Afya1 bf suma

Afya1 bf suma Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya1 bf suma, Medical and health, Arusha.

We Care About your health
(Reproductive System men & Women ).By using Food Suppliment πŸ©ΊπŸ”­πŸ”¬
Nawasaidia wanawake na wanaume kutatua changamoto za uzazi kwa kutumia virutubishi lishe πŸ“πŸ‡πŸ‰πŸŒπŸ₯‘πŸπŸŒ½πŸ₯’πŸ₯¦πŸ₯₯πŸ₯­πŸ«πŸ
AfyaLife Clinic βœ…Dr Jailos πŸ“ž0689263216

14/04/2025

UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME Vijana wengi wanajiinga kwenye kujichua bila kujua madhara yake ya badaee, ukipiga punyeto kwa kipindi kirefu unaweza kupata madhara makubwa k**a.1.kusinyaa kwa uume.2.kulegea kwa mishipa ya uume .3.kushindwa kuhimili tendo la ndoa.4.maumivu makali wakati wa tendo.5.kutowa main mepesi6.kuwai kumaliza mapema7.kushindwa kudumu kwenye tendo.8.kushindwa kurudia mara kwa mara.9.maumivu makali wakati wa kukojoa10.maumivu makali wakati wa kushiliki tendo.hizo dalili za upigaji punyeto.tunakushauli acha kujichua na unatakiwa upate suluisho la tatizo lako kwa kupata vyakula vya asili ambavyo vitakuwezesha kuludisha heshima ya maumbile yako na kulinda ndoa yako. Tuma ujumbe mfupi ukianza NGUVU ZA KIUME kwa njia ya sms/WartsApp kwenda 0689263216 ili kupata taratibu za matibabu ukiwa popote pale Tanzania Asantee Kwa Afya Tips zaidi tembelea page zetu zaAfyaLife Clinic Mitandao yote ya kijamii

14/04/2025

life clini JailosCONSTIRELAX ( constipation relaxation) ni dawa ya asili iliyotengenezwa na mitishamba kwa ajili ya kupunguza, kutuliza na kuponya shida ya kukosa choo na kutatua shida ya choo kigumu. πŸ‘‰imetengenezwa na *fructo-oligosacharide.( FOS) - husaidia kuzalishwa kwa bacteria wanaosaidia kuneng'enya chakula, -husaidia mtumbo mdogo kunyanyo virutubisho sahihi kutoka kwenye chakula, *radix astragali extract - inaongeza kinga ya mwili, - hutoa sumu na kuondoa tatizo la cancer. - hupunguza na kuondoa maumivu mwilini.FAIDA ZA CONSTIRELAX*β—‹ Inasafisha tumbo vizuri mno na kuondoa hali ya kuvimbiwa (constipation)β—‹ Inaondoa sumu zote tumboniβ—‹ Inaondoa dalili za Bawasiri sugu (Acute Hemorrhoids) k**a kuvimba, kutoka damu.β—‹ Inaboresha mzunguko wa maji maji mwilini na kuondoa viuvimbe vinavyo sababishwa na maji maji.β—‹ Inasaidia kutibu aina mbali mbali ya vidonda vya tumbo (Peptic & Gastric)β—‹ Tiba nzuri ya Mawe kwenye figo.β—‹ Inaboresha ngozi yako kwa kuondoa sumu ndani.β—‹ Inaondoa gesi na uchafu wote usiotakiwa tumboni.

14/04/2025

TUMIA VIRUTUBISHO LISHE KUONDOA SUMU ZOTE MWILINI NA KUKUFANYA UKABAKI SALAMA
0689263216 Dr Jailos
Njoo nikusaidie k**a umekuwa na sumu nyingi mwilini

28/02/2025

Je wewe unadhani ni kwanini wanawake wengi siku hizi hufanyiwa operation wakati wa kujifungua ??????????

Tuambie hapo chini kwenye comment japo ziko
Sababu mbalimbali zinazo sadikika ndio chanzo cha changamoto hii
1.Mwanamke kuwa na njia ndogo
2.Kuchelewa kufunguka kwa celvix
3.Uzito/mwili mkubwa wa mtoto
4.mama kuwa na umri mdogo
5.Kuchelewa kwa uchungu
6.Mlalo wa mtoto kuwa vibaya
Nk
Comment hapo chini sababu zinginezo unazo zifahamu wewe au ulizo ziexperience kwenye changamoto hii β˜οΈβ˜οΈπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ

JIELIMISHE LEO KUHUSU AFYA YA MWANAMKE NA NAMNA YA KUITWA MAMA NDANI YA MUDA MCHACHE TU HATA K**A UMESUMBUKA KWA MUDA MR...
24/02/2025

JIELIMISHE LEO KUHUSU AFYA YA MWANAMKE NA NAMNA YA KUITWA MAMA NDANI YA MUDA MCHACHE TU HATA K**A UMESUMBUKA KWA MUDA MREFU NA TATIZO HILI KARIBU AFYALIFE CLINIC TUKUSAIDIE KUTATUA CHANGAMOTO HII MAANA TUMEWASAIDIA WATU WENGI NA SASA WANAITWA MAMA TUPIGIE SASA KWA MSAADA ZAIDI UONGEE NA DR ATAKUSAIDIA KWA HARAKA Dr Jailos πŸ“ž0689263216

JE? WEWE NI MWANAMKE UKE WAKO UMEPEPWAYA BAADA KUTOKA KUJIFUNGUA??JE? WEWE NI MWANAMKE UKE WAKO UMEPEPWAYA BAADA YA KUTO...
20/02/2025

JE? WEWE NI MWANAMKE UKE WAKO UMEPEPWAYA BAADA KUTOKA KUJIFUNGUA??

JE? WEWE NI MWANAMKE UKE WAKO UMEPEPWAYA BAADA YA KUTOKA NA WANAUME WENGI WENYE SIZE TOFAUTI?πŸ˜‚?

JE?WEWE NI MWANAUME UKIMUINGILIA MKEO HAUSIKII KITU MNATO UNASIKIA MAJI MAJI TU K**A UNAOGELEA??πŸ˜‚πŸ™ˆ

JIBU NI MOJA TU



FURAHA YA MWANAMKE
NA MWANAUME

1.INASAIDIA SANA KUBANA DHAKARI PALE IWAPO SEHEMU YAKO NYETI

2. INAONGEZA JOTO LA UKE NA KUONGEZA RADHA YA MAPENZI

3. INABANA UKE ULIOLEGEA AU KUPWAYA

4. INAONGEZA UTE UKENI NA UKE KUWA MNATO

5. INAMSAIDIA MWANAMKE KUFIKA KILELENI KWA URAHISI

6.ni mwendo wa kuwa bikra Sasa kajizolee misifa kede kede kwa mumeo.

7)NI TIBA YA KUDUMU.

IMETAYARISHWA NA
Dr Jailos πŸ“ž0689263216
MOB.
whatspp
0689263216
0767323370

nitumie ujumbe au piga cm sema mnato nitakujibu haraka sana nakukupa utaratibu wa kuipata
Note :USITIMIE LEMON,TANGAWIZI,NA KITUNGUU SWAUMU KWAAJIRI YA KUBANA UKE

16/02/2025

SIKU MAALUMU YA MATIBABU YA TEZI DUME BILA UPASUAJI NI KILA JUMA TANO # # SULUHISHO LA UPASUAJI WA TEZI DUME SASA LIMEPATIKANA # TEZI DUME BILA UPASUAJI NI KWA MWEZI MMOJA TU # kwa mawasiliano zaidi 0689263216 Dr Jailos # Condo. Hotel # TANZANIA

06/02/2025

Jinsi ya Kupunguza Kitambi (Tumbo)na Uzito MkubwaKuongezeka kwa uzito na kuwa na kitambi ni matatizo yanayowasumbua watu wengi leo, na mara nyingi huathiri afya ya mtu na hata hali yake ya kijamii.Hata hivyo, kupunguza kitambi na uzito mkubwa si jambo lisilowezekana. Kwa kufuata njia sahihi na kujitolea, unaweza kufanikiwa kupunguza kitambi na uzito kwa njia endelevu na yenye afya. Hapa chini tunajadili njia mbalimbali za kupunguza kitambi na uzito mkubwa:Lishe Bora:Kuanza safari yako ya kupunguza kitambi kunahusisha kufanya marekebisho katika lishe yako. Kula vyakula vyenye afya k**a matunda, mboga za majani, protini zenye kiwango cha chini cha mafuta, na nafaka nzima. Epuka vyakula vyenye sukari nyingi, mafuta mengi, na wanga wa haraka ambavyo vinaweza kuchangia katika kuongeza uzito.Mazoezi:Mazoezi ni sehemu muhimu sana ya kupunguza kitambi na uzito. Kujumuisha mazoezi ya mwili katika ratiba yako ya kila siku kunaweza kusaidia kuchoma kalori na kuboresha kimetaboliki yako. Mazoezi k**a kukimbia, kutembea haraka, kuogelea, au hata yoga yanaweza kusaidia katika kupunguza uzito.Kudhibiti Sehemu ya Vyakula:Kudhibiti sehemu ya vyakula unavyokula ni muhimu katika kupunguza uzito. Tumia sahani ndogo na punguza sehemu ya vyakula vyenye kalori nyingi k**a wanga na mafuta. punguza kula kila mara jizoeshe kufungaKunywa Maji ya Kutosha:Kunywa maji ya kutosha kila siku kunaweza kusaidia katika kupunguza hamu ya kula na kudhibiti uzito. Maji pia husaidia mwili kufanya kazi vyema na kuondoa sumu mwilini.Punguza Matumizi ya Pombe na Vinywaji vya Sukari:Pombe na vinywaji vyenye sukari ni vyanzo vikubwa vya kalori ambavyo vinaweza kuzuia juhudi zako za kupunguza uzito. Kupunguza au kuacha kabisa matumizi ya pombe na vinywaji vyenye sukari kunaweza kuwa na athari kubwa katika kupunguza kitambi.Anza leo kutunza afya yakoKupunguza kitambi na uzito mkubwa ni safari ya muda mrefu inayohitaji jitihada na kujitolea. Kwa kufuata njia sahihi za lishe, mazoezi, na mbi Kwa msaada wa haraka wa kupungua kitambi na kuondoa sumu nyingi mwilini nipigie moja kwa moja nikuhudumie pia nitakupa ushauri wa Afya ,lishe na mazoez pia nitakupa proglamu maalumu ya kupungua asante na karibu By Dr Jailos 0689263216From clinicπŸ©ΊπŸ”¬βœ…

28/01/2025

LEO TUMEKULETEA BIDHAA BORA KABISA YA KUPANDISHA CD4 INATUMIKA K**A MBADALA WA (ARV) INAPATIKANA TANZANIA NZIMA 0689263216

24/01/2025

AFYA BORA KWA MTOTO NI MUHIMU SANA K**A MTOTO WAKO ANA CHANGAMOTO YEYOTE YA UKUAJI NA KUWA NA AFYA ZOOFU NJOO TUTAKUHUFUMIA NA NA MTOTO ATAKUWA NA AFYA BORA SANA TUNA VIRUTUBISHO LISHE VINAVYO WEZA KUMPA MTOTO AFYA NZURI KWA HUDUMA ZETU TUPIGIE 0689263216 Dr Jailos

Dawa za asili 14 zinazotibu Bawasiri Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ...
23/01/2025

Dawa za asili 14 zinazotibu Bawasiri

Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujuliakana k**a haemorrhoids au piles.

Bawasiri inaweza kupelekea upungufu wa damu mwilini. Bawasiri inaweza kutibika ama kwa upasuaji ama kwa matumizi ya dawa mbadala kwa kipindi kirefu wiki hata 6 au hata zaidi kutegemea ilikuwa imejijenga kiasi gani.

Bawasiri husababishwa na nini

Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha bawasiri, bali mambo yafuatayo yanaweza kupelekea wewe kupatwa na ugonjwa huu:

1. Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
2. Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
3. Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
4. Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
5. Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
6. Kuharisha sana kwa muda mrefu
7. Kutumia vyoo vya kukaa
8. Kunyanyua vyuma vizito
9. Mfadhaiko/stress
10. Uzito na unene kupita kiasi nk

Dalili za Bawasiri

1. Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
2. Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
3. Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
4. Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
5. Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote

Matibabu ya bawasiri:

Kutegemea na umri wako na namna ugonjwa ulivyojijenga na kudumu, unaweza kuhitaji dawa moja au mbili au hata tatu kwa pamoja kati ya hizi zifuatazo. Kumbuka kumshirikisha daktari wako kabla ya kuamua kuzitumia hizi dawa.

Bawasiri na tiba zake

☎️WHATSAAP 0689 263 216

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255689263216

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya1 bf suma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya1 bf suma:

Share