Dr.Osward

Dr.Osward Nawasaidia wanaume wanaofika mshindo wa kwanza haraka kisha wanashindwa kuendelea na tendo ,waliotum

Changamoto hii inatibika hivi vinginevyo utasumbuka tu na kutumia tiba kibao huponi
26/07/2022

Changamoto hii inatibika hivi vinginevyo utasumbuka tu na kutumia tiba kibao huponi

Umeingia mtandaonj kutafuta suruhisho la udhaifu wa kushindwa kuihudumia ndoa yako na unahisi mwenzi wako anakusaliti ? ...
03/04/2022

Umeingia mtandaonj kutafuta suruhisho la udhaifu wa kushindwa kuihudumia ndoa yako na unahisi mwenzi wako anakusaliti ?

Bila shaka huwenda umetumia nguvu nyingi Sana kutafuta madawa mitandaoni ,sio Facebook au Instagram na unapakua video za YouTube ili kujua kwa undani tiba ni ipi .

Huwenda ujumbe huu ndio utafuta machozi katika macho yako na kurudisha furaha ya mahusiano yako Tena .

*Hakuna aliewahi pona nguvu za kiume kwa kutumia dawa tu*

Ili kupona ni lazima utibu saikolojia ,na sio kwamba dawa usitumie lah ila unahitaji umakini mkubwa katika kuchagua dawa na pia jua namna ya kutibu saikolojia yako .

MAELEZO ya kina ,piga simu 0742300459

Ukipiga simu nitaipokea Mimi Dr. Osward au nitumie ujumbe WhatsApp kwa namba hiyo .

U.T.I ninini? kwanini ikutese na kwanini umekubali vijidudu vidogo vikutese ? Mazoea ya kutumia majani ya mchai chai yat...
10/03/2022

U.T.I ninini? kwanini ikutese na kwanini umekubali vijidudu vidogo vikutese ?

Mazoea ya kutumia majani ya mchai chai yatakusaidia kutupilia mbali UTI

🙂NIMETESEKA SANA NIFANYE NINI ?

1.chukua majani 5-7 ya mchai chai ,majani 5 ya mparachichi ,majani 5 ya mstaferi na kipande Cha alovera chenye urefu wa inch 3 yaani kidole 1 Kisha weka robo kikombe Cha majani ya mwarobaini Kisha yachemshe kwa pamoja katika maji ya lota 1 au 1 na nusu kwa dakika 20 .

Kinywa robo kikombe asubuhi na robo kikombe jioni kabla ya kula

2.Tumia matunda asubuhi hasa nanasi na ndizi

3.kunywa maji ya kutosha angalau glass 6 kwa siku

⁉️Safisha vyoo na mabafu kwa sabuni ,Acha kila maandazi na chapati namikate na sembe kwani vyakula hivi hichocheaukuaji wa wadudu .

JIUNGE NA DARASA LA FANGASI NA UTI BUTE kwa kubonyeza link hapa chini

https://chat.whatsapp.com/DjXsGFtTjgI40rcADM6S3P

CNC

Hedhi inatoka bila kukoma ? unatumia vidonge lakini mwisho inatoka tu ? Unaziba na nguo inatoka tu ? unakunywa dawa za k...
09/03/2022

Hedhi inatoka bila kukoma ? unatumia vidonge lakini mwisho inatoka tu ? Unaziba na nguo inatoka tu ? unakunywa dawa za kurekebisha vichocheo vya k**e lakini inatoka tu ? Unavaa ped lakini inatoka tu K**a mama alie jifungua ?

Pole na hongera Sana maana huwenda leo ndio siku ya kuwekwa huru ,ujumbe huu usiupuuzie maana Mungu ameamua kukuonyesha malango wa kutokea changamoto yako .

CNC tumekuwa tukitibu watu wa jinsia ya k**e wenye changamoto za kukosa watoto na kutokwa na hedhi kuliko kawaida . Nimekutana na wamama ambao kwa mwezi wanaingia wiki 3 lakini sasa wapo huru kabisa .

Wewe unasubiri nini ? Unanunua vifutio hadi lini ? Utaendelea kubaki katika magomvi na mwenzi wako sababu hapati haja yake hadi lini ?

Dakika 5 tu za kupiga simu kwa daktari zaweza okoa ndoa na afya yako .

0742300459
Au
WhatsApp +255742300459

Hedhi isiyo koma hupelekea kero ya kutililika kwa UCHAFU  zIdi ya siku 5 na hii inakufanya ushinde kuwa huru na kazi zak...
08/03/2022

Hedhi isiyo koma hupelekea kero ya kutililika kwa UCHAFU zIdi ya siku 5 na hii inakufanya ushinde kuwa huru na kazi zako .

Umejaribu kila tiba lakini unajikuta mwezi unaofuata Mambo yanakuwa tofauti . Mwenzi wako au akupendae ameonekana kuto kukuhitaji sababu ya Hali yako .

Kwanini usinikabidhi afya yako ili nikusaidie kutupilia mbali changamoto yako ? nikweli umetumia tiba nyingi au pengine umejaribu tu kumeza vidonge bila mafanikio

Pengine siku zako zimekuwa za maumivu makali Sana ,KIUNO ,miguu na mgongo vimekuwa vikikusumbua Sana bila mafanikio .

K**a unatamani Hali hiyo ikutoke milele fanya maamuzi ya kupiga simu ili kupata maelekezo ya bure ya namna ya kuondoa tatizo na pia tiba ikibidi .

Naamini kuwa Mungu ndie mponyaji

0742300459
Dr.osward

Tatizo za kitokwa na harufu sehemu za sir! Kwa wanawake imekuwa changamoto kubwa . 60%-80% ya wagonjwa hawajui ni kwanin...
08/03/2022

Tatizo za kitokwa na harufu sehemu za sir! Kwa wanawake imekuwa changamoto kubwa .

60%-80% ya wagonjwa hawajui ni kwanini wamepata tatizo hilo ,wengi wao huanza kutafuta tiba tu bila kujua ni kwanini wamepata tatizo .

Mara nyingi Sana wale ambao hawazingatii usafi ,wanaojisafisha kwa kutumia sabuni ,mafuta au malashi ,wanao penda kula chips ,vyakula vya nyama Sana na nafaka zilizo kobolewa ,wanaopata changamoto ya magonjwa ya zinaa na wakati flani matatizo ya vichocheo vya mwili kutokuwa sawa husababisha .

Wengi wao hukeleka maana inakera Sana harufu maana huwa K**a shombo ya samaki mbichi hii hupelekea kushindwa kuwa huru wakati wa kuhudumiana na mwenzi wako na pia kwa marafiki pia .

Je,unatafuta daktari atakae ijari afya yako ,akusaidie hadi utakapopona ? Wasiliana na Dr.Osward akusaidie kuondoa vyanzo vya tatizo na kutibu

#0742300459(whatsapp)

Bawasiri ninini kwa Mungu ? Kwanini ukate tamaa na wakati unaweza ondoa hivyo vinyama vinavyo kupatia maumivu makali ? S...
08/03/2022

Bawasiri ninini kwa Mungu ? Kwanini ukate tamaa na wakati unaweza ondoa hivyo vinyama vinavyo kupatia maumivu makali ?

Sababu za kupata bawasiri zinajulikana na tiba inapatikana CNC je wasubiri nini ?

Je ,wajua kuwabawasiri ni ugonjwa hatari Sana ambao unaweza sababisha mauti ya mgonjwa ?

Kwanini umeilea kiasi. Hicho hadi inaelekea kushindikana kutibika ?

Kwanini umekubali kuhangaika ? Kila ukikaa ni maumivu ,wakati mwingine ukihitaji kwenda haja unaanza kuwaza itakuwaje .

Amua kwa nguvu kuijali kwanza afya yako

#0742300459

Vidonda vya tumbo ninini ? bawasiri na mshipa wa ngiri ni nini ? Mbona watu wanapona tu ? Nimesikitika Sana kusikia mtu ...
07/03/2022

Vidonda vya tumbo ninini ? bawasiri na mshipa wa ngiri ni nini ? Mbona watu wanapona tu ?

Nimesikitika Sana kusikia mtu flani amefariki kwasababu ya bawasiri au vidonda vya tumbo na siwezi laumu maana huwenda yalikuwa mapeni ya Mungu iwe hivyo

Lakini usikubali kukaa na hayo matatizo maana ni hatari Sana na haijalishi umepitia na kuteswa na madaktari wangapi ,amua kutibiwa tena ,weka bajeti ya afya yako tena uone namna Mungu atakavyo badilisha historia ya afya yako . Kwani sisi tunakusaidia hadi utakapopona ,hatukuuzii dawa .

Pengine umehangaika Sana namna ya kupona ,msaada wa pekeekwako ni kuongea na daktari Osward kwa MAELEZO ya kina zaidi

0742300459

Kinyama  Kuota katika njia ya haja kubwa au kutoka wakati wa haja ni dalili mbaya ya afya ,huwenda naogea na mtu ambae u...
07/03/2022

Kinyama Kuota katika njia ya haja kubwa au kutoka wakati wa haja ni dalili mbaya ya afya ,huwenda naogea na mtu ambae umetumia madawa ya kutosha na umejikatia tamaa ,pole Sana lakini unaweza pona kwa uwezo wa Mungu .

Kuchelewa kutibu bawasiri hupelekea matatizo mengine ya mfumo wa chakula na huweza pelekea kifo .

Huwenda unahisi miwasho au unapata haja ngumu ,hizi ni dalili za kuwa inakwenda kupata tatizo la bawasiri .

Afya yako ni ya muhimu kuliko miladi au biashara zako ,tibu kwanza tatizo ili uishi kwa furaha na matumaini ya kufaidi maisha yako

Pengine umechoka na unahitaji tiba ya uhakika ambayo itakusaidia kupona kabisa tatizo lako ,naomba wasiliana na daktari 0742300459
Dr.Osward

MShIPA WA NGIRI Ugonjwa hatari Sana hasa kwa wanaume  ambao dalili zake ni   KORODANI KUUMA ,MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA K...
07/03/2022

MShIPA WA NGIRI

Ugonjwa hatari Sana hasa kwa wanaume ambao dalili zake ni KORODANI KUUMA ,MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU ,TUMBO KUUMA WAKATI WA BARIDI, KUHARISHA ,MAUMIVU YA KIFUA

Mshipa wa ngiri kwa mwanamme hupelekea kuonekana hawezi kumhudumia mwanamke vizuri .

Mshipa wa ngiri usipo tibika kwa wakati hupelekea kuoza kwa utumbo.

Chanzo cha mshipa wa ngiri ni ,uzito mkubwa katika mwili (kitambi)au mafuta mengi mwilini ,mazoezi mazito , udhaifu wa misuli ,kikohozi Cha muda mrefu ,choo kigumu ,msukumo mkubwa wa damu ,lishe duni .

Pengine umehangaika namna ya kupata tiba ya uhakika ,CNC hili tatizo tunalitibu vizuri Sana hadi kupona .

Wasiliana na daktari kupitia namba #0742300459

Au WhatsApp
#0742300459

Kitabu kinaelezea Siri ya mafanikio ya KIMWILI na KIROHO  .Je,unahitaji kufanikiwa? Je ,unahitaji umuone Mungu katika ma...
04/03/2022

Kitabu kinaelezea Siri ya mafanikio ya KIMWILI na KIROHO .

Je,unahitaji kufanikiwa? Je ,unahitaji umuone Mungu katika maisha yako ? Je,unahitaji KUSHINDA zaidi na kubadilisha maisha duni ya wazazi wako ?

Kitabu hiki kidogo unaweza kukisoma kupitia simu yako na unaweza kipata mahali popote ulipo kwa gharama nafuu Sana .

WhatsApp 0742300459
Dr.Osward

FANGASI HUMSHAMBULIA MTU APENDAE KULA NAFAKA ZILIZO KOBOLEWA Chapati ,maandazi ,mikate,biskuit na ugari wa sembe haya yo...
04/03/2022

FANGASI HUMSHAMBULIA MTU APENDAE KULA NAFAKA ZILIZO KOBOLEWA

Chapati ,maandazi ,mikate,biskuit na ugari wa sembe haya yote ni mataputapu ya chakula na hii hupelekea mtu kujikuta anashambuliwa na fangasi Sana na hawawezi ondoka mwilini kwasababu ya uwepo wa chakula chao katika mwili wako .

✍️Panya anatuzidi akili ? kwanini ukoboe nafaka ? na tabia hii imewafanya wanawake wengi Sana kitokwa na harufu mbaya sehemu za Siri na kitokwa na UCHAFU mwingi K**a maziwa mgando 😢Wanatumia dawa ila wanapata unafuu tu kwa muda

Wanaume imewafanya kuonekana hawawezi kuwahudumia wake zao vizuri mwisho magomvi hutokea katika nyumba !

K**a wewe ni mgonja wa Fangasi na unahangaika namna ya kupata tiba ya uhakika ,ushauri wangu wa bure kwako leo ni kubadili mtindo wa maisha kupitia chakula .

By Dr.Osward
WhatsApp/simu 0742300459

SUKARI NYINGI MWILINI HUPELEKEA FANGASI KUKUA KWA KASI. K**a wewe ni mgonjwa wa Fangasi ,bila kujali Fangasi wako wanaku...
03/03/2022

SUKARI NYINGI MWILINI HUPELEKEA FANGASI KUKUA KWA KASI.

K**a wewe ni mgonjwa wa Fangasi ,bila kujali Fangasi wako wanakushambulia maeneo gani ,basi hakikisha unazingatia Jambo hili kuwa Fangasi wanapenda kuishi sehemu ambayo kuna sukari nyingi .

✍️hivyo jitahidi Sana kuchunga matumizi yako ya sukari ambayo unaiweka katika chai au uji .maana sukari nyingi mwilini ni adui mkubwa wa afya .

✍️Hapa nazungumzia sukari rahisi ambayo huuzwa madukani na sukari zinazowekwa katika bidhaa za lambalamba mfano JoJo au p**i na sukari ambayo huwekwa ndani ya soda au juisi za kopo .

🤷Ukifanikiwa kuweza kuzuia matumizi ya sukari yatokanayo na bidhaa hizi Basi utakuwa upo katika sehemu nzuri Sana ya kuwafanya Fangasi wako wakuache kabisa na utaishi kwa amani

Dr.Osward(CNC)

https://youtu.be/IOcz2ZycNNANamna ya kutibu udhaifu wa kiume bila ya kutumia gharama kubwa sana
20/02/2022

https://youtu.be/IOcz2ZycNNA
Namna ya kutibu udhaifu wa kiume bila ya kutumia gharama kubwa sana

kwanini huponi tatizo la upungufu nguvu za kiume 😭 ni kwasababu umekuwa ukionja tu dawa bila kujua ni kwa jinsi gani umeathirika . Wanaume wengi hukimbilia ...

DAWA GANI INATIBU NGUVU ZA KIUME KWA 100% ? Unajua tatizo hili la madhara ya punyeto yaani lina  athiri  ubongo wako kwa...
16/10/2021

DAWA GANI INATIBU NGUVU ZA KIUME KWA 100% ?

Unajua tatizo hili la madhara ya punyeto yaani lina athiri ubongo wako kwa zaidi ya 80% na hivyo wataalamu wengi sana wameshindwa kutibu haya matatizo maana dawa wanazo zitoa zinawasaidia kuboost tu kwa muda yaani unatumia lakini baada ya siku chache hali yako inarudi palepale na inakuwa mbaya zaidi ya ile ya awali .

Binafsi nimekuwa nikizigawa hizi dawa ambazo zilikuwa zina toka Kenya ,jaman ,China na ujerumani lakini. Ziliwasaidia kwa siku kadhaa tu na kero za kupigiwa simu kuwa hawaponi (zinawaboost kwa muda mfupi tu ) ikanibidi kuacha kabisa maana ni utapeli mkubwa .

Kwa njia ya kitaalamu na yenye. Matokeo ya kudumu ni kwamba unapaswa kupata msaada wa saikolojia (ambayo ni maelekezo ya kitaalamu ya kufuta kabisa madhara yote ya kujichua ,video za ngono .

✍️ukweli ni kwamba dawa zote hizi za asali na kisasa hazitibu tatizo maana hakuna dawa yenye uwezo wa kutibu saikolojia ,yaani unaweza tumia kopo 50 za dawa na bado usipone ,huu ni ukweli ambao hakuna MTU wala mtaalamu awezae upinga ,wanagawa madawa kujipatia fedha tu ,kinacho nafanya wataalamu wa afya kushindwa kuwasaidia wanaume kisaikolojia ni kwamba hawana uwezo wa kutoa huduma hiyo .

Nakushauri kupata huduma ya saikolojia ambayo itakusaidia kutatua kabisa tatizo lako hadi kuisha . na uzuri ni kwamba nimefanya hivi kwa muda mrefu na wanaume wengi walipona ,wale ambao walishindwa kufika mishindo 4 wakati wa tendo walifika kabisa na kwa kudumu .

Jiunge na group la WhatsApp la saikolojia utanishukuru sana .

KUPATA MAELEKEZO YA NAMNA YA KUPATA HUDUMA HII PIGA SIMU 0742300459 .(DR.OSWWRD) au tuwasiliane WhatsApp .

DAWA YA MVUTO WA MAPENZI Unahitaji kupendwa  ? Je unahitaji kudumu katika mahusiano ? Je ,unahitaji usisalitiwe na umpat...
05/10/2021

DAWA YA MVUTO WA MAPENZI

Unahitaji kupendwa ? Je unahitaji kudumu katika mahusiano ? Je ,unahitaji usisalitiwe na umpate mwanamme au mwanamke ambae atajupenda maisha yako yote ? Je,una shida ya kuachwa na kila mwanammke au mwanamme ? Je,unashindwa kutongoza ?

K**A UNATATIZO MOJA WAPO AU YOTE SOMA HADI MWISHO .

(Dr.Osward) 0742300459

Siku hizi kumekuwa na tiba nyingi sana ,yaani hadi mvuto wa mapenzi mtu anatafta dawa . nataka nikwambie usitapeliwe kwasababu ya hili ,k**a unahitaji kuwa na mvuto ,tengeneza mvuto wewe mwenyewe (yaani tengeneza thamani yako ) na k**a hujui kutongoza basi jifunze namna ya kutongoza maana ni rahisi na unaweza mpata mwanamke yoyote umtakae ,k**a shida yako ni kuto dumu katika ndoa au mahusiano ,jifunze namna ya kuishi na mtu ndani (mbona ni rahisi sana !)

Inasikitisha mtu k**a wewe unaoga madawa eti uwavutie wapenzi ! Kwanini unajitesa ? Utayaoga hayo madawa na kunywa hadi lini ?

Bahati nzuri sana nimekuwa nikitoa kozi ya kuwasaidia watu k**a wewe walioko katika utumwa huu .

Nitakuelekeza namna ya kujenga mvuto ,namna ya kujenga mahusiano ya kudumu .

Gusa link hapa chini k**a unahitaji hii huduma .

https://wa.me/+255742300459

😢MAMBO 3 YANAYO RUDISHA NYUMA AFYA YAKO 1.Kukubali kuendelea kujichua (wanaume na wanawake ) 2.Kukubali kuendelea kutaza...
03/10/2021

😢MAMBO 3 YANAYO RUDISHA NYUMA AFYA YAKO

1.Kukubali kuendelea kujichua (wanaume na wanawake )

2.Kukubali kuendelea kutazama video za ngono

3.Kukubali kuendelea kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume na wakati ukweli ni kwamba hayawezi tibu tatizo lako (zitakusaidia kwa muda tu)

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia WhatsApp au simu 0742300459 (Dr.Osward)

28/09/2021

Kwanini unawahi kufika kileleni ? Je umetumia dawa bila mafanikio na muda wako wa kuoa unakaribia unawaza itakuaje ? Je umeshindwa kuacha kujichua na kutazama filamu za utupu ? Wasiliana nami (WhatsApp 0742300459) Dr.Osward

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr.Osward posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr.Osward:

Share