Afya na Dr Moh

Afya na Dr Moh Afya ya uzazi kwa wanawake na mtaalamu Dr Moh..

*Ukiachana Na Usingizi,, Unajuwa Kitu Gani Kingine Kinaweza Kuathiri Afya Yako…??*  *Leo nakuletea kigongo kingine ambac...
03/06/2023

*Ukiachana Na Usingizi,, Unajuwa Kitu Gani Kingine Kinaweza Kuathiri Afya Yako…??*

*Leo nakuletea kigongo kingine ambacho kwa namna Moja ama nyiigine kinaweza kukupata Au unacho mpaka sasa…*

*Je Unajuwa Kitu Kinaitwa Uchafu sehemu Za Siri Kwa Mwanamke?…*

*Na Je Uliwahi Kufaham Ni Aina Ngapi Ya Uchafu Umtokao Mwanamke?…*

*KULA CHUMA HIKI* 😂😂👇👇👇…

Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni ni Miongoni mwa dalil za magonjwa ambayo huathiri na hupatikana kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke…

kitaalam huitwa na kujulikana k**a **PID(PELVIC* *INFLAMMATORY DISEASES* *AU MAAMBUKIZI YA MAGONJWA*
*KATIKA VIA VYA UZAZI)…**

*UGONJWA WA PID NI NINI??*

Ni ugonjwa wa maambukizi unaotokea katika via vya
uzazi wa mwanamke ...

ambapo huusisha maambukizi
katika shingo ya kizazi ( *CERVICITIS),* nyama katika mfuko
wa uzazi ( *ENDOMETRITIS* ) na mirija ya uzazi
( *SALPINGITIS* ),maambukizi haya huwa sugu na huchukua mda kupona endapo atashindwa kujitibia kwa muda muafaka...

*Zifuatazo Ni Aina 6 Za uchafu Umtokao Mwanamke…*

Huu uchafu maranyingi huwa wa rangi
●YA NJANO
●MAZIWA
●KAHAWIA
●KIJIVU
●KIJANI
●PINK NA DAMU

**VYANZO NA VIHATARISHI* *VYA KUPATA* *UGONJWA WA*
*PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)… .**

Vimelea aina ya *NEISSERIA* *GONORHOEAE* pamoja na
*CHLAMYDIA TRACHOMATIS*…

ndio chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa *PID* ingawaje kuna aina
kadhaa za vimelea vinahusishwa kusababisha ugonjwa
wa PID hivyo nilivyotaja ndio vinaongoza Kwa umaarufu
kusababisha ugonjwa wa PID…

~pamoja na vimelea hao kuwa chanzo kikuu cha
ugonjwa wa PID zipo njia kadhaa hatarishi
Kusababisha maambukizi…..

*NAYA NAZO NI ÷*

*VISABABISHI*… .

ugonjwa huu husababishwa
👉Kufanya ngono isiyo salama/kinga
👉Kusafisha kizazi mara kwa mara
👉Matumizi ya kemikali kujisafishia ukeni mfano sabun n.k
👉kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi(IUCD)
k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango mf; kitanzi, kijiti n.k
👉Maambukizi ya njia za uzazi mara baada ya kujifungua
au mimba kuharibika
👉Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea wa PID
👉Kupata maambukizi wakati wa kutoa mimba kwa njia
isiyo salama
👉Matumiza ya antibiotics ya mara kwa mara ambayo kimsingi huua bakteria wanaolinda uke kushambuliwa na magonjwa

*DALILI*…

Baadhi ya wanawake dalili huwa mbaya na wengine huwa za kawaida… .

🎈Kuwashwa sehemu za siri
🎈Uke kutoa harufu mbaya
🎈Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
🎈Sehemu za uke kuwa laini sana
🎈Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
🎈Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🎈Hedhi kuvurugika au hedhi isiyo na mpangilio
🎈Kutokwa majimaji ukeni yasiyo ya kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
🎈Kupata maumivu wakati wa kukojoa
🎈Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula(kichefuchefu)
🎈Wakati mwingine kutokwa usaha
Mwanamke kupata maumivu ya tumbo hasa maeneo ya
chini ya kitovu
🎈Kutokwa na uchafu (utoko) mweupe ukeni unaotoa
harufu mbaya.

*MADHARA*…

♦️Ugumba k**a tatizo liki dumu kwa mda mrefu:…

Hali hii hutokea pale mashambulizi au maambukizi yanapofika kwenye mirija na kuleta uvimbe ambao huziba au kusababisha kutengenezwa kwa maji machafu mazito ambayo nayo huziba mirija na kuharibu mimba kila inapotungwa… .

Mwanamke hufikia hali ya kutoa harufu mbaya wakati wote hata k**a ameoga na kuvaa vizuri.

♦️Kansa ya shingo ya kizazi
♦️Mirija ya uzazi kuziba
♦️Kujaa maji kwenye mirija ya uzazi
♦️Kukosa ute wa ovulation unaoashiria siku za hatari
♦️Majeraha kwenye kizazi.

Je Umekua ukiteseka na PID kwa muda mrefu?….

Je umekuwa ukiteseka na harufu mbaya sehemu zako za Siri??? ....

Je umekuwa ukiteseka na uchafu unaokukera sehem zako za Siri??….

Moh HEALTHY CARE ndo suluhisho la changamoto yako sasa…

Karibu ushauriwe namna nzuri ya kuweza kuepuka na kujikinga na changamoto hizi leo…

Na k**a hali yako tayri unayo usjali tunaweza kuizuia na kutoendelea kabsa...

Na k**a umetumia dawa nyingi kias gan au report ya doctor inasemaje ..nakuhakikishia matokeo sahihi juu ya changamoto yako leo...

**WASILIANA NASI KWA:*
*whatsapp/piga*
0752806290

[ ] 《 *Tunajali Na Kuthmini* *Afya Yako...Karibu Sana* 》□

*SOMO: URINARY TRACK INFECTIONS (UTI)**Nini maana ya UTI?*✅UTI ni kifupisho cha Urinary Tract Infection. Huu ni ugonjwa ...
31/05/2023

*SOMO: URINARY TRACK INFECTIONS (UTI)*

*Nini maana ya UTI?*
✅UTI ni kifupisho cha Urinary Tract Infection. Huu ni ugonjwa ambao hushambulia figo (kidneys); ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo, kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili.

🔵Kwa kifupu ugonjwa wa UTI hushambulia viungo vinavyohusika katika kupitisha mkojo kabla haujatoka nje ya mwili.

🔵Maambukizi mengi zaidi huonekana kwenye sehemu ya chini ya mkondo wa mkojo – kibofu cha mkojo na urethra.

*DALILI ZA UTI*

✓Haja ya kwenda haja ndogo kila mara
✓Kupanda kwa joto la mwili
✓Kuhisi baridi mwilini
✓Maumivu ya mgongo
✓Mkojo mzito wenye harufu kali na damu
✓Maumivu au muwasho unapokwenda haja ndogo
✓Kichefuchefu na kutapika
✓Maumivu ya misuli na tumbo
✓Kuvurugikwa kwa hedhi
✓Kuwashwa sehemu za siri
✓Uchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano n.k

*CHANZO KIKUU CHA UTI KWA WANAWAKE*

Mkojo kwa kawaida ni kitu kisicho na wadudu wo wote wabaya.

🔴Maambukizi yanakuja pale wadudu wanapoingia kwenye mkondo wa mkojo kupitia kitundu cha kutolea mkojo nje ya mwili na kufuata mkondo huo kuelekea kwenye figo.

⛔Wadudu hao wakishaingia huanza kuzaliana.

👌Asilimai 90 ya maambukizi yasiyo mabaya sana huwa ni ya bacteria waitwao *Escherichia Coli au kwa kifupi E. Coli.*

⛔Kwa kawaida bacteria hawa huishi katika utumbo au karibu na maeneo ya mkundu. Wadudu hawa wanaweza wakatembea kutoka eneo la mkundu wakaelekea kwenye tundu la mkojo na kuingia.

✅Lakini, kutojisafisha kwa namna nzuri (kwa mfano, kutawadha kuanzia nyuma kuja mbele) au ngono ndizo njia mbazo huambukiza bacteria hawa kirahisi zaidi.

💉SASA, wanawake hupatwa zaidi na maambukizi haya kwa sababu ya ukaribu wa mkundu na kijitundu cha kutolea mkojo na kwa sababu ya ufupi kati ya urethra na kibofu cha mkojo katika miili yao ukilinganisha na wanaume.

✈️Wanawake wanaoshiriki ngono mara nyingi na watu tofauti hupatwa na maambukizi zaidi kuliko wale wanaoshiriki kwa kiwango kidogo.

*HATARI KWA MWANAMKE MWENYE UTI*

*✅UTI isipotibiwa na kushambulia kwa muda mrefu huweza kusababisha hatari kubwa sana kwa mwanamke.*

*Baadhi ni yafuatayo;*

🛑Kusababisha tatizo la Figo kuharibika kabsa na kushindwa kufanya kazi

🛑Kuongeza uwezekano wa mama mjamzito kujifungua mtoto kabla ya wakati yaani Premature birth au kujifungua mtoto mwenye tatizo la uzito mdogo sana(low birth weight)

🛑Mtu kupatwa na maambukizi makali ambayo hupelekea kuhatarisha maisha yake(sepsis), hasa pale mashambulizi ya bacteria yanapozidi kwenye njia ya mkojo na kupanda juu kwenye figo

🛑Kuziba kibofu cha mkojo au miroja ya mkojo

🛑Tabaka la juu la mlango wa kizazi na kusababisha uvimbe wa shingo ya kizazi n.k

*SULUHISHO/TIBA KWA MWANAMKE MWENYE UTI*

Tiba kwa ugonjwa wa UTI kwa mwanamke kwa hatua zote ni antibiotics.

Daktari ataamua kukupa tiba na kukuruhusu kuendelea na tiba nyumbani kwako au kukulaza kulingana na alivyoiona hali ya ugonjwa wako.

Tiba ya lower UTI ikitolewa kwa wakati mwafaka na inavyotakiwa, hakuna matatizo makubwa yanayoweza kutokea.

Wagonjwa wengi tunaowahudumia, utasikia wakisema wameenda sana hospitali au pharmacy lakini tatizo liko pale pale.

Shida ni kwamba, chimbuko la ugonjwa halitibiwi kinachotibiwa ni infections tu.

Lakini tiba ispotolewa kwa wakati, maambukizi haya ya mkondo wa mkojo huweza kuleta matatizo makubwa. *Pamoja na mengineyo, mgonjwa anaweza:*

✓Kupata maambukizi ya mara kwa mara
✓Kupata uharibifu wa figo wa kudumu na kuhitaji huduma maalumu ya kutibu figo (dialysis).
✓Kutokea uwezekano wa kuzaa watoto wenye uzito mdogo au wanaozaliwa kabla ya wakati.

afya Yako au ya rafiki yako ni maamuzi magumu sana.

yako ndo maisha yako. Hautafanya lolote lile k**a unaumwa.

kuchukua hatua ya haraka kutibu magonjwa kwa sababu unaona unakula na kunywa.

, kwa taarifa wapo watu wanalazwa hospital kwa sababu ya UTI tu.

ushauri na huduma juu ya TATIZO tajwa hapo juu likiwemo la UTI;

* kote hakuna jambo lenye gharama kubwa sana k**a AFYA.*

*AKHSANTE KUJIFUNZA*
🙏🤝

*Nipigie kwa namba yangu kwa ushauri zaid…*

*0752806290*

Address

Arusha

Telephone

+255752806290

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na Dr Moh posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram