Shifaa sunna clinic

Shifaa sunna clinic We produce quality herbal medicine from plants. that are best, safe, effective and sustainable

our mission is to provide our patients with the highest quality herbal medicine treatment at an affordable price

*MADHARA YA KUTOKUFANYA TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU KWA MWANAMKE*Topic hii nimahususi kwa watu wote wanandoa na wasio i...
29/09/2025

*MADHARA YA KUTOKUFANYA TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU KWA MWANAMKE*

Topic hii nimahususi kwa watu wote wanandoa na wasio ingawaje itawagusa kwa namna moja ama nyengine haswa wale waliothubutu kuujaribu mchezo huu au kutothubutu kuujaribu (s*x), . Kukaa muda mrefu bila ya kushiriki tendo kuna madhara haya yafuatayo.

😡Hasira za Mara kwa Mara hata kwa mambo madogo madogo yeye hukasirika.

📞Kupoteza umakini katika kazi (efficiency) na kupoteza nguvu za akili, mwishoe hupatwa na kichaa.

📞Sahau ya Mara kwa Mara, na kufoka sana kwa watu.

🫦Kupenda kujitenga na kukaa peke yao

💌Kuwa na hali ya kutojiamini

🩸Kutokwa na damu nyingi wakati wa haedhi(excessive bleeding) kwa wanawake wasiofanya s*x kwa muda mrefu.

📞Kupenda kudakia mambo ya watu wengine hata k**a hayamuhusu, yeye yuko mbelembele.(kuongea sana)

📞Kuumwa sana na kichwa mara kwa mara, na tumbo zaidi.

📞Kukak**aa mgongo , mwisho kupinda zaidi.

📞Maumivu ya nyonga na kiuno kwa wanawake wasiofanya s*x kwa muda mrefu.

📞Mwili wako huwa mwepesi sana kupokea virusi na bakteria hatarishi katika uke.

🍷Kudevelop tabia mpya k**a vile ya kuchukia wanaume

📞Kukata hamu ama ashki kwa kupiga punyeto (ma********on). Kwa wanawake.

📞Kuongea sana katika jumuia ya watu, nyege zikizidi sana mwilini hurukwa na akili.

📞.kuja na joto jingi mwilini na jasho jingi

*Ngozi kukak**aa au kuzeeka haraka

*Hupata menopause mapema au kukoma kwa hedhi

KWA LEO TUKOMEE HAPA

KWA WENYE MASWALI WASILIANA NASI KWA NAMBA +254733836774 DR ISMAIL

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME: MAANA, SABABU, DALILI, KINGA, TIBA, SULUHISHO NGUVU ZA KIUME: KWA NINI NI MUHIMU SANA?Nguvu ...
19/09/2025

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME: MAANA, SABABU, DALILI, KINGA, TIBA, SULUHISHO

NGUVU ZA KIUME: KWA NINI NI MUHIMU SANA?
Nguvu za kiume siyo tu uwezo wa mwanaume kushiriki tendo la ndoa, bali huashiria afya yake ya jumla, hali ya kujiamini, na furaha katika mahusiano ya kimapenzi.

Hata hivyo, wanaume wengi hupitia hali ya kupungua kwa nguvu za kiume kwa muda mrefu bila kuelewa chanzo, suluhisho, wala hatua sahihi za kuchukua.

Tatizo la Nguvu za Kiume Linavyowaumiza Wanaume Kimya Kimya
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ambapo mwanaume anashindwa kusimamisha au kudumisha uume wake kuwa mgumu vya kutosha kwa tendo la ndoa.

Hali hii inaweza kusababishwa na matatizo ya kiafya k**a vile kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo, kisukari, au matatizo ya kisaikolojia k**a msongo wa mawazo na wasiwasi.

Licha ya kuwa ni tatizo linalowakumba wanaume wengi, bado kuna hofu na aibu kubwa inayowafanya wasitafute msaada mapema.

UNAJUAJE K**A UNA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?

Dalili kuu za upungufu wa nguvu za kiume
ni pamoja na:

1-Kushindwa kusimamisha uume kabisa
2-Uume kusimama kwa muda mfupi au kutodumu wakati wa tendo
3-Kupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa
4-uume kusimama lege lege au kusinyaa ukiwa ndani
5-kusindwa kufikisha mwanamke kileleni

Pamoja na dalili hizo, wengi hushindwa kutambua kiwango cha tatizo lao kwa njia ya kitaalamu. Hapa ndipo kipimo cha IIEF-5 (Sexual Health Inventory for Men) kinapotoa suluhisho bora.

IIEF-5: Kipimo Rahisi cha Kujitathmini Nguvu za Kiume
IIEF-5 ni kipimo rasmi na rahisi chenye maswali matano, kinachotumiwa kimataifa

KUPIMA HALI YA NGUVU ZA KIUME KWA MWANAUME INAJUMUISHA

A-Uwezo wa kusimamisha uume
B-Kudumisha msimamo wakati wa tendo
C-Kuridhika na uwezo wa kimapenzi
Kwa kujaza kipimo hiki mwenyewe kwa usiri, mwanaume anaweza kujua ikiwa ana kiwango kidogo, cha kati, au kikubwa cha upungufu wa nguvu za kiume.

Kwa NINI KUJITATHMINI NI MUHIMU?
Wanaume wengi hutumia dawa za kuongeza nguvu bila kujua kiini cha tatizo. Wengine huanza kuamini kuwa tatizo lao haliwezi kutibika. Hali hii huchelewesha tiba sahihi na wakati mwingine huongeza matatizo.

KILA MWANAUME ANAHITAJI:
X-Njia ya binafsi na ya usiri ya kujipima nguvu za kiume
X-Maarifa ya kutofautisha hali ya kawaida na inayohitaji matibabu
X-Msingi wa kufanya uamuzi sahihi kuhusu matibabu au ushauri
X-Nguvu za Kiume Zinaweza Kurudi
Habari njema ni kwamba, kwa asilimia kubwa ya wanaume, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaweza kutibika.

ZINGATIA
Mabadiliko ya mtindo wa maisha k**a mazoezi, lishe bora, kupunguza msongo wa mawazo, pamoja na tiba za kitabibu zilizothibitishwa, huweza kusaidia kurejesha nguvu na uwezo wa mwanaume.

CHUKUA HATUA
Usikae Kimya, Chukua Hatua Leo
Nguvu za kiume ni sehemu ya afya ya mwanaume. Usikae kimya, njoo upate upte suluhisho la kudumu

TIBA
KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

LADY CARE ni dawa ya Asili ambayo hutumiwa na wanawake.. na haina kemikali 100%1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na k...
12/09/2025

LADY CARE

ni dawa ya Asili ambayo hutumiwa na wanawake.. na haina kemikali 100%

1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo

2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu

3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D

4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika

5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.

7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.

8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)

9⃣ inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.

☑️-Hii ni dawa ambayo iko inform of powder una changanya kijiko kidogo kwa kikombe kimoja cha chai, Asubuhi na jioni kila siku kwa mwezi mzima na utapona kabisa

MOYO KWENDA MBIO (Moyo kudunda kwa nguvu isivyo kawaida )A-Uchovu uliopitiliza, mwili kuwa dhaifu na kuchoka haraka hata...
05/09/2025

MOYO KWENDA MBIO (Moyo kudunda kwa nguvu isivyo kawaida )

A-Uchovu uliopitiliza, mwili kuwa dhaifu na kuchoka haraka hata kwenye shughuri ndogo
B-Maumivu ya kifua hasa yanayotembea mpaka kwenye mabega, shingo au taya
C-Kushindwa kulala vizuri hasa kushtuka usingizini kuhisi k**a unakabwa na kukosa pumzi
D-Tumbo kujaa, kichefuchefu na kutapika
Kukosa pumzi au kushindwa kupumua vizuri hasa unapolala chali

JINSI YA KUEPUKANA NA MAGONJWA YA MOYO
1-Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
2-Usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
3-Usitumie chumvi mbichi au chumvi nyingi
Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)
4-Balance usito wako
5-Usivute sigara
6-Punguza au acha kunywa pombe
7-Punguza mawazo
8-Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
9-Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

TIBA YA MAGONJWA YA MOYO
Magonjwa ya moyo yanatibika kwa hali tofauti, pia kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakikata tamaa na kuwa wabishi, hii hufanya wengi kufa kutokana na kuto kuwa makini na kile tunacho waeleza.

