AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NI MTAJI, Medical and health, WATETEZI WA AFYA YA JAMII, Nairobi.

*Je, Unajua..?* Kila unachoweka kwenye sahani yako leo kina uwezo wa kukuponya... Au kukuharibu kimya kimya kwa miaka mi...
31/07/2025

*Je, Unajua..?*

Kila unachoweka kwenye sahani yako leo kina uwezo wa kukuponya... Au kukuharibu kimya kimya kwa miaka mingi bila kugundua...!?😟

↳ Lishe duni siyo tu inakuumiza tumboni—inaweza hata kukufunga uzazi bila dalili za haraka....

↳ Chagua chakula hai (organic food)—kile kilichojaa uhai kutoka ardhini, siyo viwandani...

↳ Kula mboga mboga mbichi, matunda safi, nafaka zisizokobolewa, mbegu, njugu, na vyakula vya mimea...

↳ Epuka junk food zilizojaa kemikali, sukari nyingi, na mafuta mabaya— Ni adui mkubwa wa afya ya uzazi na kinga ya mwili...

*NB:* Kumbuka pia kufanya detoxification mara kwa mara— Ondoa sumu mwilini na Itakusaidia kuimarisha Hormone imbalance, Kwa wale wenye Uzito kupitia kiasi (Obesity) N.K

Afya yako ya kesho inaanza na sahani yako ya leo.

Kwa mahitaji ya huduma na ushauri usikose kufuatilia page yetu

11/01/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Msafiri Nankaranga, Raphael Mondelo Mwachangula Luganga, Clement Midelo, Hassan Hamisi, Riziki Adan, Abdallah Shabani Nyakwezi, Prince Fey, Fadher Onecy, Francisca Mwamkinga, James Litunda, Juliana Kuhenga, Elias Stephano, Kiega Mtumwa, Lightness Paul Mdeke, Barakh Sarehe, Steve Karis, Governor Anne Mumbi Waiguru, Peter Kasyoki, Bildad Nathan, Maulidi Thabiti, Sanja Hatwabyy, Lameck Aron, Rahmu Karumbi, Nafikahedi Makange, Zulea Mulombi, Vaileth Tety, Elbety Exavely, Maliam Mkumba, Fabian Shigela, Nathalie Msagath, Hasan Mola, Aisha Mwindila, Chritine Ana, Leen Njoki Musicians Musicians, Abraham Luiham Koola, Justine Mwandoe, Bahubali Taylor, Preface Lukeke, Jey Junior, Harry Kane, Noëlla Hakizimana, Neserian Christopher, Maria Nicholaus, Evariste Waimani Iteriteka, Festus Randu, Layzer Tz, Fathuma Loddy, Riziki Safari, Federico Cole Cole Cole, Honest Boy

*Je! Unajua detoxilive caps inagusa maisha ya kila siku na kila mmoja ...?*Products hii inawalenga watu hawa 👇⭕️MTU AMBA...
14/11/2023

*Je! Unajua detoxilive caps inagusa maisha ya kila siku na kila mmoja ...?*

Products hii inawalenga watu hawa 👇

⭕️MTU AMBAYE ANASHIDA YA KUONDOA SUMU MWILINI.
(Hapa kila mtu hataki sumu mwilini mwake)

⭕️MTU MWENYE SHIDA YA INI.
Hapa bora kuondolewa tumbo la chakula utaishi ila sio ini lipate shida
Sasa products hii inafanya kazi vizuri sana

⭕️MTU MWENTE SHIDA YA MAFUTA KUJAA KWENYE MISHIPA YA DAMU. n.k.
Hapa hakuna anayetaka pressure wala sukari

⭕️MWENYE SHIDA YA GOUT
Hapa hakuna anayetaka shida ya uric acid mwilini mwake
Hii products inaondolea mbali kabisaa shida hizi

⭕️MWENYE SHIDA YA KUPUNGUZA KITAMBI
Hii products inasifa hizo za kuchoma mafuta mabaya na kukuacha uko safi

⭕️MTUMIAJI SIGARA NA POMBE KWA UWINGI
Hii huwasaidia watu wenye shida ya ulevi na hupelekea kupata shida za figo na ini
Mlevi sana atumie hii anajisikia vizuri na kupunguza Ulevi wake.

⭕️MTU MWENYE SHIDA YA KUSAHAU NA KUTOPATA USINGIZI MZURI/KWA WAKATI
Hii Husaidia mtu mwenye shida za KUSAHAU kutokana na mzunguko hafifu wa damu chakula kwenye ubongo

⭕️MTU MWENYE SHIDA YA NGOZI
Kutokana na uwezo wake wa kuondoa sumu mwilini basi hukuacha na ngozi nyororo

⭕️KWA WATU WENYE SHIDA YA UZAZI HUFANYA KAZI KUMALIZA TATIZO HUSIKA KWA JINSIA ZOTE.

UNAWEZA FIKA OFISINI KWETU KWA KUPIGA SIMU/Whatsapp +254741705754

*JUISI YA BEETROOTS HUREJESHA AFYA KWA HARAKA. FAIDA 7 ZA BEETROOT.*___________________________Juisi ya beetroot ni moja...
14/11/2023

*JUISI YA BEETROOTS HUREJESHA AFYA KWA HARAKA. FAIDA 7 ZA BEETROOT.*
___________________________
Juisi ya beetroot ni moja kati ya kinywaji Bora sana ambacho, unapaswa kukihusisha katika mlo wako bila kuchelewa. Endelea mpaka mwisho ili ufahamu faida zote unazoweza kunufaika na zo kwa njia ya juisi hii.

Je! unaifurahia juisi ya beetroot?
Ulimwenguni kote Juisi ya beetroot imeanza kujitwalia umaarufu mkubwa kwa miaka kadhaa sasa, kutokana na Faida zake za moja kwa moja unazoweza kuzipata. Ni ni kw sabbu ndani yake kuna Vitamins nyingi madini, na antioxidants (Kemikali viua sumu). Beetroot yaweza kukusaidia kwa zaidi ya njia moja. Ina kiwango kikubw cha betalains, kemikali maridhawa kwa afya yako.

Unawdza kupata manufaa mengi sana kwa kunywa juisi ya beetroot, manufaa makubwa yanakuja kutokana na kukuepusha kabisa dhidi ya upungufu wa virutubisho mbalimbali. Bila kupoteza muda tuangalie faida za kiafya za juisi hii. moja baada ya nyingine.

Japokuwa juisi ya beetroot ladha fulani isiyo vutia, lakini ina habari kubwa sana katika usalama wa afya yako. Wingi wa vitamins na madini ni sabbu tosha ya kuleta manufaa makuu ya kiafya. Ina virutubisho na madini k**a copper,folate,manganese na mengine kibao ndo maana unapata Faida zifuatazo:

*1.Kushusha kiwango cha presha ya damu*.
K**a unasumbuliwa na tatizo la presha ya kupanda, ni muhimu sasa ufikilie kuhusisha beetroot katika mlo wako. Beetroot ina kiwango kikubwa cha Nitric oxide, moja ya molecule muhimu ambayo hulegeza mishipa ya damu, ili damu itiririke vizuri, hivyo kushusha presha ya damu. Utafiti uliochapishwa katika jarida la Journal of nutrition umedhibitisha kuwa, unywaji wa juisi ya beetroot, unafanya kazi nzuri katika kudhibiti presha ya kupanda.

*2.Huongeza uwezo kwa wakimbiaji wa riadha*.
Kiwango cha nitrate oxide ndani ya beetroot na betalains, husaidia kujenga uwezo mkubwa wa kukimbia katika riadha. Utafiti mwingine uliochapishw katika jarida la Journal of Applied physiology Lilonesha Wazi

14/11/2023

JALI SEHEMU YA MWILI WAKO:

1. *TUMBO* hujeruhiwa wakati huna kifungua kinywa asubuhi.

2. *FIGO* hujeruhiwa wakati hunywi hata glasi 10 za maji ndani ya masaa 24.

3. *KITUNZA NYONGO* hujeruhiwa wakati ambao hulali hadi saa 11 na hauamki mapema.

4. *UTUMBO MDOGO* hujeruhiwa unapokula chakula baridi na kichakavu.

5. *UTUMBO MAKUBWA* hujeruhiwa unapokula vyakula vya kukaanga na vikali zaidi.

6. *MAPAFU* hujeruhiwa unapovuta moshi wa sigara na kukaa katika mazingira machafu ya sigara.

7. *INI* hujeruhiwa unapokula vyakula vya kukaanga, vyenye kemikali (vikali).

8. *MOYO* hujeruhiwa unapokula mlo wako kwa chumvi na kolesteroli nyingi zaidi(mafuta ambayo siyo mazuri yanayoganda).

9. *KONGOSHO* huumia unapokula vitu vitamu kwa sababu ni vitamu kwenye kongosho pia hupatikana sukari.

10. *Macho* hujeruhiwa unapofanya kazi kwenye mwanga wa simu ya mkononi na skrini ya kompyuta gizani.

11. *Ubongo* unaumia unapoanza kuwaza mawazo hasi

*Sehemu hizi hazipatikani Sokoni. Zinapatikana mwilini kwetu so Tujali afya zetu kila mtu awe resposible.*

Address

WATETEZI WA AFYA YA JAMII
Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share