Yunusu AFYA Clinic

Yunusu AFYA Clinic NAWASAIDIA WATU WENGI WENYE CHANGAMOTO ZA MIFUPA NA MAUNGIO.

16/07/2025

6,causes of knee Arthritis, (SABABU 6 ZA MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI).• umri• uzito mkubwa jinsia• sababu zingine za kiafya• urithi.Usiende Lee kukaa na tatizo,ushajua dawa za maumivu hazikusaidii,Athar za kutumia dawa za maumivu muda mrefu unajiweka kwenye hatar za matatizo mengine k**a• magonjwa ya figo (kidney disease)• kuzidi kwa taka mwili (URIC acid)• magoniwa ya mfumo wa chakula (Gastritis)Nipigie simu 0764222104.Tupo Arusha . 6-17

16/07/2025

6,causes of knee Arthritis, (SABABU 6 ZA MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI).• umri• uzito mkubwa jinsia• sababu zingine za kiafya• urithi.Usiende Lee kukaa na tatizo,ushajua dawa za maumivu hazikusaidii,Athar za kutumia dawa za maumivu muda mrefu unajiweka kwenye hatar za matatizo mengine k**a• magonjwa ya figo (kidney disease)• kuzidi kwa taka mwili (URIC acid)• magoniwa ya mfumo wa chakula (Gastritis)Nipigie simu 0764222104.Tupo Arusha . 6-17

16/07/2025

DEGENERATIVE DISC DISEASE(Arthritis of the spine)
Ni ugonjwa unaotokana na kusagika kwa pingili za mgongo au nyuma ya shingo.

Zipo Aina mbili za kusagika kwa pingili hizi.
▪️ Lumber degenerative disease .hutokea zaidi sehemu za chini mgongo,huathirika zaidi L-4 na L-5.
▪️ Cervical degenerative disease.Hutokea sehemu za juu ya mgongo kwa maana ya nyuma ya shingo,mara nyingine inafahamika k**a Arthritis of the neck.

SABABU ZINAZOPELEKEA TATIZO HILI NI 👇
▪️kukauka kwa pingili muda mrefu (kuisha ute ute) kutokana na aina za kazi ,michezo au kupata Ajali.
▪️ Umri mkubwa.
▪️ Historia ya familia
▪️ Uzito mkubwa.

VIASHIRIA VYA UGONGWA HUU NI 👇
▪️ Kupata ganzi kali sana miguuni
▪️ kuwaka moto au kuhisi sindano zinachoma
▪️ maumivu makali eneo lililoathirika.

MADHARA YATOKANAYO NA TATIZO HILI IKIWA HUJATIBIWA.
▪️ mgandamizo wa neva (herniated disc)
▪️ Disc budge
▪️ kupata mkojo bila kuzuia
▪️ kupata choo kikubwa bila kuzuia( f***l incontinence)
▪️ kuharibika kwa neva (nerve damage)

Matibabu pendwa ya watu wengi ni kutumia njia za kupunguza maumivu kwa dawa za maumivu.,au hata kufanyia upasuaji (spine surgery ) pamoja na hivo njia hizi bado hazina tija kwa 100%.

Bone & joint care ,tumejikita kutoa huduma zetu kiasili kabisa na tumewasaidia watu zaidi ya 100 kupona kabisa tatizo hili.
Dawa zetu zinafanya ipasavyo.
▪️kujenga disc zilizosagika
▪️ kuzalisha ute ute uliokauka
▪️ kuondoa uvimbe na maumivu
▪️ kuondoa ganzi na kurekebisha neva zilizo haribika
▪️ kuongeza uzito kwenye mifupa.

tupigie simu: 0764222104.

FAHAMU LEO KUHUSU UGONJWA WA FATTY LIVER, (MAFUTA KWENYE INI)Fatty liver ni ugonjwa unaotokana na kujengeka au kurundika...
17/02/2025

FAHAMU LEO KUHUSU UGONJWA WA FATTY LIVER, (MAFUTA KWENYE INI)
Fatty liver ni ugonjwa unaotokana na kujengeka au kurundikana kwa mafuta Aina ya fat kwenye Ini. Kwa namna nyingine hufahamika k**a (HEPATIC STEATOSIS)

Ugonjwa huu unawatesa watu wengi sana na wameshindwa kuutatua kiurahisi mpaka hufikia hatua mbaya na wengine hupoteza Maisha.

SABABU KUBWA ZINAZOPELEKEA KUWA NA MAFUTA KWENYE INI (fatty liver).
▪️Uzito mkubwa kupitiliza
▪️ Kisukari Aina ya 2 (diabetes type 2)
▪️ Kuwa na kiwango kikubwa cha Lehemu kwenye damu.(high blood cholesterol)
▪️ Matumizi ya pombe kupitiliza (excess Alcohol consuption).

KUNA AINA KUU MBILI ZA FATTY LIVER (hepatic steatosis).

▪️ non - Alcoholic fatty liver (hepatic steatosis) hii ni Aina ya fatty liver ambayo husababishwa na uzito kubwa na kutofanya mazoezi.
▪️ Alcohol Related fatty liver (hepatic steatosis) Aina hii ya Fatty liver (hepatic steatosis) huwakuta watu Ambao wanatumia Zaid pombe *( too much alcohol)*
Tafiti zinaonesha mtu Ambaye Anatumia zaidi pombe x 10 kwa week yupo kwenye hatar zaidi .

UGONJWA WA FATTY LIVER UNAKUWA NA DALILI ZIFUATAZO.
▪️uchovu sana
▪️maumivu ya tumbo
▪️kupungua uzito
▪️kupata miwasho kwenye ngozi
▪️kuvimba miguu.

PAMOJA NA DALILI HIZI BADO KUNA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUMPATA MGONJWA WA FATTY LIVER IKIWA HAJAFANYA MATIBABU KWA WAKATI.
▪️kuvimba kwa ini (inflammation of the liver)
▪️saratani ya ini
▪️kuungua kwa ini.

Ugonjwa huu unatibika vizur kwa 100% ikiwa utafuata utaratibu mzuri wa kuzingatia dose na maelekezo mengine kutoka kwa daktari.

TUPIGIE SIMU SASA.
255 764 222 104
Tunapatikana Arusha
ARUSHA MALL
2nd floor
Office No:12.
TUNAFANYA DELIVERY MIKOA YOTE TZ NA NJE YA NCHI PIA.








13/02/2025

TAHADHARI KWA WAHANGA WA MIFUPA NA MAUNGIO

USITUMIE VYAKULA VIFUATAVYO
• nyama nyekundu
• ⁠nyama ya viungo,maini,figo
• ⁠vyakula vyenye sukari na mafuta mengi
• ⁠matumizi ya pombe
• ⁠matumizi ya soda
• ⁠matumizi ya vyakula vya kiwandani kupitiliza
Vyakula hivi vinachangia kudhoofisha Afya ya mifupa na maungio ,

Kumbuka kuepuka kwa vyakula hivo havikufanyi wewe kupona changamoto hiyo , bali kinachotakiwa kufanyika ni kupata matibabu yakatayofanya urudi kwenye utimamu.

Tupigie simu : +255 764 222 104
Tunapatikana
Makao mapya
Masjid cuba road
ARUSHA MALL
2nd floor
No 12.
Tunafanya delivery ndani ya tanzania na nje ya Tanzania kwa uaminifu mkubwa sana.






12/02/2025

ILI uweze kuwa bora kwenye Afya ya mifupa lazima uzingatie kilichobora katika mlo wako.
Tumia zaidi
- maziwa
- mayai
- nuts
- samaki
- mboga mboga
-matunda.
Fahamu kuwa vyakula hivi pekee haviwezi kukusaidi a ikiwa tayari una changamoto kubwa za mifupa au maungio.
Tunayo dawa tiba nzuri sana kwa Ajili ya kumaliza kabisa changamoto yako moja kwa moja.

USI PUUZIE.








Contacts: +255 764 222 104.
Arusha Mall
2nd floor
Shop No: 12

Tunafanya delivery ndani ya tanzania na nje ya Tanzania kwa Uaminifu mkubwa.

PRESSURE YA MACHO ( GLAUCOMA),ni ugonjwa maarufu wa macho ambao unawasumbua watu wengi ,kutokana na hitilafu za (OPTIC N...
06/01/2025

PRESSURE YA MACHO ( GLAUCOMA),ni ugonjwa maarufu wa macho ambao unawasumbua watu wengi ,kutokana na hitilafu za (OPTIC NERVE) neva ya optic. (Optic nerve damage) nerve hii ndio inayounganisha macho mpaka kwenye ubongo.

Kutokana na sababu mbalimbali,
Watu wengi wanaumia sana na ugonjwa huu.
K**a vile.
• Age ,umri mkubwa ni sababu kubwa inayopelekea tatizo la presha ya macho.
• ⁠Ethnicity, hii ni aina ya watu katika ukanda au bara fulan ,kwa hiyo presha ya macho una athiri zaidi katika bara la africa.
• ⁠family history, Historia ya familia ikiwa na changamoto ya presha ya macho inaweza kuathiri mpaka kizazi na kizazi.
• ⁠Eye injuries, hili ni tatizo ambalo linapelekewa na chabgamoto ya kuumia kwa jicho
• ⁠smoking , matumizi makubwa ya kuvuta sigara inaweza kupelekea tatizo la presha ya macho.
• ⁠High eye pressure, kuwa na shinikizo kubwa la damu hususan kwenye macho pia ni sababu.
• ⁠Diabetes , wagonjwa wa sukari wapo kwenye hatari ya kupata presha ya macho.
• ⁠Hypertension, wagonjwa wa shinikizo la juu la damu wapo kwenye hatari ya kupata glaucoma.
• ⁠cortocosteroid- matumizi makubwa ya dawa k**a prednisolone ,hydrocortisone ni chanzo cha presha ya macho (glaucoma).

Dalili za glaucoma
• maumivu ya macho
• ⁠kuumwa kichwa mara kwa mara
• ⁠macho kuwa mekundu
• ⁠kutokuwa na uwezo wa kuona
• ⁠diplopia (kuona picha mbili mbili)

Lakini pia ugonjwa huu unaweza kupelekea madhara k**a vile.
• mtoto wa jicho(cataract formation)
• ⁠upasuaji
• ⁠maambukizi kwenye jicho .

Ili kupata matibabu bila upasuaji tuwasiliane
0766786266
Dr.yunusu
Tunapatikana Arusha mall - 2nd floor.

SARATANI YA MATITI ( BREAST CANCER ).Saratani ya matiti ni ugonjwa Unaotokana na ukuaji wa seli ambazo si za kawaida na ...
02/10/2024

SARATANI YA MATITI ( BREAST CANCER ).

Saratani ya matiti ni ugonjwa Unaotokana na ukuaji wa seli ambazo si za kawaida na kutengeneza uvimbe kwenye matiti.
Uvimbe huu unaweza kuanza ndani ya mirija ya maziwa (milk ducts ).

Sababu za saratani ya matiti.
👉 historia ya tiba ya mionzi (history of Radiation)
👉 Umri
👉 uzito mkubwa kupitiliza
👉 matumizi ya pombe kupitiliza
👉 Historia ya familia
👉 historia ya hormone therapy

Dalili/Viashiria vya ugonjwa wa saratani ya Matiti .
👉 uvimbe kwenye matiti ambao hauna maumivu
👉 mabadiliko ya matiti,size,muundo na muonekano
👉mabadiliko ya ni**le
👉 kutoka majimaji yanayotokana na damu.

Saratani ya matiti inaweza kusababisha madhara yafuatayo bila kupata matibabu vizuri.
Kuna wakati saratani hii inaweza kusambaa kupitia mishipa ya damu mpaka sehemu zingine za mwili.na inaweza kupelekea sehemu zingine kupata maambukizi ya saratani k**a vile.
👉 saratani ya ubongo.
👉 saratani ya mifupa
👉 saratani ya ini
👉 saratani ya mapafu
Pia inaweza kupelekea kuziba kwa mishipa ya damu,kuvunjika kwa mifupa,shinikizo kwenye uti wa mgongo.

Bones&joint care tumejikita kwa undani kabisa kuwasaidia wagonjwa wenye changamoto mbalimbali za saratani na Ambazo sio saratani kwa kutumia mimea Asili iliyothibitishwa na mamlaka zinazohusika na kuzingatia ubora.

Tupigie simu namba
0766786266
0655203943
Tunapatikana Arusha
Jengo la Arusha Mall
Ghorofa ya 2.

16/08/2024
HOMA YA INI (HEPATITIS B )Ni maambukizi yanayotokea kwenye ini.Ni maambukizi yanayosababishwa na virus vya HEPATITIS B V...
16/08/2024

HOMA YA INI (HEPATITIS B )
Ni maambukizi yanayotokea kwenye ini.
Ni maambukizi yanayosababishwa na virus vya HEPATITIS B VIRUS.

Maaambukizi haya yanaweza kuwa sio makali (acute)au yakawa makali sana,( severe au chronic).

Homa ya ini inaweza kusababishwa au kusambaa kwa sababu zifuatazo .
- kuchangiana damu kutoka kwa mgonjwa wa homa ya ini.
- kushiriki tendo la ndoa na mgonjwa wa homa ya ini
- kugusana ngozi kwa ngozi na mgonjwa wa homa ya ini.
- pia inaweza kusambaa kupitia mate
- inaweza pia kuambukizwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto tumbon ikiwa mama ni mgonjwa wa homa ya ini.
- matumizi ya pombe kupitiliza.

Homa ya ini inaweza kuwa na viashiria vifuatavyo.
- kupata mkojo wa tofauti (dark urine)
- kubadilika ngozi na macho kuwa ya njano
- kuchoka sana
- maumivu ya tumbo hasa upande wa kulia
- kichefuchefu
- kutapika nk .

Pamoja na viashiria,pia Homa ya ini inaweza kuleta madhara makubwa sana k**a haijatibiwa.
- kufa kwa utendaji wa ini ( liver failure)
- saratani ya ini (liver cancer)
- kuungua Kwa ini ( cirrhosis)
- kifo (death).

Asilimia ya watu wengi hushindwa kuchagua matibabu sahihi na huangaika sehemu mbalimbali na huishia kujikuta tatizo linafika kwenye hali mbaya zaidi. (Severe stage ) na wengine hulazimila kutumia madawa ya Antivirus.

Unashauriwa kula vizuri ,vyakula vyenye ant oxidants nyingi hususan matunda na vinywaji vizuri.

Watu ambao wameteseka na changamoto hii tunawasaidia kwa program maalum itakayofanyika sambamba na dawa za natural essence.we care we share in Africa.

Dr.yunusu
0766786266
Arusha.

LEO TUJIFUNZE KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI (CERVICAL CANCER)  DR.YUNUSU .Saratani ya shingo ya kizazi ni ugonjwa ...
23/07/2024

LEO TUJIFUNZE KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI (CERVICAL CANCER)
DR.YUNUSU .

Saratani ya shingo ya kizazi ni ugonjwa ambao huwakumba wanawake ,na maana yake ni kuzalishwa kwa cells ambazo si za kawaida katika shingo ya kizazi (malignant tumor in the cervix).

Wanawake wengi hupata saratani ya shingo ya kizazi kupitia sababu tofauti tofauti,lakini sababu kubwa ni kuwepo kwa maambukizi kwenye via vya uzazi hususani HUMAN PAPILLOMA VIRUS (HPV) ni aina ya maambukizi yanayosababishwa na virus na huenea kutoka kwa mtu moja hadi mwingine kupitia ngono. Takriban wanawake 90% Hupatikana na saratani kupitia chanzo hiki.

Jamii nyingine ya wanawake waliopo kwenye hatari zaidi ya kupata saratani ya shingo ya kizazi ni wale wanao jihusisha na mapenzi ya utotoni kabla ya miaka 18,

Pia wanawake ambao wapo kwenye hatari pia ni wale ambao hutumia njia za uzazi wa mpango kinyume pamoja na wanaofanya mapenzi na zaidi ya mwanaume moja nk.

mwanamke mwenye satarani ya shingo ya kizazi anaweza kuona dalili zifuatazo.
•kuona matone ya damu hata K**a haupo kwenye hedhi
•kutokwa na hedhi muda mrefu zaid
•kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
•kutokwa uchafu wa brown,pink,ukeni
•maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
•kuona damu wakati wa monopause.

Saratani ya shingo ya kizazi inaweza kuenea taratibu na inaweza kuchukua mwaka 1 au zaidi ili kuanza kuonesha dalili,
Mwanamke anaweza kuanza kuona dalili kutokana na mabadiliko ya shingo ya kizazi,na wanawake ambao kinga zao za mwili ziko chini wanaweza kuona dalili mapema zaidi.

Na wanawake wanaofanya huduma za tiba za mionzi au hufanyiwa upasuaji hawawezi kubeba tena ujauzito tena.

Wanawake wenye saratani ya shingo ya kizazi wanashauriwa kutumia zaidi vyakula vifuatavyo,asali,cabbage,broccoli,tangawizi,mchai chai,maziwa,apple,cinnamon,nuts,mayai.

Madhara makubwa hutapata wanawake ambayo hupata tiba ambazo Sio sahihi au ambao hawajapata matibabu,K**a vile
•kutokwa na damu ukeni bila kukata
•kukojoa mara kwa mara
•magonjwa ya figo (kidney failure)
•ugumba
•kupoteza maisha.

Tunakushauri ufike kwenye ofisi zetu ili uweze kupata ushauri wa kitabibu na namna ya kutibu changamoto hii.
Dr.yunusu
0766786266.
Arusha.

PANDISHA CD4 NDANI YA MASAA 24 TU. Wengi wanaweza kujiuliza CD4 ni nini?CD4 ni CO- RECEPTOR FOR THE T- CELL RECEPTOR. CD...
17/07/2024

PANDISHA CD4 NDANI YA MASAA 24 TU.
Wengi wanaweza kujiuliza CD4 ni nini?

CD4 ni CO- RECEPTOR FOR THE T- CELL RECEPTOR.

CD4 zinapatikana kwenye seli za Kinga (immune cells) ziitwazo HELPER T CELLS.

CD4 zinakadiriwa kuwa na uwiano wa 500-1400 cells Kwenye damu.

Kazi kubwa ya CD4 ni kuamsha seli zingine za mwili
K**a vile MACROPHAGES,LYMPHOCYTES,( B cells), CD8 cells , kwa Ajili ya kupambana na maambukizi.

Sababu zinazofanya CD4 kushuka ni
• maambukizi ya mara kwa mara k**a vile influenza,pneumonia,
• maambukizi kwenye ini (Hepatitis 😎
• tiba ya mionzi ( themotherapy)
• maambukizi ya virusi ( HIV)
• msongo wa mawazo

Dalili zifuatazo zinaashiria kupungua kwa CD4.
• homa za mara kwa mara
• uone hafifu
• kuchoka sana
• kukosa hamu ya kula
• mwili kuisha nguvu.

BONES & JOINT CARE ,tunaweza kukupatia suluhisho la kupandisha CD4 kwa haraka sana ndani ya masaa 24 .
Tupigie simu . 0766786266.

Usisahau kula vizur
- matunda na mboga mboga
-pata muda mzuri wa mazoezi
-pata muda mzuri wa kulala
-epuka kuwa na msongo wa mawazo.

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255766786266

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yunusu AFYA Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Yunusu AFYA Clinic:

Share