DAWA YA MAGONJWA YA MOYO
Tunazo dawa za kutibu kabisa magonjwa ya moyo ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. : Dawa hiyo hutibu kulingana na mda wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki moja MTU huanza kupona na kuonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwa sababu kuna baadhi ya mitindo ya maisha inaendelea kuongeza matatizo pia kuna mitindo inapunguza hatari ya ugonjwa.

Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa yaani miti, mboga,matunda na majani ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya matatizo mbalimbali.

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254733836774 DR ISMAIL

TATIZO LA MAKOVU MAKUBWA (KELOIDS) NA TIBA YAKE Keloid ni uvimbe  katika ngozi ya sikio ama sehemu nyingine ya mwili, hu...
18/08/2025

TATIZO LA MAKOVU MAKUBWA (KELOIDS) NA TIBA YAKE

Keloid ni uvimbe katika ngozi ya sikio ama sehemu nyingine ya mwili, husababishwa na kukua sana kwa kovu pasipo kuthibitiwa.

Kwa bahati mbaya, wakati mwingine makovu huweza hukua sana na kusababisha muwasho au maumivu kwa baadhi ya watu

NINI CHANZO CHA TATIZO HILI:
Hakuna sababu ya moja kwa moja ila kunaa baadhi ya mambo ambayo yanasababisha au kuchangia kuwepo kwa keloids

Wa afrika (watu wenye ngozi nyeusi) hupata makovu haya ya keloid kwa kiasi kikubwa sana kuliko watu wa mataifa mengine, ingawa kila mtu anaweza kupata makovu haya. Makovu ya keloid huwa haya badiliki kuwa saratani

1-Kupata Kidonda
2-Kuchora tattoo
3-Kutoboa sikio
4-Makovu ya surua
5-Kung'atwa na wadudu mpaka kupelekea kujikuna
6-Kovu la upasuaji
7-Kovu la chanjo. n.k
8-sababu za kuridhi

DALILI ZA TATIZO LA KELOIDS:
A-Uvimbe mkubwa au viuvimbe vingi,sehemu ilipokuwa kidonda au yenye kiupele.
B-Sehemu hiyo kuwasha hasa mtu akiwa juani
C-Sehemu hiyo kuuma ikiguswa
D-Sehemu kuendelea kuongezeka kadri muda unavyozidi kwenda.

HATUA ZA KUZUIA KOVU ZA KELOIDS
X-Punguza majeraha yasiyo ya lazima kwenye ngozi, k**a vile kutoboa, chale, au upasuaji wa kuchagua

X-Tibu majeraha na majeraha kwa haraka ili kukuza uponyaji mzuri na kupunguza hatari ya kutokea kwa kovu isiyo ya kawaida.

X-Zuia kuwasha kwa ngozi kwa kuepuka nguo zinazobana au nyenzo ambazo zinaweza kusugua majeraha yanayopona.

X-Linda makovu yanayopona kutokana na kupigwa na jua kwa kutumia mafuta ya kujikinga na jua au nguo ili kuzuia mabadiliko ya rangi ambayo yanaweza kuzidisha uundaji wa keloid.

TAHADHARI
Upasuaji wa keloids sio suluhisho kwa sababu baada ya miezi michache keloids huchipuka upya na huongezeka mara dufu kuliko mwanzo

MATIBABU YA KELOIDS
Mbali na matibabu, marekebisho kadhaa ya mtindo wa maisha na matibabu mbadala yanaweza kusaidia kudhibiti makovu ya keloid:

%-MABADILIKO YA LISHE: Lishe yenye usawa yenye vitamini na madini inaweza kusaidia afya ya ngozi.

%-UNYEVUSHAJI: Kuweka ngozi hydrated inaweza kukuza uponyaji na kupunguza kuwasha.

TIBA YA KELOIDS BILA UPASUAJI WOWOTE
Kwa walio na keloids wasihofu kwani dawa zipo za kutibu na kumaliza kabisa bila upasuaji wowote ambapo unapewa dawa za kunywa na kupaka.

1-Dawa hizi hulenga tishu zenye kovu moja kwa moja. Sifa za kupambana na uchochezi za corticosteroids husaidia kuvunja ziada collagen katika keloid, na kusababisha kupunguzwa kwa ukubwa na unene wake.
2-Hulainisha tishu za kovu
3-Inaboresha muonekano wa jumla
wa keloid
4-Humaliza ya kuyeyusha makovu haya na kubaki ukiwa sawa kabisa

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

Bila shaka
26/07/2025

Bila shaka

NINI KINASABABISHA KORODANI KUVIMBA AU KUJAA MAJI?Kitendo cha kuvimba korodani kinaweza kujtokeza haraka sana au kikawa ...
30/06/2025

NINI KINASABABISHA KORODANI KUVIMBA AU KUJAA MAJI?

Kitendo cha kuvimba korodani kinaweza kujtokeza haraka sana au kikawa cha taratibu kwa muda.

Moja ya chanzo kikubwa cha kuvimba ni kujinyonga kwa korodani. Korodani zinajinyonga kutokana na ajali ama kitendo chochote kinasopelekea kupungua mzunguko wa damu kwenye korodani.

Kujikunja na kujinyonga kwa mapumbu(Korodani) ni hatari sana na inaweza kupelekea kupoteza korodani.

BAADHI YA MAGONJWA YANAWEZA KUPELEKEA KUJINYONGA KWA KORODANI.

Magonjwa haya ni k**a;

-Saratani ya korodani
-Ngiri
-Kukua kupita kiasi kwa mishipa ya kirodani.
-Maji kwenye korodani
-Maambukizi kwenye mirija ya korodani
-Magonjwa ya moyo na maambukizi kwenye ngozi ya kirodani.

DALILI ZA KUVIMBA KWA KORODANI

Dalili kubwa unayoweza kuiona ni kuongezeka kwa mfuko unaobeba korodani kuliko kawaida.pia korodani moja kuwa kubwa kuliko nyingine

HUDUMA YA KWANZA YA NYUMBANI KUPUNGUZA MAUMIVU
1-Tumia kipande cha barafu kifunge 2-kwenye kitambaa na ukiweke kwenye mapumbu
3-Punguza mazoezi makali na shuguli nzito
4-Epuka kuvaa nguo zenye kubana
5-acha kujichua (ponyeto)

Kwa wenye matatizo haya wanashauriwa kuwasiliana nasi kwa number
+254721836774 dr ismail

Wenye tatizo hili watapita tiba mbadala bila upasuaji wa aina yeyote

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA ASTHMA / PUMU NA TIBA YAKE  Asthma/ Pumu ni nini ?👉🏿 Ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa upumuaji ba...
04/06/2025

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA ASTHMA / PUMU NA TIBA YAKE

Asthma/ Pumu ni nini ?

👉🏿 Ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa upumuaji baada ya njia ya kupitishia hewa (bronchieal tube) kuvimba na kutengeneza Ute (mucus) ambayo kupelekea njia ya hewa kuwa ndogo, mgonjwa huanza kupata shida ya Kupumua, kukohoa, kutoa sauti K**a filimbi na wengine Kushindwa kuongea.

🕳 Asthma/Pumu huwapata Rika na jinsia zote wakubwa kwa Watoto.

Pumu haina chanzo mahususi (halisi), bali hufananishwa na kulinganishwa na mazingira flani.

DALILI ZA PUMU

Mgonjwa wa pumu huonyesha dalili kadha wa kadha Kati ya hizo ni hizi zifatazo.
1-Kupata shida ya Kupumua
2-Kifua kubana na kifua kuuma
3-Kukohoa/kikohozi
4-Kutoa sauti k**a filimbi wakati wa kutoa au Kutoa hewa.
5-Kushindwa kulala/kupata shida wakati wa kulala kwa sababu ya Kushindwa Kupumua vizuri.

Wakati mwingine Pumu hutokea/huamshwa na mazingira flani ya nje au Hali ya hewa.

Shughuli katika mazingira flani - Baadhi ya watu hupata tatizo la Pumu kwa sababu ya kazi hujulikana K**a (exercises induced asthma) mfano wanaofanya mazingira yenye baridi sana, na hewa kavu.

Mzio (Aleji) - watu wengine huamsha Pumu kwa sababu ya mzio au Aleji (allergies induced asthma)) ya vitu mfano vumbi...

Kazi - kundi lingine la watu wengine hupapata asthma kwa sababu ya kazi wanazo fanya (occupation asthma) mfano wakulima wanaopulizia dawa mashambani,viwanda vya gesi na kazi zinazohusisha vumbi, moshi

MAZINGIRA AMBAYO YANAWEZA KUAMSHA/KUSABABISHA TATIZO LA PUMU NI PAMOJA NA

~ Chanzo Cha Pumu/Asthma.

Pumu haisababishwi na kitu kimoja huweza kusababishwa na vitu vingi,
A-Mzio/Aleji ya vumbi,moshi,

B-Kurithi kutoka kwenye familia ambayo ina watu au mtu mwenye Pumu.

C-Mazingira ya kazi mfano, kazi za kupulizia dawa shambani, viwandani K**a vya simenti, gesi, makaa,n.k

D-Uvutaji wa sigara.

E-Kuwa na Uzito au unene kupita kiasi
Msongo wa mawazo
Kiungulia Cha muda mrefu

VIPIMO.

Asthma/Pumu huweza kuonekana kwa dalili moja kwa moja lakini, baadhi ya vipimo hufanyika kutofautisha na Matatizo mengine yanyoendana na asthma. Baadhi ya vipimo hivyo ni pamoja na…
• Sperometry
• Allegly testing
• Imaging test eg. Chest x-ray na CT scan n.k

NAMNA YA KUZUIA.

Pumu huweza kuepukika/kuzuilika kutokana na chanzo au kisababishi Cha Tatizo.

X• Watu wanaoishi au kufanya kazi maeneo yenye vumbi,moshi wanashauriwa kuvaa vifaa vya kuzuia Moshi au vumbi wawapo kazini au maeneo yenye vyanzo vya tatizo.

X•Acha kutumia sigara

X•Tumia dawa kwa usahihi kwa muda sahihi K**a ulivyo elekezwa na mtaalamu wa afya.
X• Vaa nguo nzito zenye kutengeneza joto kuepuka kuacha kifua wazi kipindi/Maeneo ya baridi kali.
X• Tibu tatizo la mafua
X• Epuka tatizo kiungulia
X• Fanya mazoezi ya mwili kuweka afya vizuri
X• Epuka Uzito na Unene uliokithiri.

Pumu Inatibika na Kupona Kabisa Karibu tukuhudumie kuondoa tatizo la Pumu/Asthma.

Kwa Maoni | Ushauri | Matibabu
Tupigie Sasa / Tuma ujumbe
Watsapp +254721836774 dr ismail

Message Shifaa clinic on WhatsApp. https://wa.me/254733836774

U.T.I NI NINI ? SABABU ZAKE NA NA TIBA YA KUMALIZA KABISA 👉 UTI (Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maambukizi katik...
06/05/2025

U.T.I NI NINI ? SABABU ZAKE NA NA TIBA YA KUMALIZA KABISA

👉 UTI (Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria, fangasi na virus. Mara nyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili. Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo. UTIs inaweza athiri mrija wa mkojo (urethra), kibofu cha mkojo na figo.

U.T.I INASABABISHWA NA NINI?
Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) ambayo husababisha 80% ya kesi zote. Vyanzo vingine ni:

Bakteria Klebsiella pneumoniae Staphylococcus saprophyticus Chlamydia na Mycoplasma (hususan kwa maambukizi ya mfumo wa uzazi)

Takwimu za Kimataifa zinaonyesha zaidi ya watu milioni 8.1 wanaathiriwa na ugonjwa huu kila mwaka.

DALILI ZA UTI
1-Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa
2-Kuhisi kuunguzwa/kuwashwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo
3-Maumivu ya misuli na tumbo
4-Mkojo kuwa na harufu mbaya na kubadilika rangi (nyeusi au rangi ya mawingu)
5-Maumivu mgongoni au kwenye mbavu (kwa maambukizi ya figo)
6-Kichefuchefu na kutapika
7-Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo

DALILI ZA HATARI ZAIDI:
A-Homa ya juu
B-Kutetemeka
C-Mkojo wenye damu
D-Maumivu makali ya mgongo
E-Kutapika kwa kiwango kikubwa

NI WATU GANI WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UTI?

@-Watu wenye kutumia mpira wa mkojo kwa muda mrefu na pempas
@-Watu wenye matatizo ya mfumo wa mkojo (figo, mirija, kibofu)
@-Watumiaji wa njia fulani za uzazi (diaphragm, spermicides, kondomu)
@-Watu wenye mahusiano ya kimapenzi yanayoweza kuhamisha bakteria
@-Wanawake (kutokana na maumbile yao)
@-Wajawazito
@-Watu wenye kisukari
@-Watu wenye mfumo dhaifu wa kinga

KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA WAKUBWA?
X-Urethra ya wanawake ni fupi zaidi (takribani sentimita 4 tu), hivyo bakteria wana safari fupi kufika kibofu
×-Mrija wa mkojo uko karibu na uke na tupu ya nyuma, maeneo yenye bakteria wengi
×-Mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito na hedhi Matumizi ya baadhi ya njia za uzazi wa mpango
×-Kwa wanaume ni nadra kupata UTI, lakini wakipatwa, dalili zinaweza kuwa kali zaidi na matibabu magumu zaidi.

KWANINI UNAPATA UTI MARA KWA MARA (UTI SUGU)

●Mfumo wa kinga dhaifu: Kushindwa kupambana na bakteria
●Kwa mwanamke: Hatari kubwa kutokana na maumbile
●Kukaa na mkojo kwa muda mrefu
●Mahusiano ya kimapenzi: Kuhamisha bakteria
●Kutokunywa maji ya kutosha
●Matumizi yasiyo sahihi ya antibiotiki
●Mabadiliko ya homoni
●Masuala ya kiafya k**a kisukari

JINSI YA KUJIKINGA NA UTI
■Kunywa maji mengi (angalau lita 2-3 kwa siku)
■Kukojoa mara kwa mara bila kuchelewa
■Kujisafisha vizuri (kutoka mbele kwenda nyuma)
■Kuvaa nguo za ndani za pamba na zisizobana
■Kukojoa baada ya kujamiiana
■Kula vyakula asili
■Kudumisha usafi wa maeneo ya siri

TIBA
kwa wenye Chronic u.t.i au ugonjwa umekuwa sugu kwa mda mrefu basi watapa dawa nzuri sana ambayo inaitwa U.T.I SPECIAL. Dawa hii imejizolea sifa nyingi sana kwa ajili ya kutibu na kumaliza kabisa u.t.i

FAIDA ZA KUTUMIA U.T.I SPECIAL
✨ Hutibu maambukizi haraka na huondoa maumivu ndani ya muda mfupi.
✨ Huzuia maambukizi kurudi tena kwa kusafisha njia ya mkojo.
✨ Ni salama kwa watu wa rika zote – wanawake, wanaume, hata wazee.
✨ Inapatikana kwa gharama nafuu na rahisi kutumia.

WASILIANA NASI KWA
+254721836774
DR ISMAIL

UGONJWA WA P.I.D NINI? NA TIBA YAKE NI IPIPelvic inflammatory disease (PID) ni maambukizi yanayotokea kwenye mfuko wa uz...
22/04/2025

UGONJWA WA P.I.D NINI?
NA TIBA YAKE NI IPI

Pelvic inflammatory disease (PID) ni maambukizi yanayotokea kwenye mfuko wa uzazi, aidha katika mirija ya uzazi au ovari.

SABABU
kwa kawaida p.i.d husababishwa na Maambukizi ya zinaa. Hutokea pale bakteria wanapo sambaa kutoka kwenye uke hadi kwenye viungo vyako vya uzazi.Bakteria hawa hutokana na magonjwa ya zinaa ambayo hayajatibiwa vizuri (STIs). Hivyo tunasema STIs ndio chanzo kikuu cha ugonjwa wa PID.

MADHARA YAKE
1-Zingatia kuwa Unapokuwa na PID, unaweza kuhisi maumivu kwenye tumbo la chini (tumbo) au pelvis (nyonga).

2-Unaweza pia kuwa na uchafu usio wa kawaida (Ukivuja) kutoka ukeni kwako.

3-PID kali inaweza kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye viungo vyako vya uzazi na kukuzuia usipate ujauzito sasa ama baadae.

4-Ugonjwa huu unaweza kusababisha ugumba na kusababisha mhusika kutokuwa na uwezo wa kupata uja uzito au kuzaa

JE UNAPATAJE PID?
Watu wengi hupata Ugonjwa wa PID kupitia njia ya ngono isiyo salama (unprotected s*x) Ngono huruhusu bakteria kuingia kwenye mfumo wa uzazi, ambapo wanaweza kuambukiza viungo vyako na kuanza kuugua.kutafuna kuta za uke na kwendelea hadi kwenye kizazi

DALILI ZA P.I.D NA SABABU ZAKE.
1-Maumivu ndani ya tumbo lako au chini ya kitovu, dalili ya kawaida.
2-Kutokwa uchafu ukeni na majimaji yasiyo ya kawaida katika uke, kwa kawaida ya manjano au ya kijani yenye harufu isiyo ya kawaida.
3-Kuhisi Baridi au kupandisha homa.
4-Kichefuchefu na kutapika.
5-Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
6-Maumivu na kuhisi Kuungua unapokojoa.
7-Hedhi isiyo ya kawaida au kuwa na hedhi ya matone matone au maumivu makali katika muda wote wa hedhi.

JE NANI YUKO HATARINI ZAIDI KWA P.I.D?

A-Ikiwa ulikuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STI), hasa kisonono au klamydia.
B-Ikiwa una wapenzi wengi au kuwa na mwenzi ambaye amekuwa na wapenzi wengi.
C-K**a umewahi kuwa na PID siku za nyuma.
D-Mabinti wanao fanya ngono chini ya miaka 17
E-K**a Umewahi kuunganishwa mirija au upasuaji mwingine wowote kwenye kizazi.

TIBA YA P.I.D
Kwa wenye p.i.d sugu wasihofu kwani tunazo dawa nzuri sana ambazo zinatibu na kumaliza kabisa mara moja kwa kutumia dawa itaondoa maambukizo yaliyosababishwa na P.I.D dawa hii hukarabati makovu au uharibifu kwenye njia ya viungo vya uzazi uliotokana na P.I.D

WASILIANA NASI KWA
+254721836774
DR ISMAIL

FERTILITY BOOSTER NDIO SULUHISHO LA MATATIZO YA KIZAZI NA KUWESHA KUPAKA UJAUZITO KWA SIKU 30PEKEE fertility booster, hi...
11/04/2025

FERTILITY BOOSTER NDIO SULUHISHO LA MATATIZO YA KIZAZI NA KUWESHA KUPAKA UJAUZITO KWA SIKU 30PEKEE

fertility booster, hii ni tiba na dawa yenye muunganiko wa madini ya calcium na zinc.
Hii ni dawa ambayo imeleta furaha na bado inaendelea kugusa afya za wanawake kutokana na faida zake kwa afya ya uzazi.

FAIDA YA FERTILITY BOOSTER NI K**A IFUATAVYO,

1.Hutibu tatizo la mimba kutoka/kuharibika mara kwa mara.

2.Huimarisha mfuko wa uzazi kwa wanawake

3.Humwongezea mwanamke/mama mjamzito madini ya calcium na zinc katika kizazi

4.Huongeza virutubisho kwenye maziwa ya mama anayenyonyesha/mama kijacho

5.dawa hii inatibu na kumaliza kabisa Ovarian Cyst bila upasuaji wowote kwa siku 30 pekee

6.Hutanua nyonga za wanawake na kuwawezesha kujifungua salama

7.Mwanamke anapoitumia fertility booster humuimarishia mifupa na maungio pamoja na mtoto atakayezaliwa

8.dawa hii Hutibu na kuzibua mirija ya uzazi (fallopian tubes) bila upasuaji

9.Humsaidia mama kujifungua mtoto mwenye afya bora

10 -dawa hii Hutibu na kusawazisha hormones kwa wenye matatizo ya Hormonal Imbalance

11.Ni kinga ya saratani ya kizazi/tiba nk.

INASHAURIWA KILA MWANAMKE KUTUMIA DAWA HII

HAINA MADHARA,NI YA ASILI.

KWA MSAADA NA HUDUMA ZAIDI WASILIANA NAMI WHATSAPP NUMBER
+254721836774 DR ISMAIL
.... KARIBU SANA

KUVIMBA MIGUU, SABABU NA TIBA YAKE Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kus...
05/04/2025

KUVIMBA MIGUU, SABABU NA
TIBA YAKE

Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kusababishwa na matatizo katika mfumo wa mishipa ya damu, mirija ya mitoki au tatizo katika figo. Unaweza kuvimba miguu kwa sababu pia ya kukaa ama kusimama mda mrefu sehemu moja.

VISABABISHI VYA KUVIMBA MIGUU
Kuna aina mbili za visabaishi, aina ya kwanza ni kutokana na kuvia kwa maji na aina ya pili kutokana na michomo kwenye chembe hai maeneo ya miguu. Maelezo zaidi yanapatikana kwenye aya zinazofuata.

1-Kuvimba miguu kutokana na mkusanyiko wa maji kwenye tishu za miguu
2-Kufeli ghafla kufanya kazi kwa figo
3-Magonjwa ya kuta za moyo
4-Kufeli sugu kufanya kazi kwa figo
5-Kufanyika makovu kwenye ini
6-Kufeli kwa moyo
7-Matibabu ya dawa za homoni
8-Kuziba kwa mishipa ya ngiri
9-Kuharibika kwa mishipa midogo ya ndani ya figo
10-unywaji wa Dawa za kutuliza maumivu ki Holela
11-Michomo kwenye kuta za moyo
12-Ujauzito
13-Madawa k**a madawa ya kisukari na shinikizo la damu
14-Kusimama kwa mda mrefu, kukaa kwa mda mrefu k**a kwenye ndege na gari
15-Magonjwa ya mishipa ya damu
16Mishipa ya damu ya vein kushindwa kurudisha damu kwenye moyo

KUVIMBA MIGUU KUTOKANA NA MAGONJWA YA MICHOMO KINGA

A-Kuvunjika kwa mfupa
B-Maambukizi kwenye ngozi
Gauti
C-Maambukizi kwenye vidonda vya miguuni
D-Maambukizi kwenye vijifuko vya maji katika maungio ya miguu
E-Misuguano ya mifupa katika maungio
F-Baridi yabisi
G-Jeraha kwenye maungio ya visigino

MATIBABU YA NYUMBANI (HOME REMEDIES )

Matibabu yafuatayo yanaweza kufanywa na mtu yeyote akiwa nyumbani endapo ana tatizo la miguu kuvimba. Matibabu haya yanaweza kutumiwa tu endapo umeongea na daktari wako kwamba yapi ni yapi yanakufaa Zaidi kulingana na hali yako.

MJONGEO
Ukijongesha misuli kwenye maeneo ambayo yana uvimbe, mfano uvimbe kwenye kiwiko cha mguu au kwenye goti unatakiwa jongesha misuli ya miguu. Kufanyisha mazoezi miguu kwa kutembea mwendo au kukunja na kunyoosha kwa muda wa dakika 15 hadi 30 kunaweza saidia kupunguza uvimbe.

KUNYANYUA MIGUU JUU DHIDI YA
MWILI

Hakikisha unanyanyua miguu yako juu ya usawa wa moyo mara kwa mara, unaweza kufanya hivi ukiwa umelala wakati wa mchana au usiku. Kuwezesha kunyanyua miguu juu, wakati umelala weka mto chini ya miguu ili miguu iwe juu Zaidi ya mwili.

KUKANDA MIGUU
Kanda kwa kukamua miguu kuelekea juu kwenye magoti, tumia nguvu kidogo isipite kiasi, hii inasaidia kusukuma maji na damu yaliyozidi kuelekea kwenye.

MGANDAMIZO KWENYE MIGUU
Unaweza tumia soksi maalumu za kugandamiza miguu yako .Soksi hizi husaidia miguu isiendelee kuvimba Zaidi na pia inapunguza uvimbe. Daktari wako atashauri matumizi ya hizi soksi na namna unavyowezazipata.

KINGA MIGUU NA MAJERAHA
Hakikisha eneo la miguu yako limekuwa safi na halijakauka, na usiliweke katika mazingira ya kupata jeraha. Ngozi ikikauka au kupata majeraha ni rahisi kupata maambukizi. Siku zote yalinde maeneo yaliyovimba kwa kuvaa vituvya kukinga kupata majeraha.

ZINGATIA
Wakati huo wa safari epuka kuvaa kwa muda mrefu nguo zinazobana sehemu za mapaja na k**a umnene kupita kiasi fanya mazoezi mara kwa mara ili kupunguza uzito. Lakini yote hayo ukiyafanya na miguu kuendelea kuvimba ni vema ukamuona daktari ili akupime na kisha kukupa dawa stahiki ili upone kabisa.

TIBA YAKE
ikiwa umesumbuliwa na tatizo hili basi wasiliane nasi ili upate dawa ambazo zinatibu na kumaliza kabisa matatizo hayo kabisa

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA NAMBA +254721836774 DR ISMAIL

Address

Kombani
Mombasa
254

Telephone

+254721836774

Website

https://shifaaherbsclinic.co.ke/

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shifaa sunna clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Shifaa sunna clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category