AFYA TIBA

AFYA TIBA wa me/255753258365

11/06/2023

YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE} #

{HEMORRHOIDS/PILE #
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

CHA BAWASIRI #
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito

ZA BAWASIRI #
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

YA BAWASIRI #
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika

Call➖ &sms➖ 👇

0782909211
0753258365

Sharing is caring

SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏

10/06/2023
💊💊💊BF SUMA 💊💊💊Leo tuzungumzie kuhusu tatizo la TEZI DUME 🔹TEZI DUME  ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwana...
02/06/2023

💊💊💊BF SUMA 💊💊💊

Leo tuzungumzie kuhusu tatizo la TEZI DUME

🔹TEZI DUME ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

🔹Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa na kawaida au saratani.

💉💉AINA ZA MAGONJWA YA TEZI DUME 💉💉

1️⃣Maambukizi ya bakteria (prostatitis)
2️⃣Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign prostatic Hypertrophy-BPH)
3️⃣saratani ya Tezi Dume

TATIZO LA TEZI DUME KUTANUKA
Tezi dume likiongezeka ukubwa yaani inapotanuka,hasa kwa wanaume wenye umri mkubwa zaidi ya miaka 60,hutatiza kukojoa

KAZI YA TEZI DUME
Tezi Dume ni kiungo kidogo na nisehemu mojaya uzazi wa wanaume.
Hupatikana chini ya kibofu na mbele ya mwanzo wa njia itoayo mkojo hupitia ndani ya tezi dume.
Tezi dume ndiyo hutoa majimaji yanayobeba mbegu(manii) ya mwanaume.

➡️TEZI DUME KUTANUKA ni tatizo la kawaida ambalo husababishwa na saratani (kansa)
🔸Ugonjwa wa kutanuka kwa tezi dume ni ugonjwa wa wanaume wazee.

DALILI ZA KUPANUKA KWA TEZI DUME👇🏿👇🏿
1️⃣Kukojoa mara nyingi nyakati za usiku

2️⃣Kulazimisha mkojo kutoka kwa kutumia nguvu hasa wakati wa usiku

3️⃣Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka

4️⃣Mkojo kushindwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa

5️⃣Matone ya mkojo kuendelea kutoka hata baada ya kukojoa

6️⃣Mkojo Hauishi kwenye kibofu

❇️Dalili hizi huonekana baada ya umri wa miaka 50

SARATANI YA TEZI DUME
Saratani ya Tezi Dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani

VISABABISHI HATARISHI KWA SARATANI YA TEZI DUME
1.Umri mkubwa kuanzia miaka 50

2.Nasaba(ukoo wenye historia ya Saratani hii)

3.Lishe hatarishi (nyama nyekundu kwa wingi,mafuta/isamli,maziwa ya krimu)

4.Unene uliokithiri

5.ukosefu wa mazoezi

6.upungufi wa virutubisho k**a vitamin D
Maambukizi ya marakwamara kwenye tezi dume

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME

1.Udhaifu katika Utoaji wa mkojo,mkojo Hauishi
2.kukojoa mara kwa mara
3.Damu ndani ya mkojo
4.kushindwa kukojoa
5.Maumivu ya mifupa na nyonga

TATIZO HILI LINATIBIKA BILA UPASUAJI KWA MSAADA ZAIDI KARIBU INBOX AU PIGA SIMU NO 0753258365

*TEZI DUME NI NINI?.* Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo w...
31/05/2023

*TEZI DUME NI NINI?.*
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo. Kwaushauri zaidi wasiliananasa kwanamba /0753258365

UpVyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu.1. Sababu ya kwanza ni kitendo cha homoni kutoku...
03/05/2023

UpVyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu.
1. Sababu ya kwanza ni kitendo cha homoni kutokuwa sawa kwa sababu katika kipindi hiki ni wakati ambao homoni nyingi uwepo Ili kuhakikisha kazi mbalimbali zinafanyika k**a vile kutengeneza kondo la nyuma k**a homoni haziko sawa mimba inaweza kutoka.



2. Sababu za vinasa Saba

Hizi ni sababu ambazo uchangiwa na wazazi wenyewe anaweza kuwa baba au mama , ndio usababisha mimba kutoka kwa kipindi hiki.



3. Matumizi ya dawa kiholela.

Kuna tabia ya kutumia dawa kiholela bila kupata ushauri wa daktari katika kipindi hiki hasa akina Mama wengi uchanganya madawa Kuna madaw ya kienyeji na ya hospital hasa matumizi ya madawa ya malaria , usababisha mimba kutoka.



4. Maambukizi ya magonjwa.

Kuna tabia ya maambukizi ya magonjwa k**a vile kisonono, kaswende na maambukizi kwenye mlango wa kizazi k**a maambukizi haya hayakugundukika mapema na kitibiea usababisha mimba kutoka.



5. Pia Kuna maambukizi kwenye mfuko wa uzazi.

Kuna wakati mwingine maambukizi kwenye mfuko wa uzazi usababisha mimba kutoka kwa sababu unakuta sehemu mbalimbali za kizazi zimeshambuliwa hali ambayo usababisha mimba kutoka.



6. Kuwepo kwa uvimbe.

Pia na hili ni Mojawapo ya tatizo kwa Sababu k**a kwenye mfuko wa uzazi Kuna uvimbe mama hawezi kubeba mtoto kwenye mfuko huo kwa sababu utakuta uvimbe huo unashika sehemu mbalimbali ambapo mtoto anapaswa kuwepo.



7. Uvutaji wa sigara kupita kiasi na unywaji wa pombe kupita kiasi usababisha mimba kutoka kwa sababu ya kuwepo kwa ni****ne na kemikali mbalimbali za pombe.



8. Kufanya kazi ngumu na kubeba mizigo mizito.

Pia kazi ngumu Nazo usababisha kutoka kwa mimba kwa sababu ni vigumu kabisa mimba kustahimili kwa mama anayefanya kazi hizo ngumuVyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu.
1. Sababu ya kwanza ni kitendo cha homoni kutokuwa sawa kwa sababu katika kipindi hiki ni wakati ambao homoni nyingi uwepo Ili kuhakikisha kazi mbalimbali zinafanyika k**a vile kutengeneza kondo la nyuma k**a homoni haziko sawa mimba inaweza kutoka.



2. Sababu za vinasa Saba

Hizi ni sababu ambazo uchangiwa na wazazi wenyewe anaweza kuwa baba au mama , ndio usababisha mimba kutoka kwa kipindi hiki.



3. Matumizi ya dawa kiholela.

Kuna tabia ya kutumia dawa kiholela bila kupata ushauri wa daktari katika kipindi hiki hasa akina Mama wengi uchanganya madawa Kuna madaw ya kienyeji na ya hospital hasa matumizi ya madawa ya malaria , usababisha mimba kutoka.



4. Maambukizi ya magonjwa.

Kuna tabia ya maambukizi ya magonjwa k**a vile kisonono, kaswende na maambukizi kwenye mlango wa kizazi k**a maambukizi haya hayakugundukika mapema na kitibiea usababisha mimba kutoka.



5. Pia Kuna maambukizi kwenye mfuko wa uzazi.

Kuna wakati mwingine maambukizi kwenye mfuko wa uzazi usababisha mimba kutoka kwa sababu unakuta sehemu mbalimbali za kizazi zimeshambuliwa hali ambayo usababisha mimba kutoka.



6. Kuwepo kwa uvimbe.

Pia na hili ni Mojawapo ya tatizo kwa Sababu k**a kwenye mfuko wa uzazi Kuna uvimbe mama hawezi kubeba mtoto kwenye mfuko huo kwa sababu utakuta uvimbe huo unashika sehemu mbalimbali ambapo mtoto anapaswa kuwepo.



wa sigara kupita kiasi na unywaji wa pombe kupita kiasi usababisha mimba kutoka kwa sababu ya kuwepo kwa ni****ne na kemikali mbalimbali za pombe.



#. Kufanya kazi ngumu na kubeba mizigo mizito.

Pia kazi ngumu Nazo usababisha kutoka kwa mimba kwa sababu ni vigumu kabisa mimba kustahimili kwa mama anayefanya kazi hizo ngumu kwaushauri namatidabu nasa kwanamba 0753258365 #

*WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU SANA NA NILAZIMA UTUMIE.*☘Kwanza ijue femicare na faida zake.Femicare ni dawa asili ku...
02/05/2023

*WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU SANA NA NILAZIMA UTUMIE.*

☘Kwanza ijue femicare na faida zake.
Femicare ni dawa asili kutoka USA inatumiwa na WANAWAKE wote ili kuwaweka salama na maambukizi.
❎ *Haina chemical yeyote ile ni zuri na salama*

1⃣Huondoa harufu mbaya uken,uchafu na kuongeza bacteria walinzi,ni nzuri kwa wanaoshea vyoo.
2⃣Inatibu fangasi ukeni na U.T.I. Sugu.
3⃣Inatibu PID tena ile Sugu ukitumia na dawa ya kumeza inaitwa Refined Yunzhi essence.

4⃣Huondoa maumivu wakati wa tendo landoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5⃣Inafanya uke uwe msafi pasina harufu na salama muda wote.
6⃣Inazibua mirija ya uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovyrugika.

# #7⃣Inakaza misuli ya uke iliyolegea nakufanya iwe tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tombu chini ya kitovu kipindi Cha hedhi au Chango.
9⃣ michubuko wakati wa tendo landoa. Kwaushauri zaidi wasiliananasa kwanamba 0753258365

*TEZI DUME NI NINI?.* Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo w...
28/04/2023

*TEZI DUME NI NINI?.*

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1)Kushindwa kabisa kukojoa.
2)Kupatwa na maambukizi ya UTI
3)Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4)Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.

# la kumaliza hili tatiz kwaushauri zaidiwasilia nasi kwanamba # # # 0753258365

*TEZI DUME NI NINI?.* Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo w...
28/04/2023

*TEZI DUME NI NINI?.*

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1)Kushindwa kabisa kukojoa.
2)Kupatwa na maambukizi ya UTI
3)Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4)Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.

Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo: # #
Kwausha uri wasilia nasi # 0753258365

23/04/2023

UJUE UGONJWA WA PID DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

P I D (Pelvic Inflammatory Diseases)

Dalili za PID zinatofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine.

Kwa baadhi ya wanawake dalili huwa mbaya na kwa wengine dalili huwa za kawaida, wakati mwingine wanawake hukaa na ugonjwa kwa muda mrefu bila kujua kutokana na kuchanganya dalili na magonjwa mengine.

DALILI ZA PID

1.Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo yanaweza kuwa upande mmmoja au pande zote kulia na kushoto

2.Sehemu za uke kuwa na ulaini sana

3.Kupata maumivu wakati watendo la ndoa wakati mwingine kupeleekea kuvuja damu wakati na baada ya tendo la ndoa na hivo kukosa tena hamu ya tendo la ndoa

4.Kuvurugika kwa hedhi

5.Kutokwa na majimaji ukeni kusiko kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani

6.Maumivu wakati wa kukojoa
Kupata maumivu wakati wa choo

7.Kupata damu Mara baada ye tendon au wakati wa tendo

8.Homa kichefu chefu na nk

MADAHRA YA PID

Maambukizi kwenye njia ya uzazi husababisha athari kubwa sana kwa mwanamke,

1.Mimba kutunga nje ya kizazi

2.Mimba kuporomoka

3.Kutoshika UJAUZITO Kwa muda mrefu

4.kupata Uvimbe kwenye kizazi

5.Ugumba

6.Kuziba Kwa mirija

7.Kuvuruga mzunguko WA hedhi ,Kupata maumivu wakati WA tendo

8.Kupoteza kabisa hamu ya kushiriki tendo

Kwa Ushauri zaidi na jinis ya kutibu
Wasiliana nasi

Tupo
Arusha
Dodoma
Dar es salaam

Dose hutokana ukubwa wa changamoto

Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi ni bure kabisa





wa me/255753258365

🔻JE WAJUA NINI MAANA YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI? JIFUNZE SASA, SABABU, DALILI, MADHARA, NA TIBA 🔻Maambukizi kati...
14/04/2023

🔻JE WAJUA NINI MAANA YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI? JIFUNZE SASA, SABABU, DALILI, MADHARA, NA TIBA 🔻

Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.
▪️CERVIX hali ambayo hujulikana k**a cervicitis,
▪️ ENDOMETRIUM kitabibu huitwa endometritis,
▪️ FALLOPIAN TUBES kitabibu k**a salpingitis.

🔻 P. I. D HUSABABISHWA NA NINI? 🔻

Aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID,
▪️ Neisseria Gonorrhoeae
▪️Chlamydia trachomatis
ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

Je mwanamke huambukizwaje PID?

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

▪️Kufanya ngono isiyo salama
▪️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
▪️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
▪️Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na
▪️Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.
🔻DALILI ZA PID NI ZIPI 🔻

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni

▪️ maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu
▪️Kupata maumivu ya mgongo
▪️Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. ▪️harufu mbaya sehemu za siri
▪️Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
▪️Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
▪️Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
▪️Kupata homa

🔻VIPIMO VYA PID🔻

Ili kuweza kutambua k**a mwanamke ameambukizwa ugonjwa huu, tabibu anaweza kufanya vipimo kadhaa vikiwemo

▪️Kuchunguza mkojo
▪️Kupima damu
▪️Kuchukua utando unaozunguka shingo ya uzazi
▪️Mgonjwa pia anaweza kufanyiwa ultrasound ya nyonga ili kuangalia k**a kuna athari yeyote katika mfumo wake wa uzazi.

🔻MATIBABU YA P. I. D🔻
Matibabu ya ugonjwa huu yanapatikana na ugonjwa unaisha kirahis ikiwa umepata dose sahihi. Kwaushauri zaidi piga sim 0753258365

TEZI DUME NI NINI?.Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa u...
14/04/2023

TEZI DUME NI NINI?.

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
Uume kushindwa kusimama vizur. Kwaushauri zaidi wasiliananasa kwanamba /0753258365

Address

Kaloleni
Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA TIBA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA TIBA:

Share