Afya ya uzazi wa mwanamke

Afya ya uzazi wa mwanamke Arusha

24/05/2024
*Mwanamke Kuota* *ndevu na vinyweleo vingi**mwanamke kuota ndevu**mwanamke mwenye* *ndevu**0753500112*Kuwa na vinyweleo ...
20/05/2023

*Mwanamke Kuota*

*ndevu na vinyweleo vingi*
*mwanamke kuota ndevu*
*mwanamke mwenye* *ndevu*

*0753500112*

Kuwa na vinyweleo kadhaa kwenye kidevu chako k**a mwanamke, inaweza kuwa siyo tatizo. Kuna mabadiliko mengi yanaweza kuchangia ikiwemo kuzeeka, homoni na mazingira fulani. Mwanamke kuota ndevu na vinyweleo vingi inaanza kuwa tatizo pale zinapokuwa nyingi sana.

Kitaalamu tatizo la kuwa na vinyweleo vingi maeneo mmbalimbali ya mwili huitwa hirsutism. Ni hali ya mwanamke kuwa na sifa k**a za mwanaume. Nyele zinaota kupita kiasi kwenye maeneo ya kidevu, kifua, tumboni na mgongoni. Hali hii inaweza kumuathiri sana mwanamke kisaikolojia, akawa mpweke na kuhisi hana thamani.

Fahamu tu kwamba kuna njia nyingi za asili na rahisi ambazo waweza kufatilia ili kupunguza ndevu na vinyweleo bila kuathirika. K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye umri wa kuza (mika 18 mpaka 35) na una ndevu nyingi sana, kuna haja ya kumwona daktari. Unaweza kuwa na tatizo kubwa la kiafya linalopelekea hali yako.

*Dalili za kwamba una homoni za kiume zilizozidi*
kuota nywele nyeusi usoni, kifuani, mgondoni, kwenye mikono, mapaja ama sehemu zingine ambazo siyo kawaida kwa wanawake.
chunusi nyingi kupita kiasi
kuota kipara
matiti kuwa madongo sana
misuli kukua na kujaa
kisimi kuwa kirefu sana
sauti nzito
Nini kinapelekea mwanamke kuota ndevu?
Kila mtu ana vinyweleo kwenye ngozi yake na ni jambo la kawaida kabisa. Kazi ya vinyweleo hivi ni kurekebisha joto la mwili kwa kuruhusu jasho kutoka ama mwili utunze maji.

*Wakati wa kubalehe, homoni za* kiume(androgens) huongezeka sana na kupelekea vinyweleo hivi kuwa vikubwa mpaka kuwa nywele kamili ambayo ni ndefu na nyeusi. Hii ni kwa wote mwanamke na mwanaume. Wote wana homoni za k**e na za kiume ndani yao, ila tu mwanamke ana homoni kidogo za kiume na mwanaume ana homoni kidogo za k**e.

Homoni hizi huendelea kubadilika kadiri umri wako unavosogea, unavobadilika uzito, kushika mimba na pia unavokaribia kukoma hedhi. Mabadiliko kidogo tu ya homoni za kiume yanaweza kupekelea uote nywele nyingi mwilini ikiwemo kidevuni. Hapa chini ni baadhi ya changamoto zinazopelekea mabadiliko ya homoni na hatimaye uwe na ndevu nyingi.

Polycystic o***y syndrome(PCOS)
Hii ni moja ya sababu kubwa sana ya kwanini una ndevu k**a mwanaume. Kati ya wanawake wanne wenye ndevu basi watatu ni kutokana na PCOS. PCOS inasababisha hedhi kuvurugika na homoni kuvurugika pia na kupelekea uote ndevu nyingi.

PCOS ni tatizo la mifuko ya mayai kushindwa kutoa mayai yaliyopevuka na yanabadilika kuwa vimbe ndogo ndogo nyingi. Pcos linaweza kuwa tatizo la kurithi.

*Cushing’s syndrome hupelekea mwanamke kuota ndevu*
Hii ni hali ya mwili kuzalisha homoni nyingi ya cortisol. Homoni ya cortisol huzalishwa hasa wakati wa hatari ama ukiwa na msongo wa mawazo ili kuandaa mwili kupambana. Inapozalishwa kila mara inakufanya uanze kuwa na sifa za kiume. Baadhi ya vitu vinavyochangia kuongezeka kwa cortisol ni pamoja na matumizi ya dawa kwa muda mrefu hasa prednisone.

Matatizo ya tezi ya thyroid yanachangia mwanamke kuota ndevu
Pale tezi ya shingoni ya thyroid isipofanya kazi vizuri, inapelekea kupanda ama kushuka kwa uzalishaji wa homoni. Kitendo hiki kinaathiri kazi zingine za mwili. k**a una nywele nyingi nenda hospitali kapime homoni ya TSH, T3 na T4 kuona k**a kuna tatizo.

Matumizi ya dawa huchangia mwanamke kuota ndevu
Dawa nyingi tu zinaweza kuvuruga mipangilio ya mwili na kukufaya uote ndevu na nywele nyingi kupita kiasi. Pale utakapoenda hospotali kujieleza tatizo, daktari atakuuliza kuhusu dawa unazotumia ikiwemo tiba asili.

*Vimbe*
Japo inatokea mara chache, lakini vimbe kwenye tezi mfano tezi ya adrenal ama kwenye mifuko ya mayai(ovaries), inachangia uote nywele nyingi kupita kiasi.

Ushauri na njia asili za kurekebisha ndevu na vinyweleo vingi
Naweza kusema wanawake wenye ndevu na vinyweleo vingi na wanahitaji njia asili za kurekebisha tatizo, wana bahati sana. Kwasababu kuna njia nyingi mno za kurekebisha dalili za tatizo. Jaribu kutumia njia hizi za asili na ufatilie mabadiliko kisha utupe mrejesho.

Msaaada upo
*0753500112*

13/05/2023

Yanga shikamooo

Afya yako Leo okoa Figo n.k0753500112
13/05/2023

Afya yako Leo okoa Figo n.k
0753500112

Afya kwanza0753500112
13/05/2023

Afya kwanza
0753500112

13/05/2023

Habari za ASUBUHI

13/05/2023
*Jinsi Mwanamke Anavyo Ambukizwa Ugonjwa Wa Pid:%**0753500112**0786442055**Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuam...
10/05/2023

*Jinsi Mwanamke Anavyo Ambukizwa Ugonjwa Wa Pid:%*

*0753500112*
*0786442055*

*Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa ugonjwa wa pid.Njia hizo ni pamoja na;*

A) K**a Una Ugonjwa Wa Zinaa Na Hujatibiwa.

B) Kufanya Ngono Zembe Isiyosalama (Yaani Kulala Na Wanaume Tofauti Tofauti).

C) Kuwa Na Mpenzi Ambaye Ana Wanawake Wengi Nje.

D) K**a Umeshawai Kuwa Na Historia Ya Kuugua Pid Kabla.

E) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Mara Baada Ya Kutoa Mimba Kwa Njia Zisizo Salama (Post Abortion) Au Mara Baada Ya Mimba Kutoka (Miscarriage).

F) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Hasa Kipindi Mara Baada Ya Kujifungua (Postpartum Period).

G) Kutumia Vipandikizi Vya Ndani Ya Mfuko Wa Uzazi (IUCD) K**a Njia Mojawapo Ya Uzazi Wa Mpango.

H) Kuambukizwa Kupitia Damu Iliyo Na Vimelea Vya Pid.

I) Kutuma Sana Vidole Wakati Wa Kusafisha Uke (Excess Vaginal Douching).

Dalili Za Pid:
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa wa pid, miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na;

A) Mwanamke Kuhisi Maumivu Ya Tumbo Hasa Maeneo Ya Chini Ya Kitovu.

B) Kupata Maumivu Ya Mgongo.

C) Mwanamke Kupata Utoko Mchafu Sehemu Za Siri, Utoko Huu Huambatana Na Harufu Mbaya.

D) Kuhisi Maumivu Wakati Wa Kukojoa.

E) Kupata Maumivu/Kutokwa Na Damu Wakati Wa Tendo La Ndoa.

F) Kutokwa Damu Bila Mpangilio Wakati Wa Hedhi.

G) Kupata Homa.

H) Kupata Damu Nje Ya Siku Zako Za Kawaida Kupata Damu Ya Hedhi.

I) Wakati Fulani Kuhisi Kichefuchefu K**a Mwanamke Mjamzito Na kutapika.

doctor and patient
Matibabu Ya Pid:
Matibabu ya pid kwa kutumia dawa yataondoa mara moja maambukizi yanayosababishwa na pid lakini hakuna njia ya kukarabati makovu au uharibifu kwenye njia ya viungo vya uzazi uliotokana na pid. Matibabu ya pid yaweza kuwa;

A) Antibiotics Za Kutibu Pid.
Daktari atakuandikia dawa inayoendana na chanzo cha tatizo lako.Utasubiri siku k**a tatu kuona k**a dawa ulizopewa zinafanya kazi.

Dawa za Pid zinazotolewa na daktari ni pamoja na; Metronidazole tabs, doxycycline tabs na cefixime tabs

B) Kumtibu Mpenzi Wako.
Kuzuia maambukizi yafaa mpenzi wako afanyiwe uchunguzi na atibiwe.

C) Kuacha Kushiriki Ngono Kwa Muda.
Acha kushiriki ngono hadi utakapomaliza tiba na kuona kuwa umepona.

Madhara Ya Pid:
PID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji yenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya uzazi ya mwanamke, vitu hivi vinaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye viungo vya uzazi. Madhara yanayoweza kutokea ni pamoja na;

A) Mimba Nje Ya Mirija (Ectopic Pregnancy).
PID ndiyo sababu ya mimba kutunga nje ya kizazi, mimba huweza kutunga nje ya kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya mirija ya uzazi. Mimba nje ya uzazi husababisha utokaji wa damu usiowakawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke.

B) Ugumba.
Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba, kushindwa kupata ujauzito. Kadri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi, kuchelewa kupata tiba ya PID kuongeza hatari ya ugumba.

C) Maumivu Sugu Ya Nyonga.
PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu miaka mingi. Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai hudondoshwa (ovulation).

D) Tubo Ovarian Abscess.
PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi k**a tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizi hatarishi kwa maisha.

Madhara Ya Pid Kwa Mjamzito:
Yafuatayo ni madhara yanayoweza kutokea kwa mama mjamzito endapo atashindwa kupata tiba ya pid mapema;

1) Kujifungua kabla ya wakati au ujauzito kuharibika.

2) Kujifungua mtoto mwenye maambukizi na wakati mwingine hufariki muda mchache baada ya Kujifungua au kujifungua mtoto mfu.

3) Kuziba kwa mirija ya uzazi.

Jinsi Ya Kuzuia Ugonjwa Wa Pid:
Kuna njia kadhaa za kuzuia ugonjwa wa pid.Njia hizi ni pamoja na;

A) Kuwai Kuwaona Wataalamu Wa Afya Mara Dalili Za Ugonjwa Zinapoanza Kujitokeza Au Pindi Tu Unapogundua Kuwa Mpenzi Wako Ana Dalili Za Magonjwa Ya Zinaa Au Anatembea Na Wanawake Wengi.

B) Kufanya Vipimo Mara Kwa Mara Hasa Vipimo Vya Uzazi, Pamoja Na Vipimo Vya Maambukizi Ya Magonjwa Yanayosambazwa Ka Njia Ya Ngono (STI) Hususani Kwa Mgonjwa Wa Chlamydia, Ufanye Vipimo Kila Mwaka Mara Moja.

C) Kutofanya Ngono Mara Baada Ya Kujifungua, Mimba Kutoka Au Mara Baada Ya Kutoa Mimba Ili Kuhakikisha Njia Ya Shingo Ya Uzazi Imefunga Vyema.

D) Njia Hakiki Ya Kujizuia Na Maambukizi Haya Ni Kuacha Ngono Zembe Na Kufanya Ngono Salama.

Dawa Za Asili Za Pid:

Dozi ya siku 7 Hadi 24
Mr.p.kivuyo
0753500112

28/04/2023

Habari za afya wapendwa

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255753500112

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya uzazi wa mwanamke posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share