Afya Maridhawa

Afya Maridhawa ๐“๐ฎ๐ง๐š๐ง๐š๐ญ๐ฎ๐š ๐‚๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐ค๐ข๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐“๐ข๐›๐š ๐‹๐ข๐ฌ๐ก๐ž
๐Ÿ‘‰ ๐Œ๐Ÿ๐ฎ๐ฆ๐จ ๐ฐ๐š ๐Œ๐ฆ๐ž๐ง๐ ๐ž๐ง๐ฒ๐จ ๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š
๐Ÿ‘‰ ๐๐š๐ฐ๐š๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข
๐Ÿ‘‰ ๐‚๐ก๐จ๐จ ๐ค๐ข๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ
๐Ÿ‘‰ ๐•๐ข๐๐จ๐ง๐๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐›๐จ

19/12/2025

BAWASILI INATIBIKA. ENDAPO TU UTAANZA MATIBABU MAPEMA
ANZA SASA KUTIBU CHANGAMOTO YAKO

 # # # **UJUE UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)**  **Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji****Bawasili** ni hali ya ...
18/12/2025

# # # **UJUE UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)**

**Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji**

**Bawasili** ni hali ya kuvimba kwa mishipa midogo ya damu (vena) inayozunguka eneo la tundu la haja kubwa. Mishipa hii inapovimba, husababisha vimbe au vinyama kuota katika eneo hilo, na mara nyingine kupasuka na kutoa damu. Hali hii huweza kusababisha maumivu, usumbufu mkubwa na hata kuathiri maisha ya ndoa au afya ya akili.

---

# # # **AINA ZA BAWASILI**

1. **Bawasili ya Ndani** โ€“ Hutokea ndani ya tundu la haja kubwa.
2. **Bawasili ya Nje** โ€“ Huonekana k**a uvimbe au kinyama nje ya tundu la haja kubwa.

---

# # # **CHANZO CHA BAWASILI**

- Kukaa kwa muda mrefu bila kusimama (madereva, maofisini)

- Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujifungua

- Kufanya ngono kinyume na maumbile

- Choo kigumu (constipation) mara kwa mara

- Kutumia vyoo vya kukaa bila kujisaidia kikamilifu

- Kunyanyua vitu vizito au kufanya mazoezi mazito

- Lishe duni isiyo na nyuzi nyuzi (fiber)

---

# # # **DALILI ZA BAWASILI**

- Kuwashwa mara kwa mara sehemu ya haja kubwa

- Maumivu makali wakati wa kujisaidia

- Kutoka damu wakati wa haja kubwa

- Kuota kinyama ndani au nje ya tundu la haja kubwa

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kukaa vizuri, au kupungua nguvu za kiume

---

# # # **MADHARA YA BAWASILI**

- Upungufu wa damu kutokana na kutokwa na damu mara kwa mara

- Kudhoofika kwa mwili na kinga ya mwili

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa au nguvu za kiume

- Kuathirika kisaikolojia (msongo, huzuni)

- Kupoteza uwezo wa kujizuia kujisaidia
- Hatari ya kupata saratani ya utumbo mpana

---

# # # **SULUHISHO SALAMA BILA UPASUAJI**
Watu wengi hupelekwa hospitali kwa ajili ya upasuaji wa bawasili, lakini ukweli ni kwamba ugonjwa huu mara nyingi hurudi tena hata baada ya upasuaji.

**Habari njema ni kwamba sasa kuna bidhaa asilia, salama na zenye nguvu ya kuondoa kabisa uvimbe wa bawasili bila haja ya upasuaji.** Bidhaa hizi husaidia:

- Kupunguza uvimbe kwa haraka
- Kuponya mishipa iliyopasuka
- Kupunguza maumivu na kuwashwa
- Kurudisha afya ya mfumo wa haja kubwa

---

# # # **JE UNASUMBULIWA NA BAWASILI?**
Usikubali kuishi na maumivu au aibu. Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba salama.

**Dr Honoratha*
**Mawasiliano: Whatsapp 0656786572**
kawaida ๐Ÿ“ž 0621886572

28/11/2025

๐Ÿ”ฅ *UNATESWA NA BAWASIRI?*
(Ya ndani au ya nje?)
โœจ Maumivu wakati wa choo?
โœจ Kuvuja damu au kuwashwa?
โœจ Kuwepo kwa uvimbe sehemu ya haja kubwa?

*Usiogope, usione haya.*
*Bawasiri inatibika!*

๐Ÿฉบ *๐ก๐จ๐ง๐จ๐ซ๐š๐ญ๐ก๐š ๐ก๐ž๐š๐ฅ๐ญ๐ก ๐œ๐š๐ซ๐ž* tunakuletea *tiba za asili zisizo na madhara*, zenye matokeo ya haraka!
โœ… Hupunguza maumivu
โœ… Hukausha uvimbe
โœ… Husaidia mfumo wa choo kuwa laini

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi kwa haraka:
๐Ÿ“ฒ *+255 656 786 572

 # # # **UJUE UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)**  **Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji****Bawasili** ni hali ya ...
27/11/2025

# # # **UJUE UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)**

**Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji**

**Bawasili** ni hali ya kuvimba kwa mishipa midogo ya damu (vena) inayozunguka eneo la tundu la haja kubwa. Mishipa hii inapovimba, husababisha vimbe au vinyama kuota katika eneo hilo, na mara nyingine kupasuka na kutoa damu. Hali hii huweza kusababisha maumivu, usumbufu mkubwa na hata kuathiri maisha ya ndoa au afya ya akili.

---

# # # **AINA ZA BAWASILI**

1. **Bawasili ya Ndani** โ€“ Hutokea ndani ya tundu la haja kubwa.
2. **Bawasili ya Nje** โ€“ Huonekana k**a uvimbe au kinyama nje ya tundu la haja kubwa.

---

# # # **CHANZO CHA BAWASILI**

- Kukaa kwa muda mrefu bila kusimama (madereva, maofisini)

- Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujifungua

- Kufanya ngono kinyume na maumbile

- Choo kigumu (constipation) mara kwa mara

- Kutumia vyoo vya kukaa bila kujisaidia kikamilifu

- Kunyanyua vitu vizito au kufanya mazoezi mazito

- Lishe duni isiyo na nyuzi nyuzi (fiber)

---

# # # **DALILI ZA BAWASILI**

- Kuwashwa mara kwa mara sehemu ya haja kubwa

- Maumivu makali wakati wa kujisaidia

- Kutoka damu wakati wa haja kubwa

- Kuota kinyama ndani au nje ya tundu la haja kubwa

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kukaa vizuri, au kupungua nguvu za kiume

---

# # # **MADHARA YA BAWASILI**

- Upungufu wa damu kutokana na kutokwa na damu mara kwa mara

- Kudhoofika kwa mwili na kinga ya mwili

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa au nguvu za kiume

- Kuathirika kisaikolojia (msongo, huzuni)

- Kupoteza uwezo wa kujizuia kujisaidia
- Hatari ya kupata saratani ya utumbo mpana

---

# # # **SULUHISHO SALAMA BILA UPASUAJI**
Watu wengi hupelekwa hospitali kwa ajili ya upasuaji wa bawasili, lakini ukweli ni kwamba ugonjwa huu mara nyingi hurudi tena hata baada ya upasuaji.

**Habari njema ni kwamba sasa kuna bidhaa asilia, salama na zenye nguvu ya kuondoa kabisa uvimbe wa bawasili bila haja ya upasuaji.** Bidhaa hizi husaidia:

- Kupunguza uvimbe kwa haraka
- Kuponya mishipa iliyopasuka
- Kupunguza maumivu na kuwashwa
- Kurudisha afya ya mfumo wa haja kubwa

---

# # # **JE UNASUMBULIWA NA BAWASILI?**
Usikubali kuishi na maumivu au aibu. Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba salama.

**Dr Honor
**Mawasiliano: 0656786572

UONAPO DALOLO.HIZI USIPUUZIE PATA MATIBABU MAPEMA
27/11/2025

UONAPO DALOLO.HIZI USIPUUZIE PATA MATIBABU MAPEMA

Chanzo kikubwa cha bawasiri ni MFUMOM'BOVU WA CHAKULA ambao hupelekea kuwa na choo kigumu au Kuharisha ambako kunapeleke...
27/11/2025

Chanzo kikubwa cha bawasiri ni MFUMO
M'BOVU WA CHAKULA ambao hupelekea kuwa na choo kigumu au Kuharisha ambako kunapelekea bawasiri watu wengi wakipata bawasiri hutaka KUIONDOA bila KUREKEBISHA MFUMO WA CHAKULA ambao ndio chanzo kikuu,
*Bawasiri ni matokeo ya kuwa na mfumo m'baya wa mmeng'enyo wa chakula*

_Zifuatazo ni dalili zinazoonesha mfumo wako wa chakula una matatizo na unaweza kupata bawasiri:_

๐Ÿ“Unapata choo kigumu mara kwa mara
๐Ÿ“Unapata gesi tumboni na tumbo lina unguruma mara kwa mara
๐Ÿ“Ukila kidogo tu unashiba
๐Ÿ“Hupati choo kwa wakati

*Hizi ni sababu zinazoonesha mfumo wako wa chakula umeyumba lazima urekebishwe ili usipate bawasiri au k**a umepata bawasiri kabla ya kuiondoa hakikisha mfumo wako wa chakula upo sawa๐Ÿค,,,*

Nimewasaidia watu wengi kuondokana na changamoto iyo chukua namba yangu nikusaidie leo

๐Ÿ“ž0656786572

 #  # #The day today in A town ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
07/11/2024

# # #
The day today in A town ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Jifunze kutokana na makosa, na uyatumie k**a ngazi za mafanikio. Kila kushindwa ni darasa la mafanikio ya baadaye
30/10/2024

Jifunze kutokana na makosa, na uyatumie k**a ngazi za mafanikio. Kila kushindwa ni darasa la mafanikio ya baadaye

TEZI DUME NA SARATANI/KANSA YA TEZI DUME BILA UPASULIWAJI***Tiba ya ***โ€ขโ€ขโ€ขTEZIDUME โ€ขโ€ขโ€ข HUSAIDIA KUPONA HARAKA KWA WALIOF...
11/10/2024

TEZI DUME NA SARATANI/KANSA YA TEZI DUME BILA UPASULIWAJI
***Tiba ya ***

โ€ขโ€ขโ€ขTEZIDUME

โ€ขโ€ขโ€ข HUSAIDIA KUPONA HARAKA KWA WALIOFANYIWA UPASULIWAJI WA TEZI DUME NA KUZUIA TATZO HILO KUJITUDIA

โ€ขโ€ขโ€ขSARATAN/CANCER ya TEZI DUME

Note: BIDHAA hii ni ya ASILI haina MADHARA YOYOTE KWA WATUMIAJI hivyo huhimizwa kutumiwa na WANAUME WOOTE WALIO NA UMRI KUANZIA MIAKA 35+ kwaajili ya KUJIKINGA NA MARADHI YA TEZI DUME
โ€ขโ€ขโ€ข KUPUNGUA KWA PRESURE/Nguvu ya kutoka Kwa Mkojo

โ€ขโ€ขโ€ขHERNIA na NGIRI

โ€ขโ€ขโ€ขUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

โ€ขโ€ขโ€ขU.T.I SUGU Kwa wanaume

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฉ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜:
Kukojoa Mara kwa mara.
โœ“Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
โœ“Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
โœ“Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
โœ“Kupungukiwa nguvu za kiume.
โœ“UTI ya Mara kwa mara.
โœ“Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
โœ“Figo kujaa maji.
โœ“Kupoteza fahamu.
โœ“Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
โœ“Uume kushindwa kusimama vizuri.
โœ“Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

Call/WhatsApp
0656786572

*๐’๐€๐๐€๐๐” 10 ๐‡๐€๐“๐€๐‘๐ˆ๐’๐‡๐ˆ ๐™๐€ ๐”๐†๐Ž๐๐‰๐–๐€ ๐–๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ (๐ƒ๐ˆ๐€๐๐„๐“๐„๐’), ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ, ๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐๐€ ๐๐€๐Œ๐๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐๐Ž๐๐€ ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐’๐ˆ๐Š๐” 90(๐“๐ˆ๐๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐ƒ๐”...
10/10/2024

*๐’๐€๐๐€๐๐” 10 ๐‡๐€๐“๐€๐‘๐ˆ๐’๐‡๐ˆ ๐™๐€ ๐”๐†๐Ž๐๐‰๐–๐€ ๐–๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ (๐ƒ๐ˆ๐€๐๐„๐“๐„๐’), ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ, ๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐๐€ ๐๐€๐Œ๐๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐๐Ž๐๐€ ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐’๐ˆ๐Š๐” 90(๐“๐ˆ๐๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐ƒ๐”๐Œ๐”).*

โš ๏ธ๐…๐ฎ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ฆ๐š๐๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ง๐ฎ๐Ÿ๐š๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ค๐จ, ๐Ÿ๐š๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐จ๐ค๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ค๐š.

โœ๐Ÿป๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ญ๐š๐ค๐ฐ๐ข๐ฆ๐ฎ zinaonyesha kila ๐ฌ๐ž๐ค๐ฎ๐ง๐๐ž 10 mtu ๐ฆ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š mwenye ๐ค๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ก๐ฎ๐Ÿ๐š๐ซ๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ya ๐ฐ๐š๐ญ๐ฎ 40,000 ๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ค๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐ก๐ฎ๐ค๐š๐ญ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ข๐ ๐ฎ๐ฎ/๐ฆ๐ข๐ค๐จ๐ง๐จ ๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข.
๐๐ข๐š zaidi ya watu ๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐จ๐ง๐ข 422 ๐ฐ๐š๐ง๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข hivyo kupelekea ugonjwa huu ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐š ๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š 5 ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐œ๐ก๐š ๐ฏ๐ข๐Ÿ๐จ ๐๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข.

โœ๐Ÿป๐”๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š wa ๐ค๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ง๐ข ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ฒ๐š ๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐จ๐ฐ๐š๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐ž๐ง๐ ๐ข ๐๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข kwani mtu anaweza akaishi na ugonjwa huu kwa muda mrefu takribani miaka 5 na ๐ค๐ฎ๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐›๐ข๐ฅ๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ฃ๐ฎ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐š๐ง๐š๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข, kwa kiwango kikubwa hutokana na mfumo wa maisha wa mtu atakavyoamua kuishi, hivyo huu ๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ฎ๐ค๐š๐ฆ๐ฉ๐š๐ญ๐š kila mtu mtoto kwa mtu ๐ฆ๐ณ๐ข๐ฆ๐š.

๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ๐๐ˆ ๐๐ˆ๐๐ˆ?.

โœ๐Ÿป๐๐ข ๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐จ๐ญ๐จ๐ค๐š๐ง๐š pale ๐ข๐ง๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ง ๐ข๐ง๐š๐ฉ๐จ๐ฌ๐ก๐ข๐๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐›๐š๐ฅ๐š๐ง๐ฌ๐ข ๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข, ambayo homoni ya insulin hutengenezwa kwenye kongosho (pancreas)

AFYA ya Ngozi YAKO โ˜บ๏ธ๐Ÿ˜ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI) {PRODUCT FROM U.S.A}*0% chemical* Ni sabuni ya mitish...
08/10/2024

AFYA ya Ngozi YAKO โ˜บ๏ธ๐Ÿ˜
ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)
{PRODUCT FROM U.S.A}
*0% chemical*
Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa kwa viambata asilia k**a vifuatavyo

INGREDIENTS (VIAMBATA)
1.....Wild honey (asali mwitu)
2....Green Tea (mchai รงhai)
3.... Grape fruit (mbegu za zabibu)
4.Lisa

KAZI MUHIMU
1.Hupambana na kuondoa makunyanzi

2.Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muinekano nadhifu

3.Huondoa mapunye,chunusi,na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi.

4.Inavuta uchafu uliopo ndani ya ngozi,pamoja na uchafu unaosababisha chunusi na mapele.

5..inaomdoa madoa kwenye ngozi

6..Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hivyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo

7...Inazibua(inafungua) njia za jasho kwenye vinyweleo hivyo kudhibiti tatizo la harufu mbaya ya mwili

8...Inatibu vidonda vya kuungua, jeraha, na vidonda vya kisukari

9..Inaua vijidudu (bacteria) wa ,fangasi,upele na mapunye

10..Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia.

11..Inatunza ngozi ya mtoto mdogo

SHARE KWA WATU MBALI MBALI

Sababu zinazokunyima  furaha zaidi,  wakati wa tendo la ndoa kwa sababu ya ukavu ukeni ni1:Maandalizi yasiyotosheleza ka...
04/10/2024

Sababu zinazokunyima furaha zaidi, wakati wa tendo la ndoa kwa sababu ya ukavu ukeni ni

1:Maandalizi yasiyotosheleza kabla ya kujamiana husababisha uke kuwa mkavu maana mwanamke anakuwa hayuko tayari kiakili kufanya tendo la kujamiiana.

2:Kukauka kwa uke katika umri wa 45+ huwa ni kiashiria cha ukomo wa hedhi kwa mwanamke.

Lakini k**a uke unakauka chini ya miaka 45 huwa ni tatizo la Afya ambalo huweza kuchangiwa na fangasi katika uke na kutokukaa sawa kwa homoni (hormonal imbalance).

3:Kutokuwa na hisia wakati wa tendo la ndoa pia kutokuwa na mapenzi na mwanaume unayeshiriki naye tendo la ndoa. Yote husababisha uke kuwa mkavu

4:Ufanyaji wa tendo la ndoa kwa muda mrefu mfano masaa mawili. Pia kuwa na msongo wa mawazo ama kutokuwa na utayari kiakili na kimazingira na tendo lile la ndoa.
. Pia ufanyaji mbovu wa tendo la ndoa mfano wanasema 'nje ndani nje ndani bila kuwepo na kuliwazana na kuwasiliana katika tendo la ndoa'. Yote hupelekea uke kuwa mkavu wakati wa tendo la ndoa.

Address

Arusha Kalolen
Arusha

Telephone

+255656786572

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Maridhawa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Maridhawa:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram