Uly-Clinic

Uly-Clinic ULY CLINIC inakupa uwezo wa kupata huduma zote za afya kupitia simu yako ya mkononi. Unaweza kukutan

Vipele wakati wa kugundulika na kuanza kutumia dawa za VVU
29/03/2025

Vipele wakati wa kugundulika na kuanza kutumia dawa za VVU






Swali Vipele vya mwanzoni mwa matumizi ya ARV(dawa za UKIMWI) husababishwa na nini? Majibu VIpele vya UKIMWI Viupele na muwasho unaweza kuwa ni athari za dawa za ART ambazo unatumia kwa ajili ya matibabu ya UKIMWI. Wakati mwingine, dawa hizo zinaweza kusababisha maudhi madogo kwa baadhi ya watu,

Maziwa kutoka kidogo na namna ya kuongeza uzalishaji kwa mama aliyejifungua    https://www.ulyclinic.com/foramu/majadili...
28/03/2025

Maziwa kutoka kidogo na namna ya kuongeza uzalishaji kwa mama aliyejifungua






https://www.ulyclinic.com/foramu/majadiliano-na-wataalamu/maziwa-kutoka-kidogo?

Swali la msingi Sina maziwa ya kutosha kumnyonyesha mtoto, je? nitumie nini k**a kichochezi maziwa yatoke au nile vyakula vipi? Majibu Kuongeza uzalishaji wa maziwa-Vyakula Ikiwa unakabiliwa na upungufu wa maziwa ya mama, kuna mambo kadhaa unayoweza kufanya ili kuongeza uzalishaji wa maziwa: 1.

Tiba ya nyumbani ya vidonda kwenye njia ya haja kubwa
28/03/2025

Tiba ya nyumbani ya vidonda kwenye njia ya haja kubwa





Swali la msingi Habari, naweza pata tiba ya nyumbani ya kidonda kilicho sehemu ya haja kubwa? Majibu Tiba nyumbani kidonda njia ya haja kubwa Kwa ajili ya kidonda kilicho katika sehemu ya haja kubwa, ni muhimu kuwa makini kwani kinaweza kusababishwa na hali au magonjwa mbalimbali k**a vile maambu

Kutapika nyongo nyenye chembe za damu kwa mjamzito
28/03/2025

Kutapika nyongo nyenye chembe za damu kwa mjamzito





Swali la msingi Habari, mimi ninaujauzito wa wiki kumi na tatu na mara moja moja hutapika nyongo ikiwa na chembe za damu inaeza kua nini? Majibu kutapika nyongo na damu kwa mjamzito Hongera kwa ujauzito wako! Kutapika nyongo yenye chembe za damu wakati wa ujauzito kunaweza kusababishwa na mambo k

Dawa ya PID hospitalihttps://www.ulyclinic.com/foramu/majadiliano-na-wataalamu/dawa-ya-pid-ya-hospitali
20/03/2025

Dawa ya PID hospitali

https://www.ulyclinic.com/foramu/majadiliano-na-wataalamu/dawa-ya-pid-ya-hospitali



Dawa ya PID ya hospitali PID (Pelvic Inflammatory Disease) ugonjwa unaotokana na kutotibiwa vema kwa magonjwa ya zinaa hutibiwa kwa mchanganyiko wa antibiotiki ili kuangamiza bakteria wa magonjwa ya zinaa ambao ni Neisseria gonorrhoeae, Chlamydia trachomatis, na bakteria jamii ya anaerobik. Dawa hut

Meloxicam inatibu nini?https://www.ulyclinic.com/foramu/majadiliano-na-wataalamu/meloxicam-inatibu-nini   ?
20/03/2025

Meloxicam inatibu nini?

https://www.ulyclinic.com/foramu/majadiliano-na-wataalamu/meloxicam-inatibu-nini



?

Meloxicam ni dawa ya maumivu jamii ya NSAIDs inayotumika kwa matibabu ya hali na magonjwa mbalimbali yanayosababisha uvimbe kutokana na mwitikio wa kinga ya mwili na maumivu. Makala hii imezungumzia kwa undani kuhusu magonjwa, maudhi, madhara na vizuizi vya matumizi ya meloxicam. Meloxicam inatib

Siku za ovulation ni ngapi?https://www.ulyclinic.com/foramu/majadiliano-na-wataalamu/siku-za-ovulation-ni-ngapi
19/03/2025

Siku za ovulation ni ngapi?

https://www.ulyclinic.com/foramu/majadiliano-na-wataalamu/siku-za-ovulation-ni-ngapi


Ovulation ni kitendo cha yai kutoka kwenye ovari na kuwa tayari kwa safari ya kuelekea kwenye mji wa mimba kupitia mrija wa uzazi wa falopia. Wakati huu endapo kuna mbegu ya kiume ilizoingia au itaingia ndani ya via vya uzazi, yai litarutubishwa na kuanza safari ya ujauzito. Kwa kawaida, ovulation

Address

1162
Arusha
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uly-Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Uly-Clinic:

Share

Matibabu na Elimu ya Afya mtandaoni-Tanzania

ULY CLINIC ni Tovuti na Application inayokuwezesha Mgonjwa na mtaalamu wa Afya kupata au kutoa tiba na kufanya mambo mengine ikiwa pamoja na kuomba appointment na kufanya booking kupitia simu ya mkononi. Tovuti ina zaidi ya makala 200 za ki Afya zilizoandikwa na wataalamu wa Afya wenye ujuzi katika mambo yanayozungumzia kuhusu Chakula, Mazoezi, Magonjwa, Matibabu, Kupunguza uzito, Ujauzito, Afya ya mtoto n.k

Katika Tovuti hii utakutana na madaktari kwa ajili ya tiba ya matatizo mbalimbali kwa dawa za hospitali na dawa asilia zilizothibitishwa na shirika la kukagua ubora wa dawa na chakula duniani-FDA. Bidhaa na dawa zinazopatikana zinatoa Tiba ya tatizo lako kwa asilimia 95 hadi 100.

Bonyeza link hii kudownload application yetu https://play.google.com/store/apps/details?id=com.ulyclinic.ulyclinic

au bonyeza hapa kuingia kwenye tovuti yetu www.ulyclinic.com