Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

Sharff tiba za kisunna na majini wabaya Jifunze tiba za kisunna na jinsi ya kujikinga na majini wabaya na uchawi kupitia page yetu karibun sana

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته....FUNGUZI KUBWA ...K**a unavifungo vikubwa vya kijini au kichawi katika kazi zako au bia...
23/09/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته....
FUNGUZI KUBWA ...
K**a unavifungo vikubwa vya kijini au kichawi katika kazi zako au biashara yako au katika nyota yako au mwili kwa ujumla basi hili kombe linakufaa kwa uwezo wa Allah utafunguka vyote In shaa allah....

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاتهKinga Kubwa
16/09/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته
Kinga Kubwa

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....KINGA KUBWA ....Ndugu zangu leo nawapatia kinga hii kubwa dhidi ya uchawi na majini k...
04/06/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....
KINGA KUBWA ....
Ndugu zangu leo nawapatia kinga hii kubwa dhidi ya uchawi na majini katika bishara yako au nyumba yako...
Andika karatasi nyeupe nne kwa wino mwekundu na kisha utachukua chupa nne nyeusi ndogo na utaweka karatasi hizo katika chupa moja moja karatasi nne katika chupa nne kisha utaweka katik kila karatasi sindano 7 saba ....
Kisha utazifukiza chupa hizo huku ukisoma dua hiyo ilio andikwa katika karatasi hiyo ....
Kisha utazika chupa hizo katika kona nne za nyumba yako kwa manuizi ya kinga ..
Basi kwa kufanya hivyo kwa uwezo wa Allah hakuna mchawi wala jini mbaya ataingia katika mji wako in shaa allah....
ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI.... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته....FUNGUA VIFUNGO VIKUBWA...Andika kombe hili katika sahani nyeupe isiyo na michoro siku ...
30/05/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته....
FUNGUA VIFUNGO VIKUBWA...
Andika kombe hili katika sahani nyeupe isiyo na michoro siku ya ijumaa nakisha utaifukiza na ubani makka na jawi kisha utasoma bismillahi mara 100 ...
Kisha utailoweka kwenye maji na utatumia kunywa na kuoga kwa siku 14 na utaoga nje au sehemu isiyo ingia najsi .....
Kwa kufanya hivyo basi kwa uwezo wa Allah utafunguka vifungo vya kijini au kichawi ....
ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....KUFUNGUA VIFUNGO....Ndugu zangu leo nawapa faida nyingine tena andika kombe hili na k...
15/05/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....
KUFUNGUA VIFUNGO....
Ndugu zangu leo nawapa faida nyingine tena andika kombe hili na kisha uloweke kwenye maji ya mvua ya katikati utaandika siku ya ijumaa muda wowote....

Basi kombe hilo litakua na nguvu ya ajabu kufungua vifungo vyote vya kichawi na kijini na pia kufungua nyota na kuondoka mikosi kwenye mwili wako au biashara yako...

Utakunywa na kujipaka mara mbili asubuhi na jioni kwa muda wa siku 14 na ikiwa kwenye biashara basi kuna dawa zinawekwa unachanganya kumwaga kwenye biashara yako kilasiku asubuhi kabla ya kuanza kazi...

In shaa allah kwa uwezo wa Allah utafunguka na na kuleta mvuto kwenye mwili wako au biashara yako...

ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....MAHABBA MAKUBWA SANA....Andika talasim hii kwa kalamu ya kawaida lakini isiwe kalamu ...
19/04/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....
MAHABBA MAKUBWA SANA....
Andika talasim hii kwa kalamu ya kawaida lakini isiwe kalamu nyeusi tu. Utaandika siku ya Alhamis au Jumapili muda mzuri...

Kisha utaifukiza na mushraka na jawi nyukundu au nyeusi na kuzbara ... Kisha utaiweka sehem husika kulingana na nyota ya mkusudiwa ..

K**a mkusudiwa ananyota ya moto basi utazika kwenye mafiga yanayo tumika na k**a ni udongo basi utazika kizingitini mwa mlango wake au njia panda au kaburini na k**a hewa basi itundike juu na k**a maji utaizika kwenye chanzo cha maji.

Kwa kufanya hivyo basi kwa uwezo wa Allah huyo mkusudiwa atakua na mapenzi makubwa juu yako na kutii amri zako na kukutimizia haja zako kwa idhini ya Allah IN SHAA ALLAH...

ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته...KUMUANGAMIZA ADUI ... ....(MUOGOPE ALLAH FANYA HAKI)....ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharf...
15/04/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته...
KUMUANGAMIZA ADUI ... ....(MUOGOPE ALLAH FANYA HAKI)....

ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته......MAJINA YA BIRRHATI.... KUKIDHIWA HAJJA...Majina ya Birrhati ambayo ndy utamshi sahih...
13/04/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته......
MAJINA YA BIRRHATI.... KUKIDHIWA HAJJA...

Majina ya Birrhati ambayo ndy utamshi sahihi lakini wengi wamezoea kutamka Barahati ni majina ya mungu yalio tajwa kwa lugha ya kusurian au kiibrania na yote majina 28 ambayo yote ukiyatafsiri utayapata kwenye yale majina 99 ya Allah...

Na angalizo ambalo wengi wanadanganya na kupoteza watu kua ni majina ya majini au malaika au makhudamu wa kijini HAPANA ... SIO SAHIHI na ushahidi wa hili utaupata katika vitabu vingi sana moja wapo ni kitabu cha MAMBAU USUULIL HIKMA...

Dua hii ni yenye nguvu na majibu ya haraka kwa kilakitu waweza kufanyia kila kazi au kukidhiwa kila haja.... na utaisoma kwa kutaja kila jina mara mbili mbili k**a ilivyo andikwa hapo ..

Soma dua hii mara 11 kilasiku baada ya swalatu subhi. Basi itakusaidia katika kufungua rizki...

Soma dua hii Mara 21 kila siku asubuhi basi utafaida faida nyingi ikiwemo faida tulio itaja mwanzo na pia utapata ulinzi mkubwa kutoka kwa Allah subhanallah wa taala ....

Soma mara 45 kilasiku asubuhi basi utakua umepata faida nyingi zaidi ya elfu moja ikiwemo hizo tulizo zitaja hapo.... Na nyingine nyingi...

ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI.... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....KINGA KUBWA ....Andika talasim hii kwa wino mwekundu ukichanganya na mweusi na kisha ...
28/03/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....
KINGA KUBWA ....
Andika talasim hii kwa wino mwekundu ukichanganya na mweusi na kisha utafukiza na ubani jawi na dhukra huku unaisomea suratul Yaasin mara 11 au 21. Basi kwa uwezo wa Allah utakua na kinga kubwa k**a ni duka au biashara yako basi utaitundika kwenye mlango au utaweka kwenye droo ya pesa na k**a ni nyumba basi utaiweka kwenye paa la nyumba nak**a ni kinga ya mwili basi utaindika kwa zafarani na kuifukiza k**a kawaida na kuisomea k**a kawaida na kisha utailoweka na kunywa na kupaka kwasiku 14 mfululizo .... In shaa Allah kwa uwezo wa Allah atakukinga na kila aina ya mabalaa ....
ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....KUKIDHIWA HAJA YOYOTE...Andika talasim hii katika karatasi nyeupe kwa kutumia zafaran...
25/03/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....
KUKIDHIWA HAJA YOYOTE...
Andika talasim hii katika karatasi nyeupe kwa kutumia zafarani nyekundu na rose water na misk kisha utaifukiza na ubani jawi na kandari na zukhura huku ukiisomea dua ya Sabas alkubra..
In shaa allah utakidhiwa haja yako yoyote utakayo ikiwa ni mapenzi au kazi au kuazima kitu au kuuza nyumba au gari au kiwanja kiufipi ni haja yoyote utakayo wewe in shaa allah ukifanya hivyo utajibiwa kwa haraka sana ...
ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....MOJA YA SIRI ZA KUPENDWA NA WATU ...Andikwa talasim hii sikubya alhamis kwa zafarani ...
16/03/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.....
MOJA YA SIRI ZA KUPENDWA NA WATU ...
Andikwa talasim hii sikubya alhamis kwa zafarani na maji waridi na kisha utaifukiza na ubani jawi na kutembea nayo kila unapo kwenda in shaa allah kwa uwezo wa Allah utapendwa kila mahali unaenda.....
ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI.. Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته...KOMBE YA BARAKA NA BAHATI ...Andika kombe hili kwa kutumia zafarani nyekundu na kisha u...
13/03/2025

أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته...
KOMBE YA BARAKA NA BAHATI ...
Andika kombe hili kwa kutumia zafarani nyekundu na kisha utalifukiza kwa ubani utaliwe katika nyumba yako au sehemu ya biashara au unaweza kuroweka na kunywa na kujipaka... In shaa allah kwa uwezo wa allah utakua na baraka na kheri nyingi kwako katika biashara au nyumba yako au wewe mwenyewe IN SHAA ALLAH...
ALLAH NDIO MJUZI ZAIDI... Sharff tiba za kisunna na majini wabaya

Address

Mudybakuza@gmail.com
Nairobi
00100

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sharff tiba za kisunna na majini wabaya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram