30/10/2021
🧿 ETERNAL INTERNATIONAL COMPANY 🧿
📖 Ni Kampuni ya Kimataifa kutoka Nchini China, Ambayo Ilianzishwa na Mr Gong,Zhao Hui.
🔹Kampuni Hii Inamiliki Vituo Vya Afya Takribani Mia Mbili Dunia mzima,
🔹Tanzania Kampuni ina Miaka mitano kwa sasa na Tumefanikiwa Kua na zaidi ya Vituo Kumi na nane,
na Habari Njema ni Kua Vituo 17 vinamilikiwa na Wanachama ambao ni Watanzania.
🔹Huduma Zitolewazo
📖 Ina Madaktari Bingwa Na Vipimo vya Kisasa ambavyo Vinapima Mwili Mzima Kwa gharama ndogo tu ya Tsh 15,000 ( Elfu kumi na Tano)
📖 Pia Dawa zinazotumika kutibu maradhi mbalimbali Ni Dawa Asilia Yaani Tiba Lishe,
🔹Kampuni Inatoa pia Huduma ya Ushauri Juu ya Magonjwa mbalimbali.
🔹 UENDESHWAJI WA KAMPUNI 🔹
📖 Kampuni hii Inaendeshwa Kupitia Wanachama
📖 Mwanachama ni Mtu yeyote yule ambae ataamua Kujiunga na Kampuni Yetu
📖Haijalishi Elimu yake, K**a ni Mwanafunzi,Mwalimu,Nesi,Mwajiliwa wa sekta Binafsi au Mtu ambae Hana Hajira kabisaa.
🔸Wote hao Wanaweza Kua Wanachama na Kujitengenezea Pesa Nyingi Kwa Muda wao wa Ziada Kwani Majukumu yako hayataingilia Kazi Yako.
📖Faida za kua Mwanachama ni pamoja na
📝 Malipo Ya siku Kuanzia (ELFU SABA __ ELFU KUMI) na
📝 Malipo ya Mwisho Wa Mwezi kuanzia Elfu 88,000__Million Tano+)
🔹Malipo ya Ziada K**a Kiongozi_ Kuanzia Milion Moja+
🔺Na Mwisho Kabisa ni Mwanachama Kuweza Kumiliki Kituo chako cha Afya k**a ukihitaji kufanya hivyo. (Yaani Utapewa Fursa ya Kua na Kituo Chako na Utakifungua utakapohitaji)
TANZANIA Tuna Vituo 18 Ambavyo Vinamilikiwa na Wanachama .
🔺VITU AMBAVYO MWANACHAMA HATO VIFANYA
📝 Mwanachama Hapewi Bidhaa,Kitu chochote Au Dawa yeyote aende Kuuza (Hivyo kuwawezesha Waajiliwaa Kuendelea Na Shughuli Zao).
🔸Mwanachama Halazimiki Kuja Ofsini Anaweza Kuja Mara Moja Kwa Mwezi Siku Ambayo Atakuja Kuchukua Pesa Yake.
📝 Ili Kuweza Kujua namna Ya Kua Mwanachama na Majukumu Yako K**a Mwanachama
💎 Kampuni Imeandaa Waalimu Ambao Wanatoa Mafunzo katika Vituo Vyetu Vya Afya
⭕ 0688670157