Charitable Eyecare Mission

Charitable Eyecare Mission Charitable Eyecare Mission is a local NGO that is based in Arusha, dedicated to elimination of blind

Radio SAFINA FM
30/04/2025

Radio SAFINA FM

24/02/2025
Msiseme hamkuambiwa!
18/01/2025

Msiseme hamkuambiwa!

WHO THE CAP FIT (Kofia inamwenea nani)Lyrics from Bob Marley song:Man to man is so unjust, childrenYou don't know who to...
17/12/2024

WHO THE CAP FIT (Kofia inamwenea nani)

Lyrics from Bob Marley song:

Man to man is so unjust, children
You don't know who to trust
Your worst enemy could be your best friend
And your best friend your worst enemy

Some will eat and drink with you
Then behind them su-su 'pon you
Only your friend know your secrets
So only he could reveal it

And who the cap fit, let them wear it
Who the cap fit, let them wear it
Said I throw me corn, me no call no fowl
I saying, "Cook-cook-cook, cluk-cluk-cluk"

Some will hate you, pretend they love you now
Then behind they try to eliminate you
But who Jah bless, no one curse
Thank God, we're past the worst

Hypocrites and parasites
Will come up and take a bite
And if your night should turn to day
A lot of people would run away

And who the stock fit let them wear it
Who the cap fit let them wear it
And then I gonna throw me corn
And then I gonna call no fowl
And then I gonna "Cook-cook-cook"
Mmm, yeah, "cluk-cluk-cluk"

Some will eat and drink with you
Then behind them su-su 'pon you
And if night should turn to day, now
A lot of people would run away

And who the cap fit, let them wear it
Who the cap fit, let them wear it
Throw me corn, me no call no fowl
I banging "Cook-cook-cook, cluk-cluk-cluk"

Throw me corn (cook-cook-cook)
Me call no fowl (cluk-cluk-cluk)

Bob Marley & The Wailers - who the cap fit 🎼

Kitu hiko....
14/12/2024

Kitu hiko....

Karibu sana
14/12/2024

Karibu sana

Binti mmoja mwanachuo akiwa stand alimwona mkaka amevaa vizuri yupo pale stand, uzalendo ukamshinda, na bila kusita akam...
10/12/2024

Binti mmoja mwanachuo akiwa stand alimwona mkaka amevaa vizuri yupo pale stand, uzalendo ukamshinda, na bila kusita akamfuata na kumwambia:

"Wewe ni mzuri sana kaka. Unavutia sana..., kiukkweli"

Yule kaka akashtuka sana, akaweka mikono yake mabegani mwa yule dada akamwambia:

"Mpendwa, mapenzi na kuvutiwa na wanaume ni bure kabisa na ujinga!. Wewe bado ni msichana mdogo sana kuvutiwa na wanaume. Naomba urudi shuleni ukasome kwa bidii ili uje kuwa na maisha bora baadaye"

Halafu akachukua kikaratasi akaandika kitu, akampa akamwambia:

"Nimeandika maneno ya busara na nukulu za biblia hapa. Kabla ya kulala tafadhali soma." Halafu akaondoka.

Yule mwanafunzi alirudi hostel kwa aibu na haya, na kabla ya kulala akafungua kile kikaratasi. Kilikuwa kimeandikwa hivi:

"Hivi wewe ni kipofu? Nipo na mke wangu hukumwona hapa? Katoka tu ananunua vocha, huyo hapo anarudi. Hii ndo namba yangu: 07....Nipigie baadaye. Hata hivyo nakupenda piaa!"

SUNGURA NA FISI *STORIKA KIDOGO* (nimei copy mahali)Hapo zamani za kale bwana, kwenye kijiji kilichoitwa 'Mnikome Wachaw...
28/11/2024

SUNGURA NA FISI

*STORIKA KIDOGO*

(nimei copy mahali)

Hapo zamani za kale bwana, kwenye kijiji kilichoitwa 'Mnikome Wachawi' kulikuwa na marafiki wawili, Sungura na Fisi. Walipendana, na wasaidiana kwa hali na mali.

Siku moja walipata mialiko ya shughuli, na shuguli zote mbili zilipangwa kufanyika siku mmoja. Sungura akaamwambia rafiki yake: "Best eh, tujitaidi siku hiyo tuhudhurie shuguli zote mbili." Fisi akamwuliza "Kwanini tusiende kwenye shuguli moja, tamaa ya nini?" Sungura akamjibu "Siku iyo ni siku ya kuufinya mpunga hadi tuvimbiwe, mimi nitaenda kote."
Basi siku ilipofika walikutana nyumbani kwa Sungura wakaanza safari kwenda shuguli ya kwanza. Hapo walikuta shuguli ya ndoa bwana Simba - alikua anamwozesha mwanawe. Walikuta akina mama wanapika vyakula uku wakipiga vigeregere. Sungura akamwambia Fisi; "Kwa kuwa pale ndo kwanza wanaandaa basi twenzetu kwenye shuguli ya pili". Kulikuwa na umbali kidogo. "Twende tukaangalie huko huenda chakula kikawa tayari, tule kisha turudi hapa tena". Lakini Fisi akamwambia "Mimi siendi, hilo sio jambo la busara. Bora tubaki kuliko kua na tamaa." Sungura akakataa wazo la Fisi, akamwacha kisha akatimua mbio kwenda mwaliko wa pili.

Huko, Tembo alikua anafanya arobaini ya mwanawe ambaye alifariki nyuma. Basi Sungura kufika tu, looh masikini akakuta wamemaliza, wanaosha vyombo. " Sungura alichukia, hakutaka kuzubaa aliamua kutimua mbio kurudi kule alikomwacha rafikiye Fisi. Kwa kuwa kulikuwa na kaumbali, ile anakaribia kufika, akamkuta rafiki yake Fisi njiani, anarudi mdogo mdogo nyumbani, Yuko fiti yaani ameshiba. Sungura akashangaa sana, akauliza "Mbona unaondoka vipi?" Fisi akamjibu "Sherehe imeisha, bwana harusi6 kashachukua mkewe. Du, akalia sana. Akarudi nyumbani kwake huku akiwa na njaa na uchovu mkubwa kwa kukimbia umbali mrefu, akiilaumu tamaa yake.

Miwani husaidia siyo tu kuona, pia hubadilisha mwonekano na kuonekana 'kijana' zaidi!
27/03/2024

Miwani husaidia siyo tu kuona, pia hubadilisha mwonekano na kuonekana 'kijana' zaidi!

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Charitable Eyecare Mission posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Charitable Eyecare Mission:

Share