Treating By Maasai Traditions Medicine

Treating By Maasai Traditions Medicine BACK TO EDEN IS AN ORGANIZATION WHICH BASED ON THE PROVIDING TREATING SERVICES BY USING MASAI MEDICINES ESP MANEMANE WHICH TREAT MORE THAN 80 DISEASES

*BILA KUSAHAU KUNYWA MANEMANE ITAKURAHISISHIA KUTOA SUMU ZA MADAWA YA KEMIKALI NA MAGONJWA  SUGU,*Usiichukulie poa.Afya ...
20/03/2026

*BILA KUSAHAU KUNYWA MANEMANE ITAKURAHISISHIA KUTOA SUMU ZA MADAWA YA KEMIKALI NA MAGONJWA SUGU,*

Usiichukulie poa.
Afya ni mtaji. Ukichezea leo, utaililia kesho.

Mimi PrayGod
(Mr MANEMANE)
0764628888

Watch, follow, and discover more trending content.

USIVICHUKULIE  POA VINAKUMALIZA KIMYA KIMYA.* Kuna vitu vidogo sana maishani mwetu, ambavyo tumekuwa tukivichukulia k**a...
20/03/2026

USIVICHUKULIE POA VINAKUMALIZA KIMYA KIMYA.*

Kuna vitu vidogo sana maishani mwetu, ambavyo tumekuwa tukivichukulia k**a ni vya kawaida. Tumevifanya kuwa sehemu ya utaratibu wa kila siku. Vimekuwa k**a vile vya "sio ishu" Lakini kwa ndani, vinafanya kazi ya kuumaliza mwili wetu taratibu.

1. Kukosa usingizi wa kutosha.

Tunaona k**a ni ujasiri kukesha, kulala saa 8 usiku na kuamka saa 11 alfajiri. Tunajidanganya kuwa “tutapumzika mbele ya safari.” Ila ukweli ni kwamba mwili haucheki, usingizi unaodaiwa leo utalipwa kwa gharama ya afya baadaye. Magonjwa ya moyo, kisukari, na hata msongo wa mawazo vinajengwa na kukosa usingizi.

Watch, follow, and discover more trending content.

🛑 *TUMIA MANEMANE KUTOKA KWENYE HATARI HII*🛑*PRESHA YA KUPANDA (High Blood Pressure).* Presha ya kupanda au kitaalamu Hy...
19/02/2026

🛑 *TUMIA MANEMANE KUTOKA KWENYE HATARI HII*🛑

*PRESHA YA KUPANDA (High Blood Pressure).*

Presha ya kupanda au kitaalamu Hypertension, ni hali ya kuwa na shinikizo kubwa la damu katika mishipa. Inaitwa “silent killer” kwa sababu huathiri mwili kwa muda mrefu bila dalili za moja kwa moja, hadi pale madhara makubwa yanapotokea k**a kiharusi (stroke), shambulio la moyo, au figo kushindwa kufanya kazi.

Dalili zinazoweza kujitokeza.
- Maumivu ya kichwa hasa asubuhi
- Kizunguzungu
- Uchovu au kuchoka haraka
- Mapigo ya moyo kwenda haraka au kushindwa kupumua vizuri
- Damu kutoka puani (wakati mwingine)

Lakini mara nyingi mtu haoneshi dalili yoyote kabisa.

Sababu zinazopelekea presha kupanda.
1. Ulaji wa chumvi nyingi
2. Msongo wa mawazo (stress)
3. Uzito kupita kiasi
4. Kukosa mazoezi
5. Uvutaji sigara / unywaji wa pombe kupita kiasi
6. Kurithi (genetics)

Nini cha kufanya kudhibiti au kuzuia presha kupanda.
- Pima presha mara kwa mara, hata k**a hujisikii vibaya
- Punguza chumvi kwenye chakula
- Fanya mazoezi angalau dakika 30 kila siku.
- Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi k**a mboga za majani, matunda, nafaka zisizokobolewa
- Punguza uzito k**a una uzito mkubwa
- Epuka msongo wa mawazo h lala vizuri, omba, pumzika
- Acha pombe na sigara.

Presha ya kupanda haina umri. Inaweza kumpata kijana au mtu mzima. Usisubiri kuumwa ndo uanze kujitunza. Afya yako ni wajibu wako.

*TUMIA DAWA HII YA MANEMANE
UTANISHUKURU*

Kula kwa akili, fanya mazoezi kwa bidii, na pima presha mara kwa mara. Maisha ni yako, yatunze.

Mimi Mr Manemane
Maasai Smart.

Maswali,maoni, ushauri na huduma ya tiba Asili ya Kimaasai na Tiba lishe

0764628888
0655181127

Jiunge na group la Tiba asilia ya Kimaasai ili ujifunze mambo mbalimbali kuhusu afya yako kwa kubonyeza link hapo chini.

https://chat.whatsapp.com/3cihYk3vZHMGOK0NrMpM1G?mode=wwt

24/10/2025

Alimasi ya kimasai # sukari Back TO Eden

24/10/2025

*HATARI YA KUPUNGUZA UZITO HARAKA KUPITA KIASI.*

Katika dunia ya leo yenye presha ya "mwili model", watu wengi wamekumbatia mbinu za kupunguza uzito haraka k**a suluhisho la maumivu yao ya kisaikolojia, kujithamini au hata kujiamini. Lakini je, unajua kuwa kupungua uzito mwingi ndani ya muda mfupi si mafanikio, bali inaweza kuwa mwaliko wa magonjwa?

Leo nataka nikuambie ukweli ambao wengi hawausikii vizuri, kupunguza uzito haraka sana ni hatari kwa afya yako. Ndiyo, unaweza kuonekana umekonda, lakini ndani ya mwili wako kuna sehemu inalia kimya kimya.

1. Unapoteza Misuli, Si Mafuta Pekee.
Uzito unaposhuka kwa kasi, mwili huanza kutumia misuli k**a chanzo cha nishati badala ya mafuta. Mwisho wa siku unakuwa dhaifu zaidi.

2. Mapigo ya Moyo Yanaweza Kuvurugika.
Lishe duni ya haraka sana, hasa zile zenye nishati kidogo kupita kiasi, huathiri kazi ya moyo. Hali hii inaweza kupelekea mapigo yasiyo ya kawaida na hiyo ni hatari ya kimya inayonyemelea maisha yako.

3. Matatizo ya Homoni na Hedhi Kuvurugika.
Kwa wanawake, kupungua uzito kwa kasi kunaweza kuathiri mzunguko wa hedhi. Homoni huingia kwenye taharuki, na unaweza kupoteza mzunguko wako kwa miezi au zaidi.

4. Ngozi Kudondoka na Kukunjamana.
Uzito unapopungua ghafla, ngozi haina muda wa kujibana taratibu. Matokeo yake ni ngozi kuachia na kuonekana “legelege”.

5. Kupungua kwa Kinga ya Mwili
Mwili unaponyimwa virutubisho vya msingi kutokana na lishe ya haraka, kinga ya mwili hushuka. Magonjwa madogo yanakuwa makubwa, na maambukizi yanakuwa ya kawaida k**a salamu za asubuhi.

6. Kurudi kwa Uzito Kwa Kasi (Yo-yo Effect).
Mwili una kumbukumbu. Unapounyima chakula sana, unahifadhi mafuta kwa woga wa njaa nyingine. Na ukirejea kula kawaida, unanenepa tena kwa kasi kuliko ulivyopungua.

Ushauri 1.🩷💯
TUMIA DAWA HII YA MANEMANE IWEZE kukupunguza tumbo, uzito,kitambi mafuta machafu na wakati huo ukitoa sumu za MAGONJWA nyemelezi bila kuleta athari hizo hapo juu.

Ushauri.2♨️

K**a kweli unataka kupunguza uzito, fanya hivyo taratibu. Punguza kilo 0.5 – 1 tu kwa wiki. Chagua kula vizuri, fanya mazoezi mara kwa mara, na upe mwili wako muda wa kubadilika. Mwili si nguo ya kubadilisha wikiendi, ni makazi yako ya maisha.

Mwisho wa siku, uzuri ni afya. Usiuuze afya yako kwa muonekano wa haraka.

Safiri na mwili wako kwa subira, na utakufikisha kule unapotaka ukiwa salama.

Mimi PrayGod
Mr MANEMANE. Smart MAASAI

Maswali,maoni, ushauri na huduma ya tiba ya Kimaasai na lishe.

0764628888
0655181127
0683181127

Jiunge na group la Tiba asilia ya Kimaasai ili ujifunze mambo mbalimbali kuhusu afya yako kwa kubonyeza Link hapo chini

16/10/2025

*SIKU YA CHAKULA DUNIANI: CHAKULA NI MAISHA, SI TU LISHE.*

Under the desk of
Mr manemane.📚📖📌

Leo dunia inaadhimisha Siku ya Chakula duniani, siku ya kutafakari thamani ya kile tunachokila, mahali kinapotoka, na ni kwa namna gani kinavyoweza kubadilisha maisha yetu na ya wengine.

Chakula si tu kujaza tumbo. Ni afya. Ni nguvu. Ni uhai. Ni usawa wa kijamii. Na zaidi ya yote, ni haki ya msingi kwa kila binadamu.

Lakini leo hii, bado kuna watu wanaolala njaa. Bado kuna familia zinakula mlo mmoja kwa siku. Wakati huo huo, chakula kingine kinatupwa hovyo majumbani na kwenye migahawa.

Leo tunakumbushwa mambo matatu muhimu.

1. Thamini Chakula:Usikile k**a kawaida. Kumbuka kuna mtu aliyehangaika kukilima, kukivuna, kukisafirisha hadi kikufikie. Kithamini, usikiharibu.

2. Chagua lishe bora:Sio tu kushiba, ni kula kwa afya. Tuwe na lishe yenye mboga, matunda, protini, na maji ya kutosha. Afya njema huanzia kwenye sahani yako.

3. Lisha wengine: K**a unaweza kusaidia mtu apate mlo mfanye.

Tusheherekee siku hii kwa kufanya jambo moja dogo kupika chakula bora, kushiriki chakula na wengine, au kutoa elimu ya lishe njema.

Kumbuka: Chakula ni utamaduni. Chakula ni utu. Chakula ni maisha.

Happy World Food Day

*Mimi PrayGod*
(*Mr MANEMANE*)
*Masaai Smart*

Maswali,maoni, ushauri na huduma ya tiba Asili ya Kimaasai

0️⃣7️⃣6️⃣4️⃣6️⃣2️⃣8️⃣8️⃣8️⃣8️⃣
0️⃣6️⃣5️⃣5️⃣1️⃣8️⃣1️⃣1️⃣2️⃣7️⃣

*AFYA NI MTAJI*

Jiunge na group la Tiba ya Asili ya MAASAI na Lishe ili ujifunze mambo mbalimbali kuhusu afya yako kwa kubonyeza link hapo chini.

Usiteseke na vidonda vya tumbo dawa hii hapa inakufikia popote dozi lakimoja na elfukumi na mbili 112000.
15/08/2025

Usiteseke na vidonda vya tumbo dawa hii hapa inakufikia popote dozi lakimoja na elfukumi na mbili 112000.

Kwanini uteseke na VIDONDA VYA TUMBO dawa ipo inaitwa MANEMANE CHUPA MOJA HIYO INATUMIKA wiki3. Jaribu inakufikia mahali...
26/07/2025

Kwanini uteseke na VIDONDA VYA TUMBO dawa ipo inaitwa MANEMANE CHUPA MOJA HIYO INATUMIKA wiki3. Jaribu inakufikia mahali popote ndani ya nchii yetu Tz. Na nje ya tanzania Wasiliana nasi 0764628888
WhatsApp
Sms kawaida
Piga mda wowote.

Shuhuda za MANEMANE k**a DAWA yenye uwezo mkubwa kutibu magonjwa Zaid ya 80. Ganzi kuwaka moto na mtu mwenye stroke au k...
21/08/2024

Shuhuda za MANEMANE k**a DAWA yenye uwezo mkubwa kutibu magonjwa Zaid ya 80.
Ganzi kuwaka moto na mtu mwenye stroke au kuparalaize usisite tupigie tukutumie
Kwa sukari yoyote ile usisite.

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Treating By Maasai Traditions Medicine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Treating By Maasai Traditions Medicine:

Share