Yunusu health supplement services.

Yunusu health supplement services. Natoa huduma ya afya na ushauri.

28/12/2021

ZIFAHAMU AINA ZA MAAMBUKIZI YA BAKTERIA KWENYE VIA VYA UZAZI.

Maambukizi kwenye via vya uzazi yanajulikana kitaalamu k**a pelvic inflammatory disease.(P.I.D),tatizo hili limekuwa tamko la kawaida sana kutamkika katika jamii ya leo,na limekuwa la kawaida sana mtu kuishi nalo,bila kutambua madhara makubwa yatampata hapa mbeleni.

SABABU ZA KUPATA MAAMBUKIZI HAYA.

Zipo sababu nyingi sana ambazo zinapelekea kupata maambukizi katika via vya uzazi lakini sababu kubwa ni aina ya bakteria waitwao NEISSERIA GONORRHEA,CHLAMYDIA Pia kuna sababu zingine ambazo huwa zinapelekea tatizo hili.
•wakati wa kujifungua
•matumizi ya uzazi wa mpango kiholela
•kutoa mimba au mimba kutoka
•kuwa na wapenzi wengi na kutochukua tahadhar
•kujiingizia vidole ukeni
•kuweka vitu vyenye kemikali ukeni
•kutotibu vizur uti na fangasi
•matumizi makubwa ya antibiotics kiholela .

DALILI ZINAZO ASHIRIA KUWA UNA MAAMBUKIZI.

•kutokwa na uchafu mzito ukeni ,rangi ya cream,njano au kijani.
•maumivu ya tumbo na vichomi chini ya kitovu
•kukosa hisia za tendo la ndoa
•majmivu makali wakati wa tendo la ndoa
•maumivu ya nyonga,kiuno na mgongo
•uchovu wa mwili na kichefuchefu
•maumivu makali wakati wa hedhi.

MADHARA MAKUMBWA K**A HUJATIBU AU KUCHELEWA KUTIBU TATIZO HILI.

•kushindwa kushika ujauzito
•mimba kutoka
•saratani ya shingo ya kizazi
•mirija kuziba
•mvurugiko wa homoni
•kutokea kwa majimaji kwenye mayai (ovarian cyst).

SULUHISHO LA TATIZO HILI

Ili uweze kupata tiba sahihi ya hili tatizo au unaona dalili za hili tatizo tuwasiliane au fika ofisin kwetu mtaa wa kaloleni,uweze kupata suluhisho la kudumu.

0655203943.
0766786266.

26/11/2021

SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA UJAUZITO 🤰
- #0766786266 / #0655203943.
——————————————————————
Ili mwanamke apate mimba, sehemu zote za mwili wake zinazohusika na uzazi zinatakiwa zifanye kazi inavyotakiwa na katika hatua zote. Hatua katika utengenezaji wa mimba ni k**a zifuatazo:

✍️1. Moja kati ya ovari mbili za mwanamke kuachia yai lililokomaa
✍️2. Yai hii kusafirishwa na mrija wa uzazi (fallopian tube)
✍️3. Mbegu za mwanamme kusafiri hadi kwenye cervix, kupitia tumbo la uzazi (uterus) hadi kwenye mrija wa uzazi, kulifikia yai na kulipevusha.
✍️4. Yai lililopevushwa kusafiri kupitia mrija wa uzazi hadi kwenye tumbo la uzazi (uterus).
✍️5. Yai kunata kwenye ukuta wa uterus na kukua.

Ugumba kwa mwanamke unaweza kutokana na dosari katika hatua yoyote katika hizo tulizozitaja na mara niyingine kutokana na dosari katika hatua zaidi ya moja.

Pamoja na kuwa kuna sababu nyingi za mwanamke kutopata mimba, lakini sababu kuu tatu ndizo zinazohusika zaidi k**a tutakavyozielezea hapa chini.

🤱 tatizo la kukosa mtoto

✍️Kushindwa Kuzalisha Mayai (Anovulation)
Hili ndilo tatizo ambalo linachangia ugumba kwa wanawake kwa asilimia 30 lakini kwa bahati nzuri asilimia 70 ya wanawake wenye tatizo hili hupata tiba na kufanikiwa kupata watoto. Mwanamke mwenye tatizo hili hutoa mayai mara chache au hatoi mayai kabisa. Chanzo cha tatizo huwa ni moja ya yafuatayo:

✍️1. Matatizo Ya Homoni

Matatizo ya homoni ndiyo yenye mchango mkubwa zaidi kwenye kumfanya mwanamke ashindwe kuzalisha mayai. Uzalishwaji wa mayai hutegemea mchanganyiko wa homoni utakaofanya kazi kwa kuhusiana bila kuvurugwa katika utendaji wake wa kazi.

Kuna matatizo ya aina tatu yanayoweza kuvuruga mpangilio huo.

•Kuzalisha Mayai Yasiyokomaa:

Matatizo Ya Hypothalamus: Hypothalamus ni sehemu ya ubongo inayohusika na kutoa ishara kwa tezi ya pituitary (pituitary gland) ambayo nayo huamsha homoni za ovari zinazoruhusu yai kukomaa. Hypothalamus isipofanya kazi yake, mayai hushindwa kufika ukomavu. Asilimia 20 ya dosari za ukomavu wa mayai husababishwa na matatizo ya hypothalamus.

Matatizo Ya Pituitary Gland: Tumeona hapo juu kuwa tezi ya pituitary inahusika katika kukomaza mayai. Endapo pituitary itatoa homoni kwa kiwango kidogo au kikubwa kupita kiasi, ovari zitashindwa kuzalisha na kutoa mayai ipaswavyo. Hali hii hutokea pale tezi hii inapoharibiwa kwa ajali, kunapotokea uvimbe ndani yake au kunapokosekana ulingano wa kikemikali ndani ya tezi hiyo.

✍️2. Makovu Kwenye Ovari

Uharibifu kwenye ovari unaweza kusababisha ovari hizi kushindwa kuzalisha mayai. Operesheni za mara kwa mara hujenga makovu kwenye ovari hizo na kuzifanya zishindwe kuzalisha mayai. Maambukizi ya magonjwa huweza pia kusababisha ovari kushindwa kuzalisha na kutoa mayai.

✍️3. Kukoma Hedhi Mapema

Kukoma hedhi mapema ni tatizo ambalo halijaeleweka vizuri kisayansi. Baadhi ya wanawake wanaacha kupata siku zao za kawaida kwenye umri usiotegemewa. Dhana moja ni kuwa hifadhi yao ya mayai imekwisha au nyingine ni kuwa inatokana na wanawake hawa kuwa wenye historia ya kuwa wanariadha waliokuwa na miili yenye uzito mdogo na waliofanya mazoezi ya nguvu kwa muda mrefu. Kuna uwezekano kuwa kukoma hedhi mapema ni suala la urithi.

✍️4. Matatizo Ya Follicle

Kuna tatizo lisilo na maelezo ya kisayansi “unruptured follicle syndrome” ambapo mwanamke hutengeneza mfuko wa kawaida wa yai wenye yai ndani yake kila mwezi lakini mfuko huo hugoma kupasuka na kuachia yai. Hivyo kwamba, yai hubaki ndani ya ovari na utolewaji wa yai nje ya ovari


Magonjwa katika mirija ya uzazi huathiri asilimia 25 ya wanafamilia ambapo tatizo laweza kuwa dogo la kunata kwa yai au kubwa la mirija kuzibwa kabisa. Tiba kwa matatizo ya mirija ya uzazi mara nyingi ni upasuaji. Matatizo yanayopelekea kuziba kwa mirija ya uzazi ni k**a yafuatayo:



✍️1. Maambukizi Ya Wadudu

Maambukizi ya virusi na bacteria yanayoenezwa kwa ngono husababisha makovu na uharibifu, kwa mfano, maambukizi ya Hydrosalpinx yanayosababisha mirija ya uzazi kuziba pande zote na kujaa maji .

2. Upasuaji
Hii ni sababu kubwa ya magonjwa na uharibifu wa mirija ya uzazi. Upasuaji wa kwenye maeneo ya kinena na tumbo huweza kusababisha uharibifu utakaozuia upitaji wa yai.

3. Mimba Ndani Ya Mirija Ya Uzazi (Ectopic Pregnancy)
Mimba zinazotunga ndani ya mirija ya kizazi huweza kuleta uharibifu kwenye mirija hiyo hata k**a tahadhali ya juu itachukuliwa kuziondoa.

4. Matatizo Ya Kuzaliwa Nayo
Mara chache huweza kutokea kuwa mwanamke akazaliwa akiwa na dosari katika mirija yake ya uzazi.

💊kwa wewe ambaye umeteseka muda mrefu kutafuta mtoto bila mafanikio ni wakati wako sasa kuitwa mama,tumakuletea suluhisho lako wahi sasa

Tupigie simu kwa namba zinazoonekana hapo juu.

0766786266Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospita...
24/11/2021

0766786266

Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungus

Ukweli ni kwamba ni P.I.D - Ni maaambukizi ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke..kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE..

VIASHIRIA VYA UGONJWA HUU NI

👉Kutokwa na Uchafu sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu

👉kuwashwa ukeni

👉kutoa harufu mbaya sehemu za siri

👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee

👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa

Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni

👉kushindwa kupata ujauzito

👉kupata saratani ya CERVIX shingo ya kizazi

👉mirija ya uzazi kuziba

👉mirija ya uzazi kujaa maji

👉mirija yako kuharibika kabisa

👉kupata tatizo la hormone inbalance..

👉kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

©Ili kusaidika na tatizo hili la p.i.d

Watsup

0766786266

✍️SARATANI YA TEZI DUMETezi dume ni nini?     Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya ...
23/11/2021

✍️SARATANI YA TEZI DUME
Tezi dume ni nini?

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

✍️Saratani ya tezi dume ni nini?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

✍️Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume

•Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

•Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

•Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi,/samli,maziwa ya krimu

•Unene uliokithiri

•Ukosefu wa mazoezi

•Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

•Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

✍️Dalili zake ni zipi?

• Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
• Kwenda kukojoa mara kwa mara.
•Damu ndani ya mkojo.
•Kushindwa kukojoa.
•Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
•Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
•Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
•Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.

