Yunusu health supplement services.

Yunusu health supplement services. Natoa huduma ya afya na ushauri.

28/12/2021

ZIFAHAMU AINA ZA MAAMBUKIZI YA BAKTERIA KWENYE VIA VYA UZAZI.

Maambukizi kwenye via vya uzazi yanajulikana kitaalamu k**a pelvic inflammatory disease.(P.I.D),tatizo hili limekuwa tamko la kawaida sana kutamkika katika jamii ya leo,na limekuwa la kawaida sana mtu kuishi nalo,bila kutambua madhara makubwa yatampata hapa mbeleni.

SABABU ZA KUPATA MAAMBUKIZI HAYA.

Zipo sababu nyingi sana ambazo zinapelekea kupata maambukizi katika via vya uzazi lakini sababu kubwa ni aina ya bakteria waitwao NEISSERIA GONORRHEA,CHLAMYDIA Pia kuna sababu zingine ambazo huwa zinapelekea tatizo hili.
•wakati wa kujifungua
•matumizi ya uzazi wa mpango kiholela
•kutoa mimba au mimba kutoka
•kuwa na wapenzi wengi na kutochukua tahadhar
•kujiingizia vidole ukeni
•kuweka vitu vyenye kemikali ukeni
•kutotibu vizur uti na fangasi
•matumizi makubwa ya antibiotics kiholela .

DALILI ZINAZO ASHIRIA KUWA UNA MAAMBUKIZI.

•kutokwa na uchafu mzito ukeni ,rangi ya cream,njano au kijani.
•maumivu ya tumbo na vichomi chini ya kitovu
•kukosa hisia za tendo la ndoa
•majmivu makali wakati wa tendo la ndoa
•maumivu ya nyonga,kiuno na mgongo
•uchovu wa mwili na kichefuchefu
•maumivu makali wakati wa hedhi.

MADHARA MAKUMBWA K**A HUJATIBU AU KUCHELEWA KUTIBU TATIZO HILI.

•kushindwa kushika ujauzito
•mimba kutoka
•saratani ya shingo ya kizazi
•mirija kuziba
•mvurugiko wa homoni
•kutokea kwa majimaji kwenye mayai (ovarian cyst).

SULUHISHO LA TATIZO HILI

Ili uweze kupata tiba sahihi ya hili tatizo au unaona dalili za hili tatizo tuwasiliane au fika ofisin kwetu mtaa wa kaloleni,uweze kupata suluhisho la kudumu.

0655203943.
0766786266.

26/11/2021

SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA UJAUZITO 🤰
- #0766786266 / #0655203943.
——————————————————————
Ili mwanamke apate mimba, sehemu zote za mwili wake zinazohusika na uzazi zinatakiwa zifanye kazi inavyotakiwa na katika hatua zote. Hatua katika utengenezaji wa mimba ni k**a zifuatazo:

✍️1. Moja kati ya ovari mbili za mwanamke kuachia yai lililokomaa
✍️2. Yai hii kusafirishwa na mrija wa uzazi (fallopian tube)
✍️3. Mbegu za mwanamme kusafiri hadi kwenye cervix, kupitia tumbo la uzazi (uterus) hadi kwenye mrija wa uzazi, kulifikia yai na kulipevusha.
✍️4. Yai lililopevushwa kusafiri kupitia mrija wa uzazi hadi kwenye tumbo la uzazi (uterus).
✍️5. Yai kunata kwenye ukuta wa uterus na kukua.

Ugumba kwa mwanamke unaweza kutokana na dosari katika hatua yoyote katika hizo tulizozitaja na mara niyingine kutokana na dosari katika hatua zaidi ya moja.

Pamoja na kuwa kuna sababu nyingi za mwanamke kutopata mimba, lakini sababu kuu tatu ndizo zinazohusika zaidi k**a tutakavyozielezea hapa chini.

🤱 tatizo la kukosa mtoto

✍️Kushindwa Kuzalisha Mayai (Anovulation)
Hili ndilo tatizo ambalo linachangia ugumba kwa wanawake kwa asilimia 30 lakini kwa bahati nzuri asilimia 70 ya wanawake wenye tatizo hili hupata tiba na kufanikiwa kupata watoto. Mwanamke mwenye tatizo hili hutoa mayai mara chache au hatoi mayai kabisa. Chanzo cha tatizo huwa ni moja ya yafuatayo:

✍️1. Matatizo Ya Homoni

Matatizo ya homoni ndiyo yenye mchango mkubwa zaidi kwenye kumfanya mwanamke ashindwe kuzalisha mayai. Uzalishwaji wa mayai hutegemea mchanganyiko wa homoni utakaofanya kazi kwa kuhusiana bila kuvurugwa katika utendaji wake wa kazi.

Kuna matatizo ya aina tatu yanayoweza kuvuruga mpangilio huo.

•Kuzalisha Mayai Yasiyokomaa:

Matatizo Ya Hypothalamus: Hypothalamus ni sehemu ya ubongo inayohusika na kutoa ishara kwa tezi ya pituitary (pituitary gland) ambayo nayo huamsha homoni za ovari zinazoruhusu yai kukomaa. Hypothalamus isipofanya kazi yake, mayai hushindwa kufika ukomavu. Asilimia 20 ya dosari za ukomavu wa mayai husababishwa na matatizo ya hypothalamus.

Matatizo Ya Pituitary Gland: Tumeona hapo juu kuwa tezi ya pituitary inahusika katika kukomaza mayai. Endapo pituitary itatoa homoni kwa kiwango kidogo au kikubwa kupita kiasi, ovari zitashindwa kuzalisha na kutoa mayai ipaswavyo. Hali hii hutokea pale tezi hii inapoharibiwa kwa ajali, kunapotokea uvimbe ndani yake au kunapokosekana ulingano wa kikemikali ndani ya tezi hiyo.

✍️2. Makovu Kwenye Ovari

Uharibifu kwenye ovari unaweza kusababisha ovari hizi kushindwa kuzalisha mayai. Operesheni za mara kwa mara hujenga makovu kwenye ovari hizo na kuzifanya zishindwe kuzalisha mayai. Maambukizi ya magonjwa huweza pia kusababisha ovari kushindwa kuzalisha na kutoa mayai.

✍️3. Kukoma Hedhi Mapema

Kukoma hedhi mapema ni tatizo ambalo halijaeleweka vizuri kisayansi. Baadhi ya wanawake wanaacha kupata siku zao za kawaida kwenye umri usiotegemewa. Dhana moja ni kuwa hifadhi yao ya mayai imekwisha au nyingine ni kuwa inatokana na wanawake hawa kuwa wenye historia ya kuwa wanariadha waliokuwa na miili yenye uzito mdogo na waliofanya mazoezi ya nguvu kwa muda mrefu. Kuna uwezekano kuwa kukoma hedhi mapema ni suala la urithi.

✍️4. Matatizo Ya Follicle

Kuna tatizo lisilo na maelezo ya kisayansi “unruptured follicle syndrome” ambapo mwanamke hutengeneza mfuko wa kawaida wa yai wenye yai ndani yake kila mwezi lakini mfuko huo hugoma kupasuka na kuachia yai. Hivyo kwamba, yai hubaki ndani ya ovari na utolewaji wa yai nje ya ovari


Magonjwa katika mirija ya uzazi huathiri asilimia 25 ya wanafamilia ambapo tatizo laweza kuwa dogo la kunata kwa yai au kubwa la mirija kuzibwa kabisa. Tiba kwa matatizo ya mirija ya uzazi mara nyingi ni upasuaji. Matatizo yanayopelekea kuziba kwa mirija ya uzazi ni k**a yafuatayo:



✍️1. Maambukizi Ya Wadudu

Maambukizi ya virusi na bacteria yanayoenezwa kwa ngono husababisha makovu na uharibifu, kwa mfano, maambukizi ya Hydrosalpinx yanayosababisha mirija ya uzazi kuziba pande zote na kujaa maji .

2. Upasuaji
Hii ni sababu kubwa ya magonjwa na uharibifu wa mirija ya uzazi. Upasuaji wa kwenye maeneo ya kinena na tumbo huweza kusababisha uharibifu utakaozuia upitaji wa yai.

3. Mimba Ndani Ya Mirija Ya Uzazi (Ectopic Pregnancy)
Mimba zinazotunga ndani ya mirija ya kizazi huweza kuleta uharibifu kwenye mirija hiyo hata k**a tahadhali ya juu itachukuliwa kuziondoa.

4. Matatizo Ya Kuzaliwa Nayo
Mara chache huweza kutokea kuwa mwanamke akazaliwa akiwa na dosari katika mirija yake ya uzazi.

💊kwa wewe ambaye umeteseka muda mrefu kutafuta mtoto bila mafanikio ni wakati wako sasa kuitwa mama,tumakuletea suluhisho lako wahi sasa

Tupigie simu kwa namba zinazoonekana hapo juu.

0766786266Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospita...
24/11/2021

0766786266

Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungus

Ukweli ni kwamba ni P.I.D - Ni maaambukizi ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke..kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE..

VIASHIRIA VYA UGONJWA HUU NI

👉Kutokwa na Uchafu sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu

👉kuwashwa ukeni

👉kutoa harufu mbaya sehemu za siri

👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee

👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa

Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni

👉kushindwa kupata ujauzito

👉kupata saratani ya CERVIX shingo ya kizazi

👉mirija ya uzazi kuziba

👉mirija ya uzazi kujaa maji

👉mirija yako kuharibika kabisa

👉kupata tatizo la hormone inbalance..

👉kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

©Ili kusaidika na tatizo hili la p.i.d

Watsup

0766786266

✍️SARATANI YA TEZI DUMETezi dume ni nini?     Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya ...
23/11/2021

✍️SARATANI YA TEZI DUME
Tezi dume ni nini?

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

✍️Saratani ya tezi dume ni nini?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

✍️Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume

•Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

•Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

•Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi,/samli,maziwa ya krimu

•Unene uliokithiri

•Ukosefu wa mazoezi

•Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

•Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

✍️Dalili zake ni zipi?

• Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
• Kwenda kukojoa mara kwa mara.
•Damu ndani ya mkojo.
•Kushindwa kukojoa.
•Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
•Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
•Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
•Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.

Pata tiba bila upasuaji wala kufanya mionzi
Wasiliana nami kwa namba 0766786266/0655203943

🥰💋:𝐅𝐀𝐈𝐃𝐀 𝐙𝐀 𝐅𝐄𝐌𝐈𝐂𝐀𝐑𝐄 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐄𝐇𝐄𝐌𝐔 𝐙𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐌𝐊𝐄 & 𝐌𝐅𝐔𝐌𝐎 𝐖𝐀 𝐔𝐙𝐀𝐙𝐈:*🌹💋-Hutibu tatizo la uke kuwa mkavu.- Hutibu U.T...
22/11/2021

🥰💋:𝐅𝐀𝐈𝐃𝐀 𝐙𝐀 𝐅𝐄𝐌𝐈𝐂𝐀𝐑𝐄 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐄𝐇𝐄𝐌𝐔 𝐙𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐌𝐊𝐄 & 𝐌𝐅𝐔𝐌𝐎 𝐖𝐀 𝐔𝐙𝐀𝐙𝐈:*🌹💋

-Hutibu tatizo la uke kuwa mkavu.
- Hutibu U.T.I sugu
- Hutibu tatizo la fungus ukeni
-Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba
-Huondoa tatizo la uke kujaa maji mengi wakati wa sex/tendo la ndoa.
- Huondoa hali ya uke kupwerepeta
- Huondoa tatizo la mwanamke kukosa hisia ya mapenzi
- Huufanya uke kubana/kuwa mnato
- Huondoa harufu mbaya ukeni
- Hutibu tatizo la kutokwa uchafu wenye harufu mbaya ukeni
- Huondoa maumivu kipindi cha hedhi
- Hurudisha furaha na kuleta heshima ya ndoa kwa mwanamke.
- Huufanya uke kuwa mdogo na misuli kubana na huondoatatizo la misuli kulegea
na uke kuwa mpana/mkubwa sana. nk.
- Huua bacteria wanaosababisha magonjwa ukeni/uzazi
- Hutibu tatizo la ugumba
- Hutibu P.I.D ukitumia na YUNZHI.

🌲*.FEMICARE HUTUMIWA ENDAPO HAUUMWI K**A KINGA,USAFI SEHEMU ZA SIRI,KUONGEZA HALI YA KUJIAMMINI ZAIDI MWANAMKE.*🌲
🩺𝐈𝐍𝐀𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈𝐖𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐌𝐊𝐄 𝐀𝐓𝐔𝐌𝐈𝐄 𝐅𝐄𝐌𝐈𝐂𝐀𝐑𝐄 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐈𝐋𝐈 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐌𝐀𝐀𝐌𝐁𝐔𝐊𝐈𝐙𝐈 𝐔𝐊𝐄𝐍𝐈/𝐊𝐔𝐔𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐌𝐅𝐔𝐌𝐎 𝐖𝐀 𝐔𝐙𝐀𝐙𝐈 𝐔𝐖𝐄 𝐒𝐀𝐋𝐀𝐌𝐀:🩺

WhatsApp/Call:0655203943.𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒𝐀𝐈𝐃𝐈𝐄 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.🙏

Faida za kutumia REFINED YUNZHI:1.Inaondoa maumivu ya tumbo la hedhiInaweka sawa mzunguko wa hedhiInaleta hamu ya tendo ...
22/11/2021

Faida za kutumia REFINED YUNZHI:

1.Inaondoa maumivu ya tumbo la hedhi

Inaweka sawa mzunguko wa hedhi

Inaleta hamu ya tendo la ndoa

Husaidia kuongeza kinga ya mwili

Ni nzuri sana kwa wanahitaji kubeba ujauzito kwan inasafisha kizazi

Inaondosha uvimbe ndani ya kizazi bila muhusika kufanyiwa upasuaji

Ni Tiba kwa wenye tatizo la PID yaani Pelvic Inflamatory Disease

Itakukinga na fangasi

Hutibu tatizo la uchafu kutoka sehemu za siri

Hutibu U.T.I sugu na maumivu wakati wa tendo la ndoa ikitumika pamoja na FEMICARE.

0766786266
0655203943

TATIZO LA TEZI DUME KWAHERIJIPATIE KINGA NA TIBA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME KWA WANAUME KUANZIA UMRI WA MIAKA 35TEZI DUME ...
22/11/2021

TATIZO LA TEZI DUME KWAHERI

JIPATIE KINGA NA TIBA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME KWA WANAUME KUANZIA UMRI WA MIAKA 35

TEZI DUME NI kiungo cha kawaida katika mfumo wa Uzazi kwa mwanaume, kiungo hichi kipo chini kidogo ya KIBOFU cha mkojo na mbele kidogo ya PURU au njia ya haja kubwa

TEZI DUME ni kiungo kinachozalisha maji maji ya kurutubisha mbegu ya kiume husaidia pia kupunguza makali ya tindikali katika UKE na hivyo huwezesha mbegu ya kiume kusafiri salama kabla ya kukutana na yai katika mirija ya uzazi wa mwanamke

TEZI DUME huongezeka ukubwa Kadri umri unavyozidi kusonga kwa mwanaume kutokana na sababu mbalimbali

Kuvimba kwa tezi dume husababisha mfumo wa mkojo kwa kubana mrija unatoa mkojo

Hali hiii unaweza kuona Dalili hizo
:kuhisi mkojo kubaki katika kipofu mara tuu kumaliza kukojoa

:kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku

:maumbikizo ya UTI ya mara kwa mara

:nguvu za kiume kushuka

:KIBOFU cha mkojo Kuanza kujaaa na maumivu makali

Kutopata tiba mapema kinaweza kusababisha matatizo ya fiko na shinikizo kubwa la damu

MATIBABU
1) Njia ya dawa

PIGA Simu
0766786266

NIKUELEZE MALIPO NA KUPATA YAKO

Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.Kazi zake kwa mtumiaji• Inaongeza kinga ya mwili hivyo muhimu kwa wote w...
22/11/2021

Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.
Kazi zake kwa mtumiaji
• Inaongeza kinga ya mwili hivyo muhimu kwa wote wanaougua mara kwa mara.
• Inapandisha CD4 mwilini, hivyo ni muhimu kwa kusaidia wenye HIV/AIDS
• Inazuia matatizo ya moyo k**a kutanuka kwa moyo
• Inazuia uzalishwaji wa seli za kansa
• Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
• Inasaidia kuboresha mapafu na mfumo wa upumuaji.
• Inaongeza hamu ya kula
• Inaboresha mzunguuko wa damu katika mishipa mikubwa,hivyo kusaidia watu wenye presha
• Inaponya mishipa ya fahamu. na kuboresha seli za ubongo
• Huondoa mizio (allergy) aina zote.
• Inalinda na kusaidia figo na kufanya ifanye kazi vizuri. • Ni imara kushindana na virusi, fungus, bacteria na wadudu wengine mwilini
• Inasaidia kuondoa sukari,inafanya damu iloganda iyeyuke na inaondoa sumu mwilini.
• Ni rahisi kuyeyuka kwa 100% hivyo kuleta matokeo ya haraka sana
0766786266.
&broken .

FAIDA ZA PURE & BROKEN.Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.Kazi zake kwa mtumiaji• Inaongeza kinga ya mwili ...
22/11/2021

FAIDA ZA PURE & BROKEN.

Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.
Kazi zake kwa mtumiaji
• Inaongeza kinga ya mwili hivyo muhimu kwa wote wanaougua mara kwa mara.
• Inapandisha CD4 mwilini, hivyo ni muhimu kwa kusaidia wenye HIV/AIDS
• Inazuia matatizo ya moyo k**a kutanuka kwa moyo
• Inazuia uzalishwaji wa seli za kansa
• Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
• Inasaidia kuboresha mapafu na mfumo wa upumuaji.
• Inaongeza hamu ya kula
• Inaboresha mzunguuko wa damu katika mishipa mikubwa,hivyo kusaidia watu wenye presha
• Inaponya mishipa ya fahamu. na kuboresha seli za ubongo
• Huondoa mizio (allergy) aina zote.
• Inalinda na kusaidia figo na kufanya ifanye kazi vizuri. • Ni imara kushindana na virusi, fungus, bacteria na wadudu wengine mwilini
• Inasaidia kuondoa sukari,inafanya damu iloganda iyeyuke na inaondoa sumu mwilini.
• Ni rahisi kuyeyuka kwa 100% hivyo kuleta matokeo ya haraka sana

0766786266
0655203943

Miongoni mwa madhara makubwa ya uvimbe ni kutolewa kizazi.Je umejipangaje na hili?Je upo tayar kutolewa kizazi?K**a haup...
21/11/2021

Miongoni mwa madhara makubwa ya uvimbe ni kutolewa kizazi.
Je umejipangaje na hili?
Je upo tayar kutolewa kizazi?
K**a haupo tayar kutolewa kizazi unangoja nini kupata tiba?
Njoo upate tiba sahihi.

0766786266.

Usisubiri haya yote yakuelemee njoo tukupe tiba nzuri0766786266.
21/11/2021

Usisubiri haya yote yakuelemee njoo tukupe tiba nzuri

0766786266.

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yunusu health supplement services. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Yunusu health supplement services.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram