Afya ya mwanamke.

Afya ya mwanamke. ushauri wa maginjwa yote ya wanawake pamoja na wenye changamoto za uzazi.

Ukijipata hakikisha haujipotezi.....
06/02/2026

Ukijipata hakikisha haujipotezi.....

Call us to day
05/02/2026

Call us to day

MADHARA YA DALILI ZA FANGASIUKENIkuwashwa sehemu za siriKuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoaKuhisi kuwaka moto sehemu ...
30/01/2026

MADHARA YA DALILI ZA FANGASI
UKENI

kuwashwa sehemu za siri
Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa

Kuhisi kuwaka moto sehemu za s
Kupata vidonda

Kupata michubuko ukeni

Maumivu wakati wa kukojoa

• Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida

• Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

A K**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa

• Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga, tunazuia, tunadhibiti na kuponya kabisa

•Kwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?

• Kwa ushauri au kapata huduma zetu tupigie
Piga/WhatsApp
https://wa.me/message/TYENVI5DWJAKL1

28/01/2026
04/01/2026

Suluhisho lipo wasiliana na Dr Leo akushaur 0755853048

🌿 FAIDA KUU KWA AFYA YAKO 🌿✔️ Huimarisha kinga ya mwili kwa kusaidia mwili kujilinda dhidi ya magonjwa mara kwa mara.✔️ ...
17/12/2025

🌿 FAIDA KUU KWA AFYA YAKO 🌿

✔️ Huimarisha kinga ya mwili kwa kusaidia mwili kujilinda dhidi ya magonjwa mara kwa mara.
✔️ Hupunguza uchovu na kuongeza nguvu ya mwili, hivyo kukusaidia kurejea katika hali ya uchangamfu na ufanisi.
✔️ Husaidia kurekebisha na kulinda vinasaba (DNA), hatua muhimu katika kuimarisha afya ya seli za mwili.
✔️ Husawazisha vinasaba (genes) na kusaidia kudumisha mpangilio sahihi wa taarifa za kinasaba, jambo linalochangia utendaji bora wa mwili kwa ujumla.

✨ Chaguo sahihi kwa anayejali afya ya muda mrefu, kinga imara na mwili wenye nguvu kila siku.

✨ Mwili Mwepesi • Tumbo Tulivu • Ngozi Inayong’aa ✨Unataka kuondoa mafuta ya ziada, kutuliza mmeng’enyo wa chakula, na k...
07/12/2025

✨ Mwili Mwepesi • Tumbo Tulivu • Ngozi Inayong’aa ✨

Unataka kuondoa mafuta ya ziada, kutuliza mmeng’enyo wa chakula, na kuifanya ngozi yako iwe safi + yenye mvuto bila kutumia vitu vingi?
Hii supplement ndio imekuwa game-changer kwa wengi 🔥

🌿 Inayeyusha mafuta mabaya
🌿 Inatuliza tumbo & gesi
🌿 Inaongeza mwanga wa ngozi
🌿 Inakuacha na mwili mwepesi na nguvu mpya

Matokeo yake ni ya haraka na ya uhakika… watu wanarudi kwa oda ya pili bila kusukumwa 😍

---

📩 DM “NATAKA” nipatie order kabla batch haijaisha!

20/11/2025

Pale umefika sehem kali na nzuri alafu simu haina chaji mara gafla upate power bank vibe lake ndo huwa hivi.... hii ni chongqing nchini china...

07/10/2025

Unahitaji kuusikiliza moyo wako ili kuamua destiny yako

*USIHANGAIKE  KUTAFUTA  MIMBA K**A MZUNGUKO WAKO WA HEDHI HAUPO SAWA * SOMA MAKALA HII FUPI                        👇👇👇👇👇...
13/06/2024

*USIHANGAIKE KUTAFUTA MIMBA K**A MZUNGUKO WAKO WA HEDHI HAUPO SAWA *

SOMA MAKALA HII FUPI 👇👇👇👇👇👇👇

Mzunguko wa kawaida kwa mwanamke huchukua siku 28 ukianzia kuhesabau siku ya kwanza kupata hedhi katika mwezi husika mpaka siku ya kwanza kupata hedhi kwa mwezi unaofuata, lakini mizunguko inatofautiana kwa kila mwanamke. Pale ambapo mzunguko wako wa hedhi unachukua zaidi ya siku 35 hapo tunasema hedhi imevurugika.

``````NINI KISABABISHI CHA HEDHI KUVURUGIKA````

❤️Mchango wa homoni kuvurugika:

Homoni au vichocheo vikuu zinazoratibu mpangilio wa hedhi yako ni estrogen na progesterone, inaweza kuchukua miaka mingi kwa homoni hizi kuwa na uwiano sahihi. Vihatarishi ambavyo vinapelekea kuvurugika kwa homoni na hatimaye hedhi kuvurugika ni pamoja na

⏩Matumizi ya uzazi wa mpango wa kisasa k**a sindano, vidonge na njiti

⏩Uzito mkubwa kupita kiasi, kitambi au Kupungua uzito kupita kiasi

⏩Msongo wa mawazo
Changamoto za kushindwa kula vizuri na hivo kukosa virutibishi muhimu

⏩Mazoezi makali mfano riadha

⏩Kuugua maambukizi kwenye kizazi(PID) kwa muda mrefu: endapo maambukizi haya yasipotibiwa mapema yanaweza kuathiri mirija ya uzazi pamoja na kizazi kwa ujumla na hivo kuvuruga mpangilio wa hedhi.

⏩Uvimbe kwenye mayai(polycstic ovarian syndrome);mfuko wa mayai kwa mwanamake huitwa o***y na mifuko hii huwa miwili kushoto na kulia. Kila mwezi mwanamke hutoa yai moja kwenye kikonyo chake katika upande mmoja ili liweze kurutubishwa, inapotokea mayai kugoma kutoka kwenye mfuko ndipo uanageuka kuwa vimbe zenye maji (cyst) zikiwa nyingi huitwa polycyst. Changmoto hii ndio chanzo kikuu cha mwanamke kuvurugikiwa hedhi.

⏩Saratani kwenye kizazi inaweza kusababisha mwanamke kupata hedhi nzito sana ama hedhi katikati ya mzunguko wake

⏩Matatizo ya tezi ya shingoni (thyroid gland), tezi hii ndio inayoratibu utolewaji wa homoni za estrogen na progesterone, tezi ikipata hitilafu inapelekea kuvurugika kwa homoni na hivo hedhi pia kuvurugika.
Kuvimba kwa kiazi(endometriosis): hali hii hutokea pale seli za ndani ya ya mfuko wa mimba zinapota na kutoka nje ya mfuko wa mimba, hali hii hisababisha maumivu makali wakati wa hedhi lakini pia yaweza kusababisha mabaki ya hedhi kwenye kizazi.

🥦CHANGAMOTO hii imefanya watu wengi wanahangaika kupata mimba, na k**a hutaweka mfumo wako wa hedhi sawa, basi huwezi pata mimba kamwe...

🌎Sasa Nini cha kufanya ili mzunguko wako u kae sawa.??

🏃‍♀️Wahi mapema kwenye CLINIC ZETU zilizopo mikoa mbalimbali Tanzania

🩺Ushauri wa kitaalamu

💊Matibabu ya uhakika ya tatizo lako.

📲KWA MAWASILIANO
📞PIGA 0765 901 756

Au bonyeza link hapo chini👇 kuwasiliana na daktari https://wa.me/message/2MCZJVJJVHOTJ1

Address

Levolosi
Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:30
Tuesday 08:00 - 17:30
Wednesday 08:00 - 17:30
Thursday 08:00 - 17:30
Friday 08:00 - 17:30
Saturday 08:00 - 17:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya mwanamke. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya mwanamke.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram