudi tena
KWA TIBA NA USHAURI
WASILIANA NASI KWA
+254721836774
DR ISMAIL