Mahaba

Mahaba Karibu kwenye Ukurasa wetu uweze kujifunza mambo ya Mapenzi na Ndoa. ukiwa na changamoto yoyote au ukiwa na Tangazo wasiliana nasi kwa email hapo chini.

  YA KUKATA KIUNO KITANDANIkwanza kabisa unatakiwa kuchagua mkao ambao utakufanya iwe rahis kwako kukata kiuno sio kila ...
24/07/2025

YA KUKATA KIUNO KITANDANI

kwanza kabisa unatakiwa kuchagua mkao ambao utakufanya iwe rahis kwako kukata kiuno sio kila mkao ni rahis kwa wewe kukatika::mfano wa mikao rahis
kifo cha mende
mbuz kagoma
visusio(yaan k**a umemsusia hiv)na mkao wowote utakaobuni wewe mwanamke ili iwe rahis kwako kukata kiuno

Tunapaswa kujua namna ya kukata kiuno..kunatofaut kwny ukataj wa kiuno..kuna kile kiuono cha kucheza na na kiuno cha huba(kiuno cha mapenz/
kitandani)mwanamke akikata kiuno cha kucheza hawezi kuisikilizia dhakari kwa ndan lakn lakn ukikata kiuno ukikata cha kitandani atahisi uume ukibana na kuachia k**a vile ana'endiket

JINSI YA KUIKATIKIA UUME
Hebu tujaribu hizi za chao-chap
(i)-kata kiuno k**a njia ya kumuita kitandani......
kwamba lala chali ukiwa na chupi na sidiria kisha panua miguu alafu kunja magoti ktk mtindo wa V sasa kata kiuno na yeye atakufuata na kuaza kazi.....
(ii)-Kata kiuno kumsaidia.......ukiwa umelala chali(kifo cha mende)akiingiza uume usikate kiuno hata kidogo, muachie apige tako zake na ukihisi anapunguza speed ndio wakati muafaka wa kuanza kumpa kiuno

taratiiiibu.....utaona ananza kuchangamka....endelea na hakikisha unabadilisha movement yaani kulia-kushoto alafu kushoto-kulia-juu-chini (k**a una bell dancing).....utasikia anatoa sauti/miguno ya ajabu-ajabu(ndio utamu wenyewe anaupata hapo).

(iii)-Kata kiuno kum-tease na kumpa raha to the max........Yeye chini wewe juu, mkiwa wote tayari kwa tendo kalia uume half way (nusu) kisha zunguusha kiuno, yeye atataka kuingiza yote lakini mzuie kwa kurudi juu mapaka kichwani kisha rudia mpaka nusu na zunguusha kiuono tena......akitaka kuingiza rudi juu k**a unaitoa ukeni alafu ingiza tena yote mpaka mwisho ride kidogo....jisogeze kwa juu kidogo(huku uume wote uko ndani)....mlalie alafu panua miguu ili iwe rahisi kukata kiuno.....

endelea kumpa kiuno huku unampa denda ktk same rythm ya ukatikaji wako.......Jinsi unavyozidi kumjua mwenzio ndivyo utakavyo zidi kuwa mbunifu na utagundua kona za uke wako ambazo utakuwa unazitumia kuubana uume na kujikatia kiuno ili kujipatia kilele.

Kiuno kinasaidia sana mwanamke kufika kileleni haraka kuliko mwanaume. Pia jitahidi sana kuonyesha ushirikiano pindi uume ikiingia tu ili kuleta Utamu na kumfanya mume wako asikuone gogo na apate nguvu ya goli la Pili sawa jmn jitahidini sana kuikatikia waume ili muenjoy kwa pamoja

MUHIMU kiuno cha jimai hukatwa kwa kwa chini zaid na kikikatwa makalio ya mwanamke lazima hukaza ukataji wa kiuno kwa ajil ya mwanaume:hapa lazima mtoto wa k**e ujue timing sio akiingiza tu wewe unaanza kukatika inaboa sasa subir afanye anajua na ww hapo unaanza kuonyesh mautundu mwanamke unaanza kukatika taratiiibu alaf unaongeza kasi huku ukitoa kisaut cha mahaba hapo lazima aongeeee kichina k**a kawaida ,mbele,nyuma,kushoto..

kuwa malaya kwa mumeo tokomeza kansa ya kuachwa...

