16/04/2025
πππππ ππππ πππππ πππππππ πππππππ
ππππ π
Hayaaaaye! Hii imeenda,Jojo na Amani wamekuja out hapa Arboretum Park...
Kumbe Eddy na yeye,ilikua apeleke Neema pahali waongee lakini badala ya kuenda kwenye yafaa waende,Eddy alimleta Neema kwa hao yenye ashanunua for them,hadi Neema akamuuliza what are you trying to do? Eddy akamwambia come on,kuja ndani hata uone rooms za watoto wetu. Hii sasa ni game Eddy anacheza kuingiza Neema box.
Amani alikuja na Jojo kwa private park inaitwa Arboretum hadi Jojo anamuuliza mbona tuko huku peke yetu? Amani anamwambia relax, ama hauniamini. Kisha Amani akatoa kasoda hapo wakunywe. Jojo akaanza kurelax hadi akasema this place looks nice kimpango.
Jojo alianza kuambia Amani venye mamake na babake hawako in good terms but Amani akamwambia yeah,walishaniambia. Jojo akashindwa haya,kwani unajua kitu nataka kukuambia but all in all Jojo akafunguka everything venye alifound out mamake na Mark wanadate.
Eddy alileta Neema hadi ndani and yeah,the house is soo nice,hadi ameeka mapicha zao hapo na Eddy akamwambia babe, njoo nikuonyeshe your favorite room,the kitchen. Neema anakaa anaangalia hadi picha yake iko hapo anashindwa sana huyu mwanaume anataka nini na yeye.
Sasa cheki, Jojo hapendi Jayden ju kila saa Jayden huwa hakubaliana na yeye,Neema na babake kurudiana lakini leo hii,Amani akakubaliana na Jojo kwa mamake na babake kurudiana,hadi Jojo akaona baaasi wewe sasa ndio type yangu...hana habari, Amani hataki Mark aoleke kwa Neema ju anajua mamake yuko uhai.
Sasa chekiππEddy anadhani sasa ashaingiza Neema box kwa kumleta kwa nyumba amewanunulia lakini kufika jikoni wakati anaambia Neema hapa sasa ndio utakua unatupikia chakula,Neema alimwambia sikiza Eddy. there is no WE and just to make it clear,stay away from meπππ Neema akamkomesha Eddy ju Eddy alidhani pengine Neema akiona mansion ataingia box... Eddy anajaribu kuambia Neema for now hafai kufanya kazi ju ya huyo mwanaume but Neema alimwambia