Kaakijanjatz

Kaakijanjatz We believe in the power of arts, creativity, and technology. https://www.kaakijanja.org/

25/04/2026

Kaa Kijanja Organization inaendelea kuhamasisha uwajibikaji kwa vijana wasanii na wabunifu kutumia sanaa, ubunifu na teknolojia k**a nyenzo za kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

Mnamo 2025, kupitia mradi wa REST II (Reproductive Equity Strategy in Tanzania), zaidi ya vijana wasanii 40 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania walijengewa uwezo wa kutumia sanaa na ubunifu kuelimisha na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa Afya bora kwa Vijana, Stadi za Maisha na kupinga Ukatili wa Kijinsia.

Kutana na Saraphina Wilson miongoni mwa vinara wa REST II, anaeleza jinsi maarifa aliyopata yatakavyoboresha sanaa yake na kuchochea mabadiliko chanya katika jamii.

15/04/2026

Kaa Kijanja Organization inaendelea kuhamasisha uwajibikaji kwa vijana wasanii na wabunifu kutumia sanaa, ubunifu na teknolojia k**a nyenzo za kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

Mnamo 2025, kupitia mradi wa REST II (Reproductive Equity Strategy in Tanzania), zaidi ya vijana wasanii 40 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania walijengewa uwezo wa kutumia sanaa na ubunifu kuelimisha na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa Afya bora kwa Vijana, Stadi za Maisha na kupinga Ukatili wa Kijinsia.

Kutana na msanii .a.n.y.a.7 miongoni mwa vinara wa REST II, anaeleza jinsi maarifa aliyopata yatakavyoboresha sanaa yake na kuchochea mabadiliko chanya katika jamii.

13/04/2026

Kaa Kijanja Organization inaendelea kuhamasisha uwajibikaji kwa vijana wasanii na wabunifu kutumia sanaa, ubunifu na teknolojia k**a nyenzo za kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

Mnamo 2025, kupitia mradi wa REST II (Reproductive Equity Strategy in Tanzania), zaidi ya vijana wasanii 40 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania walijengewa uwezo wa kutumia sanaa na ubunifu kuelimisha na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa Afya bora kwa Vijana, Stadi za Maisha na kupinga Ukatili wa Kijinsia.

Kutana na msanii Cedrick Wilfred miongoni mwa vinara wa REST II, anaeleza jinsi maarifa aliyopata yatakavyoboresha sanaa yake na kuchochea mabadiliko chanya katika jamii.

09/04/2026

Kaa Kijanja Organization inaendelea kuhamasisha uwajibikaji kwa vijana wasanii na wabunifu kutumia sanaa, ubunifu na teknolojia k**a nyenzo za kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

Mnamo 2025, kupitia mradi wa REST II (Reproductive Equity Strategy in Tanzania), zaidi ya vijana wasanii 40 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania walijengewa uwezo wa kutumia sanaa na ubunifu kuelimisha na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa Afya bora kwa Vijana, Stadi za Maisha na kupinga Ukatili wa Kijinsia.

Kutana na msanii miongoni mwa vinara wa REST II, anaeleza jinsi maarifa aliyopata yatakavyoboresha sanaa yake na kuchochea mabadiliko chanya katika jamii.

23/03/2026

wabunifu kutumia sanaa, ubunifu na teknolojia k**a nyenzo za kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

Mnamo 2025, kupitia mradi wa REST II (Reproductive Equity Strategy in Tanzania), zaidi ya vijana wasanii 40 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania walijengewa uwezo wa kutumia sanaa na ubunifu kuelimisha na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa Afya bora kwa Vijana, Stadi za Maisha na kupinga Ukatili wa Kijinsia.

Kutana na msanii ni miongoni mwa vinara wa REST II, anaeleza jinsi maarifa aliyopata yatakavyoboresha sanaa yake na kuchochea mabadiliko chanya katika jamii.

Kaa Kijanja Organization  tunajivunia kushiriki katika kikao kazi cha siku tano (9–13 Machi 2026) jijini Arusha kuhusu u...
16/03/2026

Kaa Kijanja Organization tunajivunia kushiriki katika kikao kazi cha siku tano (9–13 Machi 2026) jijini Arusha kuhusu uandaaji wa jumbe za malezi bora na ustawi wa familia. Tunatoa shukrani kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum pamoja na wadau wote kwa kutuunganisha katika juhudi za kujenga kizazi chenye maadili, afya na uwajibikaji kwa maendeleo ya Taifa.

09/03/2026

β€œSanaa ndio nguzo yetu. itaendelea kuhakikisha jamii inaburudika, lakini pia inanufaika na Sanaa yenye tija, inayobeba ujumbe wa elimu, hamasa na mabadiliko kwa kizazi cha leo na kesho.”
a.n.y.a.7 na ni miongoni mwa vinara wa Mradi wa REST II, wakitoa burudani katika kikao kazi cha wadau kinacholenga kutengeneza jumbe zenye elimu kuhusu malezi bora na wajibu wa wazazi/walezi katika kulea watoto na kujenga familia imara kilichofunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Wakili Amon Mpanju.

Kupitia sanaa, tunaendelea kufungua mijadala na kuhamasisha jamii kuelekea Familia Bora, Taifa Imara.

04/03/2026

Tukiungana na dunia kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa heshima, uthubutu na matumaini 🌍✨

Mwanamke ni nguzo ya jamii, ni sauti ya mabadiliko, na ni nguvu iliyo bora. Endelea kusimama imara, kujiamini, na kufuatilia ndoto zako bila woga. Dunia inahitaji mwanga wako, ubunifu wako na uongozi wako, leo na vizazi vijavyo.

Tunaamini katika usawa wa kijinsia, tunathamini mchango wa wanawake katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kitamaduni, na tunaunga mkono juhudi za kimataifa za kujenga jamii yenye haki na fursa sawa kwa wote.

β€œHaki na Usawa kwa Wanawake na Wasichana: Msingi Jumuishi kufikia Dira 2050.” πŸ’ͺ🏾🌸

'SAUTI YETU, TOKOMEZA UKATILI'Katika maadhimisho ya kupinga ukeketaji yaliyofanyika Monduli, Kaa Kijanja Organization tu...
13/02/2026

'SAUTI YETU, TOKOMEZA UKATILI'

Katika maadhimisho ya kupinga ukeketaji yaliyofanyika Monduli, Kaa Kijanja Organization tuliungana na wadau mbalimbali kuendeleza mapambano dhidi ya ukeketaji kwa kutumia nguvu ya sanaa.

Kupitia igizo la kuelimisha na kuhamasisha jamii, tuliwasilisha ujumbe wa kulinda haki, afya na ndoto za watoto wa k**e mbele ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dorothy Gwajima.

Sanaa ina nguvu ya kubadili fikra, kuibua mazungumzo na kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii. Pamoja tunaweza kutokomeza ukeketaji. ✊🏾🎭

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:30
Tuesday 08:30 - 17:30
Wednesday 08:30 - 17:30
Thursday 08:30 - 17:30
Friday 08:30 - 17:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaakijanjatz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Kaakijanjatz:

Share