Tahta shajara Herbalist &jinni Research Center

Tahta shajara Herbalist &jinni Research Center Tunashughulikia sana na wagonjwa walioathiriwa na mashetani wa kijinni na sihr au uchawi na hasad kwa kutumia Ruqya ya kisheria na madawa ya kisunna.

MJUE JINNUL ZAWABIR NA TIBA YAKEAsalam alaykum warahmatullahi wabarakatu  Hawa ni majini wakorofi sana.Na pia wana madha...
24/10/2021

MJUE JINNUL ZAWABIR NA TIBA YAKE
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatu Hawa ni majini wakorofi sana.Na pia wana madhara makubwa sana mwilini na pia miongoni mwa madhara yao humsababishia mgonjwa awe na saratani na maradhi ya mkanda wa jeshi.Huwaingia watu kwa haraka sana majini hususan wale ambao hupenda kukaa uchi baada ya kuoga.Na pia k**a atakuwa ni jinni mahaba wa kutoka ukoo huu huwa hapendi watu ambao wananuka jasho na akikaa karibu na mtu ambaye ana jasho atakuwa anatema tema mate ovyo ovyo.Siku za nyuma nilikuwa nimeelezea kwamba sio maradhi yote ambayo ukipimwa hospitalini tiba yake utaipata huko kwasababu maradhi yote hayo yanakuwaga yako sehemu mbili.ya kawaida na yale ya kusababishwa na majini wa kichawi.natumai kufikia hapo nimeeleweka.ijapokuwa kuna dalili ambazo zitakufahamisha ni jinni wa aina gani ambaye amekuvamia mwilini kwasababu kujua majini walioko ndani ya mwili kwa tabibu yeyote ni jambo la muhimu sana ili ajue anapambana na adui wa aina gani kwa dalilina kujua tiba yake kwasababu kila jinni ana tiba tofauti na mwingine.Na pia kuwajua majini kupitia ndoto ambazo mgonjwa anaota ni jambo ambalo ni la muhimu zaidi kwa tabibu
DALILI ZA KUMJUA JINNUL ZAWABIR AKIWA MWILINI
✔️Mwili kuwasha sana
✔️Mwili kuwa na vidonda vidonda vya upele
✔️ Mwili kupauka hata ukipaka mafuta
✔️Ngozi kumbambuka
✔️Mwili Kuvimba na kuwaka moto
✔️Ngozi kuvuka k**a gamba la nyoka
✔️Kuwa na majipu ya kila wakati
✔️ Rangi ya ngozi wakati mwingine kubadilika
✔️ Kukosa usingizi
✔️Kukosa utulivu wa moyo
TIBA YA KUMTOA JINNUL ZAWABIR
✔️ Mruturutu
✔️Kibiriti upele
✔️Shabu
✔️Karkam
✔️Mafuta ya ndimu
✔️Mafuta ya Thawm
✔️Mafuta ya nyonyo
MAANDALIZI NA MATUMIZI YA DAWA HIZO NI K**A YAFUATAYO
Hizi dawa zitatwangwa kisha zikilainika zichanganywe pamoja halafu mgonjwa atakuwa anafukiza mara mbili kwa siku.zoezi hilo atalifanya kwa siku 21 hadi 30 in sha Allah mgonjwa atapona
TIBA YA PILI NI DAWA ZA KULA
✔️Sanamaki
✔️Sidr
✔️Sufa nyekundu
✔️Haltit
✔️Pilipili manga
MAANDALIZI NA MATUMIZI YA DAWA HIZO
Dawa hizo zinatakiwa zikiwa ni za unga halafu zitachanganywa pamoja zote kisha ziwekwe kwenye asali lita moja.matumizi yake ni kijiko cha chakula kimoja kutwa mara 3 kwa siku 30 hadi 45 in sha Allah ni mujarab dawa hizo.Na mgonjwa afanyiwe Ruqya kwa ukamilifu wake siku 7.TUNATIBU NAYE ALLAH ANAPONYESHA.HII NI SABABU TU YA KUPONA KWAKO
Kwa wale ambao wanahitaji dawa hizo zikiwa tayari tunazo.unaweza ukaagiza na utafikiwa na mzigo wako popote ulipo
✔️+254756553838
✔️+254708995244

DAWA ZA KUFUKIZA KWA WALE WALIOSIBIWA NA MAJINI WABAYA MWILINI✔️Kibiriti upele✔️Sandarus✔️Haltit✔️Shubir✔️Kafur mayt✔️Ma...
23/10/2021

DAWA ZA KUFUKIZA KWA WALE WALIOSIBIWA NA MAJINI WABAYA MWILINI
✔️Kibiriti upele
✔️Sandarus
✔️Haltit
✔️Shubir
✔️Kafur mayt
✔️Mane mane
✔️Bakal hadi
✔️Mayatul sayla
✔️Mruturutu
✔️Misk ya unga
Zote dawa hizo zinatakiwa zikiwa zimetwangwa.kisha mgonjwa atakuwa anafukiza mara mbili kwa siku kwa siku 21 hadi 30
Kwa wale ambao wanahitaji dawa hizo zikiwa tayari za kufukiza wasiliana nasi kwa namba zifuatazo
✔️+254708995244 Whatsapp
✔️+254799659791 imo
✔️+254756553838 Whatsapp

DALILI ZA MTU ALIYESIBIWA NA MAJINI MWILINI MWAKEKUTOKA SEHEMU YA KWANZA✍️ Kukosa damu au kupungukiwa na damu au maji mw...
19/10/2021

DALILI ZA MTU ALIYESIBIWA NA MAJINI MWILINI MWAKE
KUTOKA SEHEMU YA KWANZA
✍️ Kukosa damu au kupungukiwa na damu au maji mwilini au kukonda ghafla
✍️Kuota ndoto ukiwa unakula
✍️Kuota ukiwa unafukuzwa na wanyama wakali
✍️Kuota ukiwa unapigana au unapigwa
✍️Kuota ukiwa umepandisha jinni
✍️Kuota ukiwa unapiga makelele
✍️Kuota ukiwa baharini unaogelea au unatembea
✍️Kuota ukiwa unavishwa pete au mkufu
✍️Kuota ndoto ukiwa unafukua kaburi
✍️Kuharibika kwa vitu vya moto kila wakati au kuwa na ndoto ukiwa unaona moto
✍️Ndoto ukiwa unamuona ngamia
✍️Ndoto za simba
✍️Kuota ukiwa unawaona mbwa au mbwa mwitu
✍️ Kuota majumba ya mizimu
✍️Kuota ukiwa unakabidhiwa mkuki au fimbo au mundu au wanyama k**a kondoo au ng'ombe na kitambaa cheupe au cheusi au chekundu
✍️Kuota ukiwa katikati ya watu kisha wanakuchagua kuwa kiongozi wao
✍️Kuota watu wakiwa wamevaa kanzu
✍️Kuota ukiwa unakunywa damu au unanyweshwa damu
✍️Kuota kuhusu vibuyu vya uganga ni dalili kuu nyingine kuwa unayo majini
✍️Kuota ukiwa unavaa bangili au mikufu
✍️Kuota ndoto za watu wamevaa mavazi meupe wamekusimamia
✍️Kuhisi k**a unaona vivuli vya watu
✍️Kuota ndoto za watu wanachunga ng'ombe
✍️Kuota ndoto ukiona mafuvu ya binadamu kila wakati
✍️Kuota unaona vishuguu
✍️Ndoto za nyimbo nyimbo na kufanyiwa mambo ya kienyeji
✍️ Kupenda sana kuwa mchafu kila wakati
✍️ Kupenda sana kukaa jalalani
✍️ Kupenda sana kukaa kweye ufuo wa bahari kila wakati
✍️Kupatwa na usingizi mzito tena wa ghafla ambapo hata ukiharibu kuamka huwezi.**hali hii husababishwa na jinnul al kabus na siku za nyuma nilikuwa nimeshaeleza**
✍️Kuanza kuwa na kifafa**hapa ifahamike kwamba kuna aina tatu ya kifafa k**a ifuatavyo
1.Kifafa cha kurogwa
2.Kifafa cha kawaida
3.kifafa ambacho kinasababishwa na majini mayti
✍️Kuwa majnun au kichaa.**ifahamike kwamba wale ambao wanakuwa vichaa wengi wanakuwaga wametumiwa majini waitwao jinnul Asahha
**Majini hawa wakati wanapoingia mwilini huamrishwa kukaa kwenye mishipa ya ubongo au ya fahamu na hapo ndipo matatizo haya yataanza.nitazidi kueleza na nilikuwa nimeelezea siku za nyuma wakati nilikuwa nazungumzia sihrul junoon.
Kwa wale ambao wanahitaji kufanyiwa visomo vya Ruqya tunafanya hivyo na pia tunayo madawa ya kupambana na sihr na hasad na majini wabaya .ijapokuwa nimeelezea dalili za majini wote kwa pamoja/Marohani na Mashetani
Kwa matibabu wasiliana nami kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254756553828 Whatsapp
✍️+254799649791 imo

DALILI ZA KUONESHA UMESIBIWA NA MAJINI MWILINIAsalam alaykum warahmatullahi wabarakatu, Dalili zake ni nyingi sana anbaz...
19/10/2021

DALILI ZA KUONESHA UMESIBIWA NA MAJINI MWILINI
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatu, Dalili zake ni nyingi sana anbazo ni za majini tofauti tofauti k**a vile tunavyozidi kueleza na dalili zenyewe ni k**a zifuatazo
✍️Kuumwa na kichwa cha upande mmoja
✍️Kifua kubana
✍️Kuhisi kichefuchefu unapomaliza tendo la ndoa
✍️Kuota ndoto ukiwa unafanya tendo la ndoa
✍️Mwili kuwa mzito hususan kwenye mabega
✍️Miguu kuwaka moto au kuhisi baridi wakati sio msimu wake
✍️Viungo vya mwili kufa ganzi
✍️Kuota ukiwa na mimba
✍️Mimba kutoka kila baada ya miezi mitatu au nane
✍️Kufunga hedhi au kutoka damu nyingi hadi kupitiliza siku za kisheria za hedhi
✍️Kuota ndoto ukiwa porini unafundishwa miti ya dawa
✍️Kuota ukiwa unapaa
✍️ Kuota ndoto za simba kila wakati
✍️Kuhisi k**a unafuatwa nyuma yako na ukiangalia huoni mtu yeyote
✍️Kuwa na wasi wasi kila wakati na kuhisi unakufa wakati wowote
✍️ Kupenda sana kukaa chooni
✍️Kusinzia ukiwa chooni
✍️Kuskia harufu ya manukato au harufu mbaya
✍️Kuchukia sauti ya adhana au mawaidha au Quran
✍️Kupiga miao kila wakati hususan wakati unaposwali au unaposoma kitabu cha Quran
✍️ Mapigo ya moyo kwenda mbio k**a vile mtu ana shinikizo la damu au presha
✍️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✍️ Ugomvi wa kila wakati hususan kwa wanandoa
✍️Kushindwa kufika kileleni wakati ufanyapo tendo la ndoa
✍️Kuishiwa na nguvu za kiume ufikapo kwa mkeo na ukiwa huko nje ulikuwa sawa
✍️Mke kumhitaji mme wake akiwa mbali lakini akifika anaanza kuwa na hasira naye
✍️Kuota mwanamke akiwa anazaa mtoto
✍️Ndoto za mwanamke kunyonyesha mtoto
✍️Unaota ukiwa umebeba mtoto
✍️Kuota ndoto za sherehe kila wakati
✍️Kuwa na hasira za ghafla ambazo hazina sababu yeyote
✍️ Kupenda sana ugomvi
✍️ Mwanamke ambaye bado hajaolewa kuchukia wanaume
✍️Kuchukia sana mwanamke anapoambiwa habari za ndoa au mapenzi
✍️Tumbo la kizazi kuuma sana kila wakati na kuvuta kwenye kitovu
✍️Kuskia sauti za watu wakiongea na wewe na watu ambao huwaoni
✍️Kuskia ukiitwa lakini ukienda huoni mtu
✍️ Kukosa usingizi nyakati za usiku
✍️Kuota ndoto za watu waliokufa
✍️Kuota ndoto ukiwa makaburini
✍️ Kizunguzungu kila wakati
✍️Macho kukosa aibu
✍️Kuhisi vitu vinatembea mwilini
✍️Kutojiskia kuongea na watu na kupenda sana kukaa ukiwa peke yako
✍️Kupata maradhi ya kujibadilisha badilisha
✍️Kuhisi uchungu wakati wa tendo la ndoa
Kuna sehemu ya pili pia kwasababu dalili ni nyingi sana na siwezi nikazimaliza zote
Kwa matibabu wasiliana nami kwa namba zifuatazo
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254708995244 Whatsapp

MADHARA NA DALILI ZA JINNI CHEKETUAsalam alaykum warahmatullahi wabarakatu, hawa ni katika majini wakorofi sana,Na pia m...
18/10/2021

MADHARA NA DALILI ZA JINNI CHEKETU
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatu, hawa ni katika majini wakorofi sana,Na pia majini ambao ni makatili sana na hawana huruma,wachawi hupenda sana kutumia majini hawa katika kazi zao za kichawi kwasababu huwa wanawapenyeza sehemu ambazo wachawi hao hawawezi wakaingia na kufanya ushirikina wao.Kuwafahamu wanazo dalili zao ambazo nitazieleza hapa k**a ifuatavyo
✍️Jini huyu akishakuingia husababisha mambo yako kukwama.na hakuna jambo hata moja ambalo utaanzisha likamilike yote huishia njiani
✍️Jinni huyu huwasaidia wachawi kupita kwenye pembe za nyumba k**a vile nimetangulia kusema
✍️ Jini huyu pia humsababishia mtu kuteseka sana kwa maradhi mbalimbali ambayo yatasababisha asumbuke kila wakati kwa maradhi ambayo hayaishi
✍️ Humsababishia mtu heshima yake ishuke na kudharaulika kwa watu hata aseme jambo lipi kwake haliskilizwi hata k**a ana cheo cha aina gani lakini au hata elimu kiwango gani lakini hawezi akapata heshima hata kidogo
✍️Jini huyu pia hutembea na wachawi kwenda kumfanyia mtu uchawi na ana uwezo wa kujigeuza kwa sura yeyote ile.
✍️ Husababisha mtu kutuhumiwa na watu wengine na kuambiwa kwamba yeye ni mchawi popote aendapo
✍️Jinni huyu ni miongoni mwa majini ambao humpiga mtu hasad au nuksi kwasababu.mambo yake yatakuwa magumu sana ya kimaisha kila ufanyalo haliwi
✍️Pia jinni huyu husaidiana na wachawi kukupiga chale za wanga.natumai wale ambao wanafuatilia darasa zetu kwenye group tayari nilikuwa nimeshaeleza namna chale za wanga huwa zinapigwa
✍️ Husababisha kuharibu mahusiano kuchukiwa na mke, au ndugu au rafiki na hususan kwa wazazi mahusiano huwa mabaya sana
✍️ Husababisha madhara mengi sana mwilini kwasababu kila wakati unaweza ukawa unafanyiwa upasuaji kwa maradhi ambayo hayaishi au kuteswa kwa namna yoyote ile ili mradi hutakaa ukiwa na pesa zozote na hutafanya jambo lolote la maendeleo katika maisha yako maadamu huyu jinni yuko mwilini
✍️ Jinni huyu pia hutumika kushusha nyota za watu kwa kukutia giza
✍️Jinni huyu pia humdhibiti mtu katika mambo yake mengine hata akiweka ahadi huwa hazitimii kwasababu ya mambo yake kukwama
Kwa wale ambao wanahitaji kufanyiwa visomo vya Ruqya akiwa popote alipo tunafanya hivyo na tunatoa hasad na sihr kwa wale ambao wanaosumbuliwa na matatizo hayo na pia tunayo madawa ya kisunna ya kupambana na matatizo hayo na pia tunatibu maradhi mengine mengi
Kwa matibabu wasiliana nami kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254799659791 imo

