Qwetu Health Clinic

Qwetu Health Clinic We treat all chronic illnesses such as sexual transmitted infections ,stomach ulcers ,Men weaknesses

🚫⛔ Testicular disorders!Listen, issues with your testicles can affect your overall health including fertility and perfor...
28/05/2025

🚫⛔ Testicular disorders!

Listen, issues with your testicles can affect your overall health including fertility and performance anxiety [ s*x]

Testicular pain, swelling, lumps, or changes in size could be signs of various conditions... Such as
- Testicular torsion
- Varicocele
- Hydrocele
- Epididymitis
-Testicular torsion
-Testicular swelling
-Orchids
-Spermatocele
-Testicular pain
-Undescended testicles
-Abdominal/groin pain
-Hypogonadism
-Blood in semen
-Cysts and bruising in sc***um.

visit us for consultations and treatment to book your appointment reach us through 0719309080

18/03/2025

SIDE EFFECTS OF MASTURBATION/MADHARA YA KUPIGA PUNYETO

1.LOW SPERMCOUNT;
matatizo ya kuwa na mbegu za uzazi ambazo ni hafifu na ambazo hazitoshi ili kuwa na uwezo wa kuzalisha

2.PREMATURE EJ*******ON;
kumaliza tendo la ndoa kwa haraka na kwa muda mfupi bila ya hiari yako binafsi.

3.ERECTILE DYSFUNCTION;
kukosa nguvu za kusimamisha uume wako na pia unasimama kwa ulegevu.

4.PENILE ASTROPHY/MICROPENIS
kupunguka kwa urefu na upana wa kiungo cha kiume

5.VENOUS LEAKAGE
kutoa mbegu za kiume bila ya hiari yako haswa unapoenda haja kubwa.

6.GUILTY;
ile hali ya kujichukia baada ya kumaliza kusifurahisha.

7.INFERTILITY;
kwa asilimia(15%) punyeto inachangia ukosefu wa uwezo wa kuzalisha kwa vile mbegu za kizazi zimekuwa hafifu na kupungua.

8.DEPRESSION/STRESS.
kwa sababu ya hisia za kujichukia mwathiriwa anaweza jipata katika ile hali ya kutojiona wa dhamana na hivyo kuwa na matatizo ya kiakili

9.LOW TESTOSTERONE HORMONE;
viwango vya hormoni ya kiume zinapunguka kwa kiasi kikubwa kwa hivyo kuchangia mabadiliko katika mwili wa mwanaume.

*patients on DIABETES or high blood pressure medication are at a high risk of developing low libido problems
Delivery 🚚 country wide

For enquires, contact us through WhatsApp or calls 0719309080

17/01/2025
17/01/2025

What is gastritis?
⛔Gastritis is an inflammation of the protective lining of the stomach.

Acute gastritis involves sudden;
👉severe inflammation.

Chronic gastritis involves long-term
👉 inflammation that can last for years if it’s left untreated.Gastritis doesn’t cause noticeable symptoms in everyone. The most commonTrusted Source symptoms are:

Erosive gastritis is a less common form of the condition. It typically doesn’t cause much inflammation, 👉but it can lead to bleeding and ulcers in the lining of the stomach

🛑Gastritis doesn’t cause noticeable symptoms in everyone. The most commonTrusted Source symptoms are:

⛔nausea
⛔vomiting
⛔A feeling of fullness in your upper abdomen, particularly after eating
⛔Indigestion

🛑Erosive gastritis symptoms, including:

⛔Black, tarry stool
⛔Vomiting blood or material that looks like coffee grounds

27/10/2024

Erectile dysfunction is the inability to sustain an er****on satisfactory for s*xual in*******se.

⛔Most erectile dysfunction is related to vascular, neurologic, psychologic, Testicular disorders,chronic Ma********on, hormonal disorders; drug use can also be a cause.

Most common causes of Erectile Dysfunction are;
🛑Chronic Ma********on
🛑Diabetes
🛑HBP
🛑Thyroid diseases etc.
🛑 Testicular disorders

Worry not we have effective treatment for the mentioned problems

Delivery 🚚 country wide

For enquires, contact us through WhatsApp or calls 0719309080

30/09/2024
DR JANET 0719309080GASTRITIS \VODONDA VYA TUMBO Kwa muhtasati kidonda cha tumbo au duodenal ni jeraha la kina au kidonda...
01/07/2024

DR JANET 0719309080

GASTRITIS \VODONDA VYA TUMBO

Kwa muhtasati kidonda cha tumbo au duodenal ni jeraha la kina au kidonda ambacho hutokea kwenye utando wa ndani wa tumbo au sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo inayoitwa duodenum. Hutokea kutokana na kuvimba kwa muda mrefu kwa ukuta huu unaopendelewa na bakteria wanaofahamika k**a helicopter pillory wanaopatikana kwenye njia ya utumbo.

Tumbo ni moja ya viungo vinavyounda mfumo wa usagaji chakula, jukumu lake ni kusaga chakula na kukihamisha kwenye utumbo. Liko upande wa kushoto wa tumbo chini ya mbavu na sehemu iliyofichwa na ini na diaphragm.

Tumbo huenea kusambaa hadi kwenye duodenum: limeunganishwa na umio, kwa ajili ya kuingizwa kwa chakula, na kwenye utumbo mdogo kwa ajili ya kutoa chakula kwenye tumbo.

Kuna suluhu.

ERECTILE DYSFUNCTION (ED)Is a situation when a man cant get or sustain an er****on firm enough for s*xual in*******se. T...
26/05/2024

ERECTILE DYSFUNCTION (ED)
Is a situation when a man cant get or sustain an er****on firm enough for s*xual in*******se. This is normally as a result of insufficient flow of blood to the pe**le spongy tissues as a result of shrinking of the blood vessels (internal pudendal artery) responsible for this particular function. Factors that contribute to this situation include:
~Heart diseases
~High cholestrol
~Diabetes
~Substance abuse (alcoholism, cathinone in khat)
~Obesity
~High blood pressure
~Performance Anxiety (Stress, depression)
~ Age (^70)
Qwetu Health Clinic we sort out erectile dysfunctional and all impotence related health issues. Visit us at Alingo plaza 2nd floor room c7 along Naivasha road.call when at Faulu bank.

Nairobi CBD along Moi Avenue call when at Kenya cinema plaza.
0719309080

BAWASIRI,AINA ZAKE,CHANZO,DALILICALL/ Whatsapp 0719309080Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwaUgonjwa ...
12/04/2024

BAWASIRI,AINA ZAKE,CHANZO,DALILI
CALL/ Whatsapp 0719309080

Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.

Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.

Kuna aina kuu mbili za bawasiri :
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.
Bawasiri hii ya ndani ndio bawasiri mbaya kabisa kwa sababu ni vigumu mgonjwa kujitambua kua anatatizo na hii inatokana na tabia ya bawasiri yandani kutokua na maumivu wakati inaanza.

SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI

Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;

(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.

Bawasiri iliyotokeza nje katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

ATHARI ZA BAWASIRI
* Upungufu wa damu mwilini
* Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
* kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
* kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
* kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
* Kupata tatizo la kisaikolojia

NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI

* Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
* kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
* Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
* Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

AINA ZA BAWASIRI

{1}BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne

DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.

DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia

DARAJA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI
~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili
~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
~TATIZO SUGU LA KUHARISHA
~UJAUZITO
~UZITO MKUBWA
~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

📌Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

📌Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

📌kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

📌kupata kinyesi chenye damu

📌kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

JINSI YA KUEPUKA na ugonjwa wa bawasiri

📌ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

📌KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU

📌EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

📌KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

📌KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

📌HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

📌HUATHIRI KISAIKOLOJIA

📌MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
✍ hayo ni mambo ya msingi sana kuyajua

KWA MAHITAJI YA DAWA 📞📞📞0️⃣7️⃣1️⃣9️⃣3️⃣0️⃣9️⃣0️⃣8️⃣0️⃣

DAWA UTATUMIWA POPOTE ULIPO PIA DAWA UTAIPATA KWA BEI NAAFUU KABISA HUNA HAJA YA KUFANYIWA OPERESHENI YA BAWASIRI KWANI MARA NYINGI BAWASIRI HURUDI TENA PINDI INAPOFANYIWA OPERESHENI..

Bawasiri humpata MTU yeyote katka umri wowote

Address

Kawangware
Nairobi

Telephone

+254719309080

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Qwetu Health Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Qwetu Health Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram