Bulinga natural products

Bulinga natural products health care

Wanaume,tezi dume,nguvu za kiume,kuongeza manii,ngiri NK.
05/07/2024

Wanaume,tezi dume,nguvu za kiume,kuongeza manii,ngiri NK.

PID,uvimbe kwenye kizazi,harufu mbaya ukeni,maumivu makali wakati WA tendo, matatizo ya hedhi,uteute usio WA kawaida (uc...
05/07/2024

PID,uvimbe kwenye kizazi,harufu mbaya ukeni,maumivu makali wakati WA tendo, matatizo ya hedhi,uteute usio WA kawaida (uchafu mweupe)

Vidonda vya tumbo, UTI,kuzibua mirija ya kizazi,baridi yabisi,miguu kufa ganzi,miguu kuziba, NK.
05/07/2024

Vidonda vya tumbo, UTI,kuzibua mirija ya kizazi,baridi yabisi,miguu kufa ganzi,miguu kuziba, NK.

17/08/2022
15/08/2022
15/08/2022
Habari wapenzi wafatiliaji wa page yetu,tunapenda kuwasalim kwa jina la jamuhuri ya muungano watanzania! Karibuni sana k...
15/08/2022

Habari wapenzi wafatiliaji wa page yetu,tunapenda kuwasalim kwa jina la jamuhuri ya muungano watanzania! Karibuni sana katika page yetu inayohusu Afya tiba ambayo utapata kujifunza umuhim wa kuzingatia lishe ili kujiepusha na magonjwa lakini vilevile na tiba.

Ukweli ni kwamba mtaji wa Kwanza katika maisha ya binadam ni Afya,fanya ufanyavyo lakini huwezi fanya chochote bila afya.

Siku hizi binadam wengi tunatembea lakini ukweli ni kwamba tunatembea tukiwa wagonjwa,na hii yote ni ukweli usiopingika kua magonjwa mengi tuliyonayo kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na vyakula tunavyo kula.

Na mbaya zaidi wengi tumekua wavivu kutembelea vituo vya Afya kwa ajili ya kupima Afya kitu ambacho kimesababisha usugu wa magonjwa.

Leo naomba nizungumzie vidonda ya tumbo pamoja na tiba,na vile vile jinsi ya kujiepusha na vidonda

Vidonda vya tumbo ni nini?

Vidonda vya tumbo hufahamika kwa kiingereza k**a Peptic Ulcer ni hali ambayo kuna kidonda kwenye tabaka la tumbo au sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo. Dalili kuu ni hisia ya kuungua katika sehemu ya juu ya tumbo baada ya kula. Dalili nyingine ni kiungulia, kubeua, tumbo kujaa gesi na kichefuchefu. Dalili za vidonda vya tumbo huongezeka kadiri muda unavyoenda.
Vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha madhara ambayo huhitaji huduma ya dharura. Haya hujumuisha kutokwa damu au kuchimbika shimo katika tumbo la chakula. Madhara haya huweza kusababisha dalili kuanza kwa ghafla. Matibabu ya vidonda vya tumbo hutegemea sababu ya hali hii kutokea. Sababu hiyo ikishatambuliwa na kutibiwa, huwa na matokeo mazuri.

Dalili za vidonda vya tumbo

Dalili za vidonda vya tumbo ni pamoja na:

maumivu ya sehemu ya juu ya tumbo,

kiungulia,

kubeua,

tumbo kujaa gesi na

kichefuchefu.1

Ikiwa kidonda kinatoa damu, unaweza kuona damu nyekundu au damu ilyovilia (damu nyeusi) kwenye kinyesi. Kutokwa damu kunaweza kuambatanishwa na uchovu na kukosa nguvu. K**a kidonda cha tumbo kinasababisha shimo kwenye utumbo, hii inaweza kusababisha maumivu ya ghafla ya tumbo, homa, kichefuchefu na kuzimia.

Vihatarishi

Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea zaidi kwa watu wazima. Visa vingi husababishwa na maambukizi ya bakteria aina ya Helicobater pylori. Sababu zingine za vidonda vya tumbo ni dawa dhidi ya inflamesheni (k**a vile aspirin), unywaji mwingi wa pombe kwa muda mrefu na uvutaji wa sigara.2
Hivyo basi, kuacha unywaji mwingi wa pombe na uvutaji sigara kunaweza saidia kuepuka madhara ya vidonda vya tumbo, kwani hupunguza uwezekano wa kuvipata. Uwepo wa magonjwa mengine na utumiaji wa dawa nyingine pia huweza kusababisha vidonda vya tumbo, lakini ni nadra sana.

Utambuzi

Utambuzi wa vidonda vya tumbo huweza kuhitajika kufanywa kwa kipimo cha endoscopy (kupitisha kifaa maalum chenye kamera mdomoni hadi tumboni). Vipimo vingine hufanywa wakati wa endoscopy ambavyo vinaweza kutambua chanzo cha vidonda vya tumbo.Maambukizi ya Helicobacter pylori huweza kutambuliwa kwa kipimo cha urea kwenye pumzi.

Matibabu

Tiba ya vidonda vya tumbo huwa ni antibiotiki ambayo hulenga kutibu maambukizi ya bakteria yaliyosababisha vidonda hivyo.
K**a vidonda vya tumbo vimesababishwa na dawa, daktari wako anaweza kukushauri kuhusu hatari na manufaa ya kutumia hizo dawa. Haishauriwi kutumia maziwa mabichi au almaarufu “maziwa fresh” k**a tiba ya vidonda vya tumbo. Maziwa hupunguza maumivu ya tumbo kwa muda mfupi lakini husababisha asidi tumboni kuongezeka.4
Baadhi ya dawa husaidia kupunguza kiwango cha asidi inayozalishwa tumboni. Hizi zinahitajika wakati kidonda bado kinapona. K**a vidonda vinatoa damu au vinasababisha shimo kwenye utumbo, upasuaji wa dharura unaweza kuhitajika. Hii athari hutokea kwa nadra.

Kinga dhidi ya vidonda vya tumbo

Kutumia kwa makini dawa dhidi ya inflamesheni (k**a vile aspirin) ni muhimu katika kuzuia vidonda vya tumbo, hasa kwa watu wazima. Kuacha au kupunguza kuvuta sigara huweza kusaidia kupunguza dalili na kuzuia vidonda vya tumbo

Sisi k**a BULINGA NATURAL HEALTH tunakuletea tiba ya vidonda vya tumbo ambayo ni kirutubisho kijulikanacho k**a BODY FINE ambo kipo katika mfumo wa kimiminika (cyrup) mbali na kutibu vidonda vya tumbo kabisa,pia kina safisha mwili kinaondoa cholestrol na kuondoa uchovuni 30000 chupa tatu.

Tunapatikana moshi kilimanjaro mikoani tunatuma wasiliana na sisi
Kwa namba 0679453330
0672159819

Gauti(Gaut)ni aina ya ugonjwa unao athiri viungo vya mwili unaosababishwa na   kuwepo kwa kiasi kikubwa  kuliko kawaida ...
12/08/2022

Gauti(Gaut)ni aina ya ugonjwa unao athiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida Cha tindikali ya urea (uric acid)katika damu.

Ongezeko la uric acid husababisha madhara katika jointi (joint)(joint ni sehemu ya mwili inayokutana/inayoungana mifupa miwili).Gaut inaweza kutokea ghafla(acute Gaut)au ikawa sugu(chronic gaut).Gaut inayotokea ghafla huwa na maumivu makali na mara nyingi huathiri joint Moja tu wakati gauti sugu huathiri zaidi ya joint Moja na huambatana na hali ya maumivu ya kujirudia mara kwa mara .

VISABABISHI
Gaut husababishwa na kuwepo kwa kiwango kikubwa Cha uric acid katika damu.Hali hiyo hutokea iwapo mwili wa mgonjwa unatengeneza uric acid nyingi kuliko kawaida au unashindwa kutoa uric acid mwilini k**a inavyotakiwa.

Ongezeko hili husababishwa na mlundikano wa uric acid katika maji yanayo zunguka joint yanayoitwa synovial fluid na hatimae kutengeneza vijiwe vidogo vidogo vya tindikali ya urea Yani uric acid crystals ambavyo husababisha jointi kuvimba nahatimae kuathirika.

VIHATARISHI (risky factors)
Ingawa chanzo hakieleweki vyema, ugonjwa wa gauti huwapata baadhi ya watu walio katika familia moja.wanaume huwathiriwa zaidi kuliko wanawake ingawa wanawake walio koma kupata hedhi huathiriwa zaidi kuliko wale wanaoendelea kupata hedhi.

Aidha unywaji pombe unachangia kwakiasi kikubwa kuwepo kwa ugonjwa huu pamoja na matumizi ya baadhi ya madawa k**a vile dawa za kutoa maji mwilini, ambazo kwaujumla husababisha ongezeko lakiwango Cha uric acid katika damu.

Viatarishi vingine vya gauti ni pamoja na kua na ugonjwa wa kisukari, magonjwa ya Figo, unene uliopitiliza, ugonjwa wa sickle cell anemia au aina nyingine za upungufu wa damu,na saratani ya damu ( liukemia).
Haikadhalika Gaut inaweza kusababishwa na matumizi ya dawa hambazo utendaji wake kazi huingiliana na utoaji wa uric acid mwilini.

DALILI ZA GAUTI

Dalili za gauti kwa kawaida huusisha joint Moja au joint chache.joint zinazo athiriwa zaidi ni pamoja na kidole kikubwa Cha mguu ,magoti,au kiwiko Cha mguu.

Wagonjwa huwa na maumivu yanayo anza kwa ghafla hususani nyakati za usiku.mara nyingi mgonjwa hudai anahis maumivu makali k**a kitu kinachokata,kupita au mifupa inayosagana.

Joint hubadilika na kuwa na joto kuvimba na kuwa nyekundu (hujionyesha zaidi kwa watu wenye ngozi nyeupe.)kwa kawaida mgonjwa huisi makali ikiwa ataguswa kwenye joint yenye matatizo.

Hali hiyo inaweza kudumu kwa siku kadhaa kabla mgonjwa hajapata nafuu, lakin pia yaweza kujirudia mara kwa mara.

Pia mgonjwa anaweza kujihisi homa.
Baadhi ya wagonjwa hupata gauti sugu ambayo huwaletea madhara sugu katika jointi (chronic arthritis) Hali ambayo husababisha mgonjwa kujihisi maumivu na muda mwingi kushindwa kutumia vizuri jointi zake.
Wagonjwa wenye gauti kwa mda mrefu huwa pia na vinundu chini ya ngozi inayozunguka jointi zilizo athiriwa.vinundu hivi kitaalam huitwa trophy na niishara muhimu kwa madaktari.

Vipimo vya gaut hujumuisha

Kiwango Cha uric acid katika damu.hata hvyo,si. Kila aliye na kiwango kikubwa Cha uric acid katika damu huwa na gauti.

Kiwango Cha uric acid katika mkojo hucchungu wa majimaji yanayo zunguka joint (synovial fluid) kuchunguza vijiwe katika jointi
X ray ya joint iliyo athirika.
Uchunguzi wa utando unaozunguka joint (synovial biopsy)

MATIBABU

Matibabu ya gauti hujumuisha matumizi ya dawa,lishe pamoja na mabadiliko katikati mfumo wa maisha ya mgonjwa.


Sisi k**a BULINGA NATURAL HEALTH,tuna virutubishi ambavyo vinaweza kupambana na kumaliza tatizo hili ambalo limekua sugu kwa baadhi ya maisha ya watu.
Tafadhali tutafute tukuhudumie, tunapatikana Moshi Moshi mjini mkoani Kilimanjaro
Kwa mawasiliano zaidi tutafute kwa namba zifuatazo 0672159819
0679453330

Address

Arusha

Telephone

+255672159819

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bulinga natural products posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share