Pata tiba bila upasuaji wala kufanya mionzi
Wasiliana nami kwa namba 0766786266/0655203943

🥰💋:𝐅𝐀𝐈𝐃𝐀 𝐙𝐀 𝐅𝐄𝐌𝐈𝐂𝐀𝐑𝐄 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐄𝐇𝐄𝐌𝐔 𝐙𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐌𝐊𝐄 & 𝐌𝐅𝐔𝐌𝐎 𝐖𝐀 𝐔𝐙𝐀𝐙𝐈:*🌹💋-Hutibu tatizo la uke kuwa mkavu.- Hutibu U.T...
22/11/2021

🥰💋:𝐅𝐀𝐈𝐃𝐀 𝐙𝐀 𝐅𝐄𝐌𝐈𝐂𝐀𝐑𝐄 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐄𝐇𝐄𝐌𝐔 𝐙𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐌𝐊𝐄 & 𝐌𝐅𝐔𝐌𝐎 𝐖𝐀 𝐔𝐙𝐀𝐙𝐈:*🌹💋

-Hutibu tatizo la uke kuwa mkavu.
- Hutibu U.T.I sugu
- Hutibu tatizo la fungus ukeni
-Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba
-Huondoa tatizo la uke kujaa maji mengi wakati wa sex/tendo la ndoa.
- Huondoa hali ya uke kupwerepeta
- Huondoa tatizo la mwanamke kukosa hisia ya mapenzi
- Huufanya uke kubana/kuwa mnato
- Huondoa harufu mbaya ukeni
- Hutibu tatizo la kutokwa uchafu wenye harufu mbaya ukeni
- Huondoa maumivu kipindi cha hedhi
- Hurudisha furaha na kuleta heshima ya ndoa kwa mwanamke.
- Huufanya uke kuwa mdogo na misuli kubana na huondoatatizo la misuli kulegea
na uke kuwa mpana/mkubwa sana. nk.
- Huua bacteria wanaosababisha magonjwa ukeni/uzazi
- Hutibu tatizo la ugumba
- Hutibu P.I.D ukitumia na YUNZHI.

🌲*.FEMICARE HUTUMIWA ENDAPO HAUUMWI K**A KINGA,USAFI SEHEMU ZA SIRI,KUONGEZA HALI YA KUJIAMMINI ZAIDI MWANAMKE.*🌲
🩺𝐈𝐍𝐀𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈𝐖𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐌𝐊𝐄 𝐀𝐓𝐔𝐌𝐈𝐄 𝐅𝐄𝐌𝐈𝐂𝐀𝐑𝐄 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐈𝐋𝐈 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐌𝐀𝐀𝐌𝐁𝐔𝐊𝐈𝐙𝐈 𝐔𝐊𝐄𝐍𝐈/𝐊𝐔𝐔𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐌𝐅𝐔𝐌𝐎 𝐖𝐀 𝐔𝐙𝐀𝐙𝐈 𝐔𝐖𝐄 𝐒𝐀𝐋𝐀𝐌𝐀:🩺

WhatsApp/Call:0655203943.𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒𝐀𝐈𝐃𝐈𝐄 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.🙏

Faida za kutumia REFINED YUNZHI:1.Inaondoa maumivu ya tumbo la hedhiInaweka sawa mzunguko wa hedhiInaleta hamu ya tendo ...
22/11/2021

Faida za kutumia REFINED YUNZHI:

1.Inaondoa maumivu ya tumbo la hedhi

Inaweka sawa mzunguko wa hedhi

Inaleta hamu ya tendo la ndoa

Husaidia kuongeza kinga ya mwili

Ni nzuri sana kwa wanahitaji kubeba ujauzito kwan inasafisha kizazi

Inaondosha uvimbe ndani ya kizazi bila muhusika kufanyiwa upasuaji

Ni Tiba kwa wenye tatizo la PID yaani Pelvic Inflamatory Disease

Itakukinga na fangasi

Hutibu tatizo la uchafu kutoka sehemu za siri

Hutibu U.T.I sugu na maumivu wakati wa tendo la ndoa ikitumika pamoja na FEMICARE.

0766786266
0655203943

TATIZO LA TEZI DUME KWAHERIJIPATIE KINGA NA TIBA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME KWA WANAUME KUANZIA UMRI WA MIAKA 35TEZI DUME ...
22/11/2021

TATIZO LA TEZI DUME KWAHERI

JIPATIE KINGA NA TIBA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME KWA WANAUME KUANZIA UMRI WA MIAKA 35

TEZI DUME NI kiungo cha kawaida katika mfumo wa Uzazi kwa mwanaume, kiungo hichi kipo chini kidogo ya KIBOFU cha mkojo na mbele kidogo ya PURU au njia ya haja kubwa

TEZI DUME ni kiungo kinachozalisha maji maji ya kurutubisha mbegu ya kiume husaidia pia kupunguza makali ya tindikali katika UKE na hivyo huwezesha mbegu ya kiume kusafiri salama kabla ya kukutana na yai katika mirija ya uzazi wa mwanamke

TEZI DUME huongezeka ukubwa Kadri umri unavyozidi kusonga kwa mwanaume kutokana na sababu mbalimbali

Kuvimba kwa tezi dume husababisha mfumo wa mkojo kwa kubana mrija unatoa mkojo

Hali hiii unaweza kuona Dalili hizo
:kuhisi mkojo kubaki katika kipofu mara tuu kumaliza kukojoa

:kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku

:maumbikizo ya UTI ya mara kwa mara

:nguvu za kiume kushuka

:KIBOFU cha mkojo Kuanza kujaaa na maumivu makali

Kutopata tiba mapema kinaweza kusababisha matatizo ya fiko na shinikizo kubwa la damu

MATIBABU
1) Njia ya dawa

PIGA Simu
0766786266

NIKUELEZE MALIPO NA KUPATA YAKO

Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.Kazi zake kwa mtumiaji• Inaongeza kinga ya mwili hivyo muhimu kwa wote w...
22/11/2021

Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.
Kazi zake kwa mtumiaji
• Inaongeza kinga ya mwili hivyo muhimu kwa wote wanaougua mara kwa mara.
• Inapandisha CD4 mwilini, hivyo ni muhimu kwa kusaidia wenye HIV/AIDS
• Inazuia matatizo ya moyo k**a kutanuka kwa moyo
• Inazuia uzalishwaji wa seli za kansa
• Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
• Inasaidia kuboresha mapafu na mfumo wa upumuaji.
• Inaongeza hamu ya kula
• Inaboresha mzunguuko wa damu katika mishipa mikubwa,hivyo kusaidia watu wenye presha
• Inaponya mishipa ya fahamu. na kuboresha seli za ubongo
• Huondoa mizio (allergy) aina zote.
• Inalinda na kusaidia figo na kufanya ifanye kazi vizuri. • Ni imara kushindana na virusi, fungus, bacteria na wadudu wengine mwilini
• Inasaidia kuondoa sukari,inafanya damu iloganda iyeyuke na inaondoa sumu mwilini.
• Ni rahisi kuyeyuka kwa 100% hivyo kuleta matokeo ya haraka sana
0766786266.
&broken .

FAIDA ZA PURE & BROKEN.Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.Kazi zake kwa mtumiaji• Inaongeza kinga ya mwili ...
22/11/2021

FAIDA ZA PURE & BROKEN.

Imetengenezwa kwa uyoga mwekundu aina ya REISHI.
Kazi zake kwa mtumiaji
• Inaongeza kinga ya mwili hivyo muhimu kwa wote wanaougua mara kwa mara.
• Inapandisha CD4 mwilini, hivyo ni muhimu kwa kusaidia wenye HIV/AIDS
• Inazuia matatizo ya moyo k**a kutanuka kwa moyo
• Inazuia uzalishwaji wa seli za kansa
• Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
• Inasaidia kuboresha mapafu na mfumo wa upumuaji.
• Inaongeza hamu ya kula
• Inaboresha mzunguuko wa damu katika mishipa mikubwa,hivyo kusaidia watu wenye presha
• Inaponya mishipa ya fahamu. na kuboresha seli za ubongo
• Huondoa mizio (allergy) aina zote.
• Inalinda na kusaidia figo na kufanya ifanye kazi vizuri. • Ni imara kushindana na virusi, fungus, bacteria na wadudu wengine mwilini
• Inasaidia kuondoa sukari,inafanya damu iloganda iyeyuke na inaondoa sumu mwilini.
• Ni rahisi kuyeyuka kwa 100% hivyo kuleta matokeo ya haraka sana

0766786266
0655203943

Miongoni mwa madhara makubwa ya uvimbe ni kutolewa kizazi.Je umejipangaje na hili?Je upo tayar kutolewa kizazi?K**a haup...
21/11/2021

Miongoni mwa madhara makubwa ya uvimbe ni kutolewa kizazi.
Je umejipangaje na hili?
Je upo tayar kutolewa kizazi?
K**a haupo tayar kutolewa kizazi unangoja nini kupata tiba?
Njoo upate tiba sahihi.

0766786266.

Usisubiri haya yote yakuelemee njoo tukupe tiba nzuri0766786266.
21/11/2021

Usisubiri haya yote yakuelemee njoo tukupe tiba nzuri

0766786266.

GLUZO JOINT F CAPSULES - PRODUCT DESCRIPTION.Dietary supplementMaintain healthy jointsGlucosamine hydrochlorideSuper str...
14/11/2021

GLUZO JOINT F CAPSULES - PRODUCT DESCRIPTION.

Dietary supplement
Maintain healthy joints
Glucosamine hydrochloride
Super strength glucosamine
Quantity: 60 capsules
Manufacturer: BF Suma USA
BF Suma Gluzo joint F capsules are made from Glucosamine, an amino acid that mainly exists in joints and connective tissues.

Glucosamine is the important component of fluid inside joints and important raw material for the synthesis of physical substances in the body. For decades, it has been used for joint health.

With high purity and innovative technology, BF Suma GluzoJoint-F Capsules is safer and more professional.

GluzoJoint-F Active ingredients:

Each capsule contains 750mg glucosamine hydrochloride.

Gluzo Joint F Capsules Benefits

The main function of glucosamine is to activate the elements required for the repair of damaged joints. Some people lack the ability or have a hindered ability due to age, to manufacture glucosamine which plays a role in joint discomfort.

