Tiba Asili -Natural herbal medicines.

Tiba Asili -Natural herbal medicines. Habari mpendwa... ? Tunakukupenda
tumejitolea kutoa huduma za Kiafya kupitia njia ya Asili, Karibu.

04/04/2025

Hello

Like ata 6..nije kukufunza
31/10/2024

Like ata 6..nije kukufunza

Tumieni Tiba Asili πŸ™πŸ™πŸ™ African Jitambie
22/10/2024

Tumieni Tiba Asili πŸ™πŸ™πŸ™
African Jitambie

22/10/2024

mwenye miwasho ya fangasi sehemu za siri, tafuta bicarbonate of soda

Chukua dumu la maji safi lita tano, tia glass moja ndogo au vijiko vitano vya unga wa bicarbonate of soda kisha yaache kwa muda wa dakika 30

Utakuwa unajisafisha sehemu za nje zenye muwasho kwa kutumia maji hayo, yakiisha unaandaa mengine.

Fanya hivi kwa siku 7 hadi 14 muwasho hupotea

K**a unatokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni, maumivu ya nyonga, maumivu chini ya tumbo, kutoa uchafu wa njano n.k

Andaa.. Unga wa maganda ya parachichi vijiko 2,.. Unga wa mbegu za mlonge vijiko 2,.. Unga wa maganda ya ndizi [mbichi/mbivu] vijiko 2,.. Unga wa habbat sawda vijiko 2,.. Unga wa vitunguu swaumu vijiko 2, na Unga wa uwatu vijiko 2 [vitu hivi unaweza kuandaa mwenyewe au kuvitafuta katika maduka ya tiba asili]

Changanya vyote kwa pamoja kwenye sufuria au kontena kisha mimina ASALI mbichi Pure taratibu huku ukikoroga mpaka lita nzima iishe k**a una blenda unaweza kutumia ili ikusaidie kuikoroga vizuri, k**a huna blenda koroga mpaka ikolee

Utalamba vijiko viwili vya dawa asubuhi, mchana na jioni k**a huna muda mchana basi tumia vijiko vitatu asubuhi na vijiko vitatu usiku…. Mfululizo kwa siku 14 mpaka 21 utakuja kunipa mrejesho wako

Matatizo haya ya Fangasi, U.T.I na P.I.D ni sugu ukiwa mtu wa kulialia tu bila kuchukua hatua....

Pendelea kunywa mtindi, kunywa maji ya kutosha, kuwa msafi binafsi, mume k**a ana U.T.I asikusumbue na tendo mpaka apone otherwise atumie kondom, achana na sukari na nafaka za kukobolewa...

Weka jitihada, usisubiri miujiza, kupona sio gharama, ni kuupa mwili kilicho sahihi na usafi wa kila siku haswa nguo za ndani

Usiache kumfundisha rafiki yako pia ninayo habari njema

K**a umehangaika na Fangasi au matatizo ya hedhi na uzazi kwa muda mrefu, tunayo
DAWA ASILI , CALL πŸ€™ 0701485054

Hii ni maalumu kwa wewe unayetaka kusafisha mirija ya uzazi, kutoa uchafu kwenye kizazi, makovu kwenye

Tiba Asili Ni Afya ya uhakika
17/10/2024

Tiba Asili Ni Afya ya uhakika

Nimewaletea hii tiba kwa Roho safiii πŸ™
02/10/2024

Nimewaletea hii tiba kwa Roho safiii πŸ™

Dawa ya Kisukari ya Figo hiyo hapoo Chukua hiyo mizizi ya huo mti Chemsha ..changanya Na Habati soda Kunya Grace moja Ma...
29/05/2024

Dawa ya Kisukari ya Figo hiyo hapoo

Chukua hiyo mizizi ya huo mti
Chemsha ..changanya Na Habati soda

Kunya Grace moja Mara 3 kwa siku 20 Tu πŸ™πŸ™πŸ™

HAMNA UGONJWA WOWOTE UTAISHI MWILINI UKITUMIA VIZURI HUU MMEA "SEAMOSS/MWANI".HUU MMEA UNA SIRI KUBWA YA KUPAMBANA NA CH...
28/05/2024

HAMNA UGONJWA WOWOTE UTAISHI MWILINI UKITUMIA VIZURI HUU MMEA "SEAMOSS/MWANI".HUU MMEA UNA SIRI KUBWA YA KUPAMBANA NA CHANZO CHA MAGONJWA KATIKA MWILI WA BINADAMU.

BEI ZA MWANI NA BIDHAA ZA MWANI
Unga wa mwani saltfree Β½kg =30,000
Unga wa mwani salty Β½kg =25,000
Mmea halisi wa mwani pack kubwa =20,000Tsh
Mmea halisi wa mwani pack ndogo =15,000
Gel ya mwani =25,000Tsh
Mafuta ya mgando mwani =10,000 ,15,000
Lotion za mwani =15,000 (100mls),30,000Tsh (250mls)
Sabuni ya mwani = 3000Tsh

↓↓SOMA KWA MAKINI↓↓

Ukitumia vizuri mwani/seamoss k**a moja ya vyakula katika ratiba zako za mlo hamna ugonjwa wowote utaishi mwilini mwako.Mwani una madini mhimu 92 na mwili wa binadamu unahitaji madini mhimu 102,mwani una kiwango kikubwa cha madini kwa pamoja kuliko mmea wowote DUNIANI na ulianza kutumika kwa tiba toka Karne ya 18.

SIRI YA CHANZO CHA MAGONJWA NA KAZI YA MWANI/SEAMOSS KATIKA KUZUIA MAGONJWA

Katika tafiti za wakongwe wa tiba za asili wamebaini kuwa k**asi/mucus na asidi/acid mwilini ndio sababu kubwa ya mazingira ambayo husababisha vimelea vya magonjwa k**a virusi,bacteria nk kuishi na kusababisha magonjwa mbali mbali katika mwili.Moja kati ya kazi kubwa na mhimu ya mwani ni kuondoa hali ya uk**asi/mucus mwilini na kuondoa hali yoyote ya chanzo cha uvimbe ambavyo ndio sababu kubwa ya magonjwa.Mwanj una kiwango kikubwa cha madini ya Iodine ambayo husaidia kuondoa hali yoyote ya uk**asi ambayo hupelekea magonjwa mengi.Kiuhalisia ukiweza kuweka mwili wako uwe na kiwango sahihi cha alkali na kuondoa mazingira ya uk**asi na acid basi hamna ugonjwa wowote utaishi mwilini mwako,katika mimiea na vyakula mwani umekua na kiwango cha juu na sahihi cha alkali ambayo huuweka mwili katika hali ya alkaline na kuzuia vimelea na uvimbe wowote unaweza kujitokeza na kusababisha magonjwa.

**********MWANI/SEAMOSS**************
Ukitumia vizuri mwani sababu ya kifo kwako itabakia kuwa umri,ajali,kupigwa risasi na sababu nyingine ila sio magonjwa,hamna ugonjwa utaishi mwili

Address

6224-003000
Nairobi
6224

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba Asili -Natural herbal medicines. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tiba Asili -Natural herbal medicines.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram