Jb herbal Clinic

Jb herbal Clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jb herbal Clinic, Medical Center, Jaluo Road, Arusha.

Tunatibu magonjwa mbalimbali kwa dawa asili unapona Kabisa,unatupata sehemu mbalimbali Nchi nzima unaweza Kuwasiliana nasi Sasa Kwa Ushauri Zaidi,na Jinsi Ya Kupata Huduma,Karibuni

ONDOA UCHAFU NA SUMU MWILININAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI.Leo katika zama hizi za sayans...
06/09/2024

ONDOA UCHAFU NA SUMU MWILINI

NAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI.

Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia magonjwa/maradhi yamekua mengi sana si Tanzania tu bali duniani kote kutokana na Sumu kutoka katika vitu mbalimbali hali ambayo hupelekea kupungua kwa Kinga ya mwili.
Jambo muhimu analopaswa kufahamu binadamu yoyote ni kwamba cell zetu ndio zinazopata maradhi hayo maana afya ya mwili wa binadamu hutegemea afya ya cell zake.

Najua unapenda kuwa na afya njema.
Je unafahamu maradhi mengi 90% husababishwa na utumbo wako kuwa mchafu?

Je unafahamu kuwa unavyopeleka service gari lako na mwili wako unahitaji?

Umewahi kufikiria njia za kusafisha utumbo wako kutoa sumu za kemikali za soda, sigara, madhara ya madawa, air condition, juice za box(artificial juice), pombe na mengineyo?

Jaribu kufikiria je unapata choo kilaini. Je unapata kila siku?
Kutokupata choo huweza kusababisha maradhi mengi katika afya yetu. K**a vile kupata matatizo ya utumbo,vitambi, lakini pia kupata maradhi ya Bawasiri.

Zipo bidhaa bora asili zenye kuweza KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI MARA BAADA YA KUONDOA SUMU HIZO MWILINI.

Tumia bidhaa hizo ambazo hazina kemikali na zina uwezo wa kutoa sumu mwilini, kuongeza kinga ya mwili, zinasaidia mmeng'enyo wa chakula kuwa vizuri hivyo kuondokana na tatizo la kutopata choo(constipation). Na kupunguza tatizo la kukosa nguvu za kiume sababu ya dam kujaa sumu sana pamoja na kina mama wasiioona siku zao kabisa ama zinatofautiana kabisa.

Pia husaidia katika maradhi ya presha,uvimbe,kisukari,madonda ya tumbo,aleji,kupunguza kasi ya uzee kwa kuondoa ngozi iliyochoka, kuua bacteria na virusi wasiohitajika mwilini na hivyo kuwa na afya bora

Bidhaa hizo zinauzwa Ths 30,000 popote ulipo utatumiwa karibuni sana

Kwa maelezo zaidi ya namna ya kupata bidhaa hyo
piga 0623 183 293 //au 0745 689 573
Call/WhatsApp/text sms

Imechapishwa Na Jb herbal clinic Tanzania

05/09/2024

SOMO LA U.T.I &P.I.D

⏯️Ni kiasi gani Kwa sasa U.T.I Imekuwa changamoto kubwa sasa hasa kwa wanawake wengi na hupelekea kuzalisha tatizo kubwa
K**a P.I.D na wengi wanaweza kudharau na kuona ni tatizo la kawaida

⏯️Lakini Athari zake baadae huwa kubwa sana na kusababisha kupata Saratani kwenye via vya uzazi na kupelekea kutoshika mimba au mimba kutoka na kudhani umelogwa kumbe hapana

Wataalamu wanasema %75 mwanamke yupo hatarini kupata U.T.I kutokana na namna ya kujisaidia ni rais sana kupata bakteria wa baya wa U.T.I kupenya na kumsababishia tatizo hilo

DALILI ZAKE

(1)✍️tumbo kuuma sana wakati wa kujisaidia

(2)✍️kutokwa na majimaji sehemu za siri

(3)✍️kupata muwasho sehemu za siri mkali

(4)✍️mkojo kutoka wenye rangi mbaya na maumivu

(5) mkojo kuwa na harufu sana

⏯️Kwa dalili hizo tayari utakuwa una U.T.I nenda hospitali kapime kuthibitisha.

🌶️ DALILI YA P.I.D

⏯️Ukidharau husababisha na kukaa na hali hiyo kwa muda mrefu huzalisha tatizo la P.I.D
Na ukiona dalili zifuatazo

(a)⏯️Uchafu Ukeni

(b)⏯️MAUMIVU WAKATI WA HEDHI

(c) ⏯️MAUMIVU YA NYONGA NA MGONGO

(d)⏯️UKE KUA MKAVU KUKOSA RAHA NA MAUMIVU WAKATI WA Tendo

MADHARA YA P.I.D

(1)👉🏾KUTOSHIKA UJAUZITO

(2)👉🏾MIMBA KUHARIBIKA

(3)👉🏾KUKOSA HAMU YA Tendo

(4)👉🏾KUZIBA MIRIJA YA UZAZI

(5) 👉🏾SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

(6)👉🏾HORMONE KUVURUGIKA

⏯️Epukana na tatizo hilo
Karibu Jb herbal Clinic tukusaidie Kwa Kukupa Tiba sahihi za Asili Upate Kupona kabisa Kwa Muda Mfupi

,Tiba zetu Ni Asili 100/%,zimethibitishwa zinatibu Bila Madhara Waliopo Arusha Fika Ngaramtoni ya Juu au wasiliana Nasi tukuelekeze Ofisi Ilipo,Waliopo Mikoa Mingine Tuna Tuma bila Shaka na Uaminifu Ndio Dhamira Yetu👍🏾
,,
Karibuni Sana Tuwahudumie
WhatsApp 0745 689 573
Au Tupigie 0623 183 293

Page 2 👇🏾👇🏾∆-Ugonjwa wa amiba sio wa kuchukulia poa kwani usipotibika mapema huweza kuleta madhara makubwa sehemu mbalim...
15/08/2024

Page 2 👇🏾👇🏾

∆-Ugonjwa wa amiba sio wa kuchukulia poa kwani usipotibika mapema huweza kuleta madhara makubwa sehemu mbalimbali za mwili.

∆-Ni vyema kuzingatia usafi wa mazingira maji na vyakula ili kuepuka hatari ya kupata ugonjwa huu. Na unapopata dalili hizo basi wahi hospitali kupata matibabu.

TIBA YAKE
Jb herbal Clinic tumekuandalia Mitishamba maalumu ya Kukusaidia Kutibu Tatizo Hili Pamoja na Matatizo Mengine Yote ya Tumbo Kwa Gharama Nafuu Kabisa, Tafadhali wasiliana nasi Tukupe Tiba Hii Sasa Popote Ulipo Tanzania na Kenya +255 745 689 573 au +255 623 183 293

AMOEBA/AMIBA NI UGONJWA WA TUMBO USIOFAHAMIKA KWA WATU WENGI↙️Watu wengi wanaugua magonjwa ya tumbo lakini ni wachache w...
15/08/2024

AMOEBA/AMIBA NI UGONJWA WA TUMBO USIOFAHAMIKA KWA WATU WENGI

↙️Watu wengi wanaugua magonjwa ya tumbo lakini ni wachache wanaofahamu kuhusu ugonjwa wa amoeba.
↙️Amoeba/Amiba ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Entamoeba Histolytica ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu.
↙️Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na ubongo hivyo kupelekea mtu kupata matatizo ya akili pamoja na mgongo.
↙️Vimelea vinavyoenezwa na bakteria huyu humsababishia mtu kuhara haja ambayo huonekana ina k**asi au Choo Ambacho Hakishikani Vizuri

NJIA ZA KUPATA
↙️Kula matunda bila kuosha
↙️kutokunawa mikono baada ya kutoka chooni
↙️kula chakula bila kuosha mikono
↙️kunywa maji yasiyochemshwa
↙️Kula Vyakula Vilivyopoa(kiporo)

WATU AMBAO WAPO HATARI KUPATA HAYA MARADHI NI
↙️Wasafiri
↙️Walaji Wa Viporo na Maziwa mgando yasiyochemshwa
↙️Wanafunzi
↙️Walaji Wa mirungi
↙️ Wauzaji Wa Magenge
↙️Walevi

DALILI ZAKE
↙️Dalili huanza kuonekana ndani ya week 1 hadi 4 tokea mtu ale Vyakula au Vinywaji vyenye Bacteria Hao
↙️Kula Kidogo na Kujiskia Umeshiba Mda Mrefu
↙️Kutokuhisi Njaa
↙️Tumbo Kuunguruma Sana
↙️Tumbo Kujaa Gesi
↙️Kujihisi Kujisaidia Haja Kubwa ila ukienda unajisaidaia Kidogo Sana Na Kubanwa Haja Kubwa Mara Kwa Mara
↙️Kupata Miwasho Kwenye Njia Ya Haja Kubwa
↙️Kuchoka sana na maumivu ya Viungo
↙️Pia Hupunguza Hamu Wa Kufanya Tendo La Ndoa Kwa Wanaume

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU
Usafi wa mazingira, maji na chakula ndio njia kubwa ya kukukinga na ugonjwa huu, ∆-ikihusisha kunawa mikono kwa maji safi na sabuni unapotoka chooni.Vitu vingine vya kuzingatia ni pamoja na
∆-Kuosha vizuri matunda na mboga mboga kabla ya kula
∆-Epuka kula matunda na mboga mboga ambazo hujaziosha wala kuzimenya wewe mwenyewe
∆-Chemsha maji ya kunywa au tumia maji yaliyo salama mfano yaliyowekewa dawa ya chlorine(water guard)
∆-Epuka kutumia maziwa au bidhaa za maziwa k**a Cheese ambayo hayajachemshwa vizuri
K**a ni mpenzi wa Kachumbali au Salad kwa kuwa hazipikwi weka VINEGAR(Siki) kwani mbali na kuweka radha ya uchachu ila ina ACETIC ACID ndani yake ambayo husaidia kuua wadudu.

👉🏾 Page 2
Endelea .....

AMOEBA/AMIBA NI UGONJWA WA TUMBO USIOFAHAMIKA KWA WATU WENGI↙️Watu wengi wanaugua magonjwa ya tumbo lakini ni wachache w...
15/08/2024

AMOEBA/AMIBA NI UGONJWA WA TUMBO USIOFAHAMIKA KWA WATU WENGI

↙️Watu wengi wanaugua magonjwa ya tumbo lakini ni wachache wanaofahamu kuhusu ugonjwa wa amoeba.
↙️Amoeba/Amiba ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Entamoeba Histolytica ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu.
↙️Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na ubongo hivyo kupelekea mtu kupata matatizo ya akili pamoja na mgongo.
↙️Vimelea vinavyoenezwa na bakteria huyu humsababishia mtu kuhara haja ambayo huonekana ina k**asi au Choo Ambacho Hakishikani Vizuri

NJIA ZA KUPATA
↙️Kula matunda bila kuosha
↙️kutokunawa mikono baada ya kutoka chooni
↙️kula chakula bila kuosha mikono
↙️kunywa maji yasiyochemshwa
↙️Kula Vyakula Vilivyopoa(kiporo)

WATU AMBAO WAPO HATARI KUPATA HAYA MARADHI NI
↙️Wasafiri
↙️Walaji Wa Viporo na Maziwa mgando yasiyochemshwa
↙️Wanafunzi
↙️Walaji Wa mirungi
↙️ Wauzaji Wa Magenge
↙️Walevi

DALILI ZAKE
↙️Dalili huanza kuonekana ndani ya week 1 hadi 4 tokea mtu ale Vyakula au Vinywaji vyenye Bacteria Hao
↙️Kula Kidogo na Kujiskia Umeshiba Mda Mrefu
↙️Kutokuhisi Njaa
↙️Tumbo Kuunguruma Sana
↙️Tumbo Kujaa Gesi
↙️Kujihisi Kujisaidia Haja Kubwa ila ukienda unajisaidaia Kidogo Sana Na Kubanwa Haja Kubwa Mara Kwa Mara
↙️Kupata Miwasho Kwenye Njia Ya Haja Kubwa
↙️Kuchoka sana na maumivu ya Viungo
↙️Pia Hupunguza Hamu Wa Kufanya Tendo La Ndoa Kwa Wanaume

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU
Usafi wa mazingira, maji na chakula ndio njia kubwa ya kukukinga na ugonjwa huu, ∆-ikihusisha kunawa mikono kwa maji safi na sabuni unapotoka chooni.Vitu vingine vya kuzingatia ni pamoja na
∆-Kuosha vizuri matunda na mboga mboga kabla ya kula
∆-Epuka kula matunda na mboga mboga ambazo hujaziosha wala kuzimenya wewe mwenyewe
∆-Chemsha maji ya kunywa au tumia maji yaliyo salama mfano yaliyowekewa dawa ya chlorine(water guard)
∆-Epuka kutumia maziwa au bidhaa za maziwa k**a Cheese ambayo hayajachemshwa vizuri
K**a ni mpenzi wa Kachumbali au Salad kwa kuwa hazipikwi weka VINEGAR(Siki) kwani mbali na kuweka radha ya uchachu ila ina ACETIC ACID ndani yake ambayo husaidia kuua wadudu.

∆-Ugonjwa wa amiba sio wa kuchukulia poa kwani usipotibika mapema huweza kuleta madhara makubwa sehemu mbalimbali za mwili.

∆-Ni vyema kuzingatia usafi wa mazingira maji na vyakula ili kuepuka hatari ya kupata ugonjwa huu. Na unapopata dalili hizo basi wahi hospitali kupata matibabu.

TIBA YAKE
Jb herbal Clinic tumekuandalia Mitishamba maalumu ya Kukusaidia Kutibu Tatizo Hili Pamoja na Matatizo Mengine Yote ya Tumbo Kwa Gharama Nafuu Kabisa, Tafadhali wasiliana nasi Tukupe Tiba Hii Sasa Popote Ulipo Tanzania na Kenya +255 745 689 573 au +255 623 183 293

SOMO  LA U.T.I &P.I.D⏯️Ni kiasi gani Kwa sasa U.T.I Imekuwa changamoto kubwa sasa hasa kwa wanawake wengi na hupelekea k...
13/05/2024

SOMO LA U.T.I &P.I.D

⏯️Ni kiasi gani Kwa sasa U.T.I Imekuwa changamoto kubwa sasa hasa kwa wanawake wengi na hupelekea kuzalisha tatizo kubwa
K**a P.I.D na wengi wanaweza kudharau na kuona ni tatizo la kawaida

⏯️Lakini Athari zake baadae huwa kubwa sana na kusababisha kupata Saratani kwenye via vya uzazi na kupelekea kutoshika mimba au mimba kutoka na kudhani umelogwa kumbe hapana

Wataalamu wanasema %75 mwanamke yupo hatarini kupata U.T.I kutokana na namna ya kujisaidia ni rais sana kupata bakteria wa baya wa U.T.I kupenya na kumsababishia tatizo hilo

DALILI ZAKE

(1)✍️tumbo kuuma sana wakati wa kujisaidia

(2)✍️kutokwa na majimaji sehemu za siri

(3)✍️kupata muwasho sehemu za siri mkali

(4)✍️mkojo kutoka wenye rangi mbaya na maumivu

(5) mkojo kuwa na harufu sana

⏯️Kwa dalili hizo tayari utakuwa una U.T.I nenda hospitali kapime kuthibitisha.

🌶️ DALILI YA P.I.D

⏯️Ukidharau husababisha na kukaa na hali hiyo kwa muda mrefu huzalisha tatizo la P.I.D
Na ukiona dalili zifuatazo

(a)⏯️Uchafu Ukeni

(b)⏯️MAUMIVU WAKATI WA HEDHI

(c) ⏯️MAUMIVU YA NYONGA NA MGONGO

(d)⏯️UKE KUA MKAVU KUKOSA RAHA NA MAUMIVU WAKATI WA Tendo

MADHARA YA P.I.D

(1)👉🏾KUTOSHIKA UJAUZITO

(2)👉🏾MIMBA KUHARIBIKA

(3)👉🏾KUKOSA HAMU YA Tendo

(4)👉🏾KUZIBA MIRIJA YA UZAZI

(5) 👉🏾SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

(6)👉🏾HORMONE KUVURUGIKA

⏯️Epukana na tatizo hilo
Karibu Jb herbal Clinic tukusaidie Kwa Kukupa Tiba sahihi za Asili Upate Kupona kabisa 👍🏾
WhatsApp 0745 689 573
Call 0623 183 293

2,,,ila usiweke Oda pengine wala usiamishwe namba ya kutuma namba nilizoweka hapo ndio za Ofisi ukitajiwa zingine usitum...
06/05/2024

2,,,ila usiweke Oda pengine wala usiamishwe namba ya kutuma namba nilizoweka hapo ndio za Ofisi ukitajiwa zingine usitume.! Na saa unachkua namba chukua kwa Umakini

Ofisi ipo Ngaramtoni Arusha

Bei ya Dose ni kuanzia 35,000/- kwa ambayo haina mda mrefu
Bei inaweza kufika 75,000/- kwa wenye uvimbe mkubwa wa muda mrefu.

Karibu sana pia Endelea ku-Share hizi post zetu ili tuweze kusaidia ndugu zetu wenye matatizo wapate matibabu Asanteni karibuni Herbal clinic

0745-689-573 WhatsApp tuu
0623-183-293. Kupiga tuu

BAWASIRI:-Habari zenu ndugu Zetu, ni Matumaini Yetu Mko poa.  Karibu Tupate Kuwajulisha Machache Kuhusu Bawasiri (uvimbe...
06/05/2024

BAWASIRI:-

Habari zenu ndugu Zetu, ni Matumaini Yetu Mko poa. Karibu Tupate Kuwajulisha Machache Kuhusu Bawasiri (uvimbe katika njia ya Haja Kubwa)

Bawasiri Ni Aina Ya Uvimbe katika njia ya haja kubwa,uvimbe huu unaweza kua upande wa nje au kwa ndani,ila zote ni bawasiri na zinaweza kutibiwa Vizuri kabisa bila shaka.
Endapo unapata dalili nitakazo kuandikia hapa chini 👇🏾👇🏾hakikisha unawasiliana nasi Jb herbal Clinic tukusaidie tiba Asili ambazo zimesaidia wagonjwa wenye shida hii ya Bawasiri na wakapona.

🔶K**a unakaa muda mrefu bila kupata choo na ukipata unapata choo kigumu! Anza kuchukua tahadhari sasa hiyo ni dalili ya kwanza.

🔶K**a unapata miwasho ya sehemu za haja kubwa
🔶 k**a basi umeanza kuhisi uvimbe wowote kwenye njia ya haja kubwa
🔶 K**a kuna kinyama chochote unaona unapojisaidia na ukimaliza kinyama hicho unaskia kimerudi ndani basi hiyo ndio ile ya ndani

🔶ila kwa yule ambaye tayari unaona uvimbe upo upande wa nje ya tundu la kujisaidia haja kubwa basi hiyo pia ni bawasiri ya nje

MATIBABU YAKE:-
Hapa katika clinic yetu ya jb herbal clinic tunakupa dawa kwa Bawasiri ya muda wowote ule.
Iwe ya nje au ya ndani, kumbuka sisi tutakupa dawa spesho za kutoa vyanzo vya tatizo kabisa katika mfumo wa damu na mmeng’enyo wa chakula. wastani wa kuyeyuka kabisa kwa uvimbe huo huwa ni week 2 hadi mwezi mmoja,hii ni kutokana na muda tatizo lilivyokusumbua na madhara iliyoweka katika mwili

Dawa zetu ni salama ni Asili 100% pia zikefanyiwa majaribio ya kutosha zinatibu bila madhara yeyote

Tunakuahidi ukianza matibabu kwetu tutahakikisha unapona,maana tumefanya haya matibabu kwa wengi hivyo kwako wewe unayetaka kuzianza tunakuhitaji kua na Imani nasisi kisha utumie dawa.
Wastani wa matokeo kuona nafuu kuanzia siku3. unapoanza matibabu.

KUMBUKA TUTAKUA SAMBAMBA NA WEWE KUANZIA SIKU UNAANZA MATIBABU, KWA LENGO LA KUKUSHAURI ZAIDI VYAKULA.

Tumia namba hizi WhatsApp tu 0745689573
Tumia hizi kupiga tu 0623183293
Tupo Arusha wa mikoa mingine tunatuma.
Hii ni kwa aliye tayari tu.👍🏾

hapa uaminifu ni 100% Toka tumeanza huduma walioagiza wote watakua mashuhuda wa hili hakuna ubabaishaji👉🏾👉🏾

Ant-Allergies ,MAFUA,CHAFYA,KIKOHOZI NA MAUMIVU YA KICHWA💉💊Karibu k**a umekua ukipata Dalili yoyote katika Hizo hapo Juu...
20/10/2023

Ant-Allergies ,MAFUA,CHAFYA,KIKOHOZI NA MAUMIVU YA KICHWA💉💊

Karibu k**a umekua ukipata Dalili yoyote katika Hizo hapo Juu,Utapata Ant Aleji No1 na Utaachana na hizo shida Kwani sisi Jb herbal Clinic tuna uhakika wa Kukupa Hiyo Dawa Na Utapona Kabisa

Shuhuda zake ni Nyingi pia Tumefanya Tafiti na Tuna Uhakika wa Kukupa Dawa Na Kuanzia siku 2 utaona matokeo pindi Tuu unapokua Umeanza Dawa. Huduma hii Inapatikana Hapa Arusha Ngaramtoni karibu sana Clinic yetu hapa Upate huduma,pia k**a upo nje ya Arusha Inatumwa Popote pale Nchi nzima na nchi jirani Dose Kamili ni 20,000/-
0745-689-573 AU 0623-183-293

HUJAMBO!HABARI!KARIBUKaribu Jb herbal Clinic tukupe huduma Bora ya Tiba Asilia,Karibu tukupe dawa Yetu inajulikana kwa j...
20/10/2023

HUJAMBO!HABARI!KARIBU
Karibu Jb herbal Clinic tukupe huduma Bora ya Tiba Asilia,Karibu tukupe dawa Yetu inajulikana kwa jina la SARIGE,dawa hii ni Maalum kwaajili ya Kupunguza wingi wa Sumu mwilini,uzito,kitambi,cholesterols na Amoeba 🦠 ya Muda Wowote,tiba hii Ukiitumia kuanzia siku ya Kwanza tuu lazima utaipenda,Kwanza inafanya Kazi kwa Ubora wa Kipekee sana Na Inashauriwa kwa Mtu yeyote kwasababu mbali Na kutibu hizo shida husaidia Zaidi kwenye Kuboresha Afya na kinga za mwili kwakua Hutoa kiasi cha Sumu Zisizo stahili katika Mwili,watu wenye mmeng’enyo mbaya pia wanashauriwa kutumia kwa kua husaidia kupata choo Vizuri, huduma hii inapatikana katika Ofisi zetu hapa Arusha ngaramtoni na Gharama yake ni 20,kwa dose ya siku 14.
Karibu sana upate dawa Hii pia k**a haupo Arusha Uhakika wa Kutumiwa dawa Hii ni Asilimia 100% tupigie 0745-689-573 Au 0623-183-293
Karibu sana..

Address

Jaluo Road
Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jb herbal Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jb herbal Clinic:

Share

Category