Kaakijanjatz

Kaakijanjatz We believe in the power of arts, creativity, and technology.

23/06/2025

MAFUNZO YA SANAA NA MAENDELEO YA VIJANA 2025

03/06/2025

CHANUA

Jukwaa linalowawezesha vijana wasanii na wabunifu kupata ujuzi stahiki na nyenzo muhimu za kuwawezesha kutumia sanaa na ubunifu kuhamasisha, kuelimisha na kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

01/05/2025

Kwa dhati, Kaa Kijanja Organisation inawashukuru wote wanaoshiriki na wanaoendelea kushiriki kwenye kuleta mabadiliko chanya katika jamii kupitia sanaa na ubunifu.

Tunawahimiza wasanii wote, wale waliokwisha shiriki na wale ambao bado, kuchangamkia fursa hii, kwani muda umesalia kidogo.

Ikiwa wewe ni msanii au mbunifu, au unamfahamu msanii mwenye kipaji, hakikisha anashiriki kwa namna yoyote ile.

Kwa pamoja, tutafikisha elimu kwa jamii kupitia sanaa, na kuleta ustawi kwa taifa la Tanzania.

πŸ“Œ Tafadhali hakikisha unafuata vigezo na masharti ya ushiriki yaliyowekwa, ili kazi yako ipate nafasi ya kushindanishwa kikamilifu.

18/04/2025

355 Followers, 57 Following, 27 Posts - See Instagram photos and videos from Kaa Kijanja ()

🎨 KAA KIJANJA SANAA CHALLENGE 2025🎀Tunakaribisha aina zote za sanaa:🎢 Muziki | ✍🏽 Mashairi | πŸ–Ό Michoro | πŸ˜‚ Vichekesho | ...
14/04/2025

🎨 KAA KIJANJA SANAA CHALLENGE 2025🎀

Tunakaribisha aina zote za sanaa:
🎢 Muziki | ✍🏽 Mashairi | πŸ–Ό Michoro | πŸ˜‚ Vichekesho | 🎨 Graffiti | πŸ’ƒπŸΎ Dansi | πŸ“Έ Picha | πŸͺ΅ Sanaa za Kuchonga | πŸ—― Katuni | πŸŒ€ 3D Animation na nyinginezo!

πŸ“² NAMNA YA KUSHIRIKI
Wasilisha kazi kwakuposti kwenye account yako ya Instagram sanaa yenye jumbe chanya kuhusu:
βœ… Kupinga Ukatili wa Kijinsia βœ… Afya ya Uzazi βœ… Afya ya Akili βœ… Stadi za Maisha kwa Vijana

Kisha Tag ukiambatanisha na ujumbe mfupi kuhusiana na kazi yako kisha hashtag

πŸ† ZAWADI NA FURSA
Wasanii 20 watakaowasilisha sanaa zenye jumbe bunifu zaidi watapata fursa ya kushiriki mafunzo ya siku mbili kutoka kwa wabobezi wa masuala ya vijana, Afya na sanaa yatakayofanyika Arusha, Mei 2025. Wasanii hao Watawezeshwa kutengeneza sanaa zenye ubora zaidi, na kuwa vinara wa mradi wa REST 2025.

πŸ—“ Mikoa ya Kipaumbele: Arusha, Mbeya, Iringa & Mwanza
πŸ—“ Mwisho wa kuupload kazi: 14 Mei 2025

SANAA KWA WASANII
12/04/2025

SANAA KWA WASANII

KAA KIJANJA SANAA CHALLENGE Jukwaa la kidigitali linalohamasisha sanaa k**a nyenzo ya kuibua mada muhimu zinazomuhusu ki...
10/04/2025

KAA KIJANJA SANAA CHALLENGE

Jukwaa la kidigitali linalohamasisha sanaa k**a nyenzo ya kuibua mada muhimu zinazomuhusu kijana k**a vile afya ya uzazi, afya ya akili, kupinga ukatili wa kijinsia na Stadi za Maisha kwa vijana.

07/04/2025

KAA KIJANJA SANAA CHALLENGE

Jukwaa la kidigitali linalohamasisha sanaa k**a nyenzo ya kuibua mada muhimu zinazomuhusu kijana k**a vile afya ya uzazi, afya ya akili, kupinga ukatili wa kijinsia na Stadi za Maisha kwa vijana.

"Vunja vizuizi, na uinuke juu. Nguvu yako iko katika kumiliki hadithi yako-kila changamoto ni hatua yako ya kufikia ukuu...
14/01/2025

"Vunja vizuizi, na uinuke juu. Nguvu yako iko katika kumiliki hadithi yako-kila changamoto ni hatua yako ya kufikia ukuu. Ota makubwa, tenda kwa ujasiri, na wahimize wengine kufanya vivyo hivyo."

Mijadala huleta jamii pamoja kujadili masuala muhimu yanayogusa maisha yetu. Mazungumzo haya huibua masuala muhimu, huim...
01/11/2024

Mijadala huleta jamii pamoja kujadili masuala muhimu yanayogusa maisha yetu. Mazungumzo haya huibua masuala muhimu, huimarisha kubadilishana uzoefu, na kujifunza zaidi kutoka kwa kila mmoja.

Tuendelee kuunga mkono ustawi wa vijana na maisha bora ya baadaye kwa kuhimiza mijadala chanya katika jamii.

Pichani: Wataalamu wa afya ya uzazi na afya ya akili katika mdahalo na vijana wa Arusha kuhusu masuala ya afya ya uzazi na Afya akili.

🫰???
12/06/2023

🫰???

Kila mmoja wetu kwa nafasi yake ana uwezo kuupinga UKATILI Kwa namna yakeTafuta namna yako na chukua hatua
03/05/2023

Kila mmoja wetu kwa nafasi yake ana uwezo kuupinga UKATILI Kwa namna yake

Tafuta namna yako na chukua hatua

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:30
Tuesday 08:30 - 17:30
Wednesday 08:30 - 17:30
Thursday 08:30 - 17:30
Friday 08:30 - 17:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaakijanjatz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Kaakijanjatz:

Share