NAOMBA USHAURI TAFADHALIMimi Mke wangu anapenda sana s*x atakuja kuniua. Mimi nina miaka 45 mke wangu ana miaka 30. Mke ...
21/07/2025

NAOMBA USHAURI TAFADHALI

Mimi Mke wangu anapenda sana s*x atakuja kuniua. Mimi nina miaka 45 mke wangu ana miaka 30. Mke wangu anataka kufanya s*x kila siku.

Mimi nachoka sana mwili mwili wangu umeshachoka.kila siku nikitoka kazini namkuta amekaa bila nguo ananisubiri anataka.

Yani kabla ya chakula anataka s*x badaa ya chakula hata nikimbilie kulala atakuja aniamshe anataka tena bao tatu kila siku siwezi.

Nishaoa kabla ila mke wangu aliyepita hakua hivo na alikuwa na kazi kwaiyo hakuwa anataka sana k**a huyu.

Huyu wa sasa anataka kila siku mpaka mke wangu mwingine akaniacha.
Kuna siku nimemaliza kula akaanza kunitomasa nilikuwa nimeshiba sana mpaka chakula kikataka kutoka.

Akiona hudindishi anakupandia juu ukiwa umeshiba utahisi kifo.
Ilifika weekend atataka mara 5 kwa siku. Huwa najifanya nimelala lakini lazima akuamshe.

Nimechoka mpaka zimesinyaa hata nikikuma naishia kutoa hewa tu.
Akitoa watoto nje tu wakacheze najua tu huku nyuma nitakoma.

Huwa naomba Mungu tu aingie kwenye siku zake ili nipumzike na hapo napumzika nashindwa kumuacha nampenda sana na nime zaa nae sasa nashindwa nifanyeje naomba ushauri.

  UNAFIKI SEMA UKWELI ETI MIMI NI MZURI ?
06/07/2025

UNAFIKI SEMA UKWELI ETI MIMI NI MZURI ?

  NDOTO ZAKOJe wajua Smartphone yako ni mtaji unaoweza kukupatia faida kubwa Mtandaoni na wewe kutimiza Ndoto zako?Je wa...
06/07/2025

NDOTO ZAKO

Je wajua Smartphone yako ni mtaji unaoweza kukupatia faida kubwa Mtandaoni na wewe kutimiza Ndoto zako?

Je wajua kuwa bando unalo tumia linaweza kukuingizia pesa nyingi Mtandaoni na Ukatimiza Ndoto zako?

Je wajua Elimu uliyo nayo unaweza kujiajiri Mtandaoni na ukapata pesa nyingi zaidi na kufikia malengo yako?

Je wajua kuwa Ujuzi au taaruma yako unaweza Kujiajiri Mtandaoni na ukapata pesa nyingi?

Je wajua Biashara yako unaweza kuuza kwa njia ya Mtandao na ukakuza kipato chako?

Je wajua kuwa kupitia Mtandao waweza kujikwamua kimaisha na kuondokana na umasikini?

Haijalishi wewe ni msomi au sio msomi haijalishi una mtaji au hauna mtaji haijalishi wewe ni mfanyakazi au auna kazi,

Hauna haja ya kumlaumu Mungu wala kwenda kwa waganga wakusaidie kuondokana na maisha uliyo nayo watakulia pesa zako bure

Kila mtu anaweza kujiajiri kupitia mtandao na kutimiza Ndoto zake.

K**a umebahatika kusoma ujumbe huu tambua kuwa ni mpango wa Mungu Kubadili maisha yako.

Ufanisi TV inatoa mafunzo kwa njia ya MTANDAO. Kwa ada ya elfu kumi Tsh:10,000/= tu.

Fanya maamuzi leo kumbuka mafanikio yako katika maamuzi yako. Elfu kumi yaweza kuwa ufunguo wa maisha yako. au elfu kumi yaweza kukuzuia ukashindwa kufikia mafanikio yako.

MAFUNZO hufanyika saa tatu usiku baada ya kumaliza kazi zako Waweza alika ndugu jamaa na marafiki kila mtu utakae mwalika utapata Tsh: 2,000/= kutoka kwenye Ada yake.

'Badili Maisha Kidigital' wasiliana nasi kwa namba 0625850656 uweze kuanza mafunzo na kufikia Ndoto zako.



💞  CHA MAHABA💞🍇Ukitaka kumfanya mwanaume asikojoe haraka na anogewe na mahaba yako zaidi basi mwanamke uache kutulia k**...
21/06/2025

💞 CHA MAHABA💞

🍇Ukitaka kumfanya mwanaume asikojoe haraka na anogewe na mahaba yako zaidi basi mwanamke uache kutulia k**a unaiba💞

🍇Mwanaume alie kamilika katika secta ya mahaba hupenda sana mwanamke anae jua kutoa miguno na kujua kukata mauno💞

🍇Ukishindwa kuzungusha nyonga basi achia miguno tu kuonesha ushirikiano wako kitandani na sio kutulia k**a unavizia mwizi💞

🍇Jitume kitandani uweze kunogesha mahaba kwa mumeo💞

🍇Ukitaka anogewe ujue kumteka hisia zake msifie sana akiwa ana kushughulikia💞

🍇Haaassss .....yaaaahh....unajua kuni....tomba💞

🍇Nito...mbe beby zaidi ya jana💞

🍇Mmhh mb..oo yako tamuu....haaassss💞

🍇Tom..baaa beby jamaaaanii...aaaaassss💞

🍇Naipenda mbo..o yako tamuu usimpe mwingine💞

🍇Nakupeeeeendaa beby nipeee nipeeee nipee mbo..o beby💞

🍇Chukuaaa yotee beby ingiza yote tamuu💞

🍇Naomba tubadishe staili mpenzi Assssss.....napendaaa niinameeeee.....haaaaaassss beby💞

🍇Ahsante kwa kunifanya vizuri💞

💞MANENO HUONGEZA RADHA KWENYE MAPENZI💞

Follow like Comment Ukurasa wetu Ili iendelee kupata masomo yetu.

  WA MAHABA UPO HAPA JAMANI USIACHE HIIMahabaNaomba niwaibie siri wadada haswaa ukiwa na mpenzi wako chumbani, fanya jam...
13/06/2025

WA MAHABA UPO HAPA JAMANI USIACHE HII
Mahaba
Naomba niwaibie siri wadada haswaa ukiwa na mpenzi wako chumbani, fanya jambo hili alafu utanipa mrejesho.

Mkiingia chumbani simama wima alafu mkumbatie mpenz wako kwa nguvu huku ukizungusha mikono yako mgongoni kwake, alafu kua k**a wampapasa taratiiibu, baada ya hapo kua k**a wataka kumuachia hivi kwa kuhamisha mikono yako laki endelea kua nae zero distance.

Palepale, mkono mmoja kua k**a wamshika shavu la kulia ukishuka taratiibu kwenye shingo yake alafu kua k**a wataka mbusu hivi msogelee karbu had pua zenu zkutane , na kila mmoja awe anackilizia uhemaji wa mwenzie🤭 kua k**a wataka kukutanisha lips alaf amia upande wa kushoto wa shingo yake umbusu na lips zako tamu wakat ule mko ulokua ukicheza na shavu la kulia ukiendelea na kaz yake had ashindwe kuchagua ackilize utamu wa kushoto au kulia😂😂😂

Kumbuka zoez hili ili linoge lifanywe taratiibu huku ukitoa miguno flani amaizing🤭

K**a Umeipenda usipite bila ku Follow like Comment

  TUNAPOCHAGUA MTUSomo sasa... Sitaki nikuchoshe hapa mdau wangu, ila utajifunza jambo muhimu kwa watu au mtu kwa machac...
08/06/2025

TUNAPOCHAGUA MTU

Somo sasa...

Sitaki nikuchoshe hapa mdau wangu, ila utajifunza jambo muhimu kwa watu au mtu kwa machache tu.

Ni hivi, kuna mwanamke atakufanya akili yako iwe inachaji muda wote. Na mwengine atakufanya akili yako ilale muda wote.
Kuna baadhi ya wanawake/wanaume wanachagua mtu kwasababu ya kitu flani sio kwasababu yako wewe.

Na wanawake wengine, wanachagua mwanaume mwenye uwezo wakufanya makubwa maishani. Na mwenye uwezo wakusimama pamoja nae katika maisha, Si kila mwanaume analijua hili!. Si kila mwanamke anamtaka mwanaume wa namna hii.
Ni vyema ukachagua mtu ambaye kila mkisonga mnakwenda mbele si kuvutwa nyuma.

Ndipo hapa sisi vijana wengi tunapofeli. Kwa kuchagua wanawake wenye sura, wenye makalio makubwa mazuri. Wenye maumbo mazuri, na wenye mvuto wa kila sehemu. Ila hatuangalii vichwani wana nini na matokeo yake mwisho wa siku unakuja kuyumba bila mafanikio.
Mwanaume/Mwanamke.. Achana na uzuri kwanza angalia je? Huyu mtu ni sahihi kwangu?... Je ana akili ya kutengeneza japo biashara, na mambo yakaendelea?..

Jibu uko nalo kichwani.

Nilihitaji kukwambia jinsi ya kuchagua mtu ambaye atakuwa manufaa kwako, ila ukichagua kisa mzuri au kisa ana hela zake. Oyaaa umeumia vibaya sana sana sana sanaaa.

Mwanaume unakuwa na mwanamke ambaye kichwa chake hakichaji, muda wote anawaza kukuchuna.
Anawaza mtoke out, anawaza utampatia lini hela.

Mwanamke unaamua kuwa na mwanaume ambaye kichwa chake hakichaji, ukimuuliza swala la vipi mafanikio yako?. Vipi mambo na biashara vipi nikikupa hela kadhaa tutaweza kufungua biashara gani.

Atababaika, hajui ni kitu gani anatakiwa akushauri.
Hapo dadaangu umefeli, kuwa na mwanaume asiyekuwa na malengo. Malengo yake ni kukuomba s*x hamna cha zaidi. Oya dada nakufungua akili

Fanya majaribio leo hii, kwa mpenzi wako utaona majibu yake.....

  NDIYE MWANAMKE WA KUOWA1. Tafuta mwanamke ambaye hata ukimtumia 5k atakwambia asante na sio kukusonya.2. Tafuta mwanam...
06/06/2025

NDIYE MWANAMKE WA KUOWA

1. Tafuta mwanamke ambaye hata ukimtumia 5k atakwambia asante na sio kukusonya.

2. Tafuta mwanamke ambaye anajua kuna kupata na kukosa katika maisha.

3. Tafuta mwanamke ambaye anaweza kupunguza matumizi yake yasio ya lazima, ili aweze kuishi ndani ya kipato chako.

4. Tafuta mwanamke ambaye anaelewa kuwa sio yeye pekee anayehitaji usaidizi wako, wapo wazazi wako na ndugu wengine pia.

5. Tafuta mwanamke ambaye hawapi nafasi wanaume wengine.

6. Tafuta mwanamke ambaye ndugu zako watakuwa huru kuja kwako.

7. Tafuta mwanamke hakukatii tamaa hata unapopitia magumu.

8. Tafuta mwanamke ambaye anakutia moyo kila mara.

9. Tafuta mwanamke ambaye anatamani wewe ndio uwe baba wa watoto wake.

10. Tafuta mwanamke ambaye anaamini katika akili yako na maono yako.

11. Tafuta mwanamke ambaye anakupa amani katika maisha yako.

12. Tafuta mwanamke ambaye wewe ndio utakuwa kipaombele katika kila kitu.

13. Tafuta mwanamke ambaye atakufichia madhaifu yako.

14. Tafuta mwanamke ambaye atatangaza mazuri yako kwa rafiki na ndugu zake na sio mabaya yako.

15. Tafuta mwanamke ambaye mnapokuwa kwenye migogoro atakubali kutafuta suruhisho kwa amani.

16. Tafuta mwanamke atakukumbusha kuwasaidia ndugu zako.

17. Tafuta mwanamke ambaye hakuna anachokuficha katika maisha.

18. Tafuta mwanamke ambaye furaha yake ni kuona unafuraha.

19. Tafuta mwanamke ambaye unaamini hata siku ukiondoka duniani bado wanao watakuwa na mtu imara wa kuwaongoza.

20. Tafuta mwanamke ambaye kwenye shida anamkimbilia Mungu na sio waganga wa kienyeji.

21. Tafuta mwanamke ambaye nafasi yako kwake hatapewa mwanaume mwingine.

22. Tafuta mwanamke ambaye hata ukimpa pesa nyingi hazitumii hovyo.

23. Tafuta mwanamke ambaye atakushauri kuanziasha biashara na uwekezaji mwingine ili muwe na kesho nzuri.

24. Tafuta mwanamke ambaye anakusaidi katika kufanikiwa kwako.

25. Tafuta mwanamke ambaye ni mfariji katika maisha yako.

26. Tafuta mwanamke ambaye heshima yake kwako ni pale unapokuwa mbele yake na hata usipokuwa nae..

  mazuri ya mahaba, ya mifano ya kitu kwa mpenzi wako.. 1. K**a Jua 🌻🌹"Wewe ni k**a jua asubuhi — unanipa mwanga na kuni...
04/06/2025

mazuri ya mahaba, ya mifano ya kitu kwa mpenzi wako..

1. K**a Jua 🌻🌹
"Wewe ni k**a jua asubuhi — unanipa mwanga na kunifanya nihisi joto la upendo wako kila siku."

2. K**a Kahawa 🌺
"Upendo wako ni k**a kikombe cha kahawa ya moto — unaniamsha, unanituliza, na kunipa nguvu."

3. K**a Nyota 🌻
"Wewe ni k**a nyota angani — hata gizani unanifanya nione mwanga."

4. K**a Muziki 🌼
"Upendo wako ni k**a muziki mzuri — haunichoshi kamwe, na kila mara ninapousikia, moyo wangu hufurahi."

5. K**a Harufu ya Ua 🌹
"Wewe ni k**a harufu ya waridi — unapita kidogo tu lakini unanibaki moyoni muda mrefu."

6. K**a Bahari ❤️
"Mapenzi yako ni k**a bahari — siwezi kuyaona mwisho, na kila wimbi linaongeza hisia zaidi."

HUU NDIO UTAMU UTAKAOUPATA K**A UTAFANYA HII STAILI 😋👇🏽Ni kweli kwamba utundu ukisahaulika katika ulaji mzuri wa pilau b...
28/05/2025

HUU NDIO UTAMU UTAKAOUPATA K**A UTAFANYA HII STAILI 😋👇🏽

Ni kweli kwamba utundu ukisahaulika katika ulaji mzuri wa pilau basi utadharaulika na kuonekana hujui kumbe mambo mazuri yapo tu hapa wazi na hakuna wakumlaumu eti mwanaume huyu hajui au mwanamke huyu hajui , wote mnatakiwa kuwajibika kuchochea maufundi.

Sasa inabidi muweze kuelewa huu mtindo unaoitwa G-WHIZ! Au BUTTERFLY POSITION.

FAHAMU namna ya kuifanya hii style Ili kuongeza njia za kumfikisha Mwanamke wako kileleni.

FANYA HIVI;

Mwanamke alale chali (uso, matiti na kila kitu viangalie juu) , kisha Mwanaume apige magoti au asimame mbele yake, baada ya hapo mwanamke aweke miguu yake kwenye mabega ya mwanaume , unaweza kuweka mto (pillow) chini ya makalio ya mwanamke Ili awe more comfortable and relaxed.

FAIDA ZA HII STYLE 😊

Mwanamke akiweka miguu juu ya mabega ya mwanaume wakati wa kupeana Raha na Utamu kuna faida mbili mtaenjoy;

- Ya Kwanza , mashine ya mwanamme na uke wa mwanamke zote zinakuwa katika level Sawa , hii inasaidia mashine ya mwanaume kuisugua vizuri G-**ot.

- na Pili Uke wa mwanamke unajibana kidogo, ukijibana unapelekea kuwa tight, na kufanya starehe ya tendo kuzidi Maujanja Zaidi. Mwanaume inabidi ashikilie makalio ya mwanamke akipump kuelekea juu ili aweze kuilenga vizuri G-**ot.

Jaribu kuifanya style hii Kila unapoenda Kufanya Tendo la ndoa Ili uizoee vizuri. Halafu utaona k**a upendo utazidi ama Laa! 😂👌🏽

Ila ili huu mtindo uufanye kikamilifu! Inabidi Uume wako uwe imara na wewe uwe na stamina ya kutosha Wakati wa Tendo la ndoa! Na sio dakika Moja chali!

Kupata masomo zaidi ingia kwenye comment bonyeza link ya blog yetu uta injoy





Dear Sister, MWANAUME anayekuhitaji lazima tuu.. (1)Atakujali(2)Atakuthamini(3)Atakuheshimu(4)atakusikiliza(5)Atakusifia...
21/05/2025

Dear Sister, MWANAUME anayekuhitaji lazima tuu..

(1)Atakujali
(2)Atakuthamini
(3)Atakuheshimu
(4)atakusikiliza
(5)Atakusifia
(6)Atakukosoa
(7)Na atakulinda

-Yote hayo atayafanya kwasababu tuu anakuhitaji katika maisha yake na anahitaji upate amani ya MOYO wako, vinginevyo hamna namna hapo. Zaidi ya s*x...

Follow Ukurasa wetu ujifunze zaidi na ingia kwenye blog yetu.




Tendo la ndoa ni burudani pia ni rahaKubwa muwe mnapendana sana na iwe nyama kwa nyama.Mwanamke awe amelowa kweli hata k...
17/05/2025

Tendo la ndoa ni burudani pia ni raha

Kubwa muwe mnapendana sana na iwe nyama kwa nyama.

Mwanamke awe amelowa kweli hata kikiingia hata kichwa tu usikie mtoto wa mtu anasema weka yote huku akisogeza kiuno juu na kukukandamiza kiuno chako iingie vizuri.

Unapiga show huku ukicheza na chuchu au nywele zake huku ukihema shingoni mwake mithili ya mtu mbabe k**a hajafika unganisha ili naye afike usimwache njiani, uwe kiungo mshambuliaji (upeleke mashambulizi mbele na urude kukamba)

Mwanamke awe anaifinyia kwa ndani yaani raha tupu. Hii kitu tamu aseee hasa mkichagua style nzuri na yenye mkonjo mzuri usiochosha.

Ikiwa style ya chali basi akuzungushie miguu na mikono yake usichomoke

Ukifika usiichomoe ikae kwa muda fulani huku mkipeana pole na asante na ule utani k**a ulikuwa unapiga kelele wewe mara wewe mbona ulikuwa unanungunika na kuhema k**a unataka kukata moto. Au basi

K**a umependa hii follow Ukurasa huu





Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mahaba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mahaba:

Share