Contact. Us +255 766786266

BF SUMA NMN CAPSULES - PRODUCT DESCRIPTIONReshape time, Reverse time98% high purityNicotinamide Mononucleotide capsules4...
14/11/2021

BF SUMA NMN CAPSULES - PRODUCT DESCRIPTION

Reshape time, Reverse time
98% high purity
Nicotinamide Mononucleotide capsules
4500mg high content
Boost energy
Anti-aging DNA repair
SIRTUIN activator
For brain & heart health
Quantity: 30 capsules
Net weight: 14g
Brand: BF Suma
Bf suma NMN capsules contain NMN (Nicotinamide Mononucleotide), a precursor to NAD+ (nicotinamide adenine dinucleotide), meaning NMN transforms to NAD+ through a series of chemical transformations. NAD+ is found in every cell of your body, but its levels naturally fall with age. Bf suma NMN is the solution to all your age-linked health problems.

Bf Suma NMN Ingredients:

NMN (Nicotinamide Mononucleotide)

Bf Suma NMN Benefits:

✓ It has powerful anti-aging properties.

✓ NMN suppresses age-associated weight gain.

✓ Enhances energy metabolism and physical activity.

✓ Improves insulin sensitivity.

✓ Improves eye function.

✓ Improves mitochondrial metabolism.

✓ Prevents age-linked changes in gene expression.

Suggested Dosage:

Take 2 capsules daily.

Don't exceed the recommended dosage.

People Who May Benefit From NMN Supplements:

Senior and middle-aged women.

People with a medical history of dementia and Parkinson's disease.

People on shifts.

Frequent air travelers/ aerospace practitioners.

Contact us +255 766 786 266.
NB delivery ✅

14/11/2021

Motivation .

Hongera sana kiongoz fadhili mbogo kwa kushinda gari  .
14/11/2021

Hongera sana kiongoz fadhili mbogo kwa kushinda gari .

FAIDA ZA NMN 4500mg CapsuleHuzuia na kukinga kiharusi.Kuvunja vunja sukari iliyozidi mwilini.Huyeyusha mafuta yaliyozidi...
10/11/2021

FAIDA ZA NMN 4500mg Capsule

Huzuia na kukinga kiharusi.

Kuvunja vunja sukari iliyozidi mwilini.

Huyeyusha mafuta yaliyozidi mwilini na kuondo manyama uzembe

Hupambana na uzee (ant aging).

5 Hutengeneza/kusaidia DNA zilizoharibika na kuzifanya kuwa mpya

Huondoa makunyanzi.

Kuponya ngozi iliyoungua na vipodozi vikali.

8 Inaongeza uwezo wa vinasaba(gene) kufanya kazi zaidi mwilini kwa muda mrefu zaidi na kurefusha maisha

Huzuia na kuponya SARATANI yeyote. 10. Huzuia na kuponya Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.

Huzuia na kuponya stroke (kiharusi)

Hutibu na kuzuia paralysis (kupooza)

Hutibu presha (hypertension) 14. Hutibu TEZI DUME bila UPASUAJI

Call: +255766786266.

UNAPATA MIWASHO UKENI ISIYOISHA?Muwasho ukeni na hali ya kuungua kwa uke mithili ya moto ni tatizo linalowaumiza sana wa...
10/11/2021

UNAPATA MIWASHO UKENI ISIYOISHA?

Muwasho ukeni na hali ya kuungua kwa uke mithili ya moto ni tatizo linalowaumiza sana wanawake na kuleta usumbufu mkubwa. dalili hizi zinaweza kuwa ni matokeo ya tatizo kubwa la kiafya ndio maana kuna umuhimu wa kumwona dactari mapema pale unapoona hali imezidi kuwa mbaya. Kwenye makala yetu ya leo tutajifunza

•Nini husababisha Muwasho ukeni, kuchomachoma na kuvimba
•Namna tatizo linavotibiwa.

Kuna sababu nyingi zinazopelekea muwasho ukeni ambazo ni pamoja na

✍️Maambukizi ya bacteria ukeni (bacterial vaginosis)

Maambukizi ya bacteria ukeni ni moja ya maambukizi yanayowatokea mara kwa mara wanawake. Wengi wanaoathirika ni wale wanaojihusisha na ngono zaidi, wenye kinga dhaifu na wajawazito. Watafiti wanasema kinachosababisha Bacterial vaginosisi ni kuvurugika kwa uwiano wa viumbe kwenye mazingira ya uke (vaginal microflora) ambayo inahusisha uwepo wa bacteria na fangasi pia.
Kuvurugika huku kwa mazingira ya uke kunaweza kuletekekezwa na sababu nyingi ikiwemo, kudhoofika kwa kinga ya mwili na mabadiliko ya pH- kikawaida uke una tindikali zaidi 3.8-4.2 ni kawaida na pH zaidi ya 4.5 siyo salama kwa afya ya uke.

Vipimo kwa tatizo la Muwasho ukeni

Mara nyingi tatizo ua kuwasha ukeni huisha ndani ya siku chache baada ya kuanza. K**a tatizo litaendelea na dalili kuwa kali zaidi wek apointment uonane na dactari kupata vipimo na tiba. Dactari atafanya pelvic examnation ambapo atangalia dalili anazopata mgonjwa kwenye via vya uzazi (eneo la nje la uke, mfuko wa mimba, mlango wa kizazi, mirija ya uzazi, kibofu cha mkojo na mifuko ya mayai, ) Daktari pia anaweza kuchukua sampuli ya uchafu unaotoka na kuufanyia vipimo ili kugundua chanzo cha tatizo.

Kwa hivo tiba ya tatizo hili la kuwasha kwa uke itategemea na chanzo ama ugonjwa unaosababisha k**a ugonjwa ni

Maambukizi ya bacteria (Bacterial vagoniosis): mgonjwa hupewa antibitics na antiparastis ili kuua vimelea vya ugonjwa
Yeast infection (candidiasis): mgonjwa hupewa daw za kuua fangasi, antifungal ambazo humeza na zingine kuweka ukeni.
Menopause: k**a chanzo ni kukoma hedhi basi mgonjwaanaweza kupata dawa na virutubisho vya kuongeza uzalishaji wa homoni .

Piga simu 0655203943.

UNAPATA MIWASHO UKENI ISIYOISHA?Muwasho ukeni na hali ya kuungua kwa uke mithili ya moto ni tatizo linalowaumiza sana wa...
10/11/2021

UNAPATA MIWASHO UKENI ISIYOISHA?

Muwasho ukeni na hali ya kuungua kwa uke mithili ya moto ni tatizo linalowaumiza sana wanawake na kuleta usumbufu mkubwa. dalili hizi zinaweza kuwa ni matokeo ya tatizo kubwa la kiafya ndio maana kuna umuhimu wa kumwona dactari mapema pale unapoona hali imezidi kuwa mbaya. Kwenye makala yetu ya leo tutajifunza

•Nini husababisha Muwasho ukeni, kuchomachoma na kuvimba
•Namna tatizo linavotibiwa.

Kuna sababu nyingi zinazopelekea muwasho ukeni ambazo ni pamoja na

✍️Maambukizi ya bacteria ukeni (bacterial vaginosis)

Maambukizi ya bacteria ukeni ni moja ya maambukizi yanayowatokea mara kwa mara wanawake. Wengi wanaoathirika ni wale wanaojihusisha na ngono zaidi, wenye kinga dhaifu na wajawazito. Watafiti wanasema kinachosababisha Bacterial vaginosisi ni kuvurugika kwa uwiano wa viumbe kwenye mazingira ya uke (vaginal microflora) ambayo inahusisha uwepo wa bacteria na fangasi pia.
Kuvurugika huku kwa mazingira ya uke kunaweza kuletekekezwa na sababu nyingi ikiwemo, kudhoofika kwa kinga ya mwili na mabadiliko ya pH- kikawaida uke una tindikali zaidi 3.8-4.2 ni kawaida na pH zaidi ya 4.5 siyo salama kwa afya ya uke.

Vipimo kwa tatizo la Muwasho ukeni

Mara nyingi tatizo ua kuwasha ukeni huisha ndani ya siku chache baada ya kuanza. K**a tatizo litaendelea na dalili kuwa kali zaidi wek apointment uonane na dactari kupata vipimo na tiba. Dactari atafanya pelvic examnation ambapo atangalia dalili anazopata mgonjwa kwenye via vya uzazi (eneo la nje la uke, mfuko wa mimba, mlango wa kizazi, mirija ya uzazi, kibofu cha mkojo na mifuko ya mayai, ) Daktari pia anaweza kuchukua sampuli ya uchafu unaotoka na kuufanyia vipimo ili kugundua chanzo cha tatizo.

Kwa hivo tiba ya tatizo hili la kuwasha kwa uke itategemea na chanzo ama ugonjwa unaosababisha k**a ugonjwa ni

Maambukizi ya bacteria (Bacterial vagoniosis): mgonjwa hupewa antibitics na antiparastis ili kuua vimelea vya ugonjwa
Yeast infection (candidiasis): mgonjwa hupewa daw za kuua fangasi, antifungal ambazo humeza na zingine.

Piga simu 0655203943.

JE HUYU NI WEWE AU NDUGU YAKO???1. Unawahi kufika kileleni  na unashindwa kurudia kwa wakati ?2. Unapofanya tendo la ndo...
10/11/2021

JE HUYU NI WEWE AU NDUGU YAKO???

1. Unawahi kufika kileleni na unashindwa kurudia kwa wakati ?

2. Unapofanya tendo la ndoa uume unalegea na kushindwa kuendelea na tendo?

3. Una fanya tendo na unashindwa kufika kileleni?

4. Unapata hisia za tendo lakini ukitaka kufanya tendo uume hausimami?

5. Je unapata maumivu wakati wa kukojoa mkojo mdogo au mkubwa?

6. Je presha ya mkojo imepungua na mkojo unatoka kwa kukatika katika?

7. Je mjoko unatoka pande 2

8. Je unashindwa kuzuia mkojo na mda mwingine mkojo unatoka wenyewe?

Hizi sio dalili nzuri kwa mwanamme k**a una fanya haraka kupata tiba kwani ukichelewa itakuletea madhara makubwa sana mbeleni

Karibu bf suma watalamu wa tiba lishe tuna virutubisho lishe bora sana vya kuondoa changamoto ya nguvu za kiume au tezi dume bila upasuaji

Kampuni yetu imethibishwa na mamlaka zote za afya, lishe na ubora wa viwango kimataifa na hapa tz
Tupigie kwa ushauri na tiba
0 6 5 5 2 0 3 9 4 3
Ofisi zetu zipo Arusha .

CHANZO CHA TATIZO LA VIUNGO,MGONGO,KIUNO,MAGOTI,.-Mara Nyingi Ugonjwa Huu Huitwa ARTHRITIS,Unasababishwa na hitilafu yoy...
09/11/2021

CHANZO CHA TATIZO LA VIUNGO,MGONGO,KIUNO,MAGOTI,.

-Mara Nyingi Ugonjwa Huu Huitwa ARTHRITIS,Unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa.

•Inaweza kuwa cartilage inalika
•upungufu wa synovial fluid(Maji Maji Katika Maungio),
•maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo Mbali Mbali,Ikiwemo Uzito mkubwa.

Ili Upate Kuelewa Vyema Chanzo cha ugonjwa huu,hebu kwanza tutazame muundo wa joint au sehemu mifupa miwili inapokutana(Maungio).

Maungio ya mifupa-Ligaments;

-Ndicho kitu kinachoshikilia mifupa hii miwili pamoja,hii ni k**a utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje,ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.

Cartilage;Huu ni utando unafunika eneo ambalo mifupa hugusana ili kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja,Utando huu ambao kwa kiswahili tunauita gegedu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.

Capsule;Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote,ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane.

Synovial fluid ni ute ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani.
1. Osteoarthritis.

- Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote...
Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa,Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka.

- Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla (shock absorber),Cartilage hii inapopoteza ubora wake,tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu.
Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea,mwishowe mifupa huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali s
- Athari za ugonjwa huanza taratibu na kuongezeka zaidi,Mgonjwa ataanza kupata maumivu kwenye joint baada ya kufanya shuguli fulani au baada ya mapumziko ya muda mrefu. Joints zitaanza kukaza siku hadi siku,Hasa wakati wa asubuhi unapotaka kuanza shughuli zako za kawaida.

0766786266.
0655203943.

UGONJWA HATARI WA GAUTI(URIC ACID)      GAUTI hutokea pale tindikali aina ya URIC ACID inapozidi kiwango mwili wa binaad...
06/11/2021

UGONJWA HATARI WA GAUTI(URIC ACID)

GAUTI hutokea pale tindikali aina ya URIC ACID inapozidi kiwango mwili wa binaadamu hali ambayo kitaalaamu huitwa (hyperuricemia).
Tindikali hii ni matokeo ya kuvunjwavunjwa mwilini kwa aina fulani za chakula k**a nyama na chakula cha baharini. Tindikali hii kwa kawaida huchanganyika na damu na mwisho hutolewa nje ya mwili pamoja na mkojo kupitia figo. Tindikali hii ikitengenezwa kwa wingi mno au isipotolewa nje ya mwili kwa kiwango kinachostahili, ile inayobaki husababisha mrundikano wa tindikali hiyo katika majimaji yanayo zunguka maungio (joints) yanayoitwa (synovial fluid) na hatimaye hutengeneza vijiwe vidogovidogo vya tindikali ya UREA yaani URIC CRYSTALS ambavyo husababisha joint kuvimba na maumivu kwenye joint na maeneo yaliyo karibu.

VISABABISHI VYA GAUTI
Gauti husababishwa na kuwepo kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida cha uric acid katika damu.Hali hutokea iwapo mwili wa mgonjwa unatengeneza uric acid nyingi kuliko kawaida au kushindwa kutoa uric acid mwilini k**a inavyotakiwa.
Ongezeko hili husababisha mrundikana wa uric acid katika majimaji yanayozunguka jointi yanayoitwa synovial fluid na hatimaye kutengeneza vijiwe vidogovidogo vya tindikali ya Urea yani Uric acid Crystals ambayo husababisha jointi kuvimba na hatimaye kuathirika.

AMBAO WAKO KATIKA HATARI KUBWA YA GOUT:
+ mtu ambaye ni mnene kupitiliza.
+ watu ambao hunywa sana pombe.
+ mtu ambaye anaugonjwa wa moyo wa ischemic.
+ mtu ambaye ana shinikizo la damu.
+ Wenye magonjwa ya sukari.
+ wenye magonjwa ya figo.
+ugonjwa wa sickle cell anemia au wenye upungufu wa damu.
+ salatani ya damu (leukemia).

DALILI ZA GOUT:
+ Dalili za gout kwa kawaida huhusisha joint moja au joint chache. Joint zinazo athiriwa zaidi ni pamoja na kidole kikubwa mguuni, magoti au kiwiko cha mguu.
+kuna maumivu makali zaidi ambayo humfanya mtu kuamka mapema asubuhi.
+mtu hupata maumivu makali yasiyo weza kuhimilika.
+mtu hupata maumivu mpaka hushindwa kuvaa soksi na viatu.
+kuzidisha au kutokuwepo kwa jasho.
+ katika hali nyingine dalili hujiondoa katika Siku 4 hadi 5 mtu huhisi kawaida baada ya hali hiyo.

TUNAPATIKANA KWA NAMBA 0655203943 /0766786266. KWA HUDUMA ZAIDI.

Youthever ni bidhaa muhimu kwa ajili ya wanawake iliyofanyiwa uchunguzi wa kina na wataalam wa nutritional na waliobobea...
05/11/2021

Youthever ni bidhaa muhimu kwa ajili ya wanawake iliyofanyiwa uchunguzi wa kina na wataalam wa nutritional na waliobobea katika masuala ya vinasaba,
Bidhaa hii inamuunganiko wa viambata viwili
•Resveratrol-ni muunganiko wa mimea ya blueberries,bilberries,cranberries na grape seed extract,,ambazo ndani yake kuna antioxidants zenye nguvu ya kuzuia magonjwa mbalimbali yatokanayo na umri k**a vile magonjwa ya kusahau (kupoteza kumbukumbu),magonjwa ya moyo,magonjwa ya mifupa,saratani,kuzeeka mapema,magonjwa ya figo,ini,magonjwa yatokanayo na kinga ya mwili,matatizo ya homoni,vimbe mbalimbali mwilin nk.

•Nicotinamide mononucleotide(NMN)-kiambata hiki kinasaidia pia kupambana na shinikizo la juu la damu,kusaidia mzunguko wa damu,kurekebisha seli ziluzokufa au kuchoka,kuzuia ugonjwa wa kusahau,kuzuia magonjwa ya figo.pia inamfanya mtu aonekane mwonekano wa kipekee sana.

Wahi sasa zipo chache 0766786266/0655203943

GLUZO JOINT F CAPSULES - PRODUCT DESCRIPTION.Dietary supplementMaintain healthy jointsGlucosamine hydrochlorideSuper str...
04/11/2021

GLUZO JOINT F CAPSULES - PRODUCT DESCRIPTION.

Dietary supplement
Maintain healthy joints
Glucosamine hydrochloride
Super strength glucosamine
Quantity: 60 capsules
Manufacturer: BF Suma USA
BF Suma Gluzo joint F capsules are made from Glucosamine, an amino acid that mainly exists in joints and connective tissues.

Glucosamine is the important component of fluid inside joints and important raw material for the synthesis of physical substances in the body. For decades, it has been used for joint health.

With high purity and innovative technology, BF Suma GluzoJoint-F Capsules is safer and more professional.

GluzoJoint-F Active ingredients:

Each capsule contains 750mg glucosamine hydrochloride.

Gluzo Joint F Capsules Benefits

The main function of glucosamine is to activate the elements required for the repair of damaged joints. Some people lack the ability or have a hindered ability due to age, to manufacture glucosamine which plays a role in joint discomfort.

Dosage:

✓ Take one capsule twice daily with meals.

✓ Take for 6 weeks or longer for the desired effect.

✓ Don't exceed the recommended dosage.

✓ Long-term use is recommended.

This product contains 100% natural ingredients with no side effects.

Call number +255 655203943
WhatsApp number +255 766786266.
#

We offer health education and health services....• Fibrods •ovarian cyst•p.i.d•chronic u.t.i•chronic fungal infections.•...
03/11/2021

We offer health education and health services....
• Fibrods
•ovarian cyst
•p.i.d
•chronic u.t.i
•chronic fungal infections.
•bone & joints care
• sexual disfunction
• peptic ulcers
•hemorrhages
•diabetic
•pressure
•stroke
•prostate cancer
•living health.
# us +255 766786266.

Bfsuma,home of successful.Our future is coming soon Bfsuma is the bright future.Join us now +255 766786266.
03/11/2021

Bfsuma,home of successful.
Our future is coming soon
Bfsuma is the bright future.
Join us now +255 766786266.

Bfsuma company senior trainers,2021.  .join us +255 766786266.
03/11/2021

Bfsuma company senior trainers,2021.



.join us +255 766786266.

Thanks our owner for this amazing gift 🎁,,ntaendelea kukufurahisha zaidi ya na zaidi ,bfsuma for life ,bfsuma for bright...
03/11/2021

Thanks our owner for this amazing gift 🎁,,ntaendelea kukufurahisha zaidi ya na zaidi ,bfsuma for life ,bfsuma for bright future.
Join us now 0766786266.

What is BF Suma ArthroXtraTablets Glucosamine and Chondroitin?BF Suma ArthroXtra Tablets is a natural bone & cartilage s...
02/11/2021

What is BF Suma ArthroXtraTablets Glucosamine and Chondroitin?
BF Suma ArthroXtra Tablets is a natural bone & cartilage supplement combining glucosamine and chondroitin for more motion.
Glucosamine is an amino acid mainly found in joints and connective tissues, which has showed anti-inflammatory properties and even appeared to help cartilage regeneration. Chondroitin is a major component of cartilage that helps maintain water inside joint and improve the nourish absorption of joint.

Health Benefits of ArthroXtra Tablets Glucosamine and Chondroitin
If you are experiencing discomfort with knee, elbow, wrist, or finger joint pain, consider trying our unique blend of Glucosamine, Chondroitin for natural comfort. These two natural ingredients are key structural components to keep your joints strong and healthy.

Glucosamine: Builds and strengthens the cartilage and tissue that cushions your joints
Chondroitin: Lubricates cartilage for better mobility, while also being a shock absorber for your joints

Why BF Suma ArthroXtra Tablets Glucosamine and Chondroitin?
* Glucosamine selected from crustacean shells and chondroitin from health porcine cartilage
* High concentration - each tablet contains 375 mg of glucosamine and 300 mg of chondroitin
This product combines two of the most popular and clinically researched joint support nutrients into one supplement. With the care we’ve put into sourcing our ingredients, you will not find a more carefully crafted joint product!

Contact us:+255 766786266/655203943.




Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yunusu health supplement services. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Yunusu health supplement services.:

Videos

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram


You may also like