28/12/2021
ZIFAHAMU AINA ZA MAAMBUKIZI YA BAKTERIA KWENYE VIA VYA UZAZI.
Maambukizi kwenye via vya uzazi yanajulikana kitaalamu k**a pelvic inflammatory disease.(P.I.D),tatizo hili limekuwa tamko la kawaida sana kutamkika katika jamii ya leo,na limekuwa la kawaida sana mtu kuishi nalo,bila kutambua madhara makubwa yatampata hapa mbeleni.
SABABU ZA KUPATA MAAMBUKIZI HAYA.
Zipo sababu nyingi sana ambazo zinapelekea kupata maambukizi katika via vya uzazi lakini sababu kubwa ni aina ya bakteria waitwao NEISSERIA GONORRHEA,CHLAMYDIA Pia kuna sababu zingine ambazo huwa zinapelekea tatizo hili.
•wakati wa kujifungua
•matumizi ya uzazi wa mpango kiholela
•kutoa mimba au mimba kutoka
•kuwa na wapenzi wengi na kutochukua tahadhar
•kujiingizia vidole ukeni
•kuweka vitu vyenye kemikali ukeni
•kutotibu vizur uti na fangasi
•matumizi makubwa ya antibiotics kiholela .
DALILI ZINAZO ASHIRIA KUWA UNA MAAMBUKIZI.
•kutokwa na uchafu mzito ukeni ,rangi ya cream,njano au kijani.
•maumivu ya tumbo na vichomi chini ya kitovu
•kukosa hisia za tendo la ndoa
•majmivu makali wakati wa tendo la ndoa
•maumivu ya nyonga,kiuno na mgongo
•uchovu wa mwili na kichefuchefu
•maumivu makali wakati wa hedhi.
MADHARA MAKUMBWA K**A HUJATIBU AU KUCHELEWA KUTIBU TATIZO HILI.
•kushindwa kushika ujauzito
•mimba kutoka
•saratani ya shingo ya kizazi
•mirija kuziba
•mvurugiko wa homoni
•kutokea kwa majimaji kwenye mayai (ovarian cyst).
SULUHISHO LA TATIZO HILI
Ili uweze kupata tiba sahihi ya hili tatizo au unaona dalili za hili tatizo tuwasiliane au fika ofisin kwetu mtaa wa kaloleni,uweze kupata suluhisho la kudumu.
0655203943.
0766786266.