
31/07/2025
*Je, Unajua..?*
Kila unachoweka kwenye sahani yako leo kina uwezo wa kukuponya... Au kukuharibu kimya kimya kwa miaka mingi bila kugundua...!?😟
↳ Lishe duni siyo tu inakuumiza tumboni—inaweza hata kukufunga uzazi bila dalili za haraka....
↳ Chagua chakula hai (organic food)—kile kilichojaa uhai kutoka ardhini, siyo viwandani...
↳ Kula mboga mboga mbichi, matunda safi, nafaka zisizokobolewa, mbegu, njugu, na vyakula vya mimea...
↳ Epuka junk food zilizojaa kemikali, sukari nyingi, na mafuta mabaya— Ni adui mkubwa wa afya ya uzazi na kinga ya mwili...
*NB:* Kumbuka pia kufanya detoxification mara kwa mara— Ondoa sumu mwilini na Itakusaidia kuimarisha Hormone imbalance, Kwa wale wenye Uzito kupitia kiasi (Obesity) N.K
Afya yako ya kesho inaanza na sahani yako ya leo.
Kwa mahitaji ya huduma na ushauri usikose kufuatilia page yetu