MFAHAMU JINNUL MAQABIR NA DALILI ZAKEHawa majini asilimia kubwa wanakuwaga ni wa kutumwa na wachawi kuleta madhara ndani...
16/10/2021

MFAHAMU JINNUL MAQABIR NA DALILI ZAKE
Hawa majini asilimia kubwa wanakuwaga ni wa kutumwa na wachawi kuleta madhara ndani ya mwili wa binadamu.Ambapo majini hawa makazi yao ni makaburini ambayo yalishajaa na hayatumiki tena.ijapokuwa tabia za huyu jinni na jinni mayti zinakaribiana na hata kuingiwa na majini hao ni nadra sana labda yawe yametumwa na wachawi ili kuja kusababisha matatizo kwa mhusika.wakati tabibu anapomfanyia kisomo cha Ruqya mgonjwa ambaye amesibiwa na majini hawa huwa mara nyingi hawapandi.Ili kujulikana ni majini wa aina gani ambao wanaokusumbua mwilini ili uweze kupata tiba sahihi kwasababu kila jinni ana tabia na tiba yake tofauti na mwenzake.Hapa nitaeleza dalili zake kwa ufupi k**a ifuatavyo
DALILI ZA KUMFAHAMU JINNUL MAQABIR NI K**A ZIFUATAZO.
✍️Kuota ndoto za makaburini kila wakati au kuota ukiwa unazika au unazikwa
✍️Hupandwa na hasira za ghafla ambazo hazina sababu zozote
✍️Mtu kupenda sana kukaa akiwa peke yake na hataki maongezi
✍️ Kupenda sana kukaa kwenye giza ima nje au ndani ya nyumba
✍️ Kupenda sana kukaa makaburini kila wakati
✍️Mwili kukak**aa
✍️Kuhisi k**a umefungwa baadhi ya viungo vya mwili k**a miguu na mikono nk
✍️Wakati mwingine mtu hutokwa na mabaka mabaka au malenge lenge mekundu pamoja na kuwashwa
Kuna sababu kadhaa ambazo husababisha hadi jini huyu akivae k**a sio wa kutumwa.Na sababu hizo nitaeleza hapa kwa ufupi k**a ifuatavyo
SABABU AMBAZO HUPELEKEA HADI MAJINNI HAWA WANAMVAA MTU
✍️ Kupenda sana kuwa mchafu kila wakati
✍️Kukosa kufanya ibada
✍️Kupiga miruzi au makelele au kucheka ukiwa makaburini
✍️ Kupenda sana kuongea kwa sauti ya juu hususan nyakati za usiku
✍️ Kuanguka makaburini au kukalia makaburi au kujilaza makaburini
✍️Kukosa kusoma dhikr wakati unapoenda makaburini
✍️ Kutembelea makaburini ukiwa na janaba au hedhi au nifasi
TIBA YA KUMTOA JINNUL MAQABIR
Mgonjwa afanyiwe kisomo cha Ruqya kwa ukamilifu wake kwa siku 45 na pia atakuwa anatumia dawa za kisunna za kula na kufukiza na kunywa.Na awe anajiweka katika hali ya usafi kwa mda huo na kuendelea kwasababu ya kinga zaidi
Kwa wale ambao wanahitaji kufanyiwa kisomo cha Ruqya kutolewa majini wabaya mwilini na hasad na sihr wawasiliane nami kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254799659791 imo

MFAHAMU JINNIL UMMU MULDAM NA DALILI ZAKE NA TIBA YAKEHawa ni katika majini ambao ni hatari sana wakati wanapowavamia bi...
13/10/2021

MFAHAMU JINNIL UMMU MULDAM NA DALILI ZAKE NA TIBA YAKE
Hawa ni katika majini ambao ni hatari sana wakati wanapowavamia binadamu.Na jinni huyu mara nyingi hutumwa na wachawi kisha akishaingia mwilini hukalia kizazi.Na pia husababisha mwanaume akose hamu ya tendo la ndoa pindi tu afikapo kwa mkewe.dalili za kumfahamu jini huyu ni k**a zifuatazo
DALILI ZA KUMTAMBUA JINNI UMMU MULDAM
✍️Kushikwa ngiri wakati wa joto
✍️Mwanaume kuwahi kushusha manii haraka akiwepo kwenye tendo la ndoa
✍️Uume kusinyaa na kuanza kurudi ndani.na kuwa na baridi k**a kufa ganzi vile
✍️Mwanamke kukosa hedhi kwa miezi mitatu hadi miezi 4 mfululizo
✍️Kushikwa chango linalo zuia mkojo
✍️Mwanamke kuwa na maziwa k**a mja mzito
✍️Kichwa kuuma sana hususan wakati anapofanyiwa kisomo
✍️ Mgonjwa kutetema k**a anahisi baridi na hata kushindwa kuongea
✍️Mwili kuishiwa nguvu na hata kuona giza
✍️Tumbo la kizazi kuuma
Hizo ni dalili kwa uchache tu ijapokuwa kunazo dalili nyingi sana ambazo zinahusishwa na jinni ummul muldami.ifahamike kwamba wakati mgonjwa anapofanyiwa kisomo ni vigumu sana kupanda.ijapokuwa mgonjwa ataumwa na kichwa na maeneo ya kisogoni na halafu hujikuta midomo inatetema na kushindwa kuongea basi anaemfanyia tiba huyu mgonjwa atambue kwamba huyu ni ummu muldam.na ana madhara makubwa sana wakati anapoingia mwilini kwasababu inakuwa vigumu sana kwa mwanamke kupata mimba kwasababu k**a vile nilikuwa nimetangulia kusema ni kuwa huyu jinni hukaa kwenye kizazi kisha huzuia au hata kutoa mimba ambayo mwanamke amepata.jinni huyu humsababishia mwanaume kupata ugumba ijapokuwa kuna namna ya kuweza kumtoa jinni huyu mkorofi.na hapa nitaelezea dawa ambazo hutumika kusaidiana na kisomo cha Ruqya za kisunna k**a ifuatavyo
TIBA YA KISUNNA YA KUMTOA JINNI UMMUL MULDAMI
✍️Seena
✍️Sufa
✍️Khardal
✍️Hulba
✍️Zaatar
MAANDALIZI NA MATUMIZI YA HIZI DAWA NI K**A YAFUATAYO
Chukua dawa zote hizo kisha zichanganye pamoja.Na uhakikishe zoote ni za unga na ziwe kipimo kimoja.yaani grm 200 hadi grm 250 kisha utakuwa unatumia kwenye uji wa ulezi au mtama ambao haujawekwa chochote isipokuwa sukari mawe au Asali.Na utakuwa unatumia mara tatu kwa siku na tiba hii itaendelea kwa siku 45 hadi siku 90 In sha Allah jinni huyu atatoka kabisa
Kwa wale ambao wanahitaji kufanyiwa kisomo cha Ruqya wawasiliane nasi au k**a wanahitaji hizo dawa zikiwa zimeandaliwa tuko nazo na tunaziuza kwa bei ya chini
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254799659791 imo
NA PIA TUNAMTUMIA DAWA POPOTE ALIPO MGONJWA

JE JINNI NEBIROS NI NANI?Huyu ni jinni ambaye ana uwezo wa kumshurutisha kufanya uovu mtu yeyote amtakaye na pia ana uwe...
10/10/2021

JE JINNI NEBIROS NI NANI?
Huyu ni jinni ambaye ana uwezo wa kumshurutisha kufanya uovu mtu yeyote amtakaye na pia ana uwezo wa kumletea mtu fahari kuu na pia jinni huyu ana uwezo wa kumuonesha mtu vitu bora k**a madini na mawe na mboga na wanyama.Ana uwezo wa kutabiri vitu ambavyo vitatokea kwasababu ndiye mkuu wa utabiri katika ulimwengu wa kijinni.Anazunguka zunguka huko na huko kila Sehemu kwa ajili ya kuangalia, kuchunguza na kukagua aina zote za maangamizi.Ana wasaidizi 3 ambao ni Ayperos na Haberus na Glassyalabolas.Jinni Nebiros yuko namba 24 katika orodha ya majini 72 aliokuwa akiwamiliki nabii suleyman as kwa kuwaamrisha kumfanyia kazi mbalimbali,Na jinni huyu hufahamika k**a inspekta jenerali wa jeshi katika Utawala wa iblis laana za Allah ziwe juu yake.Ana vichwa vitatu na sura k**a ya mbwa halafu ana miguu mitatu.hawa ni katika majini ambao ni viongozi ambao ni hatari sana kwa binadamu.
Kwa wale ambao wanaosumbuliwa na majini wabaya na sihr na Hasad tunayatoa matatizo hayo kwa visomo vya Ruqya na tunayatibu kwa madawa ya kisunna.na pia tunatibu maradhi mbalimbali
Kwa matibabu wasiliana nami kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254799659791 imo
Tunasafirisha dawa Sehemu yeyote alipo mgonjwa kwasababu uaminifu ndo ngao yetu

MFAHAMU JINNI SUBIANI NA TIBA YAKEAsalam alaykum warahmatullahi wabarakatu,Leo nataka nielezee ni nani jinni subiani.ifa...
10/10/2021

MFAHAMU JINNI SUBIANI NA TIBA YAKE
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatu,Leo nataka nielezee ni nani jinni subiani.ifahamike kwamba kuna tofauti kubwa sana kati ya jinni subiani na jinni ummu subiani na jinni Abuw subiani.Na majini hawa huwashinda walimu wengi sana kuwatoa kwasababu wana tabia ya kubadilika.ifahamike kwamba majini aina zote 660 wamegawanyika Sehemu 2.
1Kuna majini wazuri ambao ndo Maruhani
2,Na kuna majini wabaya ambao ndo mashetani
Majini hawa ni hatari sana kwa binadamu na wana dalili nyingi sana za kuweza kuwatambua nazo nitazielezea hapa k**a ifuatavyo
DALILI ZA SUBIANI
✍️Kuishiwa damu kila mara
✍️ Kuota ukiwa unafanya kitendo cha ndoa
✍️Kuwa na hasira za ovyo za mara kwa mara
✍️Kukosa nguvu za kiume
✍️Kuota ukiwa una mimba
✍️Kuchakaa wakati bado wewe ni kijana
✍️Kuambiwa na watu kwamba wewe ni mchawi
✍️Kuota ndoto ukiwa unazaa na unanyonyesha
✍️ Kuota ndoto ukiwa unabeba mtoto
✍️Mimba kutoka hasa ikiwa na miezi 3 hadi 8
✍️Kuumwa chango au ngiri mara kwa mara
✍️Kushindwa kumwaga manii ufikapo kileleni
✍️Kukosa hedhi
✍️Kuingia na kumwaga manii kwa haraka zaidi
✍️ Kupata hedhi kwa miezi 2 hadi 3
✍️Tumbo kuhisi joto
✍️Kutembea vitu mwilini
✍️Maradhi yasiyoisha ya mara kwa mara
✍️Wakati jinni huyu anapanda anakuwaga na fujo sana
✍️Mgonjwa huwa anagaa gaa wakati huyu jinni anapanda
✍️Hulia wakati mwingine na kupiga kelele
✍️Ni mkali sana na ana nguvu sana anaweza akshikwa na watu hadi 10 lakini lazima awatikise tu
✍️ Anaweza akafanya mtu kuwa k**a kichaa
✍️Majini hawa taaluma yao ya asili ni uganga.kwa hivyo hata akipanda anaweza akajifanya anafanya uganga.**Na hapa ndipo nilisema kwamba tabibu ambaye anafanyia mgonjwa kisomo lazima ambainishe k**a ni mkweli au ni muongo jambo ambalo sio kila mtu anaweza akalifanya
✍️Pia humuotesha mgonjwa akiwa porini akimfundisha miti ya dawa
✍️Ndoto zake nyingi ni za kula kula ovyoovyo
✍️Kuumwa kila wakati haswa ganzi na vichomi
✍️Mwili kuwaka moto na kukosa hamu ya chakula
✍️Mke kukataa tendo la ndoa
✍️Jinni huyu hutoa mimba kuanzia miezi 3 hadi 8
TIBA YA TATIZO HILI
✍️Mafuta ya figiri
✍️Mafuta ya kitunguu thawm
✍️Mafuta ya kitunguu maji
✍️Mafuta ya ngamia
✍️Mafuta ya nyangumi
✍️Mafuta ya ndimu
✍️Mafuta ya mchaichai
Kwa wale ambao wanahitaji kufanyiwa visomo vya Ruqya na wanahitaji dawa hizo zikiwa zimekamilika wawasiliane nasi kwa namba zifuatazo
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254799659791 imo
Pia tunamtumia mtu pahali alipo na zitamfikia salama kwasababu uaminifu ndo ngao yetu

JINSI YA KIMJUA JINNI NI WA AINA GANI SEHEMU YA KWANZA.Asalam Alaykum warahmatullahi wabarakatu,Leo nahitaji nizungumzie...
22/09/2021

JINSI YA KIMJUA JINNI NI WA AINA GANI SEHEMU YA KWANZA.
Asalam Alaykum warahmatullahi wabarakatu,Leo nahitaji nizungumzie namna ya kumjua aina ya jinni inayomsumbua mtu.
JAMBO LA KWANZA NI RANGI
Majini wamegawanyika kwa takriban rangi 7 tofauti na jambo hili kwa tabibu ambaye anamfanyia kisomo mgonjwa ni jambo la muhimu sana kujua ili kazi yake iwe nyepesi zaidi na rangi zenyewe ni k**a zifuatazo
1.Majini wa rangi Nyeusi
2Majini wa rangi ya kijivu
3.Majini wa rangi Nyeupe
4.Majini wa rangi ya njano
5.Majini wa rangi ya Bluu(samawati)
6.Majini wa rangi nyekundu
7.Majini wa rangi ya kijani
Ijapokuwa wengi katika wanazuoni wanasema kwamba Majini wa rangi ya kijani hawana madhara makubwa lakini majini wengine wanayo makubwa sana k**a wametumwa kuleta uchawi mwilini.
Kwa mfano:--
Majini wa rangi nyeusi Wamegawanyika katika dini tofauti tofauti.Lakini ijapokuwa rangi ni moja lakini kisomo cha kuwatoa hao majini ni tofauti na tiba take pia ni tofauti na majini woote wako hivyo.Na hapa nitaelezea kidogo kwa mfano
MAJINI WA RANGI YA KIJIVU.
1.Akiwa ni jinni wa kiyahudi msomee mgonjwa suratul Baqarah na Ayatul mussa,suratul dukhan,na suratul yunus.
2.Akiwa ni jinni wa kijivu lakini mkristo msomee mgonjwa suratul zilzal Mara 10 na Ayatul adhab zote
3.k**a ni jinni wa kijivu ambaye ni muislam kwa jina lingine huwa tunamuita jinnul Aswi msomee mgonjwa suratul ikhlas Mara 7na suratul Falaq Mara 7na suratul Nnas Mara 7
JINNI WA RANGI NYEUPE
1.Akiwa ni muislam anakuwaga mwepesi sana wa kutoka basis msomee mgonjwa Ayatul adhab na suratul Buruj
2.Akiwa mkristo msomee aya za zakum na Ayatul kursiy Mara 100 na suratul Baqarah aya 4 za mwanzo
Lakini kuna swali moja kubwa sana ambalo limebaki.Je utajuaje rangi ya majini?Rangi ya majini utajua kwa mambo yafuatayo.
1.Jinni akipanda umuulize rangi yake ijapokuwa dalili hii wanazuoni wanasema kwamba ni dhaifu sana kwasababu majini wana tabia ya uongo kwa hivyo sio ya kutegemewa sana.
2.Ndoto ..ambazo MTU anaota ni za muhimu Sana. Na ndo maana itamlazimu tabibu ambaye anamfanyia Tiba mgonjwa amuhoji kuhusu Ndoto ambazo huota.kwasababu zile rangi ambazo huwa unaziona ndotoni ni za muhimu Sana kukujulisha aina ya jinni au sihri ambayo inakusumbua mwilini mwako
Kwa wale wanaosumbuliwa na matatizo ya mashetani wa kijini na sihr na hasad tunafanya visomo vya Ruqya na pia tunatibu kwa madawa ya kisunna kwa uwezo wa Allah.
Kwa matibabu wasiliana nami kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254799659791 imo

NI NANI JINNI KIMARIS?Jinni huyu amewekwa kwenye namba 66 katika orodha ya majini 72 wa Nabii suleyman as na yeye huishi...
21/09/2021

NI NANI JINNI KIMARIS?
Jinni huyu amewekwa kwenye namba 66 katika orodha ya majini 72 wa Nabii suleyman as na yeye huishi kwenye giza kali kabisa na ni katika walinzi wa kuzimu.jinni huyu anaongeza takriban vikosi 20 vya kijinni na yeye hutawala katika bara la Afrika.Jina Kimaris limetoka kwenye jina K**AR
Maana yake ni moto au giza viumbe wengi ambao wako katika ulimwengu huo wa kijini humuita kuwa ni mungu wa giza au gods of darkness.Na yeye kazi yake kubwa jinni huyu ni kutambua na kuweka alama pahali hazina zimefichwa
Ifahamike kwamba kila jinni ana kazi yake na taaluma yake k**a vile sisi binadamu tulivyo na kuna zaidi ya makabila milioni 72,000,000 na ambao wana aina tofauti 640 na hao majini wana sihr ambayo imegawanywa katika sehemu 410 tofauti. Na wana ulimwengu wao ambao kuna mfalme wao ajulikanaye k**a LUCIFER.Na yeye anao walinzi wawili ambao ni SATANACHIA na AGALIA REPT hawa wako ulaya.Na pia kuna mwana mfalme au Crown prince katika ulimwengu huo ambaye hujulikana k**a BEELZEBUTH naye pia anao walinzi wawili ambao ni TARCHIMINACHE na FLEURETY hawa wanaongozaga Afrika Pia kuna mwingine anajulikana k**a ASHTSROTH naye anao walinzi wawili ambao ni SARGANATAS na NEBIROS.Kuna waziri mkuu katika ulimwengu wa kijini ambaye hujulikana k**a LUCIFUGE ROFOCALE.Kuna Amiri jeshi mkuu ambaye anajulikana k**a SATANACHIA nk.haya ni maelezo kwa ufupi kuhusu utawala wa ulimwengu wao.wakati ukipatikana nitaweza kuleta maelezo yake kwa ufupi
Kwa wale wanaosumbuliwa na matatizo ya majini wabaya mwilini mwao na hasad na sihr tunazitoa mwilini kwa kufanya visomo vya Ruqya na kutumia madawa ya kisunna kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Kwa matibabu wasiliana nami kwa namba zifuatazo
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254799659791imo
UAMINIFU NDO NGAO YETU NA TUNATIBU NAYE MWENYEZI MUNGU ANAPONYA

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI MGONJWA ANAFANYIWA TIBAAsalam alaykum warahmatullahi wabarakatu, ifahamike kwamba matatizo ya...
18/09/2021

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI MGONJWA ANAFANYIWA TIBA
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatu, ifahamike kwamba matatizo ya majini na sihr yameenea sana katika umma.na hata watu wengi ambao wanatumia uchawi au kutuma majini sio watu wa mbali na hata wengine ni wana familia.wakati mtu anapohitaji kufanyiwa tiba kuna mambo ya muhimu ya kuzingatia nayo nitayaeleza k**a ifuatavyo
✍️Ni lazima tabibu au sheikh ambaye anamfanyia tiba mgonjwa ili kumtoa majini au sihr ni lazima amfundishe au amkumbushe kwamba yeye k**a tabibu hana uwezo wa kumponya mgonjwa.aliyekuwa na uwezo huo ni Allah peke yake,kwa tabibu yeye ni sababu tu ya kupona kwake na pia aamini kwamba jambo lolote ambalo anapitia ni mitihani kutoka kwa Allah,Na pia umpe nasaha kwamba awe na subra katika kipindi hicho cha tiba na asije akamshirikisha Allah
✍️Jambo la pili ni lazima mgonjwa ajiondoe katika mambo yote ambayo yanapingana na dini na awe tayari kuacha mambo ya upuuzi k**a kusengenya au kuweka miziki na kusikiliza miziki kwa nyumba au kwenye simu yake.na afuate maagizo ya sheria ya dini kwa ukamilifu wake na pia azidhishe ibada zaidi na kumka usiku kuswali swala za usiku na kukaa na udhu wakati wowote na hata ni mwanamke yuko katika siku zake lakini lazima awe na udhu wa swala kila wakati
✍️Na jambo la mwisho lazima tabibu awe ni mjuzi wa kutambua kwa kupitia dalili kwamba mgonjwa ana tatizo gani mwilini mwake.ima ni hasad au ni majinni wabaya au sihr na pia awe na uwezo wa kutambua aina ya sihr au hasad kwa kukaa na mgonjwa kabla ya kuanza kumfanyia matibabu na kuanzia hapo atakuwa anajua anatibu kitu gani
Hayo ndo mambo ya kuzingatiwa kwa pande zote kabla ya matibabu.kwa wale ambao wanasumbuliwa na majini wabaya mwilini mwao au sihr au hasad ya aina yeyote tunatoa kwa kutumia visomo vya Ruqya na madawa ya kisunna
Kwa matibabu wasiliana nami kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 whatsapp
✍️+254756553838 whatsapp
✍️+254799659791 whatsapp/imo
TUNATIBU NAYE ALLAH ANAPONYA NA UAMINIFU NDO NGAO YETU

WAFALME 7 WA KIJINNI WA ARDHINI.Wafalme hawa saba wa kijini ndo ambao wanakuwaga ni hatari zaidi na pia nitaeleza kwa uf...
15/09/2021

WAFALME 7 WA KIJINNI WA ARDHINI.
Wafalme hawa saba wa kijini ndo ambao wanakuwaga ni hatari zaidi na pia nitaeleza kwa ufupi sehemu za mwili ambazo kila jinni huwa anashambulia k**a ifuatavyo
✍️Jinni Al Ahmar hushambulia kichwa na kizazi
✍️Jinni Barqan hushambulia mgongo.kila wakati kujihisi ukiwa mzito au k**a umebeba mizigo kila wakati
✍️Jinni Shamhurish yeye hushambulia kitovu.na mara nyingi kwa wanawake wakati tumbo linauma huwa wanahisi k**a linavuta kwenye kitovu
✍️Jinni murrah naye huwa anashambulia kwenye mlango wa kizazi na mara nyingi husababisha maradhi k**a vile saratani ya mlango wa kizazi
✍️Jinni Maymuna naye jini huyu anapoingia mwilini hushambulia sehemu za miguu na mara nyingi miguu kuwaka moto na kuwa na baridi wakati hamna baridi au kuhisi maumivu au k**a kuna vitu vinatembea au miguu kufa ganzi husababishwa na jinni huyu ambaye ni mkorofi sana
✍️Jinni Al Abyadh naye ni jini ambaye ni hatari zaidi ambaye huwa anashambulia mwili mzima.kuna watu ambao huwa wanaumwa na kila sehemu au kila kiungo cha mwili na maumivu hayo hupotea baadaye yenyewe.na huja kwa wakati maalum na kuchoka bila kufanya kazi ngumu na pia kuwa wavivu sana
Na pia katika majinni hao wana wasaidizi wao na nitaeleza kwa mfano tu k**a ifuatavyo
✍️Mudhhib... Damriat/Tamriat
✍️ Maymuna...Maniq/shaniq
✍️Barqan......... Wahdelbadj
✍️Al Ahmar..... Sughal nk
Hao majini saba ndo hujulikana k**a ملوك الأرضية muluk Al Ardhiyah
Kwa matibabu au ushauri au maoni wasiliana nasi kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 Whatsapp
✍️+254756553838 Whatsapp
✍️+254799659791 Whatsapp/imo

MKUU WA MAJINI ANAITWA NANI?Asalam alaykum warrahmatullah wabarakatuhMkuu wa majini anajulikana k**a sumayyi ambaye mwen...
15/09/2021

MKUU WA MAJINI ANAITWA NANI?
Asalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh
Mkuu wa majini anajulikana k**a sumayyi ambaye mwenyezi Mungu alimuumba miaka 2000 kabla ya Nabii Adam kuumbwa . Ibn kathir kwenye Tafseer al Quran Atheem vol 1 ukurasa wa 108 anatueleza habari hizo.Na baada ya kuumbwa mwenyezi Mungu akamwambia kwamba amuombe kile kitu ambacho anatamani afanyiwe.Ndipo huyo Sumayyi akamwambia Allah kwamba anatamani afanyiwe mambo 3
✍️Akasema kwamba""sisi majini tunataka tuone kila kiumbe lakini wao viumbe wasituone
✍️Pili akamwomba kwamba wao wapewe idhni wawe na uwezo wa kupiga bizi hadi tabaka la chini la dunia
✍️Na jambo la tatu akamwomba mwenyezi Mungu kwamba waruhusiwe wakizeeka wawe wanarudi kuwa wadogo tena
Na ndio maana majini wao hatuwezi tukawaona kwa maumbile ambayo mwenyezi Mungu aliwaumba nayo.ila hujibadilisha na kuwa mfano wa viumbe wengine k**a nyoka au mbwa au binadamu ni
Na pia majini wana uwezo wa kupaa na kusafiri Sehemu yeyote duniani
Na pia majini wana uwezo wa kujirudisha kuwa wadogo na kuishi miaka mingi sana duniani.majini wana uwezo wa kijikoboa k**a vile nyoka hujikoboa kwa kujitoa ngozi yake hivyo ndivyo majini wanakuwaga
Kwa wale wanaosumbuliwa na matatizo ya mashetani wa kijini na Hasad na Sihr tunafanya visomo vya Ruqya ili kuyaondoa hayo matatizo na pia tunatibu kwa kutumia madawa ya kisunna kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Kwa wale ambao wanaotaka dawa za kutoa hayo matatizo wawasiliane nami kwa namba zifuatazo
✍️+254708995244 whatsapp
✍️+254756553838 whatsapp
✍️+254799659791 whatsapp/imo
TUNATIBU NAYE ALLAH ANAPONYA

Address

Imara Daima
Nairobi South

Telephone

+254799659791

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tahta shajara Herbalist &jinni Research Center posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tahta shajara Herbalist &jinni Research Center:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram