Jomvan Health

Jomvan Health HUDUMA ZETU

•TUNA TIBU NA KUKINGA MARADHI YOTE SUGU
•TUNATOA USHAURI WA KIAFYA WA MAGONJWA YOTE
•MUDA 24HOURS
•+255615537800/0615537800 WHATSAPP

Mayai yaani OOCYTES huanza kutengenezwa mtoto wa k**e akiwa Tumboni mwa mama Ake, ..mtoto wa k**e anapozaliwa huzaliwa n...
13/10/2024

Mayai yaani OOCYTES huanza kutengenezwa mtoto wa k**e akiwa Tumboni mwa mama Ake,
..mtoto wa k**e anapozaliwa huzaliwa na mayai takriban million MBILI(2million eggs),

lakin anapokua mpaka Kuvunja Ungo mayai huwa yamepungua na kufika mayai LAKI 5(500,000).

Haya ndiyo HUTUMIKA, kila siku za hatari yai MOJA au zaidi kupevushwa.

Ili yai LIPEVUSHWE, lazima Mfumo wa Homoni (Hypothalamus-pituatary gland-ovarian Axis,lutenaizing homon, FSH) uwe stable.,

Ubongo na mfuko wa mayai husaidiana ku balance Hizi homoni.

K**a Homoni HAZIJABALANCE, sio RAHISI KUPATA MIMBA maana mara nyingi kunakuwa hakuna Upevushaji wa yai..

K**a Haupati siku zako, au una bleed damu kidogo sana, au mzunguko haueleweki,
..k**a HAUPATI UTE SIKU ZA HATARI(ute unaovutika, Mweupe k**a ute wa Yai),
..na Pia HAUPATI MIMBA uwezekano una Mvurugiko wa HOMONI.(HORMONAL IMBALANCE) hivyo haupevushi Mayai....

Habari Njema ni Kwamba changamoto hii Inatibika, Asa unapochukua hatua Mapema

Hivyo Fanya Kuongea na Daktari Wa Magonjwa ya Kina Mama kupata msaada.

Au Unaweza nitumia Ujumbe kupitia Whatsappp no: 0615537800, Dr EMMANUELI kupata Msaada Zaidi.

Kitungu swaumu unapokitafuna asubuhi bila chochote tumboni husaidia faida hizi - Kuzuia bacteria kwenye kinywa - Kuzuia ...
30/09/2024

Kitungu swaumu unapokitafuna asubuhi bila chochote tumboni husaidia faida hizi

- Kuzuia bacteria kwenye kinywa

- Kuzuia kwa meno kuharibika

- Kuimarisha mfumo wa tumbo

- Kuboresha uwezo utumbo kusaga chakula

- Kuimarisha mzunguko wa chakula tumboni
-

📌 Vipi k**a utakunywa Kitungu sumu na maji moto zipi faida

- Huyeyusha mafuta tumboni

- Hutibu magonjwa ya minyoo tumboni.

- Kusaidia kutibu Typhoid ya tumbo.

- Huzuia matatizo ya kifua.

- Kuongeza uwezo wa nguvu za kiume

📌 Vipi k**a utamix Kitungu swaumu na tangawizi

- Husaidia magonjwa ya upumuaji

- Huimarisha uwezo wa kuhema

- Huondoa matatizo ya pressure ya damu

- Hushusha pressure

📌 Vipi k**a utamix Kitungu swaumu na Asali

- Utakuwa unatibu magonjwa ya 24 yasio kuwa na jina sababu hayajavumbuliwa

- Utaongeza mbegu za kiume

- Kutaongeza virutubisho kwenye mapafu

- Utazuia vikoozi na vumbi kwenye mapafu.


Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,

Pia Usisahau kutufollow kupata update zaidi kuhusiana Na Vyakula tiba Na Afya ya Uzazi kwa ujumla.

Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke,

NITUMIE UJUMBE WHATSAPP

0615537800

UVIMBE KWENYE VIA VYA UZAZI Ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi, unaweza kuwa ndani ya kizazi au ndani ya nyam...
30/09/2024

UVIMBE KWENYE VIA VYA UZAZI
Ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi, unaweza kuwa ndani ya kizazi au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

VYANZO VYA UVIMBE
🌿kuongezeka sana vichocheo vya progenterone na estrogen kuzidi kiwango mwilini.
🌿Uzazi wa mpango.
🌿Utowaji wa ujauzito.
🌿Lishe isiyo sawa.
🌿Kurithi.
🌿Kuingia kwenye hedhi mapema.
🌿Umri mkubwa bila kuwahi kuzaa.

DALILI ZA UVIMBE
🌴Kutokwa na damu kwa wingi muda mrefu wakati wa hedhi na mabonge mabonge yasiyo ya kawaida.
🌴Maumivu makali ya tumbo.
🌴Kutokwa na damu isiyo ya kawaida katikati ya mwezi au hedhi isiyo ya mapangilio.
🌴Kuvimba miguu.
🌴Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
🌴Maumivu ya mgongo na kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe hukandamiza kibofu cha mkojo.
🌴Upungufu wa damu.
🌴Mimba kutoka mara kwa mara.

PATA SULUHISHO LA KUDUMU KWA CHANGAMOTO YAKO.

📝 NOTE
HAIJALISHI UVIMBE WAKO UNA UKUBWA KIASI GANI TUNAYEYUSHA KWA NJIA SALAMA 100%

Kwa mawasiliano zaidi Piga
0615537800

FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO NA TIBA YAKEVidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokana na mfu...
20/09/2024

FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO NA TIBA YAKE

Vidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokana na mfumo wa Maisha, ulaji mbaya na Mazingira tunayoishi Kwa ujumla. Ugonjwa huu unasababisha kuwa na michubuko katika kuta za tumbo au utumbo mdogo na hivyo kusababisha maumivu makubwa ya tumbo.

Wakati mwingine vidonda hivi huonekana kati ya tumbo na utumbo mdogo hivyo kitaalam unaitwa PEPTIC ULCERS, aina hii ya vidonda vya tumbo huwaathiri sana Wanaume kuliko wanawake. Bacterium' Helicobacter Pylori ndio husababisha ugonjwa huu.

DALILI ZA KUWA NA VIDONDA VYA TUMBO

▪️Mwili kuchoka bila sababu maalum
▪️Kuumwa mgongo au kiuno
▪️Kupungukiwa nguvu za kiume
▪️Kizunguzungu
▪️Kukosa Usingizi
▪️Kichefuchefu
▪️Kiungulia
▪️Tumbo kujaa gesi
▪️Tumbo kuwaka moto
▪️Kukosa choo au kupata choo kwa shida
▪️Kutapika nyongo
▪️Kutapika damu au kuharisha
▪️Sehemu za mwili kupata ganzi
▪️Kukosa hamu ya kula
▪️Kusahau sahau na hasira bila sababu

Hizo ni baadhi tu ya dalili za kuwa na vidonda vya tumbo lakini zipo nyingi, hivyo basi pindi uonapo moja kati ya hizo dalili ni vyema ukaenda kupima vidonda vya tumbo mapema.

Ma maelezo zaidi fika ofisini kwetu mlimani City, wasiliana nasi
+255615537800

Uwachage ufala, k**a umeanzisha maliza. Sasa inakuwaje unaingiza ghafula umemwaga huo k**a sio ufala ni nini ? Unamwacha...
17/09/2024

Uwachage ufala,
k**a umeanzisha maliza. Sasa inakuwaje unaingiza ghafula umemwaga huo k**a sio ufala ni nini ?

Unamwacha mtoto wa watu hazijaisha ! Unachomoa nini ? Sasa jiheshimu endelea...kaa kubet na kuangalia mpira wakati mtoto ana kila kitu Livapool imeja kifuani asernal mtoto kajaliwa upewe nini sasa.

usiporidhika njoo andika kwa comment tupo wasaidizi vibaraka.
0615537800

*NAMMA SAHIHI YA KULALA KWA MWENYE ACID REFLUX ILI ACID ISIMSUMBUE AKIWA AMELALA*⚫ Acid reflux ni hali ambapo kiwango ch...
17/09/2024

*NAMMA SAHIHI YA KULALA KWA MWENYE ACID REFLUX ILI ACID ISIMSUMBUE AKIWA AMELALA*

⚫ Acid reflux ni hali ambapo kiwango cha Acid huzidi katika tumbo na kupelekea Acid kupanda hadi kwenye koo la Chakula na kusababisha hali mbalimbali kutokea.

⚫ Tumbo (STOMACH)/Gastric lina sehemu 2 yaani sehemu ya mbinuko na sehemu ya mbonyeo.

⚫ Sehemu ya MBINUKO IKO UPANDE WA KUSHOTO na SEHEMU YA MBONYEO IPO UPANDE WA KULIA.

1️⃣ *UNAPOLALA KWA UBAVU WA KULIA.*
-Mtu anapolalia Ubavu/upande wa kulia,Sehemu ya MBINUKO huwa juu,hali hii husababisha ACID ipande kwa wingi zaidi kuelekea kwenye koo na matokeo dalili mbaya zaidi za acid hujitokeza k**a vile, kupumua kwa shida,kupaliwa na kukohoa kupita kiasi.

2️⃣ UNAPOLALA KWA UBAVU WA KUSHOTO
-Mtu mwenye Acid reflux,anapolala kwa ubavu/upande wa kushoto,SEHEMU YA MBINUKO HUWA CHINI NA SEHEMU YA MBONYEO HUWA JUU. Hali hii husababisha kiwango cha Acid kushindwa kupanda juu kuelekea kwenye koo,hali hii husaidia kupunguza dalili za Acid reflux na humsaidia mgonjwa wa Acid reflux angalau aweze kulala vizuri.

*Hivyo KULALA KWA UPANDE/UBAVU WA KUSHOTO kwa wenye Acid reflux ni bora sana na ndivyo tunavyoshauri kitaalamu ili kuepuka Acid kupanda zaidi na kusababisha kuzidi kwa dalili za Acid reflux*

*KUMBUKA*⤵️
⚫ Unapolala,hakikisha unalala juu ya mito miwili ili ulale kwenye mbinuko zaidi,hii inasaidia kuzuia acid kupanda kooni.
0615537800

  kweli usiopingika  , Hatujui maana ya " " , sio kilimanjaro hadi tuweke utani, kileleni ni mwisho wa hamu za mwisho wa...
13/09/2024

kweli usiopingika ,
Hatujui maana ya " "

, sio kilimanjaro hadi tuweke utani, kileleni ni mwisho wa hamu za mwisho wa .

kisichofahamika, uke wa mwanamke ni k**a tanuru, na hili tanuru, ndani yake lina uchafu mweuep ambao ndani umevunda ndani kwa ndani.

kwa kuwa umevunda,
Huwa kinahitaji kitu chenye nchi ndefu ambapo mwanamke akiingiza kwa ndani uje na ule uchafu kwa nje yani k**a .

kwa wanawake wengi,
Hawajui kuwa zile tabia za mwanaume anakumwagia kwenye maana yake anazidi kuongeza uvundo ambao, mwisho wa siku uchafu unakuwa mwingi zaidi na ikumbukwe kuwa shahawa za mwanaume kuna vidudu ambao nao hugeuka kuwa bacteria na virusi kwa wakati .

,
K**a mwanaume atakuingilia na asifukue vyema ule uvundo ukatoka hadi mwisho maana yake uwezekano wa kupata maambukizi uzazi na saratani upo pakubwa nk vyema kabisa, ndio maana wanawake wengine hujikuta kutumia matango au chupa ambapo mwisho wa siku huwa hatari zaidi.

wanaume wakatambua kuwa, kuto mfikisha mwanamke kileleni ni kosa kubwa la Afya kwani ni chanzo kikuu mwanamke awe na
> Uchafu kwenye njia za uzazi
> Fangusi sugu
>
> Saratani ya kizazi
> Nyege mshindo
> shida ya mood zinazobadilika sometime yes sometimes no akili zinakuwa zikipepesuka.
> Kukosa usingizi
> Kuwaza kupitiliza
> kuanza vitendo vya kujichua na vidole au mwiko
> n.k

  HUJUI Kasome kitu kinaitwa anti-Galα1-3Gal na Rh hizi zitakusaidia kujua wazi   Wenye Group Negative O hawa kushika HI...
12/09/2024

HUJUI
Kasome kitu kinaitwa anti-Galα1-3Gal na Rh hizi zitakusaidia kujua wazi

Wenye Group Negative O hawa kushika HIV ni kwa binde sana huku Group A postive hawa huathiliwa faster ila A Negative kushika HIV hadi Yesu anarudi kuchungulia mara 3 zaidi, maana wana resisit ya .

Sasa wale wanawake ambao,
Mna vimbelembele sana, kupata mchumba bila kungalia kundi lake la damu utakuja upate za uso na usije kulaumu .

Jichanganye kuolewa na mtu wa Group O afu liwe Negative huyu anaweza kukuletea UKIMWI afu yeye mzima wa afya na unaanza kunywa Arvs zako yeye anakuangalia ..

Ila Group O postive huyu akileta HIV wote mnagawana ndani Postive na wewe Postive, ila usije kujichanganya kwa Group A negative wewe ndio utapigwa za uso yani yeye hakuletei ila ukiupata huko yeye hapati na kondomu hata akivua bado hapati ila ..

K**a wewe ni Group B la damu,
Ukijchanganya kulala na Mwenye group O yeyote afu damu zikawa haziendani sawia, kitendo cha kubeba mimba kwanza usha jichanyanya ukianza clinic utanipa majibu Mme hana HIV ila wewe utaambiwa una HIV mnataka kujua ???

Au basi,
Ngoja nisichafue hali ya hewa this ,0615537800

Ni madhara gani utapata endapo hutatibiwa vizuri? 👇👇👇👇👇👇👇🗿  K**a utaugua H.pylori kwa muda mrefu pasipo kupona vya kutos...
12/09/2024

Ni madhara gani utapata endapo hutatibiwa vizuri?
👇👇👇👇👇👇👇

🗿 K**a utaugua H.pylori kwa muda mrefu pasipo kupona vya kutosha, kuna hatari ya

💎 kutokea hali hii kila kila chakula utakachokula waweza kutapika na kuharisha

💎 Mwili utadhoofu sana na kilo kupungua sana.

💎 Pia kuna hatari ya kupata saratani ya utumbo

🧫 Kupata Vidonda Kwenye tumbo

👉 K**a tulivyoeleza hapo awali, H.Pylori inaweza kuharibu kinga ya tumbo na duodenum.

👉. Hii itawezesha asidi ya tumbo kutengeneza kidonda cha wazi, au kidonda, kwenye ukuta wa tumbo au utumbo mdogo.

👉 Karibu 10% ya watu ambao wana H.Pylori watapata vidonda kwenye tumbo na kupelekea saratani endapo ukikaa navyo muda mrefu

👉 Kutokwa na damu ndani kwa ndani. Inaweza kutokea wakati kidonda cha peptic kinapovunjika kupitia mshipa wa damu na kuhusishwa na anemia ya upungufu wa madini ya chuma.

🧫 Perforation.

Hutokea pale kidonda cha peptic kinapovunjika kupitia ukuta wa tumbo.

🧫 Peritonitis.

👉 Ni maambukizi ya peritoneum au kitambaa cha tumbo la tumbo.

👉 Kuvimba kwa kitambaa cha tumbo. Bakteria hao wanaweza kuwasha mfuko wa tumbo na kusababisha kuvimba mara kwa mara, hali inayojulikana k**a *gastritis.*

🧫 Saratani ya tumbo.

👉 Maambukizi ya H.Pylori yanachukuliwa kuwa moja ya vihatarishi vikubwa vya aina fulani za saratani ya tumbo.


🧑🏻‍💻 Unaweza kushangaa sasa kwa sababu umesikia neno "Saratani".

👉 Namaanisha tulisema tu kwamba maambukizi ya H.Pylori yanaweza kusababisha saratani ya tumbo.
0615537800

*JINSI PUNYETO INAVOATHIRI UWEZO WAKO NA NAMNA YA KUTATUA MADHARA YAKE*Punyeto huathiri ubongo na Mishipa Ya Uume kwa as...
12/09/2024

*JINSI PUNYETO INAVOATHIRI UWEZO WAKO NA NAMNA YA KUTATUA MADHARA YAKE*

Punyeto huathiri ubongo na Mishipa Ya Uume kwa asilimia kubwa, Hivyo ukihitaji kutatua madhara ya punyeto unahitaji kushughulikia Saikolojia Yako Katika Ubongo, Mishipa Ya Damu na Misuli Ya Uume.

*Hii inamaanisha HAKUNA MADAWA yanayoweza kumaliza Tatizo haya...Soma hapa ⤵️⤵️*

*1. Kuchoka Kingono (sexual exhaustion):*

Unaweza kuhisi kuchoka sana na kupoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa na mwenzi wako.

*2. Matatizo ya kisaikolojia:*

Hii ni pamoja na kuwa na hisia za aibu, au kujishuku kwasababu punyeto hufanywa Kwa Siri na ni kitendo cha aibu

*3. Kupungua kwa msisimko wa kimapenzi:*

Baadhi ya wanaume wanaweza kuwa na tatizo la kupata msisimko wanapokuwa na mwenzi kutokana na kuzoea mbinu fulani wakati wa kujichua ambazo hazifanani na tendo la ndoa halisi.

*4. Uume kutokusimama kwa uharaka au kusimama ukiwa legelege:*

Hii ni kwasababu punyeto hupunguza hisia na kuharibu mishipa ya uume inayopeleka damu kwenye uume.

*5. Uume kuwa mfupi na mwembamba*

Ni kwasababu mishipa inayopokea damu na tishu zinazo imarisha misuli ya uume huharibiwa sana na punyeto.

*JINSI YA KUTATUA CHANGAMOTO HIZO*

*A. Kisaikolojia*
*1. Jisamehe mwenyewe:*

Ni kweli umepiga punyeto umejiharibu, uwezo umepungua. Acha kujihukumu kupita kiasi. Ona ulifanya kwa kutokujua, ona ni kosa la kawaida k**a makosa mengine.

Hii itakusaidia kuondoa msongo wa mawazo, wasiwasi na kutokujiamini. Ukifanya hivo, kiwango cha homoni ya testosterone kitaanza kuzalishwa tena vizuri mwilini mwako.

*B. Utimamu wa Mwili.*
*2. Chukua hatua kufanyia kazi Tatizo Lako Mapema:*

Kila ninachofundisha hapa kina maana mno katika kutatua changamoto yako. Mfano nimefundisha Jinsi Program ya Virutubisho inavyosaidia kuondoa tatizo la kuwahi kumaliza tendo la ndoa, Uwezo wa Kurudia tendo nk.
*Anza Kutumia Program Nzima, Nusu Program au Robo ya Program taratibu ili uweze kuanza kuondoa changamoto yako mapema.*

*Ikiwa haujawahi kupiga punyeto ni vyema Tuzungumze ili nifahamu changamoto Yako imeanzia wapi.*

Kwahiyo Ukitumia Program hii ya Virutubisho inakupa matokeo haya:
*1. Kurejesha uwezo wa kutumia Hadi zaidi ya dakika 15 Katika Tendo*
*2. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa*
*3. Kurejesha uwezo wa kurudia zaidi ya bao moja*
*4. Kuongeza uwezo wa kusimamisha haraka uume na*
*5. Kurejesha Uwezo wa Uume kuwa mgumu na Imara.*

*💦🍆Kwahiyo unazo chaguzi Tatu*

*Chaguo #1. Chukua Full Program ya Tsh. 447,000/=*
*Hii itakupa uhakika wa Kuanza Kupata Matokeo Mazuri Kuanzia Siku 3 baada Ya Kuanza Kutumia Program.*

*Chaguo #2: Nusu Program Tsh. 275,000/=*
*Hii inakupa Uhakika wa Kuanza Kupata Matokeo Mazuri Kuanzia Siku 5 Mpaka 7 Baada ya Kuanza Program*

*Chaguo #3: Robo Program Tsh.125,000/=*
*Hii inakupa uhakika wa kupata matokeo Mazuri Kuanzia Siku 7 mpaka 10 Baada Ya Kunza Kutumia Program Yako.*

K**a ulivyoona Mchanganuo hapo Juu.
Chaguo Dozi Utakayo hitaji Uipate Kisha, Nikupe Mwongozo wa Kuipata Hapo Ulipo.

0615537800 kwa mawasilino zaidi

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}**BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya...
29/06/2024

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*CHANZO CHA BAWASIRI**
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI**
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika

K**a unachangamoto hii wasiliana nasi kupitia Whatsapp namba au piga 0615537800/0678037800

𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗡𝗝𝗘) 👇𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦/𝗣𝗜𝗟𝗘)👉 Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa m...
23/06/2024

𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗡𝗝𝗘) 👇

𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦/𝗣𝗜𝗟𝗘)
👉 Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

𝗖𝗛𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✓ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
✓ Tatizo sugu la kuharisha
✓ Ujauzito
✓ Uzito wa mwili kupita kiasi
✓ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
✓ Kupata Choo Kigumu
✓ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
✓ Kunywa pombe
✓ Kula sana nyama nyekundu
✓ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
✓ Ngiri (Chango/Hernia)
✓ Kula sana pilipili
✓ Kunyanyua vitu vizito

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa

Kwa ushauri na Tina piga 0615537800

Address

Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jomvan Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jomvan Health:

Share