Shifaa sunna clinic

Shifaa sunna clinic We produce quality herbal medicine from plants. that are best, safe, effective and sustainable

our mission is to provide our patients with the highest quality herbal medicine treatment at an affordable price

UGONJWA WA KIFAFA NA TIBA YAKE Huu ni ugonjwa amabao unasabababishwa na seli za mishipa ya fahamu zilizopo kwenye ubongo...
04/04/2026

UGONJWA WA KIFAFA NA TIBA YAKE

Huu ni ugonjwa amabao unasabababishwa na seli za mishipa ya fahamu zilizopo kwenye ubongo kutoa umeme[impulses] mwingi kuliko kawaida kwenda kwenye misuli na sehemu zingine za mwili, na matokeo yake mtu huanza kupata degedege ya mwili mzima, kukak**aa, kuanguka chini na kupoteza fahamu..

CHANZO CHA KIFAFA
chanzo kikuu cha ugonjwa huu kwa watu wengi hua hakifahamiki lakini baadhi ni moja ya sababu za kuugia kifafa.

A-KURITHI
B-KUUMIA KICHWA
C-KUUGUA MAGONJWA SUGU K**A MENINGITIS
D-UVIMBE KWENYE UBONGO
E-KIHARUSI
F- KUUMIZWA KICHWA WAKATI WA KUZALIWA

KUNA AINA MBILI ZA KIFAFA …

GRAND MA SEIZURES
Hii ni aina ya kifafa ambayo inanawatokea watu wengi sana, mtu huanza kwa kuchanganyikiwa, huanguka na kupoteza fahamu

PETIT MA SEIZURES
Hii ni aina ya kifafa ambayo mtu anaacha kuongea ghafla, mawazo yanatoka pale alipo kisha anaacha kuongea na baadae anarudi katika hali yake ya kawaida

TIBA YAKE
Kifafa powder ni dawa spesheli kwa ajili ya kutibu na kupambana na kifafa bila kujali chanzo chake dawa hii hutumika kwa rika zote

Wasiliana nasi kwa namba+254721836774 Dr Ismail

Dalili zamagonjwa ya figo hutofautiana kutoka mtu mmoja na mwingine. Hutegemea zaidi na ugonjwa uliopo na ukali wake. Da...
13/03/2026

Dalili zamagonjwa ya figo hutofautiana kutoka mtu mmoja na mwingine. Hutegemea zaidi na ugonjwa uliopo na ukali wake.

Dalili za kawaida za ugonjwa wa figo

1.Kuvimba uso
Kuvimba uso, miguu na tumbo, ni ishara za ugonjwa wa figo.

2.Kukosa hamu ya chakula, kichefuchefu, na kutapika
Kukosa hamu ya chakula, kusikia ladha isiyo ya kawaida mdomoni na kushindwa kula chakula vyema ni shida za kawaida zinazopatikana kwa watu wenye hitilafu ya figo. kushindwa kwa figo zaidi kwa sababu ya sumu nyingi mtu huwa na kichefuchefu, kutapika na kwikwi.

3.Kupanda kwa damu/ Shinikizzo la damu – hypertension
Kwa wagonjwa wa kushidwa kwa figo kufanya kazi, shinikizo la damu ni kawaida. Iwapo shinikizo la damu kunatokea katika umri mdogo (chini ya miaka 30) au shinikizo la damu liko juu wakati wa uchunguzi, sababu yaweza kuwa shida ya figo.

4.Kuvimba kwa uso chini ya kibukio cha macho ya mara kwa mara inaonyesha dalili ya ugonjwa wa figo.

5.Anemia (ukosefu wa damu) na kuwa dhaifu
Kuwa dhaifu, kuchoka mapema, kukosa kutulia sehemu ya kazi ni malalamishi ya mara kwa mara ya mtu mwenye anemia (low hemoglobin level). Wakati mwingine hizi ni dalili pekee za mtu mwenye hali za mwanzo za ugonjwa sugu wa figo kutofanya kazi. Iwapo anaemia haiponi baada ya matibabu kamili, ni vyema kufikiria kushindwa kwa figo k**a moja ya sababu ya anemia hiyo.
Malalamishi yasiyo kawaida

6.Kuumwa chini ya mgongo, kuumwa mwili, kujikuna na maumivu ya miguu (cramps) huwa ni malalamishi ya mara kwa mara ya ugonjwa wa figo. Kutoendelea kukuwa, mtu kuwa mfupi na kujikunja (bending) kwa mifupa ya miguu ni dalili nyingine kwa watoto wenye ugonjwa wa figo.

Malalamishi ya mkojo
Dalili za kawaida za kulalamikia mkojo :

1. Kiwango cha mkojo kilichopungua, ambacho husababisha kuvimba ni wazi kwa magonjwa mbalimbali ya figo.
2. Muwasho wa mkojo, kukojoa mara kwa mara na kukojoa damu au usaha ni dalili za maambukizo ya njia ya mkojo.
3. Ugumu wa kukojoa kunaweza kusababisha ugumu wa kusukumwa na kupitisha mkojo,

24/02/2026
14/02/2026

Big shout out to my newest top fans! Benta Santa, King Davis, Jumaa Mndalu, Rahma Salim, يوسف عمر, Ummu Idhris

KUVIMBA AU KUFURA MIGUU  (EDEMA )Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kusab...
05/12/2025

KUVIMBA AU KUFURA MIGUU (EDEMA )

Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kusababishwa na matatizo katika mfumo wa mishipa ya damu, mirija ya mitoki au tatizo katika figo. Unaweza kuvimba miguu kwa sababu pia ya kukaa ama kusimama mda mrefu sehemu moja.

SABABU YA KUFURA MIGUU
Kuna aina mbili za visabaishi, aina ya kwanza ni kutokana na kuvia kwa maji na aina ya pili kutokana na michomo kwenye chembe hai maeneo ya miguu. Maelezo zaidi yanapatikana kwenye aya zinazofuata.

Kuvimba miguu kutokana na mkusanyiko wa maji kwenye tishu za miguu

A-Kufeli ghafla kufanya kazi kwa figo
B-Magonjwa ya kuta za moyo
C-Kufeli sugu kufanya kazi kwa figo
D-Kufanyika makovu kwenye ini

SABABU ZINGINEZO
1-Kufeli kwa moyo
2-Kuziba kwa mishipa ya ngiri
3-Kuharibika kwa mishipa midogo ya ndani ya figo
4-Dawa wa dawa za kutuliza maumivu kiholela
5-Ujauzito
6-Madawa k**a madawa ya kisukari na shinikizo la damu
7-Kusimama kwa mda mrefu, kukaa kwa mda mrefu k**a kwenye ndege na gari
8-Magonjwa ya mishipa ya damu
9-Mishipa ya damu ya vein kushindwa kurudisha damu kwenye moyo

LA ZIADA
Kuvimba miguu kutokana na magonjwa ya michomo kinga

X-Kuvunjika kwa mfupa
XMaambukizi kwenye ngozi
Gauti
X-Maambukizi kwenye vidonda vya miguuni
X-Maambukizi kwenye vijifuko vya maji katika maungio ya miguu
X-Misuguano ya mifupa katika maungio
X-Baridi yabisi
X-Jeraha kwenye maungio ya visigino
X-Mgandamizo kwenye miguu

TIBA
Unaweza tumia soksi maalumu za kugandamiza miguu yako .Soksi hizi husaidia miguu isiendelee kuvimba Zaidi na pia inapunguza uvimbe. Daktari wako atashauri matumizi ya hizi soksi na namna unavyowezazipata.

​ZINGATIA

KINGA MIGUU NA MAJERAHA
Hakikisha eneo la miguu yako limekuwa safi na halijakauka, na usiliweke katika mazingira ya kupata jeraha.

PUNGUZA KIWANGO CHA CHUMVI
Fuata ushauri wa dakiktari kuhusu kiwango cha chumvi unachotakiwa kutumia. Chumvi huwa na tabia ya kuhifadhi maji kwenye mwili, hivyo ukila nyingi inaweza kusababisha hali ya kuvimba ikawa mbaya Zaidi.

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):( TIBA BILA UPASUAJI) Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi amb...
14/11/2025

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):
( TIBA BILA UPASUAJI)

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

AINA ZA FIBROIDS
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizazi)

FIBROIDS sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini.

DALILI ZA FIBROIDS;
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi.

MADHARA YA FIBROIDS
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu

JINSI FIBROIDS ZINAVYOWEZA KUZUIA KUPATA MTOTO
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai

UPASUAJI
kufanyiwa upasuaji sio suluhisho kwa sababu upasuaji sio kiba bali ni kuondoa uvimbe ila baada ya mda upasuaji hukua tena na kuwa mkubwa zaidi kuzidi mwanzo

UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.

Sasa kwa kuliona hilo suluhisho lako lipo, tuna dawa ambayo imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa unga ambayo imetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha.

Dawa hiyo ni mchanganyiko wa dawa asilia za ambapo hazina sumu au madhara yoyote mwilini.zina uwezo wa kuyeyusha na kumaliza kabisa uvimbe wa fibroid bila upasuaji wowote na kuhakikisha kuwa fibroids hazirudi tena

KWA TIBA NA USHAURI
WASILIANA NASI KWA
+254721836774
DR ISMAIL

Solution
08/11/2025

Solution

04/11/2025

Shwari kabisa

☑️-KIDNEY PRO Hii ni miongoni mwa dawa ambazo zimefahamika sana kwa ajili ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo sugu ya ...
13/10/2025

☑️-KIDNEY PRO

Hii ni miongoni mwa dawa ambazo zimefahamika sana kwa ajili ya kutibu na kumaliza kabisa matatizo sugu ya figo k**a:

1️⃣-Maumivu ya kwenye figo au kidney stones
2️⃣-figo kuwa na maambukizi au infection
3️⃣-Huondoa na kumaliza kabisa mawe kwenye figo
4️⃣-dawa hii inasafisha au ku detoxify figo
5️⃣- dawa hii inatibu na kumaliza kabisa uvimbe kwenye figo bila sergery ama upasuaji wowote

🅰️-DAWA HII NI YA KUNYWA KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI KWA MWEZI MZIMA NA UTAPONA KABISA

Address

Kombani
Mombasa
254

Telephone

+254721836774

Website

https://shifaaherbsclinic.co.ke/, https://shifaaherbsclinic.co.ke/, https://shifaaherb

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shifaa sunna clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Shifaa sunna clinic:

Share

Category